Тёмный

H BABA amchana vibaya NANDY anakosea sana ALIKIBA sio/ YAMI Kama amemshindwa amwachie tu 

Bongo Plus
Подписаться 78 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Развлечения

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 125   
@mohameddikaluka3162
@mohameddikaluka3162 8 месяцев назад
Huyu naye Akanye Akalale huko ushaishiwa Endelea kuishi maisha yako,,
@alibachirofficial3939
@alibachirofficial3939 8 месяцев назад
Kuwa straight bro omba hella vizuri #Jamaaa anaa stress zake dah😂😂😂😂 kwani nandy kuwa on trend iwe ana eshima😂😂😂 H Baba umeisha😂😂😂
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 8 месяцев назад
Kumeheshimu mtu ka h baba nikukosa heshima fala ka Huyu unamuheshimu vp paka huyu
@bornifacecharles2
@bornifacecharles2 8 месяцев назад
Sasa wewe unataka heshima kwa wewe una heshima gani
@lundaboytz4912
@lundaboytz4912 8 месяцев назад
Chawa masikini kuliko machawa wote Tz
@bekaali-9445
@bekaali-9445 8 месяцев назад
waongelea swala la heshima kwa watu okay ivi wwe una heshima gani apo ulipo!...sio wwe ulopetea kwenye ramani ukaregeshwa na unaemsema vbaya saii eti nyadundo...eeeh kweli😂😂😂😂
@AishaNkullo
@AishaNkullo 8 месяцев назад
Mwenzako anaeleza vyengine wewe unajibu usenge mwengine
@PendoXavery
@PendoXavery 8 месяцев назад
Very true
@onedaymakomandomusic4882
@onedaymakomandomusic4882 8 месяцев назад
Haujui , h baba nakupenda sana cc
@EsupatLaiser
@EsupatLaiser 3 месяца назад
Ata huku mtaani Kuna watu wanalilia salamu
@kevinryt4963
@kevinryt4963 8 месяцев назад
Wewe wachaa,heshima huwezi itisha
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 8 месяцев назад
Poleni sana mnaofunzwa heshima na H mama
@elizabethmwarjaset2468
@elizabethmwarjaset2468 8 месяцев назад
Hhhhhhh uyu kapanik mzika kaacha kaamua kua chawa
@MeshackKabunda
@MeshackKabunda 8 месяцев назад
H baba fanya kazi acha maneno maneno kama shoga ww mwanaume mzima unamzungumzia mwanamke fala ww wasukuma wapiga kazi sio maeneno maneno......Chukua mfano Kwa Fareed kubanda braza Fid Q anaglia msukuma yule hana maneno maneno hana mbwembwe kazi kazi bwegee ww
@BongoPlus
@BongoPlus 8 месяцев назад
Umetishaaa
@bornifacecharles2
@bornifacecharles2 8 месяцев назад
Wewe unaheshima ipi
@RamaKahindi-vw4oz
@RamaKahindi-vw4oz 8 месяцев назад
Machawa wa Diamond wanaumizwa na ngoma ya Nandy
@elizabethchabluma-zw5qz
@elizabethchabluma-zw5qz 8 месяцев назад
Mashabiki acheni ushabiki maandazi anayo sema ni kweli sio yy tu unaambiwa Ata alivyokuwa tht alikuwa anawazarau wengine anaujisikiaji heshi ndio kila kitu angalia wasanii wa zamani walikuwa hawana heshima ndio maana walipotea
@beautyibrahim8428
@beautyibrahim8428 8 месяцев назад
Ndio maana wanapata na kiba wamekutana kopo na mfuniko😂
@FRANCKDIALLO.
@FRANCKDIALLO. 8 месяцев назад
Auna hela
@Nigamtupori
@Nigamtupori 8 месяцев назад
Usipende kushobokewa fanya muziki maneno achia wanawake
@Xxxtentancion-w2s
@Xxxtentancion-w2s 8 месяцев назад
Only legend wataelewa apa upo really H baba
@fondocharo
@fondocharo 8 месяцев назад
Huyu anataka tu kuwa chawa wa Nandy
@FahimTshibangu
@FahimTshibangu 8 месяцев назад
Ww kero hbaba.tumekuchoka
@RamaKahindi-vw4oz
@RamaKahindi-vw4oz 8 месяцев назад
Zuchu ananidhamu gani kumbe huyu mtu pumba walazimisha salamu
@latifayusuf3604
@latifayusuf3604 8 месяцев назад
H baba kwakuwa huja salimiwa na nandi
@RashidSingano-o5v
@RashidSingano-o5v 8 месяцев назад
Muda wenu umeisha kama master j alivyosema tafuta kazi ya kufanya bro
@kamanafikiri9954
@kamanafikiri9954 8 месяцев назад
Simuelewi sijui anasema nini ananipotezea muda achanikasikilize zangu Dah!
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 8 месяцев назад
Sio lazma umwelewe.
@SHABANIMALIMA
@SHABANIMALIMA 8 месяцев назад
Nandy kumbe una maadui wengi 😁😁😁😁 kipindi wewe uko kwenye piq ulikuwa una muheshim nani Jealous people never win
@saumumwaro5809
@saumumwaro5809 8 месяцев назад
Ww mwenyewe huna heshima
@sampachino5184
@sampachino5184 8 месяцев назад
Huyu jama mjinga sana sasa Nandy kakufanya nini mpuuuzi sana wewe H MAMA
@FahimTshibangu
@FahimTshibangu 8 месяцев назад
Hbaba wee msenge omba omba
@jacksonsamson764
@jacksonsamson764 8 месяцев назад
Daah we jamaa kuma kweli
@nakalikyumile3234
@nakalikyumile3234 8 месяцев назад
Kwahio wasanii wa long kazi yenu sasa imekuwa kubogoma sio kutoa ngoma?
@ramilrajab5393
@ramilrajab5393 8 месяцев назад
Wacha njaa na chuki 3:40
@kyungumedardmaurice8321
@kyungumedardmaurice8321 8 месяцев назад
Unaongea kweli bro ila ma bweya aita kuelewa
@KheriMakinda-wh5vh
@KheriMakinda-wh5vh 8 месяцев назад
Wewe tulia hapo sabasaba ule ugari furu
@kiatu
@kiatu 8 месяцев назад
Bahati nzuri Nandy haendi Cassino, ungepata kipigo cha mwanamke, mwanaume mzima kumsema mdada mitaondaoni 😮
@kelvinwilfred-p2e
@kelvinwilfred-p2e 8 месяцев назад
kweli we ni kiatu
@yassinm69
@yassinm69 8 месяцев назад
Hata we ungekua juu ungedharau watu pia
@buchomillion4743
@buchomillion4743 8 месяцев назад
Uheshiniwe ili nn? Wewe ulipokuwa na jina ukawa unajiachia mbona hukuwaheshimu msondo ngoma ?
@HamisiLaizer
@HamisiLaizer 8 месяцев назад
We ACHA usenge huyo zuchu ana heshima Gani au kutoa Ngoma na Alli kiba kinakuuma
@ASALABOY
@ASALABOY 8 месяцев назад
H.mama wewe unazeeka vibaya sana Tatizo n muda brow
@FajraOmary
@FajraOmary 8 месяцев назад
Unaacha kufanya kazi unazungumzia watu acha ufala
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 8 месяцев назад
Mbona mnamakasiriko,,,,,shikamoo ya Nini???????Tafuteni hela bhana 😂😂😂😂😂😂 ,,,,ukiona mtu analazimisha shikamoo ujue hana hela,,
@juliasmaick
@juliasmaick 8 месяцев назад
Huna hakili wee!! Mwehu 😅
@Sakinaamani-o1t
@Sakinaamani-o1t 8 месяцев назад
Mmmmmm yatokanayo nayo kisa nn
@itanzaniaAS
@itanzaniaAS 8 месяцев назад
Hee akuheshimu kwa lipi? We unaheshimu WATU?
@JUSTNEMITOMINGI
@JUSTNEMITOMINGI 8 месяцев назад
Shobo ukisalimiwa unapata nn
@mswaki_newstz
@mswaki_newstz 8 месяцев назад
Ukiona mtu analazimisha shikamoo ujue Hana hela😂😂😂😂😂
@caissemalatinho252
@caissemalatinho252 8 месяцев назад
Uyo Nandy kakufanha nini, wote uwo wivu kwa sababu kafanha collaboration na King kiba
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 8 месяцев назад
Hana hasira sana na maisha ni chawa au numwanamusiki
@henrychiriba9354
@henrychiriba9354 8 месяцев назад
Anataka akionana na Nandy apewe pesa
@awadhally1052
@awadhally1052 8 месяцев назад
😂😂😂
@issuthegoldissukijanamwema8761
@issuthegoldissukijanamwema8761 8 месяцев назад
Ww wivu ndo unakusumbua
@Ali1mo
@Ali1mo 8 месяцев назад
This man is mental, even the current artist do not do what this man is insinuating. Salamu ni kupenda kwa mtu sio lazima.
@sajalyamry6059
@sajalyamry6059 8 месяцев назад
Njaa 😅😅😅mbaya sana lkn wivu niku2 kibaya sana h baba punguza njaanjaa m2 mzima kishet brother unazengua kichizi ujue jitambue unaongea sana pumba bro
@WambeneHabiba
@WambeneHabiba 8 месяцев назад
Sasa guys mzee wa myaka hiyo..name anamkilia wivu mwanamke weeeerrr kuma tuuuuuuuu
@Rajabkizwele-rs2by
@Rajabkizwele-rs2by 8 месяцев назад
Mbona makasiriko h mama
@AsdDsa-fi5qk
@AsdDsa-fi5qk 8 месяцев назад
Hana heshima ww nand na Ally ni marafik kiba Hana fharau uchoro wako
@jonijomk3107
@jonijomk3107 8 месяцев назад
Pambana upate pesa nyingi, lawama za aina hii hazitakuwepo.
@farajamagesa
@farajamagesa 8 месяцев назад
Salam haina muanzaji😏😏kwan w kusalmia unaona nn au ulshawah kusalimiwa hukujibiwa?? w unastaa gan😏😏😏pta iv bhanaaaaaaa😏😏😏😏🌹
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 8 месяцев назад
Hela huna kaka tulia tafta ela mdomo hausaidii kitu
@mahrezkhamisi2709
@mahrezkhamisi2709 8 месяцев назад
Hapa hakuna jipya
@Joharishabani-g9l
@Joharishabani-g9l 8 месяцев назад
Njaa mbaya😅😅
@karaniomoit5259
@karaniomoit5259 8 месяцев назад
Huyu jinga ana wivu sana mbwa ya mtu
@ShadrackKalume
@ShadrackKalume 8 месяцев назад
Mshamba tu wewe wajizalilisha sa wataka uheshimiwe we mungu
@aminanamoyo83
@aminanamoyo83 8 месяцев назад
Anza wewe kuwa na nidham na heshina utaheshimiwa period 😏
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 8 месяцев назад
Tulia wakati wako umepita
@ashaali7154
@ashaali7154 8 месяцев назад
Hili nalo limezeeka vibaya kuimba haliwezi limebaki kugombana na wajukuu sasa hovyooo limeishiwa uchawa pia umemshinda fala mzee wewe.
@Kuminamoja1995
@Kuminamoja1995 8 месяцев назад
Unatafuta uchawa kwa nandy
@kevinishailiza
@kevinishailiza 8 месяцев назад
Hupati maokoto Kwa nandy.
@bonabonala5559
@bonabonala5559 8 месяцев назад
yaaani povu lote hilo ni salamu tuu wewe H mama ni bosi wewe chawa akusarimie chawa??? mjinga wewe unataka cm ya kupewa kwenye duka lake nandy kaza uyo kairenga cm ya bure usimpe kabisa hana shukrani huyo kamshindwa konde boy utamuweza wewe??? nandy umemuona anakaza analegeza wapingeni chawa maskini haoo bora ifurencer doto magari tajiri muuza magari sio h mama wala mama levo na mwijaku wapite kure
@salmameshack4502
@salmameshack4502 8 месяцев назад
Hili nalo
@MartinTsuma-t2t
@MartinTsuma-t2t 8 месяцев назад
Hauchakuongea bro
@NhimirimanaJanvier
@NhimirimanaJanvier 8 месяцев назад
H baba ameshindwa kuimba anakuja kuongerea nandy vivaya
@rosehaule6765
@rosehaule6765 8 месяцев назад
😅😅😅😂dah binadamu banaa mhh
@STEVENKAJUMBA
@STEVENKAJUMBA 8 месяцев назад
Kwani wewe ni mnyama
@rosehaule6765
@rosehaule6765 8 месяцев назад
@@STEVENKAJUMBA nani mm mm ni mbwa tu sio mnyama kwani vpi sijaelewa kwnn umeuliza pole
@PendoXavery
@PendoXavery 8 месяцев назад
Kaongea kiuhalisia hao wasanii hata mitaan ushirikiano na majira.n mfano misiba mf huyo alietajwa hana kbs kbs
@yogwemwakulola1634
@yogwemwakulola1634 8 месяцев назад
Uyu si aimne aingie trending aache ushoga
@neemaneykisanga
@neemaneykisanga 8 месяцев назад
Weww ulimuheshim Mr Nice kipindi cha bubu
@AnnoyedBreakfast-zn2bo
@AnnoyedBreakfast-zn2bo 8 месяцев назад
Acha umama we Kuma yani maisha anakushinda una Anza kugombana na mademu???😅😅daaaa
@Mezd-g8g
@Mezd-g8g 8 месяцев назад
Bora unge kaa kimya unaongea pumba hatua za mtu kimaisha zinakuuma sana huyo dada mke wa mtu anafanya kazi za muziki na wasanii wenzake wakiume ni mazingira ya kazi tu tatizo nini
@meimama9706
@meimama9706 8 месяцев назад
Heshima pesa babu ndevu zako hizo urembo tu acha kubwabwaja
@brigittamlanga2946
@brigittamlanga2946 8 месяцев назад
Wewe nae, nandy ni msanii sawa pia jua nini 😮mke wa mtu na ni mama, lazima awe na limit..hawezi shobokea kila mtu lazima amentein class yake.. Watu wenyewe wewe mmropokaji tena akae mbali kabisa..... Zuchu ajaolewa bado anajitafutaaa..
@anjelinakasembe845
@anjelinakasembe845 8 месяцев назад
Usimlauimishe mtu hawe na heshima kwako wakati wewe una heshima kabisa mpumbavu wa kwanza
@Swahilitoon
@Swahilitoon 8 месяцев назад
Uyu malaya aongea nini sasa🤣🤣🤣
@gabrielmdem4271
@gabrielmdem4271 8 месяцев назад
Mnafiki h,, ira wasukuma bana swaga hamna mwanzaaa jamani huku ni daresraaam bana usitureteer ushamba wako wamwanza ukoo hizo heshima kwenu uko usukumani huna roro umekwisha kimzi wewe nenda kaombe pesa ya kura kwenda kiia kitu kinamwisho mwisho wenu umekwishaa kachunde ng'ombe mzeeer
@rabaakondo-jr8px
@rabaakondo-jr8px 8 месяцев назад
Yani nyie makuma kweli Kuma mamazenu
@saidubwenga3608
@saidubwenga3608 8 месяцев назад
Acha nongwa mzee
@maimunaulotu2075
@maimunaulotu2075 8 месяцев назад
Ww nyau........uliheshu watu wakati wako....mbona saiv unaongea ongea hovyo....si ungekuwa kama kiba ....mbona wakitambo lakini hayupo hivyo
@duncangichure1239
@duncangichure1239 8 месяцев назад
Hbaba toa izo earings wewe sio msanii chawa haitaji earings
@ShambaniathumaniSamkunde
@ShambaniathumaniSamkunde 8 месяцев назад
H kafulia hana jipya unatafuta kk toka zako
@CarlosPadimbe
@CarlosPadimbe 8 месяцев назад
Ww ni chawa auna lolote
@suloomaljabri2350
@suloomaljabri2350 8 месяцев назад
Hu ndio mwisho wako unaishi vichochotoni 😂😂😂😂😂😂😂
@Saggydatty
@Saggydatty 8 месяцев назад
Tafuta pesa bro
@Kadebecomedy
@Kadebecomedy 8 месяцев назад
Tunajua upo upande wa pili😂😂😂😂
@GerrardUngwa
@GerrardUngwa 8 месяцев назад
Unakosa kazi tu 😂😂
@richardarord8344
@richardarord8344 8 месяцев назад
Sasa unafosi kusalimiwa Acha uchoko wewe mmbwa wewe kaa pembeni mmbwa weee
@jsabood
@jsabood 8 месяцев назад
Hii ni fan huyu H.baba ameingiya mahala pabaya. Anataka hela njaa sasa inamkabili..
@dayvanny_graphics2172
@dayvanny_graphics2172 8 месяцев назад
Sasa wewe alie kwambia kuongea ongea na watu ndo nidham ni nani
@henrychiriba9354
@henrychiriba9354 8 месяцев назад
Kazi yako halisi ni gani mbali na uchawa
@AyubuMungii
@AyubuMungii 8 месяцев назад
Mpumbavu mmoja weweee yaan unaomba kuheshimiwa hapa duniani?????tafuta pesaaaa uchawa ndo shdaah mjin
@BabanahShoo-ms1cq
@BabanahShoo-ms1cq 8 месяцев назад
H baba tafutaa mumee akuoeee wewe au swagaa aunaa shepuu wee uwez jifananishaa na msanii yeyotee wewe Ni ngombe
@Wiseoneclassic
@Wiseoneclassic 8 месяцев назад
Hueleweki fanya mziki acha acha kelele wewe
@shabanimagambo2381
@shabanimagambo2381 8 месяцев назад
Huna lolote mata wewe kwenda akili huna
@FranklinMwalungo
@FranklinMwalungo 8 месяцев назад
Mbwa huyoooo
@abufeiy
@abufeiy 8 месяцев назад
Sasa wewe unajifananisha na Nand wewe umeshafeli umebaki kuropokwa tu
@fatumasaleh60
@fatumasaleh60 8 месяцев назад
😂😂😂😂nandy kakukoseaa wapi unawivu mkundu wewe
@BongoPlus
@BongoPlus 8 месяцев назад
Fatuma hmmm mkundu tenah
@fatumasaleh60
@fatumasaleh60 8 месяцев назад
@@BongoPlus ndiyo likundu lake Kama kusifia asifie wengine siyo mimi
@malkavoice2570
@malkavoice2570 8 месяцев назад
Nandy anajikutaga nani sijui Super star gani sijui ila hana akili anatumia uzuri wake kupenya alafu dharau mbele mauti nyuma!
@Mundi-oz7os
@Mundi-oz7os 8 месяцев назад
Wewe unatumia nini kupenya.? Mwacheni huyu binti wa watu aishi atakavyo. Ati haheshimu watu mnataka awaheshimu kwa kitu gani mlichofanya hapa duniani.
Далее
DEMONS ARE ATTACKING BRAWL STARS!!!
09:08
Просмотров 14 млн
无意间发现了老公的小金库 #一键入戏
00:20
ALLY KAMWE AWATUKANA WAZEE WA SIMBA #football
3:45
Просмотров 2,4 тыс.
Prank filter funny🙈😂 #prank #filter #funny
0:20
Human vs Jet Engine
0:19
Просмотров 161 млн
Família Incrível no passo do canguru
0:11
Просмотров 175 млн
КАРСТОВАЯ ВОРОНКА НА ПОЛЯНЕ
0:21