Тёмный
No video :(

HALI TETE SAKATA LA MPINA NA BASHE UKWELI WAWEKWA WAZI NA WAKILI MOSES 

Ngasa Tv
Подписаться 93 тыс.
Просмотров 28 тыс.
50% 1

Karibu Ngasa Media - Tunatoa huduma Zifuatazo
MEDIA COVERAGE
1.Goverment Events
2.Social Events
3.Documentary
4.Live Streaming
5.Zoom Meting
6.Photo & Videograph
BUSINESS ADVERTISEMENT
#Hotel
#Appartiment
#Restaurant
#Supermakert
#Hall
#Sallon
#New Business
PTINTING
1.Banner
2.Sticker & Flyers
3.Brochures
4.Business Card
5.Graphics Design
6.Logo Design
7.Tshirt Printing
Call Us
0716909567
0766909567
DODOMA

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 52   
@FadhiliMwaitete-ls2li
@FadhiliMwaitete-ls2li 2 месяца назад
Kwa ufafanuzi huu mpina amekosea wapi spika ulitaka tusiyajuwe. Hayaa mlitaka iwe sili yenu nyiye wabunge sasa tupo tayari kwa lolote kumsaidia mpina hilo bunge ni bunge la kutugandamiza watanzania asante mwanasheria kwa kutufafanulia mpina yupo sahihi ccm tuiyondowe madarakani ili haya yasiwepo mpina mungu atakulinda
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
Katika wabunge wote ni Waitara tu ndiye aliyesimama na haki, wengine wote wameterea wizi. Wizi na udanganyifu wa mali za umma. Waitara nimekupenda bure. Asante sana kwa kuzungumuza ukweli. Unalisaidia taifa na Rais. Achana na wabunge thahifu wanaosema tuwaachie Bashe wawo, elimu ndogo. Bashe ni waziri ameajiliwa na Watanzania, na analipwa na kodi za watanzania. Shida tuna wabunge wengi hawajuwi ni kwa nini wako bungeni. Wanakula mishahara ya bure na kulifanya bunge ni mali yawo. Bunge ni la watanzania na jambo hili tunalifuatilia. Kwa niaba ya watanzania Mpina Ana haki ya kumuhoji Bashe. Kątowa ushahidi na Watanzania sio wajinga.
@hakiyangu
@hakiyangu 2 месяца назад
Wanajua sana sababu ya kua bungeni tatizo ni dharau kwa wananchi.
@Mima-cl2im
@Mima-cl2im 2 месяца назад
@@hakiyangukuna siku watanzania watauvuwa uwoga. Watatafuta njia ya kupitia
@RobertGwelela-zq2fr
@RobertGwelela-zq2fr 2 месяца назад
Waitara naye wazee wanamlalamikia jimboni kwake kwa kuwatesa vijana eti kila akikosolewa ni kukamata vijana na kuwatia ndani.Kwa upande wa Kiukweli ameonewa.Kama ambavyo alisema kuwa waziri Bashe ni muongo ilitakiwa Spika awasomee wabunge ushahidi aliouleta Mpina bungeni Kisha Bashe ndio awe anajibu.Hiyo ndio ingekuwa haki,akishaonekana Mpina kamsingizia Bashe ndipo Sasa angepelekwa kwenye kamati ya maadili.
@emmanuelpeter9744
@emmanuelpeter9744 2 месяца назад
Well done 👍 Mr. lawyer, the true freedom is coming, Hawa watu wanatuona kama sisi mambumbumbu na wajinga wa mwisho ila wao ndiyo waliosoma. Shem on them na wanahitaji kulaaniwa kwa kutufanya sisi hamnazo na wao ndiyo wajanja.
@bonifacekalima5273
@bonifacekalima5273 2 месяца назад
Kwa maelezo ya ndugu wakili ,,naamini haki ipo mbinguni,,hapa duniani nikuvunjiana heshima na kutoana roho,,kama vile mheshiwa mpina anavyo sulubiwa kwa kumvujia heshima na wengine wakiwa hawajui Sheria,, zaidi ya kutumia madaraka na kuula za kinafiki.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 2 месяца назад
Asante Wakili kwa ufafanuzi mzuri Mh Bashe na Mh Mwigulu mchunguzwe na msimamishwe kazi uchunguzi ukiendelea na pia msimamishwe kuingia bungeni cku 15
@desiderihugo5704
@desiderihugo5704 2 месяца назад
Asante sana Wakili kwa ufafanuzi mziri . Tunafanyaje na hawa majambazi ???
@rashidabeid172
@rashidabeid172 2 месяца назад
Ili mru achaguliwe kuwa mbunge, ni lazima awe mwanasheria. Wabunge wetu weeengi sasa ni wa kusema tu Ndioooo. Uwezo wao wa kuhoji na kurejea kanuni na miongozo ya uendeshaji wa nchi hawajui. Au kuwe na training za kila mara kuhusu sheria zetu wawapo Bungeni
@EmmanuelErnest-xd1rc
@EmmanuelErnest-xd1rc 2 месяца назад
❤❤❤Asante kaka.tuamuke.
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад
Wakili asante sana kwa ukweli huu uliowazi lakini wenzio tunatafuta fedha za uchaguxi
@ShabaniMukose
@ShabaniMukose 2 месяца назад
Wana sheria happy ndio mnaitajiwa kwenda mahakamani kumtetea ndungu mpina!
@AbdulmujibAhmed
@AbdulmujibAhmed 2 месяца назад
Mabunge yetu haya ya nchi za kiafrica mtu ukiongea ukweli tu unakua mwiba kwa serikali husika mpina alikua mkweli sena ndohivyo alikosa sapota
@aganolamotoeliya2027
@aganolamotoeliya2027 2 месяца назад
Kwa namna hii kumbe bunge ndio limevunja sheria na sio Mpina ila sasa yeye ndiye anayeadhibiwa, kumbe waziri wa kilimo na waziri wa fedha ndio wamevunja sheria na kulidharau bunge ila sasa Mpina ndiye amedhibiwa hili bunge la chama kimoja linaharibu hili taifa ila hakuna chenye mwanzo kisichokua mwisho watakuja isha vibaya sana.
@imaniandrea-ib6fy
@imaniandrea-ib6fy 2 месяца назад
nilini tutapata viongoz wazarendo natutawapataje mana viongoz wengi wanatete vyama vyao tu mim kama kijana mdogo waga naona nikama vyama havina faida yoyote asa kwenye Taifa kama la Tanzania linalojeng watu waumoja tunaposema dini makabila au ukanda najinsia vinagawa watu tusiache vyama pia nichanjo chakugawa watu hivyo cha ama ukabila dini kwatanzania no
@NicolausOnidans
@NicolausOnidans 2 месяца назад
Shukuran kwa ufafanuzi wa sheria
@user-yz1xq8xo8s
@user-yz1xq8xo8s 2 месяца назад
Duuuuuu!!!!!! Mungu tusaidie
@hakiyangu
@hakiyangu 2 месяца назад
Wafanya biashara wa sukari kwa sasa wengi wao ni wabunge na ndio maana hawajali vilio vya wananchi na wanamuona mpina kama adui yao kwa kua anagusa maslahi yao 1kwa1. Mpina amehujumiwa kwa kuwambia ukweli wananchi.
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie 2 месяца назад
Harafu anatokea mpumbavu mmoja amasema mpina apimwe afya ya hakir yeye ndiye anapaswa kupimwa maana kila kitu ndiyo mzee
@user-xq1cx7qg5s
@user-xq1cx7qg5s 2 месяца назад
2025 itatoa majibu halisi ya Utawala bora .Ajira na maisha bora kwa kila mtanzania yanakuja
@MosesMnyantope-zw4ed
@MosesMnyantope-zw4ed 2 месяца назад
Duh
@sospeterwan5436
@sospeterwan5436 Месяц назад
Gwanjima atetea ufisadi kwa kuleta vifungu vya biblia mpina yuko sahihi kaa jua
@rithaurassa
@rithaurassa Месяц назад
Safar viongoz mafisad wajiengue wenyewe kabla hawajaenguliwa.Hakika mim ndionimeona hivyo
@abelchacha5977
@abelchacha5977 2 месяца назад
Nicjangamoto. Mi nasikia kilimo cha umwagiliaji na bajeti kubwa. Ila sidhani kama nimewahi kula nafaka au mchele wowote wa umwagiliaji. Maji hata kwa matumizi ya kawaida ni changamoto. Haya ya kumwagilia inakuaje. Tunahitaji kuelewa sana hiki kilimo na jinsi kinavyofanya kazi.
@ziadasadiki8196
@ziadasadiki8196 2 месяца назад
Tanzania 🇹🇿 nchi nzuri
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 месяца назад
Inamvuto
@upendomokye6803
@upendomokye6803 2 месяца назад
Magufuli mtetezi wa wanyonge tumekukumbuka mno kifo shikamoo
@ShinjeMackenzie
@ShinjeMackenzie 2 месяца назад
Tatizo watanzania hatujitambuwi kanisa ukifika uchaguzi yaani tunakuwa kama tumelogwa tunachaguwa viongozi wa ovyo tu kwa njaa,zetu
@amosdickson6318
@amosdickson6318 2 месяца назад
Umewachagua wewe au walijichagua na mwendazake
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 2 месяца назад
Wabungu wa ccm.ukimtoa gwajima.wengine wote katika jila la YESU kama MUNGU aishisho.awataludi bungeni 2025 wache tu wapge makofi Kwa kutetea ufisadi
@user-ps6wm2qm4f
@user-ps6wm2qm4f 2 месяца назад
Nimeshindwa kuelewa kabisa.Mbunge msukuma mtu anasema kweli na unatetea bila aibu na mnatishia NEC.Hiii c sawa kabisa.
@magrethmbangama1199
@magrethmbangama1199 2 месяца назад
Huyu msukuma mimi nilikuwaga nampenda sana lkn toka kwenye DP WORD alivyo kuwa anatetea kwa nguvu zote kumbe kuna madudu ya kufa mtu nilimtoa maana kabisa.
@ephraimkabeya9648
@ephraimkabeya9648 2 месяца назад
Rushwa hupofusha macho, penye rushwa akili nzuri hushindwa kufanya kazi
@paulmteki8196
@paulmteki8196 2 месяца назад
Tunapoelekea sio pazuri, kwanza sinamuda na bunge kuangalia maana ni utoporo mtu ni watu wa masilayi yao sio wananchi
@VianeMakarious-lt3is
@VianeMakarious-lt3is 2 месяца назад
Nchi hii jamani!!!
@user-lt1bi5nr1x
@user-lt1bi5nr1x 2 месяца назад
Nchi yenye mvuto
@paulnsabi3779
@paulnsabi3779 2 месяца назад
kwa hali hii mpina haponi kwa mkiti simiyu,kamati ya siasa mkoa kamati kuu taifa ukweli hali ya uchumi na bei ya bidhaa ni mbaya inapotokea janga ambalo lilitakiwa lishughulikiwe mapema linashughulikiwa kama zima Moto kupata ujiko
@user-tb4gh1sm9k
@user-tb4gh1sm9k 2 месяца назад
Kaka iyo ndio ccm
@marandoruzali1946
@marandoruzali1946 2 месяца назад
Magu amka nchi hii imeshindikana
@DavidJosia
@DavidJosia 2 месяца назад
BONGO MATAMU
@victorkisenha5933
@victorkisenha5933 2 месяца назад
Wew ni wakili msomi, sio AKINA SPIKA ALIEINGIZWA KWA MCHONGO, SASA KAMA MSUKUMA DARASA LA SABA ANAJUA SHERIA HAWA NDO WAPIGA MAKOFI , MBUMBUMBUUUUU!
@petermboje5839
@petermboje5839 Месяц назад
Nimekuelewa
@user-ze6lx9ng6s
@user-ze6lx9ng6s 2 месяца назад
Awamu ya sita kichaka cha mafisadi
@user-mb8ov2ic1i
@user-mb8ov2ic1i 2 месяца назад
Kwani ninyi amjui kama kuna kifooo????
@imanimahundi8293
@imanimahundi8293 2 месяца назад
Nani msafi awe wakwanza kumpiga mwingine mawe?
@nabiimgongolwa8728
@nabiimgongolwa8728 2 месяца назад
THE BEAUTIFUL ONES ARE NOT YET BORN......IT DOES NOT MEAN THAT THE BEUTIFUL ONES ARE NOT BEING BORN NO, BUT THEY ARE POLUTED BY CORRUPT SYSTEMS.....2025 IKO KAZI TENA KAZI KUBWA.
@user-kz5en5tq2z
@user-kz5en5tq2z 2 месяца назад
Hili bunge walipita kibabe, sasa aliye wabeba katangulia. Patachimbika 25 nyie tufanyeni hatunazo!!
@rahimsadru-ct4ot
@rahimsadru-ct4ot 2 месяца назад
Watabebwa tena
@SaleheMkomwa
@SaleheMkomwa 2 месяца назад
SELEKALI YA UKWELI ILIKUA YA ANKO MAGU BWSNA YAANI TUMEUZIWA SUKARI BEI KUBWA KISA WANAPIGA HELE WAO NA WABUNGE WANAKUA UPANDE WA KULE CC TUTUMIE KILO 6000
@user-gc1ez1yv4k
@user-gc1ez1yv4k 2 месяца назад
Spika unajifanya shera ni malli yako binafsi.Umeyakanyaga wewe na genge lako mtajuta .
Далее
small vs big heart 💖 #tiktok
00:13
Просмотров 5 млн
Cristiano Ronaldo Surpassed Me! #shorts
00:17
Просмотров 11 млн
Mpaka Home MAISHA HALISI YA AFANDE SELE NA UTAJIRI WAKE
22:55
small vs big heart 💖 #tiktok
00:13
Просмотров 5 млн