waongelea swala la heshima kwa watu okay ivi wwe una heshima gani apo ulipo!...sio wwe ulopetea kwenye ramani ukaregeshwa na unaemsema vbaya saii eti nyadundo...eeeh kweli😂😂😂😂
H baba fanya kazi acha maneno maneno kama shoga ww mwanaume mzima unamzungumzia mwanamke fala ww wasukuma wapiga kazi sio maeneno maneno......Chukua mfano Kwa Fareed kubanda braza Fid Q anaglia msukuma yule hana maneno maneno hana mbwembwe kazi kazi bwegee ww
Mashabiki acheni ushabiki maandazi anayo sema ni kweli sio yy tu unaambiwa Ata alivyokuwa tht alikuwa anawazarau wengine anaujisikiaji heshi ndio kila kitu angalia wasanii wa zamani walikuwa hawana heshima ndio maana walipotea
yaaani povu lote hilo ni salamu tuu wewe H mama ni bosi wewe chawa akusarimie chawa??? mjinga wewe unataka cm ya kupewa kwenye duka lake nandy kaza uyo kairenga cm ya bure usimpe kabisa hana shukrani huyo kamshindwa konde boy utamuweza wewe??? nandy umemuona anakaza analegeza wapingeni chawa maskini haoo bora ifurencer doto magari tajiri muuza magari sio h mama wala mama levo na mwijaku wapite kure
Bora unge kaa kimya unaongea pumba hatua za mtu kimaisha zinakuuma sana huyo dada mke wa mtu anafanya kazi za muziki na wasanii wenzake wakiume ni mazingira ya kazi tu tatizo nini
Wewe nae, nandy ni msanii sawa pia jua nini 😮mke wa mtu na ni mama, lazima awe na limit..hawezi shobokea kila mtu lazima amentein class yake.. Watu wenyewe wewe mmropokaji tena akae mbali kabisa..... Zuchu ajaolewa bado anajitafutaaa..
Mnafiki h,, ira wasukuma bana swaga hamna mwanzaaa jamani huku ni daresraaam bana usitureteer ushamba wako wamwanza ukoo hizo heshima kwenu uko usukumani huna roro umekwisha kimzi wewe nenda kaombe pesa ya kura kwenda kiia kitu kinamwisho mwisho wenu umekwishaa kachunde ng'ombe mzeeer