Тёмный

REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO I 

Rev. Dr. Eliona Kimaro
Подписаться 153 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50% 1

IBADA YA MORNING GLORY - THE SCHOOL OF HEALING - 25 OCT 2023.
KICHWA CHA SOMO : KUENDELEA TOKA NGUVU HATA NGUVU.
'' FROM STRENGTH TO STRENGTH ''
NENO KUU: Zaburi 84 : 7
Huendelea toka nguvu hata nguvu, Huonekana Sayuni kila mmoja mbele za Mungu.
"WEKEZA KWENYE UWEZO"
Waamuzi 6 : 14 - 16
1 Samweli 17 : 31 - 40
Luka 19 : 26

Waamuzi 6 : 14 - 16
14 Bwana akamtazama, akasema, Enenda kwa uwezo wako huu, ukawaokoe Israeli na mkono wa Midiani. Je! Si mimi ninayekutuma?
15 Akamwambia, Ee Bwana, nitawaokoa Israeli kwa jinsi gani? Tazama, jamaa zangu ndio walio maskini sana katika Manase, na mimi ndimi niliye mdogo katika nyumba ya baba yangu.
16 Bwana akamwambia, Hakika nitakuwa pamoja nawe, nawe utawapiga Wamidiani kama mtu mmoja.
1 Samweli 17 : 31 - 40
31 Na maneno hayo aliyosema Daudi yaliposikiwa, watu wakamweleza Sauli; naye akatuma mtu kwenda kumwita.
32 Daudi akamwambia Sauli, Asizimie moyo mtu ye yote kwa ajili ya huyu; mimi mtumishi wako nitakwenda kupigana na Mfilisti huyu.
33 Sauli akamwambia Daudi, Huwezi wewe kumwendea Mfilisti huyu upigane naye; maana wewe u kijana tu; na huyu ni mtu wa vita tangu ujana wake.
34 Daudi akamwambia Sauli, Mtumishi wako alikuwa akichunga kondoo za baba yake, na alipokuwa akija simba, au dubu, akamkamata mwana-kondoo wa lile kundi,
35 mimi hutoka nikamfuata, nikampiga, nikampokonya kinywani mwake; na akinirukia, humshika ndevu zake, nikampiga, nikamwua.
36 Mtumishi wako alimwua simba na dubu pia; na huyu Mfilisti asiyetahiriwa atakuwa kama mmoja wao, kwa sababu amewatukana majeshi ya Mungu aliye hai.
37 Daudi akasema, Bwana aliyeniokoa na makucha ya simba, na makucha ya dubu, ataniokoa na mkono wa Mfilisti huyu. Sauli akamwambia Daudi, Enenda, na Bwana atakuwa pamoja nawe.
38 Ndipo Sauli akamvika Daudi mavazi yake ya vita, akamtia chapeo cha shaba kichwani, akamvika dirii.
39 Naye Daudi akajifunga upanga juu ya mavazi yake, akajaribu kwenda; maana alikuwa hajavijaribu. Daudi akamwambia Sauli, Siwezi kwenda na vitu hivi, maana sikuvijaribu. Basi Daudi akavivua.
40 Akaichukua fimbo yake mkononi, akajichagulia mawe laini matano katika kijito cha maji, akayatia katika mfuko wa kichungaji aliokuwa nao, maana ni mkoba wake, na kombeo lake alikuwa nalo mkononi mwake, akamkaribia yule Mfilisti.
Luka 19 : 26
26 Nawaambia, Kila aliye na kitu atapewa, bali yule asiye na kitu atanyang'anywa hata alicho nacho.

Mhubiri : Rev.Dr. Eliona Kimaro
Kwa maoni na ushauri:
Mch. kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053

Опубликовано:

 

25 окт 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 18   
@MeshackMunuo-yc5ji
@MeshackMunuo-yc5ji Месяц назад
Amen 🙌 sn
@nailejilejigabriel180
@nailejilejigabriel180 14 дней назад
Asante mtumishi unatukumbusha barikiwa
@mwajutailor820
@mwajutailor820 23 дня назад
asantee sana Baba napenda sana mahubiri yako
@miriamalute1540
@miriamalute1540 7 месяцев назад
Ameen kubwa
@esterkimambo7234
@esterkimambo7234 9 месяцев назад
Mungu akulinde baba yetu unagusa maisha yetu sana kupita Mungu
@juliuskira
@juliuskira Месяц назад
Amen
@user-rs6lw3hy7t
@user-rs6lw3hy7t 9 месяцев назад
Asante baba 🙏🏿
@piliwisman4016
@piliwisman4016 9 месяцев назад
Duuh yaan ww baba mungu akuweke mahali pa juuu
@veronicasarita8422
@veronicasarita8422 9 месяцев назад
Amen nimepokea kipawa kwa jina la Yessu
@user-si7yn1pg2y
@user-si7yn1pg2y 9 месяцев назад
Kweli kabisaaaaa Mchungaji kimaro
@gipsonbamuhaga2976
@gipsonbamuhaga2976 9 месяцев назад
Nakubaliana na wew Baba...tumechelewa sana.
@reginardtibishubwamu1522
@reginardtibishubwamu1522 9 месяцев назад
Nakupenda xn mchungaji
@EliahMsaro
@EliahMsaro 9 месяцев назад
🎉🎉
@MaryMakongoro
@MaryMakongoro Месяц назад
Habarini ndg zangu mwenye no ya simu ya mchungaji kimaro tafadhali awasiliane naye in box
@agnesmartin9311
@agnesmartin9311 9 месяцев назад
Mchungaji samahani Nini maana ya linguistic
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 9 месяцев назад
Amen
@furahamtweve4222
@furahamtweve4222 9 месяцев назад
Amen
@user-nq2lf2nl8y
@user-nq2lf2nl8y Месяц назад
Amen
Далее
REV. DR. ELIONA KIMARO:  SADAKA NA NADHIRI I
40:08
Просмотров 7 тыс.
LIFE WISDOM: VITU VINAVYOFANYA UNG'AE - JOEL NANAUKA
17:12
REV. DR. ELIONA KIMARO: KUISHI KESHO I
32:34
Просмотров 19 тыс.
REV. DR. ELIONA KIMARO:  BARAKA YA KIVIZAZI
47:26
Просмотров 7 тыс.
REV. DR. ELIONA KIMARO: WEKEZA KWENYE UWEZO II
1:07:39
NDOTO KATIKA UHALISIA  -  PASTOR SUNBELLA KYANDO
47:27
Просмотров 22 тыс.