Kutoka AL FATAH TV . Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490 #AlfatahTvOnline #AlfatahCharitableAssociation #ZANZIBAR
Kwenye asilimia 100 ya elimu ya dini nilionayo basi 85 imetoka katika maneno ya othman maalim allah akuhifadhi na akupe qauli thabit inshaallah atupe mwisho mwena
Masha Allah Alfatah katika siku zote lakini leo nawapongeza saana kwa kumueka Sheikh Wang Othman Maalim,,kipenz chang,,huwa nafaidika saaana kupitia yeye Naitwa Ahmed kutoka Kenya Malindi....team yote Alfatah Allah awajaze...🙏🙏🙏
Mashaallah leo mimi nimefurahi sana kujua historia ya shekhe Othman Maalim nilikua natamani kusikia historia yake Allah akupeni kila la duniani na akhera
Nilimjua sheikh kupitia redio zanzibar kwenye visa vyake alivyokua anatoa mwezi wa ramadhani visa vya mitume na qisa nilichokua nakupenda sana ni qisa cha nabii yussuf
Mashaallah hakika shekh Allah akupe mwisho mwema ww ndio mwalim wangu bila napokusikiliza uwa nakuelewa moja kwa moja nakupata utulivu wa nafsi nasijawai kuchoka kuludia elimu yako
Shekh wengi tume ipenda dini kwasababu umekuwa ukifundisha kwa hekma na busara yani mtu asipo kuelewa wewe basi tena Allah akupe umri mrefu wenye manufaa tuna hitaji watu kama nyinyi Allah akuongezee elimu na aiweke nuru aongeze ufaham kwenye kila lakheri akuwekee baraka ❤
Mashaallah shekhe othman maalim mungu akuzidishie umri mrefu wenye mafanikio kheri nyingi na Baraka 🙏 🙏 amin ishaallah. Natamani pia mimi mtoto wangu awe ka wewe ishaallah ❤❤❤asante kwa historia yako nzuri😊
Ma Shaa Allah ..Umejaaliwa Ilmu..busara..heshma..adabu..uskivu .mara nyingi au zote unajishusha chini kabisa kwa kumuogopa Mola wako mlezi....nahali yakuwa umejaaliwa neema ya ilmu na neema ya kueleweka na kuvutia unapotupatia ilmuu.. pasina na majigambo(majivuno) kwa kujiona mimi ndio mimi.. Nakuombea na kujiombe nafsi yangu na umma wa kiislam Mwenyezi Mungu atupe furaha ya Dunia na kesho Akhera yenye kumpendeza Mola wetu..ameen..ameen Allah humma ameen Allah Ibarik
Mm natoka mombasa kenya hua kila siku mpka nisikilizee mawaidha yko allah akuifahdhi na akuzidihie ilmu uzidi kutuilimisha nimepata faida kubwa sana kwako natamani niwekaribu nawe sazote I WISH WAS IN ZANZIBAR❤❤❤❤❤
Masha-Allah. Allah Akuzidishie Umri , Na Akujaze Kula la Kheir ! 🙏🙏🙏🇰🇪🇰🇪 Ni Sheikh ni nae mpenda sana ! .na masheikh wote vile vile na wapenda wote. Allah ! Atawalipa kula la kheir. 🙏🙏🙏
*Allahumma baarik sheikh kwa mawaidha zote ulizotufundisha tumefaidika mno. Jazaa yako kwa Allah. Na daima matani yako / comedy ndiyo huzidisha ladha kwa mawaidha yako.😂😂😂 Shukran sana* 💞
Namkumbuka Sh.Othman Maalim, ndio kwanza hajajulikana sana Zanzibar, nakumbuka Msikiti mabluu pale Alasir akitoa mawaidha watu wachache sana, nakumbuka alitoa kisa cha binaadam (alipowekwa kwenye baridi akalalamika, alipowekwa kwenye joto akalalamika) nadhani miaka karibu 20 na ilopita.Allah akupe umri mrefu na uzidi kutusomesha na sisi atupe ilmu.
Mashallah SHEIKH RASHID KWA KUMLETA MWALIM WETU SHEIKH WETU HATA WW NI MWALIM WAKO. KUNA SIKU ULINISABABISHA NIJE MSIKITINI NILISIKIA SAUTI YA SHEIKH OTHMAN MAALIM KUMBE KUJA UPO WEWE SHEIKH RASHID SALIM MASHALLAH ALLAH AKULIPENI KHERI.
Othmaan Maalim kwangu ni mwokozi😢 nilikua musharati, mwongo... nilikua kama umbwa mpaka nikaachwa na mke wangu. Sijui ilikuaje niskie mawaidha yake ya " Mali na Dunia" from that day nili badirika kua muisilamu, nikawa mtu sio umbwa tena. Na pia kila siku jua nakufwatilia kama umbwa yako Sheikh😢 hakuna kipindi kitanipitaka. Hekima na heshima naitosha kwako😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Mimi nashindwa nimepata kigugumizi kuona historia ya ya huyu baba,nampenda kwa ajili ya Allah simu yangu imejaa maneno yake yake sauti mawaidha mafunzo matamu murua ya visa vya mitume yote hayachoshi kuyasikiliza nimejua mengi kupitia mawaidha yake .nashindwa kuelezea Allah ampe umri mrefu azidi kutuelimisha azidi kuelimisha sisi na vizazi vyetu vijavyo. Mimi dada yako. Nakupenda kwa ajili ya Allah.
Alhamdullillah nimejifunza mengi kuhusu othman mwalim na uisikize mpaka mwisho utafaidika naomba masheikh wote wajitahidi kuheshimiane kupate kuwa adhabu nasisi tufaidike ameeeen yarabeel alameeeen
Mashaallah mashaallah mashaallah sheikhe wetu nakupenda sana sana kwa ajili ya Allah Allah akuhifadhi akujaliye umri wenye afya akuzidishie elimu zaidi akujaliye uwe miongoni wa waja wake walioridhiwa
Tafadhali Sheikh, umetueleza juu ya wazazi wako na ndugu zako na tumefaidika sana but pia tueleze juu ya familia yako, yaani mke (au wake) na watoto wako
MashaAllah, Sheikh Othman Maalim, my best sheikh, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu, afya njema, baraka na mafanikio tele ili tuendelee kufaidika na ilmu yako
Alhamdulilah. Watu wa Unguja na Pemba wamekuvuliya kofiya na ushakuwa mtu wa hapo Unguja mpaka ucheshi wako na lafdhi ya lugha yako tunaipenda. Mashaallah
Maa sha Allah tabaaraka llahu, shekhe unanipa faraja sana kwa darsa zako najifunza mengi awali sikuyajuwa Alhamdulillah mungu akujaalie maisha marefu yenye mwisho mwema ❤
Asalaam aleikum Mungu amjaze kheri sheikh langu othman maalim. Nakumbuka siku nilipokutana na sheikh Othman maalim Mombasa kenya.nikamuuliza sheikh anipe nasaha mm kama kijana basi nasaha alonipa ni same haya maneno asemayo hapa. Masha Allah 😊 Mungu akujaze kheri
Mashallah Mashallah yaani nimefurahi sana kujua historia ya sheikh othman Maalim Allah azidi kumpa umri mrefu mwenye furaha na imani kubwa na ampe afya azidi kuweza kutuelimisha na ampe pepo ❤❤❤❤😊😊
Mashalla barakallahu fii kum wallah nakupenda shekh kwa ajili ya Allah nafurahi sana unapotaja markit shukran sana jazakallah kheyr Allah akupe umri mrefu wa ibada
Mashallah mashallah Mashallah Ama leo mmenifurahisha jaman Nampenda Sheikh Othman Maalim Sana sana Allah ampe umr mrefu wenye kher na yeye Amuepushe na Shari Kwa hakika mim Tangia nimdogo Nimekulia kuskia saut yake bas Ramadhan kila ikifika saa 8 Kuna visa vya mitum mama angu atega sikio Kumsikiliza bas kama mama Amwnirisisha yaan na Mamb haya ya mitandao Mashallah Allah ametupe neema Sasa tunamuona Live🥺Mashallah Wallah katika Masheikh walojaaliwa Vipaj bas mmoja ni yeye huyu Sheikh ninampenda Mpaka bas Halaf Sheikh Rashid ni kwel Saut yako Ukizungumza utasema ni shwilh Othman Maalim Na Nlijua tu utakuwa ni mwanafunz wake Mashallah Jazakumullah kher Allah akupen Umr mref wenye kher Akuhifadhin Dunian na kesh akhera😭🤲🥺😍🌹Ramadhan رمضان مبارك علينا وعليكم🌙🌹☺️❤️😍
ALLAH (S.w)akuweke sheikh wetu akupe afya njema na nguvu na sifa tunajifunza mengi tunaelimika na mengi kupitia vipindi vyako,mawaidha yako na Elimu yako
Mashaallah masjid konzi Jamiii inakufahamu Sana sheikh othman maalim Allah akupe umri mrefu. Cha ajabu sijawahii kusikia ukiongea kwa ukali upole na ukarimu ndio miongoni mwa sifa zako. Twakupenda kwa ajili ya ALLAH
Mashaa Allah Mashaa Allah,sheikh wetu ndugietu kutoka kenya mola akuzidishie umri uziidi kutuelimisha Raha kukusikia ukijielezea umewatia moyo vijana wengi sana
Mimi nampeda sheikh othman nikimsikiliza namuelewa sana na najifunza mengi pia kupitia yeye mungu amlipe heri na anasaidia kunibadilisha sana katika mapito yangu na uelewa juu ya dini amii yarabi
MASHALLAH MASHALLAH ALLAH AKULIPE KILA LA KHER SHEIKH WETU ALLAH AKUJAALIE KHER DUNIANI NA AKHER NA SS ALLAH ATUJAALIE TUWE MIONGONI MWA WAJA WEMA NA MWISHO MWEMA INSHALLAH
Tamaa zangu zote shekhe wangu najua nimzaliwa wa Zanzibar nakupenda sana kwa ajili ya Allah mungu akupe umri mrefu wenye kheri na barka lkn pia Allah akulipe janna pamoja namtume inshallah
Ni Sheikh mzuri na Mwalimu aliyetimia.Amejaaliwa mvuto wa kusikilizwa na kutochosha masikio ya wasikilizaji wake.Hakika ni mjuzi aliyejaaliwa karama njema ya kufikisha.Allah amhifadhi na kumpanua zaidi ili Ummah uendelee kumfaidi na yeye anufaike pia,Biidhnillah.
Video yenye manufaa mengi MaashaaAllah. Allah amhifadhi Sh Othman na ambariki. Allah awarehemu wale ambao wamemlea Sheikh Othman na wale wamemsomesha. Yaa Allah! Tunampenda Sh Othman na tunakuomba umpende. Yaa Allah wahifadhi watoto wake na students wake na mlipe malipo mema.
MAASHAAALLAH TABAARAKALLAH LEO NIMEFURAHI KUIJUA HISTORIA YA SHEIKH WETU KIPENZI OTHMAAN MAALIM WATANZANIA WENGI TUNAKUPENDA SANA ALLAH AKUBARIKI KTK MAISHA YAKO YAWE NI NYENYE KHERI NA BARKA TELE ALLAHUMMA AMIIN🙏