Тёмный

HANANJA HAKUBALIANI NA ZUMARIDI, ASIMULIA ALIVYOWEKWA JELA RWANDA KUCHEZA BOXING NA KUISHI NA MATEJA 

Millard Ayo
Подписаться 5 млн
Просмотров 138 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

16 мар 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 263   
@nururaymond5
@nururaymond5 Год назад
Tumbo la mama nyumba, Mgongo na mama Gari, Maziwa ya mama Chakula
@mariakibwana3700
@mariakibwana3700 Год назад
Nuru Raymond umenichekesha ulivyomkariri Mch Hananja pamoja na anavyoongea haraka du!
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 Год назад
😁😁😀😀
@prime_215beatz
@prime_215beatz Год назад
Hard to understand this Pastor but always he's talking deeply messages 👏
@Reginajohnson19884
@Reginajohnson19884 Год назад
Huyu sio pastor ni msemaji wa watu but anajifanya pastor
@medeljoram5325
@medeljoram5325 Год назад
Nakubali s2kizzy
@bawirieto4391
@bawirieto4391 Год назад
P
@masalakulwa7601
@masalakulwa7601 Год назад
Namwelewa balaa
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
Kuhusu Zumaridi...ana mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@MILTONKALYEMBE
@MILTONKALYEMBE Год назад
MUNGU akubariki sana pastor kwa neno lako ulilotupatia
@jayjay4313
@jayjay4313 Год назад
Dag, kazi ipo! Leo Sasa nimepata muda. Ti taaa mwamba huyu hapa. Nishaandaa mbavu zangu Mimi hapa saa mjue. Hakuna mtu kunipigia simu mpaka somo liishe hapa.😅😅😅
@erickgulayi2089
@erickgulayi2089 Год назад
Huyu mzee namuelewa sana na sikosi kumsikiliza
@juliusmshana7187
@juliusmshana7187 Год назад
Thanks so that is good to bother to ask for help to you are important that is the best you could send a new job in a bit to you about this a bit more to come in at the office today so useme a few
@dankhany3385
@dankhany3385 Год назад
maisha marefu hannanja
@daudimichael7338
@daudimichael7338 Год назад
Nakupenda sana mchungaji wangu, sijawahi kuchoka kukusikiliza😂😂
@Bittertruth-u4n
@Bittertruth-u4n Год назад
Daudi michael
@dottohami
@dottohami Год назад
Huyu mzee mm namuelewa sana naongea ukweli wake 😘
@TALLUBOY
@TALLUBOY Год назад
Wewe mzee ni #bilionea wa mari Na hakili nyingi nakufuatilia sanaaa Mzee #ananja nakukubal kinomaa Mzee wangu upo na roho safi sana MIMI NI MUISLAM HILA NAKUSIKILIZA SANAAAA
@frankmalesa9226
@frankmalesa9226 Год назад
Jamaa huwa ampingi mtu hata kama chizi yeye anaamin maandiko tu
@nurukwilabya2790
@nurukwilabya2790 Год назад
Na ndio tunapaswa kuishi kweli ya Maandiko 🤣
@nelsonnyamle
@nelsonnyamle Год назад
Mungu akupe maisha marefu baba yangu Hananja nimejifunza mambo mengi kupitia wewe
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
Kuhusu Zumaridi na wengine; Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@vickytorry100
@vickytorry100 Год назад
Barikiwa sana Mchungaji Hananja, nahangaika kukariri fungu moja wewe unatiririka na mafungu kibao! Una baraka, hekima na upendeleo wa Mungu🙏🏾
@azizamohamed7692
@azizamohamed7692 Год назад
Sichoki kumsikiliza Hananja ❤
@emmymshomi8893
@emmymshomi8893 Год назад
hananjaaaa pastor safiii sana 😍❤
@ezevisionmediastudioezevis7855
Hii interview ina zaidi ya dakika 25 lakini nimeona kama ni dakika 5 tu, mchungaji hau boi.
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 Год назад
Umeonaeee
@omaryrashidiboga4651
@omaryrashidiboga4651 Год назад
🤣🤣🤣 Nimecheka eti wa2 wanashida nying Unaweza kuwauzia Dona la upako
@paulnzilo7252
@paulnzilo7252 Год назад
Pastor Hananja wewe ni sauti ya waliotengwa 😂😂 nakupenda sana.
@musason1680
@musason1680 Год назад
Uyu mchungaji akili kubwa sana hasa alivyoelezea kwa nn adili na mateja
@erastompongo8400
@erastompongo8400 Год назад
Kuna mungu wa masela Na mchungaji wawashikaji
@christophergeorge5490
@christophergeorge5490 Год назад
Umeeeleweka mkali😃😃😃👊👊
@hancymachibbula4355
@hancymachibbula4355 Год назад
😂😂😂Umefika mbingun kwenye kila kitu urud tena Dunian utake book 2 yangu😂😂
@Babu.Suwa.Yoshua01
@Babu.Suwa.Yoshua01 Год назад
😂😂😂 huyu ndo pastor sasa
@irinikoipai3936
@irinikoipai3936 Год назад
Mchungaji Mimi napenda sana unavyosema mmmmmh af nd ivo ujue
@philemongomwa3728
@philemongomwa3728 Год назад
Mungu anaviumbevyake! Yaani mchungaji hananja bible yooote iko kichwani!!!
@aisha-zu8vr
@aisha-zu8vr Год назад
Mashaallah
@asumaathuman6094
@asumaathuman6094 Год назад
Jamni anasauti nzur sana kama nasikiliza sijui kitu gani😋😋😍😍😍🤗🤗🤗
@malopemaliyamungu5243
@malopemaliyamungu5243 Год назад
Mahaba hayo.. Mzee huyo. Tutafute sisi vijana tukusemeshe kwa sauti uipendayo
@batulii1248
@batulii1248 Год назад
​@@malopemaliyamungu5243 😂😂😂😂
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Год назад
Namkubali Sana huyu mwamba yuko social sana
@johnmahu5060
@johnmahu5060 Год назад
Mtumish mungu akubariki historia yko tu ni injili tosha tuombee angalau watu ht wachache wapate hicho kipaji namshukuru mungu Kwa ajili yko
@khadijaalimohd1320
@khadijaalimohd1320 Год назад
SICHOKI MIMI KUKUANGALIYA NA KUANGALIYA INTERVIEW ZAKO.. MANENO YAKO YAPO SAHIHI KABISAA UPO SAWA KIONGOZ.
@mekumeku2484
@mekumeku2484 Год назад
Huyu mchungaji yuko vizuri sana yaan anaenda nje ya box anaokoa wwngi sana nikiwemo mimi
@husnajuma6452
@husnajuma6452 Год назад
😅😅😅😅😂😂😂ila huyu baba
@calvindonalds5373
@calvindonalds5373 Год назад
Millard should have done this one also, good interview though
@sabitintaganda9115
@sabitintaganda9115 Год назад
Kazi nzuri
@naomchristopher
@naomchristopher Год назад
🤣🤣🤣🤣😂 ama kwel afy ya akili🤭🤭. Ohoo! Balaa lingine hilo!😂😂😂
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
Kuhusu Zumaridi, ana serious mental illness, anahitaji msaada. Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@lodrickkisanga8681
@lodrickkisanga8681 Год назад
Thanks pastor
@hubbihubbi869
@hubbihubbi869 Год назад
Mchungaji Hananja is Real….. Huyu jamaa ni wa kipekee…
@joanesasalavaleriano9980
@joanesasalavaleriano9980 Год назад
Nimekua wakwanza butuen Like zangu
@victorjames3730
@victorjames3730 Год назад
Kusema umekua wa kwanza upewe wa like ni moja ya ushamba..
@fatmahussein6085
@fatmahussein6085 Год назад
@@victorjames3730 😁😁
@HansBwoi
@HansBwoi Год назад
We penda kula bata uta batuliwa
@kassimrajabu7805
@kassimrajabu7805 Год назад
@@victorjames3730 hahahahahha😂😂😂😂
@sakayonsakihunga3496
@sakayonsakihunga3496 Год назад
Like zann toa coment
@pettyzumamhina6583
@pettyzumamhina6583 Год назад
Sawa Pastor
@juliusmadebe9624
@juliusmadebe9624 Год назад
Asante sana, Nakuelewa sana.
@rahimmarions5712
@rahimmarions5712 Год назад
Daaah huyu mwamba si wa mchezo mchezo.. namkubar sana tena sana... Makavu live🤣🤣🤣🤣
@clintonarnold6291
@clintonarnold6291 Год назад
Mawe ndo sisi😅🙋
@SienaMkolwe-px1nq
@SienaMkolwe-px1nq Год назад
Huyu pastor yuko vizuri sanaa
@ahmedkharis9471
@ahmedkharis9471 Год назад
Uyo mzee uyo daaa namuelewa sana tuuu mm ni shekhe ila namuelewa sana tuu na yeye anaukubali uislam
@nassobrownog
@nassobrownog Год назад
Ukiwa na baba kama huyu yaani akili yako itakuwa imenyooka ❤❤
@Boaz22
@Boaz22 Год назад
Daah,1989 nilikua sijazaliwa, we ulikua unapambana, leo nina miaka 32 ......Mungu akuweke mchungaji 🙏.🎉🎉
@KainLangson-lh5gk
@KainLangson-lh5gk 7 месяцев назад
Hananja thanks for everything you do
@happyfaniabatromeo8010
@happyfaniabatromeo8010 Год назад
Pastor Kama pastor 🤔😄😄duuh tuliombee Kanisa na watumishi wa MUNGU 📌❤️🙌
@clynemorgan9741
@clynemorgan9741 Год назад
Mchungaji bora sana 🙌
@kambiyusufu2776
@kambiyusufu2776 Год назад
Love you mchungaji
@rehemabakari4150
@rehemabakari4150 Год назад
Asanteee baba eeet mtu anaenda marekani anagoma kurudi Tanzania ndio yeye atoke mbinguni arudi Tnzania jehanamu
@jacksonkimaro3751
@jacksonkimaro3751 Год назад
Uyu jamaa kaha hakurupuki kama wahojiwa wengine
@justfad_026
@justfad_026 Год назад
Kama ni MB Mch. Hananja wee zimalize tu ivi kanisa liko wapi niende tu maana wew ni mchungaji wa kwel
@allyking9814
@allyking9814 Год назад
Sima namkubali sana huyu mjuba
@musason1680
@musason1680 Год назад
Sema tu mzee sijajua kanisa laki ningekja walau siku Moja nishiriki ibada
@fumotv7914
@fumotv7914 Год назад
Ashastaafu, yupo cct udsm
@pettyzumamhina6583
@pettyzumamhina6583 Год назад
🤣🤣🤣afya ya akili!!!
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Год назад
Atapofuka huyo zumalidi akimuona Mungu anafikili Mungu ni mizuka yake tena utulie usije ukaadhibiwa km Brazil Santa
@user-ln5so3um3o
@user-ln5so3um3o 7 дней назад
Nakubari sana uyu mzeee anajuwa sana
@itsyourboy1407
@itsyourboy1407 Год назад
😂😂😂😂😂😂ukiwa mgeni na biblia Zumaridi utamuona mkweli 🏃🏃🏃
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
Serikali yetu iiige Rwanda na kuwaokoa Watanzania..Ukristo kwa kiasi kikubwa umekua ni biashara ya vitambaa, mafuta, maji, kutoa sadaka hadi senti ya mwisho na kuongezeka umaskini na injili haipo tena; wakati hao scammers wana private jets au magari na nyumba za kifahari...inasikitisha sana kwa kweli. Ni serikali tu ndiyo inaweza kusimamia wananchi wake. 🙏🏽
@itsyourboy1407
@itsyourboy1407 Год назад
@@joycekisamo4896 umeongea point mpendwa ila kwa tanzania yetu nahis bado inajitafuta kwa sababu hata viongozi tunaowapat nao hawana passion ya uongoz wanapota nafasi ya uongozi nao wanafurahia kupata Ajira inapelekea ugumu wakutimiza majukumu ya uongoz wanajikita kutengeneza maisha yao binafsi na sio taifa....
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Год назад
@@itsyourboy1407 Sad 😔
@user-fx5re5hu8i
@user-fx5re5hu8i 10 месяцев назад
Amina
@rauhiaomar977
@rauhiaomar977 Год назад
Mazungumzo mazuri sana
@ismailchibonda5005
@ismailchibonda5005 Год назад
👏👏👏👏👏👏
@alphabintu1306
@alphabintu1306 9 месяцев назад
Cool 🌹
@godfreymagoso5334
@godfreymagoso5334 Год назад
Dah 😂😂😂 hili balaa lingine,,,, sema ushauri mnzuri wakaangaliwe akili
@DonathaMwoleka-fc4oo
@DonathaMwoleka-fc4oo 8 месяцев назад
Aminaaaaaa baba
@abdulabdallh9506
@abdulabdallh9506 Год назад
Iv wanao omba like kwan zina wasaidya nni
@rahmamollely5296
@rahmamollely5296 Год назад
Nahis wana ajenda ya sir😊
@joshuamollel6993
@joshuamollel6993 Год назад
Jamani milady ayo mbona nzuri sana ikaisha mapema??
@mastermaster1627
@mastermaster1627 Год назад
Genius
@salomemhalule5213
@salomemhalule5213 Год назад
Namkubali sana maana amepitia mengi hata anachoongea ameki experience.
@personpeter2221
@personpeter2221 Год назад
Hyu mwamba ukimwuliza swali moja anakujibu na nyongeza 😂😂😂😂
@standardtv3494
@standardtv3494 Год назад
kwa ufupi sana sauti ya Mungu kwa mtu huwa haihadithiki kirahisi kila utake mwambia asipo kudhihaki basi atakaa kimya ili wakuseme kisiriri swali je? ni kweli Mungu anazungumza na watu na nikwa njia gani? bnafsi siwezi kutoa ushuhuda yakuwa nimewahi kuota Niko na Yesu maana walio wengi wanaamini Yesu yupo lakini swala la anaongea na watu ni kama la Hananja haamini haya isipokuwa kurudi kwa mwana wa Adam katika utukufu wake ningekuwa karibu na hananja ningemuuliza unapumua ukimsubiri Kristo au kristo anakufanya upumue ukisubiri arudi, majibu yote yanaweza kuwa sawa lakini kama yupo kati yetu inashindikana naje akizungumza na sisi kwa njia zisizo za kawaida?
@TALLUBOY
@TALLUBOY Год назад
ZUMA RIDI NI DADA WA KIFREEMASON Na siyo kitu kingine
@maturanking752
@maturanking752 Год назад
Mzee kanyooka sana ✋
@HelbethMlelwa
@HelbethMlelwa Год назад
Nimependa uliposema kwamba umeoa una miaka 40, vijana wa leo wanaooa na miaka 20, 25, tujifunze kitu hapa.
@jehudavid6370
@jehudavid6370 Год назад
Huyu Mzee nampenda Bure 🤣🤣🤣🤣
@glorymafuru6342
@glorymafuru6342 Год назад
Nimesikia sauti nnzuri iliyotangulia bila shaka ni ya Dulla 🥰 alooh
@mwandudickson8156
@mwandudickson8156 Год назад
Mbinguni au bafun😂😂
@gracious6317
@gracious6317 Год назад
Huyu pastor mkweli kabisa
@venitarugemalila9290
@venitarugemalila9290 Год назад
Kweli hiyo afya ya akili eti kuolewa na Petro,kumuona Mungu hahaaaa hiyo mbingu ingine sio ilitosemwa kwa Biblia takatifu
@mayambeyu9061
@mayambeyu9061 Год назад
😂😂😂😂😂😂 😂
@khayratmhina3735
@khayratmhina3735 Год назад
Mtamgaxaji hajui kuendanda na mazingira, mzee mcheshi yeye yupo serious..
@mozasalum8742
@mozasalum8742 Год назад
Sina cha kusema kwakweli zaidi yakucheka2 HAHAAA
@norbatykapinga8756
@norbatykapinga8756 Год назад
Una msimamo good sana mchungaji.
@timothykaiza327
@timothykaiza327 Год назад
Sasa Zuma alienda mbigu gani 😂😂😂
@winfridakaaya2758
@winfridakaaya2758 Год назад
Etii Ili uwe nyauu south kuliko mtu tz
@ndossi90
@ndossi90 Год назад
Inaitaji akili kubwa sana kumuelewa Ananja
@aisha-zu8vr
@aisha-zu8vr Год назад
🤲🤲🤲🤲
@noelngowitechnicalsolution
@noelngowitechnicalsolution Месяц назад
Mchungaji Hananja, tunajifunza mengi kwako
@mkenyaog3170
@mkenyaog3170 Год назад
Mwambie hananja yesu kashludi ypo kenya
@sophiambwiya2164
@sophiambwiya2164 Год назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@ashrafchande869
@ashrafchande869 Год назад
Dah mzee namuwelewag san rich bilionea
@NR-ll4sr
@NR-ll4sr Год назад
MashAllah anaongea huyo😅
@p.kasongot979
@p.kasongot979 Год назад
Hunasinzia kama kuku wa kizungu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@dealsonmatata9620
@dealsonmatata9620 Год назад
Ahaaaa mwananyauu
@unjuinkuganda1991
@unjuinkuganda1991 Год назад
MY NIGGA
@alexkalonga5323
@alexkalonga5323 Год назад
Uyu Faza Inaonekana Bible Iko kichwani
@emmanicko1535
@emmanicko1535 Год назад
Nakukubali sana mwamba
@motivationandhope
@motivationandhope Год назад
Cisco alipigwa risasi na mapolisi kashafariki miaka mingi sanaa
@moganfred6473
@moganfred6473 Год назад
Huyu mzee wamaana sana
@Juke995
@Juke995 Год назад
Mchungaji wangu nae mkubali akifatiwa na yule wa tabora
@NicholusMwandambo-mc4ms
@NicholusMwandambo-mc4ms Год назад
Huyu apewe udocta wa mezani jamani
@darrojumanne-cb8lg
@darrojumanne-cb8lg Год назад
😢😢😢😢
@amourmtungo623
@amourmtungo623 Год назад
😂😂🤝🤛 Asante kwa burudani
@saumusanjiama6991
@saumusanjiama6991 Год назад
😂😂
@belzylucas7275
@belzylucas7275 Год назад
Nakupenda sana❤
Далее
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 197 тыс.
UTOTO UTUMWA, UJANA MASWALI, UZEE MASWALI
46:42
Просмотров 254 тыс.
MCH. HANANJI | "DIAMOND, SHOLO MWAMBA NI WATOTO WETU"
37:38