Тёмный

HOTUBA NZITO YA LISSU, AMVAA WAZIRI BASHE, ATAKA AJUZULU KWA MAZITO YA MPINA, USHAHIDI WATOLEWA 

Mwanzo TV Plus
Подписаться 166 тыс.
Просмотров 34 тыс.
50% 1

#TANZANIA: Lissu atoa hotuba nzito Itigi Manyoni Magharibi, amvaa Mbunge wa Jimbo hilo bila huruma, adai alipata kura mbili akakimbilia huko, amvaa Bashe kwa tuhuma za wizi wa mabilioni sakata la sukari, amtaka Rais Samia amfukuze Uwaziri haraka, aungana na Mpina, ushahidi watolewa.
Zaidi: • HOTUBA NZITO YA LISSU,...
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RU-vid Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 102   
@EdwardJonas-og9xi
@EdwardJonas-og9xi 2 месяца назад
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Месяц назад
Amka usijidanganye mwenyewe
@sulaimanmallecha6134
@sulaimanmallecha6134 День назад
Asante sana mh lissu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@abdalahgunda1319
@abdalahgunda1319 2 месяца назад
Vuteni team zote muhimu ktk chadema hatuangalii chama tuanaangalia uwezo mkubwa wa mwana siasa vyma having tija kwetu tena km ni sera vyama vingi vina sera nzuri lakini Wana siasa wabovu ktk vyama hata ccm lna sera nzuri lakini Wana siasa wabovu ktk serekali na chama uongo mwingi kuliko haki
@robertphilip385
@robertphilip385 2 месяца назад
Halafu uteuliwe wewe au pelaka uchawa wa ccm huko
@hassanrwitita2503
@hassanrwitita2503 2 месяца назад
Mfano ni ccm wanaolimdwa na mwenuekiti wa chao labda ndio waliokufunha akili Chadema hayo mambo hayapo mfano ni halmashauri nyingi zilizokuwa na upinzani hasa Chadema zilisimamiwa vizuri kama serikaliningekuwa makini Leo tusingekuwa tunaongea ugoro kama huu ulioandika
@ceciliamagalabajimmy4391
@ceciliamagalabajimmy4391 2 месяца назад
Asiyeelewa elimuaitowayo Tundu Lissu huenda ni taahira. Mungu akubariki na kukulinda Lissu.
@rogersiddy
@rogersiddy 2 месяца назад
Tena tahira aliekunywa maji ya bendera ya ccm au chawa wa CCM
@joshuarose6756
@joshuarose6756 2 месяца назад
Dah Ndio Tanzania yetu hiyo 😢
@saidmakombeni5155
@saidmakombeni5155 2 месяца назад
Kauli za vitisho na matusi mnapenda sana chadema, jifuzeni style ya Zitto hoja bila matusi🙊
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl 2 месяца назад
40:27 Hakuna tusi lolote hapo ktk yote aliyosema Mh. Lisu. Ameongea ulweli mtupu hivyo kama umeguswa na huna mchango wa maana kwa wananchi tulia acha kupotosha ujumbe wa Mh. Tundu A. Lisu
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Месяц назад
@@TNgwale-eu3xlmheshimiwa wa wapi kama hata yy hajiheshimu
@TNgwale-eu3xl
@TNgwale-eu3xl Месяц назад
@mzalendomzalend inawezekana uwezo wako wa kuchambua na kuelewa mambo ni mdogo sana; au unajitoa ufahamu kwa sababu zako binafsi na wala huna uzalendo wowote.
@EdwardJonas-og9xi
@EdwardJonas-og9xi 2 месяца назад
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania 7:09
@user-cg7ix9yg1m
@user-cg7ix9yg1m 2 месяца назад
Watanzani chawa wanatumaliza Tuwakatae! Tumechoka
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 Месяц назад
Jambo Moja jema kwa Mh Lissu ni mtu mmoja mwenye Upendo na Anaunga mkono Kila mwenye nia njema na Taifa hili bila kujali Mwelekeo wa mtu kisiasa
@bukurunestory3540
@bukurunestory3540 Месяц назад
❤❤❤Sana
@evelynmwaimu-vd9jo
@evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад
Ccm basi imetosha jamani
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 месяца назад
Dorothy Msuya pamoja na kebei zako kujifanya umjuaji unavyomkebei na kumtusi Lisu,hujui kuwa kipenga cha kampeni bado,ndiyo maana Lisu na wengineo hawawezi kusema wakiwa rais,Mbunge diwani watawafanyia nini watanzania.Unatakiwa kujua hilo muda wa kampeni bado.
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Hata kipenga kikilia hatoboi! Kwani zaidi ya kuropoka amewahi kumsaidia nani! Msijizime data jamani! Samia anatosha!! Heshimuni mawazo ya wenzenu!!
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Mimi binafsi sioni anachonisaidia! Kama mnampenda mpendeni! Mnataka apendwe na wote kwani yeye pesa???
@rogersiddy
@rogersiddy 2 месяца назад
Bashe anajifanyaga anakaza sana pia anajifanya mjuaji lkn mjanja mjanja sana na hili tatizo halitoisha km hatujachukua maamuzi ya kuwaweka pembeni
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Месяц назад
Na chadema wakimruhusu huyu jamaa kugombea kiti chochote mjue hapati ng’oo
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 месяца назад
Shida bungeni tumejaza wafanyabiashara wengi asilimia wote tulikatae hili kila sehemu ukigusa mbunge yupo anatetea sehemu yake
@MAFUNDISHO1
@MAFUNDISHO1 Месяц назад
Swala la aridhi ....tukicheza nazo siku zijazo itatuletea shida ....hasa aridhi za vijiji
@prospermalala6636
@prospermalala6636 2 месяца назад
IQ kubwa inawatesa Sana CCM, unafundisha elimu kubwa sana ndani ya Taifa letu Tanganyika, elimu iliyopotea imeanza kuwaingia watanganyika waliowengi wameanza kuyaelewa anayofundisha ❤❤❤❤❤❤
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 2 месяца назад
Ccm ilishakufa na magufuri, lililobaki ni kundi la waporaji wa raslimali za watanganyika, na wamepiga matrion ya pesa!, wananunu hadi wachezaji na wana miliki timu , mara kila goli, milion kadhaa , sasa hivi tumaini letu ni Lisu, madeleka, mpina, mwabukusi, heche lema, maombi yangu MUNGU wa mbinguni walinde watu hawa, ni zawadi tuliyopewa na MUNGU
@huyu1993
@huyu1993 2 месяца назад
Mpuuzi wewe zawadi uliyopewa na Mungu ni pumzi peke yake
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 2 месяца назад
@@huyu1993 wewe ndiye mpuuzi na mvimba macho agent wa wezi
@akilibinaisa1196
@akilibinaisa1196 2 месяца назад
Usimsahau Dr silaa nae anatupambania
@user-xs3ko8pg2g
@user-xs3ko8pg2g 2 месяца назад
@@huyu1993 wewe ndiye mpuuzi chawa wa ccm
@EdwardJonas-og9xi
@EdwardJonas-og9xi 2 месяца назад
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 2 месяца назад
Mungu ulie kila mahali unaona kila kitu. Uwalipe mishahara yao.
@alexanderkisinini9376
@alexanderkisinini9376 2 месяца назад
Mkuu wa majeshi alisha toa tahadhari kuhusu watu wahamiaji kupewa madaraka.
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 2 месяца назад
Sio wakati wa kampeni na kutoa sela.bali ni kuelemisha watu.kama hutaki kusikiliza kalale au kazibe masikio unanyonywa na huku una cheka cheka.achana na uchawa
@DamasMwakipesile-qm1nc
@DamasMwakipesile-qm1nc 2 месяца назад
Mmh! Mungu ingilia kati Tz
@rogersiddy
@rogersiddy 2 месяца назад
Amina🙏
@evelina9621
@evelina9621 2 месяца назад
Naomba.chedema.muwe.pamoja.kujenga.inchi.pamoja.na.maendeleo.mbowe.tukuomba.mshikamano.viongozi.wote.afrika.nia.moja.tunakusihi.ww.ndiye.mwenyekiti.mungu.akupe.hekima.mengine.hakuja.chedema.juuuu
@mauamkamba4906
@mauamkamba4906 2 месяца назад
Lissu naomba ujipatie ulinzi binafsi, nje ya ulinzi ulionao wa chama. Utanikumbuka
@umlaith5202
@umlaith5202 Месяц назад
Nenda zako wewe Mzee Mambo ya Bunge hayajakuhusu,,,
@generosennko8343
@generosennko8343 2 месяца назад
Kweli. Mnahitaji mabadiliko. Hivyo chagueni chama kingine. Chama tawala kimeonyesha dalili ya kuchoka sana. Itigi amkeni
@healingsschool4630
@healingsschool4630 2 месяца назад
Lisu washauri watu wafanye kazi ni wavivu sana hao niliwapa kazi ya kulima wakashindwa ikabidi nikachukue vijana Arusha
@user-xx1je7sy4h
@user-xx1je7sy4h 2 месяца назад
Mpina siyo wazir lisu
@LaizerSaitoty
@LaizerSaitoty 2 месяца назад
Huna lolote ulimpinga magu saiv unaongea nn
@abeidmayanga809
@abeidmayanga809 2 месяца назад
Komaeni cc tumeichoka
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq 2 месяца назад
Tumechoka ccm tumeshituka walaji hao
@VictorNgosi
@VictorNgosi 2 месяца назад
Dawa ni kulinda Kila hii habali tukipiga Kila tunarudi nyumbani harafu wanaiba hapo nd'o kusa
@FrankMwakatundu-cu6bd
@FrankMwakatundu-cu6bd 2 месяца назад
Ndugu yangu Victor Ngosi nakupongeza sana, Kwa MAONI yako mazuri Sana, ninayapenda Sana. Tukifanya hivyo yaani tupige Kura na kuzilinda Kura hakika tutashinda.
@LaizerSaitoty
@LaizerSaitoty 2 месяца назад
waambie watu wafanye kazi acha porojo mzee
@shabanseif5774
@shabanseif5774 Месяц назад
Yaani sukari ilifika 11,000 bashe kapambana wameagiza sukari nje mpaka tunanunua 2300 halafu bado mtu anasema mwizi huyu tayari amefika mwisho
@frankpaulofrank9302
@frankpaulofrank9302 Месяц назад
Mzee unazingua kumuvhafua bashe niwatu wachache sana kama Beshe waminivu kama mbunge wangu wanzega nakuombatu cheza na pande zako sipendi maneno yako nakuchukia sana hujui hata kuogea huna maneno matamu wala kwa wananchi huleti faida zaidi ya kuvuruga
@mzalendomzalendo2567
@mzalendomzalendo2567 Месяц назад
Hana mpya huyu mgonjwa anatafuta pesa za napi kibaraka wa wazungu,
@mozesjoseph7630
@mozesjoseph7630 2 месяца назад
Mheshimiwa. Risu. Mbona. Hamzungumuziii. Wakurima. Sasa. Hivi. Mazao. Hayana. Bei. Kabisa. Wakurima. Tunariya sana. Yani sana. Tunariya. Mazao. Hayana. Beii. Kabisa tusaidie. Utusemee
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 месяца назад
Endereea tu kuriaaaa hadi Risu asikie kirio chakoo
@emanuelmwakamisa2511
@emanuelmwakamisa2511 2 месяца назад
Hapo kwa serikali ya ccm watamchukia Mpina na sio Bashe
@LusajoKabuka
@LusajoKabuka 2 месяца назад
Sasa mbona cdm nkama Cha Cha mtu au Cha family baba unapont za nguvu nakutufumbua macho
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 2 месяца назад
Kwa mtazamo wako.wewe hao waliotawala na watoto wao natawala tena huwaoni kwamba nchi inatawaliwa kimtandao wa kikundi nafamlya .???wewe unaona chadema ??pole punguza uchawa 😅😅😅😂😂😂
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад
Mpina sio wazir we kenge!! Chiba weeeeee!!
@mauamkamba4906
@mauamkamba4906 2 месяца назад
Ukubwa wa kalio lako linazidi ukubwa wa ubongo wako
@SaidAlly-uh4qw
@SaidAlly-uh4qw 2 месяца назад
Vp maandamano yameishia wapi? Vp katiba ineishia wapi? Mbowe mbona yupo kimya? Anaonekana lissu peke yake? Naomba nijibiwe
@EdwardJonas-og9xi
@EdwardJonas-og9xi 2 месяца назад
Wewe jembe la watanzania wote
@user-bz5gl7nb4m
@user-bz5gl7nb4m 2 месяца назад
Yani ni hasara inchi ilivyo
@edsonleonci5113
@edsonleonci5113 2 месяца назад
Bashe asijekuwa anapigwa vita maana kwa wale wakulima wa kahawa wanaweza kunielewa Kahawa kwa sasa imepanda kutoka 1500/= kwa kg na kufika 5600/= kwa kg Korosho bei imepanda maradufu … na ufuta pia
@othmarluwawilo8308
@othmarluwawilo8308 2 месяца назад
Wooote wanaoichagua ccm sasa ni mavi, waliokosa kujitambua.
@AminoKhalif
@AminoKhalif 2 месяца назад
Wewe lisu acha fitina
@LaizerSaitoty
@LaizerSaitoty 2 месяца назад
waambie watsup wafanye kazi acha porojo zako mama mitano teno tumeamua sisi wa tz wasalendo wote
@tobiasimruma703
@tobiasimruma703 2 месяца назад
Hiv wewe una akili kweli
@lucaschisamalo2852
@lucaschisamalo2852 2 месяца назад
Mheshimiwa kama Abdul anahusika mama hapo hawezi kuchukuwa maamuzi
@ChristerKoku
@ChristerKoku 2 месяца назад
Wakulima wa kahawa Kagera wanapangiwa namna na bei ya kuuza kahawa yao.
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 месяца назад
Mnaenda upepo hii ilikuwa Point za mpina
@HenryKasaje-on4xq
@HenryKasaje-on4xq 2 месяца назад
Ccm wapumbavu sana sukali za nje bei ndogo mm nipo boda Zambia ila ata ukiwa nakilo5 unaenda mby mapolis wanakuzingua
@healingsschool4630
@healingsschool4630 2 месяца назад
Ufisadi hauletwi na mfumo . Unaletwa na mtu mmoja mmoja mwenye tamaa." Kila mtu atauchukua mzigo wake mwenyewe" ccm kuna watu wazuri na wabaya hata chadema nako kuna wazuri na wabaya. Mama anajua kutafuta pesa nje ndo maana nampenda, Lisu unajua kulalamika hao unaowahutubia hawajui kutumia Ardhi ndo maana pesa hawana. Wafundishe kushirikiana kutafuta pesa kama wanavyofanya Linda na Mtwara. Uwatafutie masoko huko Ulaya na ubelgiju unakoenda kulalamika. Nachukia saana kuwa Rais na kiongozi wa watu masikini hata Mwenyezi Mungu hapendi, Ndo maana imeandikwa " Tutakopesha wala hatutakopa" Kumbukumbu 28. Umaskini ukiongezeka kakope kahemee nja kama Abraham, Isaka na Yakobo wavyokua wanaenda kuhemia nja Misri , Babeli nk.
@illomowerner7690
@illomowerner7690 2 месяца назад
Sasa akatafute masoko wakati wako tuliowapa MADARAKA wakatafute masoko kwa niaba yetu na tunawalipa? Kwa ujinga wa kitoto huu kwenye mambo ya msingi sana ya umma hatuwezi kupiga hatua, lazima tuache mihemko na ushabiki wa kijinga kwenye vital issues...Hilo la wananchi kuwajibika kazini sawa ila si la masoko kwani wapo wanaolipwa for that...halafu achana na kichaka cha eti tunaangalia mtu na udhaifu au uimara wake na si chama, na UNASHADADIA kuwa eti kote CCM na CHADEMA wazuri na wabaya wako. Umesahau kwingine hao waovu hawawajibishwi na CDM wanawawajibisha wale wanaohujumu maslahi ya umma, that's why nasisiza, TUSIJIFICHE kwenye kivuli cha cha eti kote wabaya, tunataka ambako wabaya wanashughulikiwa kwa maslahi ya umma
@LazaroMwakasege-bh5en
@LazaroMwakasege-bh5en 2 месяца назад
Kamanda Yuko pamoja
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 месяца назад
Huna agenda,umekaa kiumbeaumbea na kudandia hoja.Tayari ushadandia hoja ya Mpina ambayo hata haijaanza kufanyiwa kazi bungeni.Looh hapa tunaye kiongozi kweli
@albinusmkono5887
@albinusmkono5887 2 месяца назад
Wewe hujitambui.huna hoja unalipuka ama kuibuka.bila kujitambua .na wewe ndie una damdia. Sio lisu tunazungumzia maslahi mapana ya nchi.bila kuangalia Chama tunaangalia hoja.wa Chama chochote akitokea anatetea taifa lazima tumuunge mkono.kwa nguvu zote.sasa mpina ni mwanchi mzalendo kwa nn lisu asiongelee hoja yake.???wewe bumunda kama huna hoja kaa kimya chawa mkubwa
@SaugoNdemo-tx4le
@SaugoNdemo-tx4le 2 месяца назад
Tunayaona...lakini ukiwa upande fulani huwezikuona!
@user-jl5uh1xq9f
@user-jl5uh1xq9f 2 месяца назад
Wewe ccm acha kumpinda lisu.lisu anajuwa nn maana ya maisha.sio nyinyi ccm achumia tumbo.mwaka huu ndo mwisho kwenu
@MataighaTiro
@MataighaTiro 2 месяца назад
Daaa inatisha
@LazaroMwakasege-bh5en
@LazaroMwakasege-bh5en 2 месяца назад
Wenzetu wanaiba sisi tunachekelea
@iam_maglan101
@iam_maglan101 2 месяца назад
Chadema nani 😂
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
Yaani umekaa kudandia hoja! Mbona husemi ukiwa raisi utafanyaje ili hayo unayoimba yaishe? Huna uwezo wa kuongaza Tanzania 🇹🇿 wewe piga kelele na wanyaturu wenzio! Kutwa kudandia hoja sera huna tena huna kabisaaa! Ndio maana ccm wanakuchora tu ujimalize mwenyewe!😂😂😂
@IsayaSosolo-nx8zk
@IsayaSosolo-nx8zk 2 месяца назад
Kampe yako ndipo uwezo wake utaujua pumbavu wewe ni mjinga
@josephwilliammnyune5464
@josephwilliammnyune5464 2 месяца назад
Unamsema Tundu Lissu. Umeyasikia aliyoongea sheikh Ponda? Jitafakari.
@SaugoNdemo-tx4le
@SaugoNdemo-tx4le 2 месяца назад
CCM NI TAABU TUPU..NA UKIWA MSEMA UKWELI..UNAAMBIWA HUNA MAADILI.
@robertphilip385
@robertphilip385 2 месяца назад
Haya majitu ya akina msuya niwasomi lkn yamelishwa lumbwata la ccm Yako kama majinga
@dorothmsuya1686
@dorothmsuya1686 2 месяца назад
@@robertphilip385 Acha kuongea kama umekula wewe! Wewe ni nani mpaka unipangie cha kuongea! Hebu pita kule achana na mimi mjinga mmoja we! CCM NO 1! TAPIKA SASA!
@EdwardJonas-og9xi
@EdwardJonas-og9xi 2 месяца назад
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania
@richardhoseni2643
@richardhoseni2643 2 месяца назад
Kama hizi finding ni za kweli !!!!!!! je mwenye nchi upooooooo na kama ndivyo kuna siri gani nyuma ya pazia !!!!!! Hivi mnaohusika na haya mnafikiri mtaishi salama huku chini maisha magumu namna hii alaf kikundi cha watu wachache wanainjoy !!!!!!!
@EdwardJonas-og9xi
@EdwardJonas-og9xi 2 месяца назад
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza
@mozesjoseph7630
@mozesjoseph7630 2 месяца назад
Mheshimiwa. Risu. Mbona. Hamzungumuziii. Wakurima. Sasa. Hivi. Mazao. Hayana. Bei. Kabisa. Wakurima. Tunariya sana. Yani sana. Tunariya. Mazao. Hayana. Beii. Kabisa tusaidie. Utusemee
@walidmgonja3644
@walidmgonja3644 2 месяца назад
Kweri wakurima tunaria huku tunaenderea kurima na kuriaa,risu tusaidie wakurimaa
@NyorokaNyenge
@NyorokaNyenge 2 месяца назад
Mazao yapi.kwa mfano.
@EdwardJonas-og9xi
@EdwardJonas-og9xi 2 месяца назад
Usipo.tuongelea wewe au kutusemea wewe nani mwingine ataweza akuna mwanaume km.wewe uliojitoa maisha yako kwaajili ya watanzania
Далее
OBLADAET - BARMAN
03:06
Просмотров 59 тыс.
SHAMBULIO LA LISSU LAMWIBUA BASHE, SPIKA ATOA MSIMAMO
10:35