Amen,ni faraja ya pekee nimeipata kupitia ujumbe huu,ni siku 1 tu imepita baada ya kuibiwa vifaa vyote ktk ofisi yangu ya ushonaji nikabaki uchi kabisa baada kuibiwa kila kitu ,ujumbe huu umefunga majeraha ya moyo wangu yaliyokuwa yanamwaga damu nyingi