sifuatiliii tena huu ujinga yaan huyu bro alishatokaga nademu wake apo ety kaja na mnamruhusu kuchagua tena kwaio mnatufundisha nn apo ni mahali pakuchukua wanawake kwa muda sindyo😭 idont expect that
Msenge tu huyu jamaa nimejua kipind cha ovyo kabisa kama ushakuj na kuchukua dem inakuaje urud tena kwanza ni kipind cha kujitangaz maan madem wengi waliopita nawaoan wanaigiza igiza vichekesho wengine wapo na akina ndaro wengine jua kali wengine sijui vikatuni mpka hapo nikajua kwamba hawa wapo kujitangaz wapate fursa za usanii usanii maigizo ya tamthilia soon mtamuona eliz nae anaigiz subilini
Huyo dada aliechaguliwa nimemuona kwenye interview na Mr uky tena alisema ameachwa na bwana bila kujua na walikutana hapo Mr right walidumu km miezi mitatu 😂😂😂 kwaiyo atakua kurudi tena hapo
NAONA KAMA MOVE TU KILA MARA NAONA WAKINDOKA NA KURUDI SASA SHIDA INAKUA NI NINI? WALIOOLEWA TOKA KWENYE JUKWAA LA MR RIGT MTUPE NA TAARIFA ZAO NA WATOTO JAMEN
na huyu ameshamuacha eti kamwambia ana safiri mawasiliano hamna nimetoka kuangalia mahijiano kwa yule mwenzake na kiredio huyu dada anaajita sijui nan momo