Natamani katika kutoa pongezi zenu msimsahau magufuli mana yeye ndio alithubutu kuanzishwa kwa hiyo project, i think by doing this ata familiya yake itajisikia faraja pamoja na watanzania wengine sio kila kitu mama peke yake kana kwamba yeye ndio alianzisha japo sifa ata mi nampatia mama kwa kuendeleza hiyo project but plz do not forget JPM
@@sadiqrifay5448 ndio mana nikasema amethubutu mana ata bawa la mwalimu nyerere na serikali kuhamia dodoma ilianzishwa enzi za mwalimu ila implimentation imeanzia kwake thus why nimesema na yeye awe anakumbukwa kwenye pongezi