Тёмный

WAREMBO WANNE WAMUWASHIA TAA MR RIGHT | AFANYA MAAMUZI MAGUMU | SUZI BALE AMPA ONYO MR RIGHT 

ST BONGO TV
Подписаться 169 тыс.
Просмотров 102 тыс.
50% 1

►Instagram / stbongotv
►TikTok / stbongotv.tz
►Facebook / stbongotv
►Twitter / stbongotv
ST BONGO TV Channel 401 (Dish) 161 (Antena) on Startimes Decoder

Опубликовано:

 

15 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 107   
@joycehaule9717
@joycehaule9717 4 месяца назад
Hahahahahhahahahahahahahaaaaaaa nimecheka sanaa NAMPENDA SUZY BALE
@EdwardKimeli-k8t
@EdwardKimeli-k8t 9 дней назад
Naomba number ya mmoja❤ nimwaoe natoka Kenya
@MaxwellLegnardoElias
@MaxwellLegnardoElias 4 месяца назад
Janet i know you from dodom city,hanet village god bless you
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 4 месяца назад
Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂
@pamelafelix6361
@pamelafelix6361 4 месяца назад
Ila uyu kaka si alishawahi kuja apa na aliondoka na yule dada mwenye dred kichwani😢😢😢😢😢😢😢😢😢nimelia sana
@DanielYusto
@DanielYusto 4 месяца назад
Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.
@DanielYusto
@DanielYusto 4 месяца назад
Kweli kabisa, aseee hii inafikirisha. Inawezekana huyu jamaa ndio tabia yake. Sintashangaa kumuona hapo tena.
@bhokesaid3264
@bhokesaid3264 4 месяца назад
Wanaigiza hao hakuna hata1 aliyeserious wote ukiwaona huku siku kadhaa utawaona kwenye comedy,music,tangazo na chochote so not serious
@Official83640
@Official83640 4 месяца назад
Kwani inakuwaga kweli na maigizo tu hayo ht Mwijaku aliwahi kusema unaowaona hapo wote km wanalipwa tu kuendesha kipindi lkn hamna ukweli wowote
@AbdulDc-oc7ps
@AbdulDc-oc7ps 4 месяца назад
Ndio yy
@asmoretune
@asmoretune 4 месяца назад
sifuatiliii tena huu ujinga yaan huyu bro alishatokaga nademu wake apo ety kaja na mnamruhusu kuchagua tena kwaio mnatufundisha nn apo ni mahali pakuchukua wanawake kwa muda sindyo😭 idont expect that
@NeemaMunishi
@NeemaMunishi 4 месяца назад
😢huyu mdada 🙌💔si anaenda kwa lennie beauty Store au sio yy
@LidiaElias-k6b
@LidiaElias-k6b 2 месяца назад
Jaman
@MariaMagele
@MariaMagele 4 месяца назад
Huyo naumbile lake alivyo mnene kigauni kifupi
@SelemanMilumba
@SelemanMilumba 3 месяца назад
Nampenda sana suzi sitamani aondoke
@sammyzumesh8162
@sammyzumesh8162 4 месяца назад
Na mkuwe na mbwembwe ka Mr right ya Kenya😂😂😂😂
@habi78121
@habi78121 4 месяца назад
show za kistarabu so km kwenu kenya fujo tu mwanzo mwisho😂😂😂😂
@subrynerysegerow1323
@subrynerysegerow1323 4 месяца назад
Kwenu wamechanganyikiwa yani wanawake wenu jeuri😂😂😂
@user-xr6xk9lb5c
@user-xr6xk9lb5c 4 месяца назад
Watu wanajiheshimu tu. Bwebwe za nini?
@bintsaid7696
@bintsaid7696 4 месяца назад
​@@habi78121😂😂😂ila watu wangu WA +254 Wana npunga banaa Ile ya ma ex walipo kutana😂😂😂😂😂
@poulmbogo1770
@poulmbogo1770 4 месяца назад
Msenge tu huyu jamaa nimejua kipind cha ovyo kabisa kama ushakuj na kuchukua dem inakuaje urud tena kwanza ni kipind cha kujitangaz maan madem wengi waliopita nawaoan wanaigiza igiza vichekesho wengine wapo na akina ndaro wengine jua kali wengine sijui vikatuni mpka hapo nikajua kwamba hawa wapo kujitangaz wapate fursa za usanii usanii maigizo ya tamthilia soon mtamuona eliz nae anaigiz subilini
@FatumaNurdin-ob7br
@FatumaNurdin-ob7br 3 месяца назад
Uyu dad s alkua kwenye kipnd cha mr uk na uyo bwan wamejfanny wameachan kumbe waongo shenzeiiii
@KigorofaniKigorofani
@KigorofaniKigorofani 4 месяца назад
Janeth❤
@reginamtitu5592
@reginamtitu5592 4 месяца назад
Aenderee Suzi kuwepo kwenye jukwaa
@soniamarther5937
@soniamarther5937 4 месяца назад
Mkuwe mna tuwa full video please
@iddydanna6641
@iddydanna6641 4 месяца назад
Big yash😂
@LovelyCoastline-il1lr
@LovelyCoastline-il1lr 4 месяца назад
Suzi unaongea mpaka unakera sasa unakuwa kama gigy money
@brunoh_bx
@brunoh_bx 3 месяца назад
Inaonekana urefu ni deal, mimi na ufupi wangu huu nahangaika wee kupata mwanamke wa kuoa sipat lakin mwamba wanawake wote wanne wanamtaka😮😅🙌
@innocentkanyata9923
@innocentkanyata9923 4 месяца назад
Sasa ya nini kumkasilikia mtu? Huyo Bibi mtoen hapo
@Sara-iz2nr
@Sara-iz2nr 4 месяца назад
Suzi namupenda ❤❤❤
@Hajer-be2kh
@Hajer-be2kh 3 месяца назад
Huyo dada aliechaguliwa nimemuona kwenye interview na Mr uky tena alisema ameachwa na bwana bila kujua na walikutana hapo Mr right walidumu km miezi mitatu 😂😂😂 kwaiyo atakua kurudi tena hapo
@salmakasim8390
@salmakasim8390 3 месяца назад
Sindio na me nashangaa nimemuona pia anajiita fay momo
@user-rk7iw5mw8z
@user-rk7iw5mw8z 3 месяца назад
C ndio apo kwa Mr right anajiita Lisa kwa Mr uky anajiita faymomo duh dunia Ina watu wa ajab kbx
@MchelliLaizer
@MchelliLaizer 3 месяца назад
Me mwenyewe nashangaaa
@FATUMACHIPYANGU
@FATUMACHIPYANGU 4 месяца назад
Uyo mkaka alishawahi kuja apo mbona😮
@danielmllay8332
@danielmllay8332 3 месяца назад
😅
@YazrinKajia-rk8fc
@YazrinKajia-rk8fc 3 месяца назад
Jamani huyo Suzy anaboa mtoeni kwenye kipind, mdhalilishaji bwana hachagui maneno yakuongea watu watajiskia vibaya isee
@farajangwema4663
@farajangwema4663 3 месяца назад
Jamani huo ni uchumba sio ndoa so wakimech tabia wanaendelea wasipo mech wanaachana akimpata wanaemechi wanafunga ndoa
@MchelliLaizer
@MchelliLaizer 3 месяца назад
Alafu uyu si alibadisha jina akaijiita fey momo huku anaitwa jina lingine uyu dada mcharuko
@stellakatana3643
@stellakatana3643 3 месяца назад
Kabisa n huyo😅kumbe umeona kama mm
@devotamutayoba9373
@devotamutayoba9373 4 месяца назад
Suzi arudi mtaani tu
@upendoeliya9329
@upendoeliya9329 4 месяца назад
Yaani anachamba km ugomvi!!!😮
@NsiaNdanshau
@NsiaNdanshau 4 месяца назад
Jane njo najambo naww sio kwa uzuri wako embu njoo
@N254NK
@N254NK 4 месяца назад
Yani no one has chosen that chic in green
@deecokujory
@deecokujory 3 месяца назад
Et sahv wameachana duh mapensi konyoooo
@user-vi3ck1cw3h
@user-vi3ck1cw3h 4 месяца назад
SUSY HAFAI ANAONGEA SANAAA😮
@user-sn4fu7hd6u
@user-sn4fu7hd6u 3 месяца назад
😂😂😂suz jaman punguz kuongea bas
@Patrisha600
@Patrisha600 3 месяца назад
Wameachan kidaa bidad anachat na ex wang inakeraa kwa kwel. Boraa angeondok na sindelelaa ndoa ingekuwepoo😄😄
@Officialrockzompa
@Officialrockzompa 4 месяца назад
Suzy baleee😂
@rachelpatrick3749
@rachelpatrick3749 3 месяца назад
Mtoenii Suzy bale anaongea sanaaa
@RehemaMwampashi
@RehemaMwampashi 4 месяца назад
Kamchukua na kamuach
@hasanatykhamis
@hasanatykhamis 3 месяца назад
Suzi anaongea haid kunachangamka 😅
@deborahmollel3170
@deborahmollel3170 3 месяца назад
Huyo mwanamama apunguze maneno inaboa kipindi
@user-kp8bp3em7v
@user-kp8bp3em7v 3 месяца назад
NAONA KAMA MOVE TU KILA MARA NAONA WAKINDOKA NA KURUDI SASA SHIDA INAKUA NI NINI? WALIOOLEWA TOKA KWENYE JUKWAA LA MR RIGT MTUPE NA TAARIFA ZAO NA WATOTO JAMEN
@FadhiliMbise-jo3vr
@FadhiliMbise-jo3vr 4 месяца назад
Mama agness kasha aribu nyota ya mwanae
@AbdulDc-oc7ps
@AbdulDc-oc7ps 4 месяца назад
Kama awana watu wapya si waseme mpaka arudie mwamba uyo
@kissageorge3987
@kissageorge3987 4 месяца назад
Mi tu hiyo brauzi ya haria uwiii hadi aibu
@lyidiajuakaly3335
@lyidiajuakaly3335 3 месяца назад
Wameshaachana tayari hawa🤣🤣🤣🤣 nyie
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 4 месяца назад
😂😂😂 hii nayo n aina ya umalaya wa kidigital yn wa kixomi 😂 mnajiuza kisasa dah
@Mail-z5q
@Mail-z5q 4 месяца назад
Ukweli usemwe tu
@user-ch2it3qt5z
@user-ch2it3qt5z 4 месяца назад
Hahaha et ukwl usemwe
@christainc.5217
@christainc.5217 4 месяца назад
❤❤
@pilselman2955
@pilselman2955 4 месяца назад
Kwan Eliza na na zalisha wako wp jaman maan mie sijanglia sikunying
@MariyaChaki
@MariyaChaki 4 месяца назад
Hhhh ata mmi nimejiuliza wapi wapi au wamejiondokea soko gumu
@MariyaChaki
@MariyaChaki 4 месяца назад
Hh mienyewe najiuliza
@paschalmichael9744
@paschalmichael9744 4 месяца назад
Lucy
@JeremiaNanyaro
@JeremiaNanyaro 3 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😢😢😢😢😢
@maryamedi9141
@maryamedi9141 4 месяца назад
Hyu kaka alikujanga akapata na mchumba mbon tena karudi
@Mail-z5q
@Mail-z5q 4 месяца назад
Ni kumega na kuacha hiyo
@pamelafelix6361
@pamelafelix6361 4 месяца назад
Si ndo nashangaa jaman....watu mna kumbukumbu aisee😂😂😂
@maryamedi9141
@maryamedi9141 4 месяца назад
@@Mail-z5q 🤣🤣🤣
@maryamedi9141
@maryamedi9141 4 месяца назад
@@Mail-z5q duuh hatri
@user-wd2bc7bf5x
@user-wd2bc7bf5x 4 месяца назад
na huyu ameshamuacha eti kamwambia ana safiri mawasiliano hamna nimetoka kuangalia mahijiano kwa yule mwenzake na kiredio huyu dada anaajita sijui nan momo
@DariusKasitu
@DariusKasitu 4 месяца назад
Icho kipindi wanatafuta tu ustar hamna lolote
@Salimuyusufu
@Salimuyusufu 4 месяца назад
mbona kama huyu jamaa amerudi mara ya pili
@nancyg8664
@nancyg8664 4 месяца назад
😂kumbe nawewe umeona eee,yan nikajiuliza mbona kama nimewahi kumuona humu
@sophsoph4740
@sophsoph4740 4 месяца назад
Mi mwenyewe nimeshangaa
@joyce55727
@joyce55727 4 месяца назад
Ndio yeye kalud
@pamelafelix6361
@pamelafelix6361 4 месяца назад
Nimeshangaa Sana....alaf na izo bigG zake anatafunaga kama ng'ombe aliyecheua😤😤😤
@mercychepteekilovethismovi912
@mercychepteekilovethismovi912 4 месяца назад
Hata mi naona hivo
@celinamputacelinamputa3577
@celinamputacelinamputa3577 4 месяца назад
Saivi washa achana
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 4 месяца назад
Suzi nae anajichetua Sana 😂 Garab hapend kuambiww tunaondoka wote😂
@AlbinMsechu
@AlbinMsechu 4 месяца назад
😂😂😂 Gara B hatak kabisa kuambiwa ivo😂😂
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 4 месяца назад
@@AlbinMsechu 😂😂😂
@restypeter1141
@restypeter1141 4 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂 Yani macho yamtok​@@AlbinMsechu
Далее
МАМА И КОММУНАЛКА
00:59
Просмотров 118 тыс.
SENGA NA PEMBE KWENYE CHEKA TU
12:19
Просмотров 1,2 млн
KADO - Oga@DTop  (Official Music Video)
7:39
Просмотров 3,8 тыс.