Kwani ndugu zangu ccm wanasubilia kipindi cha uchaguzi ndipo polisi wanapewa magari mungu aingilie kati maana hayo ni kuwauwa watanzania sijui wengine watakimbilia wapi tanzani tanzania tanzania yangu yaan wapo tayari kuua watu ili wapate utawala kweli ndugu zangu hatuamini kuwa tanzania tumefika hapo basi msilete uchaguz mpite bila kubigwa maana mnawauwa maskin na wasio na uwezo au ni watu wamekuwa wengi sana.
polisi ni muhimu,ila angalieni masikini ktk hospital kama taasisi ya kansa oceanroad mashine zimechakaa hata dawa baadhi hakuna.wagonjwa wanapigwa tarehe TU.mhe.rais fikra hapo