Тёмный

Harmonize Ft Diamond Platnumz - Kwangwaru (Behind The Scene Part 2 ) 

Harmonize
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 1,8 млн
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 935   
@Idafa
@Idafa 6 лет назад
Huyu Harmonize nilikua sijamsikia akiongea lakini leo nimesikiliza nikiangalia na kusikiliza hii imenifanya niwe na moyo wa kusupport kazi zake zaidi. He’s a very humble person na hiyo itamfikisha mbali sana. God bless him.
@FrankjumaNdakama-g1c
@FrankjumaNdakama-g1c 11 месяцев назад
Kumbe shida imeanzia kwa huu wimbo dar!!🐘🐘🌷🌹🌷♥️♥️ Huna kosa Kaka anguu alikuonea sana
@kyopis434
@kyopis434 4 года назад
kumbe kufanya kazi na Diamond ni ngumu sana ....anajitakia tu
@barakakoi5976
@barakakoi5976 2 года назад
Sku zote mwenye kukupea mashindano ndomwenye kukupeleka mbele nduguyangu hilo amin , hak bila upinzan hauz kazana
@zakyahya4645
@zakyahya4645 3 года назад
Diamond ndo mana anaumia alimpenda sana harmonize
@qupidmemes9623
@qupidmemes9623 2 года назад
Diamond anajipendelea sana, na ngoma ni ya Harmonize😂
@princessjc2710
@princessjc2710 2 года назад
I wish this two guys could join up and do something big like kwangaru,,,,2021still🔥🔥🇸🇸
@vihigacomendian9913
@vihigacomendian9913 2 года назад
Real
@olekomoise7449
@olekomoise7449 2 года назад
merci beaucoup merci officier
@catherinebettymusembi4783
@catherinebettymusembi4783 6 лет назад
Diamond aki natamani niwe moja wanaocheza ngoma zako...hata mimi wanicheki kwa TV.
@hellenahgithinji7117
@hellenahgithinji7117 5 лет назад
Harmonize is so humble and Diamond seems to be taking advantage of that...big harmonize you so creative
@chief2177
@chief2177 3 года назад
I've seen that too
@leonkitenge5005
@leonkitenge5005 3 года назад
Diamond
@phillippeneymar109
@phillippeneymar109 3 года назад
😂😂
@silasomolo3095
@silasomolo3095 6 лет назад
Hii ngoma iko freshi kabisaa.. Harmo na Dangote hii kazi imekubalika sana nje ya East Africa
@joseecontroversial8720
@joseecontroversial8720 6 лет назад
Safi sana Simba, najua Harmo amejifunza kitu... kwa jinsi ulivyokuwa serious na hiyo project, the energy, mavazi, moves, sura ya kazi n.k. He has learnt the hard way...
@amathakabumbire8320
@amathakabumbire8320 6 лет назад
Diamond kwa kuvaa na kupangilia aaaah,,salute
@aliceumuhoza7246
@aliceumuhoza7246 2 года назад
Mukaka wawatu kadharaurika hapo ira akajikaza we Domo kwer wewe hufai harmo unamoyo mungu akujarie
@MusicKE2388
@MusicKE2388 4 года назад
inakaa diamond huwa na ubnafsi ikifika kwa ma stage scenes anazitaka zote rayvanny ndo humueza hehe Love Kenya
@slimjazzyman
@slimjazzyman 6 лет назад
Diamond was right about the outfit. Yaani alikuwa ushauri mzuri
@actresskarembo9106
@actresskarembo9106 3 года назад
Nimeona Mbosso Nampendanga sana coz ye hufanana boi wangu sanaa wanakaa mapacha💗💗💗💗
@jeffmwema4992
@jeffmwema4992 Год назад
Diamond mwalimu kweli👌
@saitabaukaraine1575
@saitabaukaraine1575 6 лет назад
Harmonize is a very humble artist and Mungu anakupeleka mbali
@coltunga9494
@coltunga9494 6 лет назад
Seconded..
@boazmasinde2764
@boazmasinde2764 4 года назад
True point taken
@salamajuma5481
@salamajuma5481 4 года назад
Inshallah walikuwa wanamkejeli Harmonize na huyo momo sio mtu mzuri kumbe
@emmanuelhelandogo3398
@emmanuelhelandogo3398 3 года назад
do m. m
@emmanuelhelandogo3398
@emmanuelhelandogo3398 3 года назад
do m. m
@fatmamariam7294
@fatmamariam7294 6 лет назад
Hii ngoma kwangwaru yanitia wazimu Dah! .Nalala usingizini nikiimba kwangwaru.
@selemaniyasin2261
@selemaniyasin2261 4 года назад
Simba wauwe baba. Mkalishe mtoto huyo. Video yake ila kwenye nucleur umemkalisha haswaa. Baba 👍👍👍
@jamaafrican3827
@jamaafrican3827 Год назад
Fr this is example of diamond alikua anamzungua harmonize mengi sana...pole hamo
@ndamayapejr7725
@ndamayapejr7725 4 года назад
Hii scene ilikuwa na vitu vingi sna vya kuchekesha xna lakin napenda mond +Harmo == Brothers Harmo Mpole xna kwa Mond na alionesha big respect although kuna sehemu mond alionyesha ukubwa na akili nyingi
@johndenakayajn633
@johndenakayajn633 11 месяцев назад
Duuuuh,iyi ilikuwa Big shooting kwa kweli Congratulations @harmonize Wangapi tumeona hii behind the scène mwisho wa mwaka huu 2023? Tujuani kwa ku like hapa
@Ryoof-qo7if
@Ryoof-qo7if 3 года назад
Ushindani piya ndouliwaeka kado Lakini DIAMOND alimpenda sana harmo
@afixjuma8583
@afixjuma8583 4 года назад
Angalia tetema behind-the-scenes rayvany anamuuliza mond nan kamshirikisha mwenzie hat hi Hamro kamuuliza mond nan kamshirikisha mwenzie
@gb-one6435
@gb-one6435 3 года назад
Una maanisha nn
@desirenizigiyimana5126
@desirenizigiyimana5126 3 года назад
JAMA ALIONEKANA TU TOKA ZAMANI KAMA NI KIROHO MBAYA. BIG UP KONDE BOY 😎
@suleimankibombwe5268
@suleimankibombwe5268 3 года назад
Izi ndio sababu harmo akawa gang big up
@eastlandosauce254
@eastlandosauce254 4 года назад
Kaka Harmonize hapo ulichemsha bure now I know the reason why you guys parted ways...small misunderstanding can cause war
@rehmakhalid2528
@rehmakhalid2528 6 лет назад
nguo sio tatizo kikubwa kufanya kitu mashabiki tukipende so good job mmeifanya
@tracywaithesh5642
@tracywaithesh5642 6 лет назад
Wow I hope Kenyan artists see this! Shady behind the scene nothing much spent but massive hit! Diamond tunawagojea seattle
@محمدعثمانبشيرالفان
Bobs it iot3nb proud m zhdfke🇧🇲🇧🇲🇧🇲🇧🇲🇧🇲🇧🇲🇦🇨🇦🇨🇦🇨🇦🇨 johns ouewbndn
@shashauwase9745
@shashauwase9745 6 лет назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂Simba!!!!!!!Harmonize, you are just a nice and a humble person, I love the way you respect Diamond; anakutaniya sanaaaaa hihihihih .
@lilym704
@lilym704 4 года назад
Hiyo nguo ya rangi rangi ya diamond utasema pajama ndo kaona inapendeza?
@mahmoodalghefeili5370
@mahmoodalghefeili5370 4 года назад
@@lilym704 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@isaiahmorara2054
@isaiahmorara2054 6 лет назад
Hi scene ni Kali mno,imefanya niyaone aliyoyapitia Harmonize,lakini mwishowe wakatoa ngoma Tamuuuuu
@alwattanchinga
@alwattanchinga 2 года назад
Dah kweli brother,likua yuakunyima freedom , check venye uko mnyonge
@berylawuor3201
@berylawuor3201 6 лет назад
Harmonize you are so humble God bless you
@AROMAA-KING_KENYA
@AROMAA-KING_KENYA 8 месяцев назад
Reconcile with diamond and give us another big hit like kwangwaru
@fadhilsanga2847
@fadhilsanga2847 4 года назад
😃😃😃. Mond ni msumbufu hilo halipingiki. Lakin kazi zake.n balaaa ni fireeee Nakukubal simbaaa
@explorabongotvonline5160
@explorabongotvonline5160 6 лет назад
hapa ndipo nina gundua kitu kimoja katika Maisha Daa ebhana Diamond harmonize mi napenda sana life style mnaloishi pamoja yaani ni full kuzinguana drama kibao na hakuna anaemjia juu Mwenzie ndio maana mnafanikiwa #BLESSED
@constantinochalle856
@constantinochalle856 4 года назад
Mwenye wimbo kawa mpenzi mtazamaji tu!
@lukasielibariki3181
@lukasielibariki3181 5 лет назад
Diamond anajuwa Sana ila hamo akiwa na nidhamu atafika mbali Sana sana
@daimually4865
@daimually4865 4 года назад
Lkn mond kwa hapo kwenye bati yy mond ndiyo haaswa
@chybuwagwantaz8054
@chybuwagwantaz8054 3 года назад
Njoo
@cestlaviecestlavie4073
@cestlaviecestlavie4073 4 года назад
Mondi ulimuingilia sana ndani ya mwimbo wake kama vile ni wako, na mlimzarau kwa kweli 😏...
@habbydaimu5313
@habbydaimu5313 3 года назад
Kuelekezwa ndiyo kakosea mond ana bahatisha kwenye nziki huyu dogoo alisha kuwa tyr anaakili mpya yakuondoka ila sio mbayaa mtoto kakuwaa huyooo
@browellingtone2040
@browellingtone2040 6 лет назад
Harmonize am from Kenya I am not so much of a bongo fan but the character of accepting things the way you did behind these scenes is what makes you a big start bro, you know Diamond has been in the game and I think by now you see how big the video is big, here in Kenya Kwangwaru is played in every matatu here in Nairobi keep working hard team Wasafi
@madimj5022
@madimj5022 2 года назад
Aminia mwamba ur humble kitambo mungu akushikie kwa kila hatua Big up for it, tunaishi nao 🍁✌♥️🙏
@chrisnazary9183
@chrisnazary9183 4 года назад
This guys were very good frnds n lovn each naomba wamalize tofauti tu wafanye kazi pamoja hata kila mtu akiwa na empire yake
@emmanuelchacha1216
@emmanuelchacha1216 4 года назад
I like it broo
@Blackmachamdizi
@Blackmachamdizi 3 года назад
It's just that diamond was ahead in many things sanasana confidence and harmo was just growing in many things but now he's ok with full of confidence
@artburnsolutions1899
@artburnsolutions1899 6 лет назад
Scene kali, big up Harmo en Simba u guys u both soo humble. Harmo usifeel vbaya wen ur dad akikusoa kwa kazi juu he is expert in de game en he luvs u dats y then hii B the Scene iko na itilafu sna huku mbele
@slimsan3859
@slimsan3859 6 лет назад
kweli kupata kitu kizuri ni kazi, nimependa mabishano ya hapo na mwisho wasiku mmepata kazi nzuri sanaaaa
@nyangiadamu7553
@nyangiadamu7553 5 лет назад
Diamondi. Anawaka sanaaa 2
@elissmwangi
@elissmwangi 3 года назад
Hii ngoma watu hadi wakadhani ni ya mondi....kumbe ilikua ya mwana
@niyongabotherence8940
@niyongabotherence8940 4 года назад
nimeangaria hii video nimefarijika Sana mulikua Kama ndugu wadamu imenifurahisha Sana. Kizazi Sana.
@madawamchuwa8253
@madawamchuwa8253 Год назад
Aki nimetamani warudi km zamani angalia vanny anavyo care anawakataza watu wasichukue video
@williamkeitha1262
@williamkeitha1262 2 года назад
Mbona diamond yupo sahihi coz hapo hizo nguo za harmonize hazinge lifaa wala serious.harmo mbishi sana xo right upo konde shoti tu Man.but nasikia hadi jina walikubadilishia kukupa harmonize.
@zabymahfudh47
@zabymahfudh47 6 лет назад
Simba nakubali na outfits zako..very much unique.
@kipendokipendo7112
@kipendokipendo7112 5 лет назад
A
@mcpest9181
@mcpest9181 4 года назад
Harmonies I know bing calm is the only way fowerd thanks bro for bing calm good luck keep it up 💪👊
@heriethmsigwa1389
@heriethmsigwa1389 6 лет назад
harmonize mpole sema diamond alitaka kumfunika mwenye nyimbo yake sio kwakupania ukokhaaaa
@directorneva
@directorneva 3 года назад
Diamond grab that set from Harmonize
@jlaizerkatitia6902
@jlaizerkatitia6902 6 лет назад
Big up harmonize fight for your life u are next lion
@davidmuli4639
@davidmuli4639 Год назад
Ndio kupitia scene iko lit sana
@shielasamvura7360
@shielasamvura7360 4 года назад
Can't hear all u saying bt u guys put effort on yo videos shem kondeboy & Diamond 4 the world & yo crew ...u deserve every cent u gain...love 4rm Zim🇿🇼
@afrarugakingira5862
@afrarugakingira5862 6 лет назад
Kwa mtizamo wangu alichofanya mondi.kimependezesha sana wimboooo Nguo zake zimenogesha video .na moves zake ndo kabixa...
@nickymustafa4306
@nickymustafa4306 4 года назад
You were a good group with WCB. I miss you together. Konde boy from Mozambique
@lydiaomito3253
@lydiaomito3253 6 лет назад
Diamond ana juzi sana kwa video shoot mashallah.ushirikiano ya wcb raha
@sarahwanja7050
@sarahwanja7050 6 лет назад
I love that you rocked in Philipp Plein wear. Expensive brand !!
@jaymtemi7322
@jaymtemi7322 6 лет назад
Jins ngoma inavyo hit ad unahisi harmo hatotoa hits song like this good song for harmoniz ft diamond (kwangwaru)
@rajabseif6680
@rajabseif6680 6 лет назад
tatizo wajui kuva
@samkanyoi8643
@samkanyoi8643 6 лет назад
kutoka Kenya tunasema imeweza!
@jaymtemi7322
@jaymtemi7322 6 лет назад
Rajab Seif hich kitu nimekiona yan km diamond antumia nguo za rangi saaan
@_mshati2280
@_mshati2280 3 года назад
harmonize hiii ndo ilimfanya aondoke wcb
@MukiKyuls
@MukiKyuls 3 года назад
Missing them days when we all got along. This song was huge in Kenya sijui uko kwengine.
@sammaisak7503
@sammaisak7503 3 года назад
But surely Harmonize had to leave wasafi to find himself, i think it was a good move, Diamond is so full of himself, i kind of felt bad for Harmonize in this clip, the way they were making fun of him.
@samuelypaulo7981
@samuelypaulo7981 5 лет назад
Wangapi wametazama hii behind the scene tena baada ya konde boy kuandika barua ya kesepa wcb.tujuane kwa like 👍☝✌✋
@wisangoripheteugene5385
@wisangoripheteugene5385 Год назад
Tupo kk
@lm6373
@lm6373 4 года назад
Ona vile diamond jacho zina mtoka kwa Haya anajuwa si sawa anavo fanya Bora harmonize Ali wacha wasafi
@amanizokora7857
@amanizokora7857 3 года назад
Missing those days
@ceciliabaltazar8660
@ceciliabaltazar8660 6 лет назад
mpo vizur isee ngoma imenogaaaaaaaaaaaaaaaaa team simbaaaaaaaaaaaaaaa wap simbaaaaa
@cynthiasawe4135
@cynthiasawe4135 6 лет назад
TEAM HARMONIZE.....always
@محمدعثمانبشيرالفان
Anyway looks diligent onsite surgeon our way that uig3 douche the eicsjf3 objxbdj
@princewawaziguatz1563
@princewawaziguatz1563 6 лет назад
Hivi kuna Tuzo Za BEHIND THE SCENE BORA YA MWAKA..Tuwape kabisa...😂😂😂Nawaza tu Mana sio Kwa moto huuuu 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@eustachpeter5570
@eustachpeter5570 6 лет назад
sure hii ni kali kinomaa
@princewawaziguatz1563
@princewawaziguatz1563 6 лет назад
eustach peter ni hiviii 🔥🔥🔥🔥
@vibrokhala7264
@vibrokhala7264 5 лет назад
hana akil kahamo
@brendaluyange270
@brendaluyange270 6 лет назад
But the reality is Harmo you are truly talented na Simba u've got experience on this
@francissospeter4533
@francissospeter4533 6 лет назад
Haaaaaaaaaa, nimefurahi sana hiyo behind aisee inafurahisha unaweza kupigana, nakumbuka hata diamond alichukia kipande furani, haaaaaaaa, safi sans
@tamanjilogodi4645
@tamanjilogodi4645 3 года назад
Simba aliua iyo scene ya mabati, venye Kenny amesema, cjui kama konde angefanya vizuri ivo, Enyewe nguo ilikua kali
@suleimankibombwe5268
@suleimankibombwe5268 3 года назад
Wcb malofa sanaa mlikua mnamfanyia vibay san konde sasaiv kawakimbia anafny anachokitakaaaaaaa big up tembooooooooooooooooooo
@blackiesparkle3764
@blackiesparkle3764 6 лет назад
hahaha.... üoor Harmonize!! Diamond shamelessly full of himself, but he was right on the mavazi bit. I salute Harmonize´s humility- its what makes him greater than Diamond. Thank you freaks for embracing brotherhood and giving us a lovely video
@محمدعثمانبشيرالفان
Bobs with the same way as well as a lot of people have been a lot of people have been a good landline 🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿
@atislapape-chay7924
@atislapape-chay7924 5 лет назад
Harmonize Respct for You my Man.beautiful Music.good,good.work
@ammalmabeny1273
@ammalmabeny1273 3 года назад
Harmonize is humble man .
@dennocholla628
@dennocholla628 5 лет назад
Ngoma kali sanaaaa💯 natii
@bbs5802
@bbs5802 6 лет назад
Nimependa jinsi mnawapa vijana wengine nafasi kwenye industry...director wa humu myumbani..big up
@innocentkasabundi1515
@innocentkasabundi1515 6 лет назад
KENNEDY GADSON atal
@prinzonic9896
@prinzonic9896 6 лет назад
Diamond Platnumz and Harmonize are the brains behind Tanzania musical industry.👍 👍 👍 Thanks for promoting Africa 👊 👊 💘 💘💯%✔ ✔
@dicksonmagessa823
@dicksonmagessa823 5 лет назад
Kwel bhana sema diamondplatnumz alikua sahii
@mitchellmichell9654
@mitchellmichell9654 5 лет назад
Am from South Africa i love harmonize but I dnt understand the language but it doesn't matter i will dance 💃💃💃💃i love this song 😘
@reubensawe4365
@reubensawe4365 6 лет назад
Dar!!!! Hawajamaa wanajua knomaaaa tsha saaana wcb4life
@calvinsanga721
@calvinsanga721 5 лет назад
Sasa harmonize hayaa mambo c utayasikia redioni kwel
@salomemtokoma8546
@salomemtokoma8546 6 лет назад
Nimempenda director Kenny, voice yake so mwaaah
@kokoqurux7660
@kokoqurux7660 6 лет назад
Hit Song am from Somali big fan diamond 👏👏👏👏 go forward👍
@yussuphhassan4459
@yussuphhassan4459 6 лет назад
hii ngoma haita expire ni kali kuliko ,,,,, Harmonies big up bro
@petermaguta9005
@petermaguta9005 3 года назад
Kaka walkudhalilisha sana huko n kukatishanatamaa , diamond uliyumba
@crazyafrica8943
@crazyafrica8943 3 года назад
Chibuu anaelewa hiyo game... Hamo ajifunze kwa utaratibu. Yote sawa.
@lukaslemah6705
@lukaslemah6705 6 лет назад
harmo kuwa mpole...mondi kachapa hii kazi mda mrefu bro
@adamondmsafi9834
@adamondmsafi9834 5 лет назад
Ukwli 💎 DIAMOND BADO MKUBWA MAANA HARMONIZ AWEZ INGIYA KWENY IY KIPANDE NA ILE NGUO WALLAH DIAMOND KAUW SNAAAA
@nataliatrizer6796
@nataliatrizer6796 6 лет назад
Simba he's so classic ...i lov that
@dontdothatthepodcast
@dontdothatthepodcast 6 лет назад
I loved everything...dope music
@brahyow6683
@brahyow6683 6 лет назад
The song is rocking here in Kenya Whoooa!
@muciraarts
@muciraarts 3 года назад
Nani amemuona mbosso akimuonya Ricardo Momo asimtanie tena Harmonize.
@shikowainaina4573
@shikowainaina4573 6 лет назад
Harmo kumbuka Diamond anaelewa haya mambo wimbo yenu iko sawa
@princegabytv7251
@princegabytv7251 6 лет назад
Hahahaha😂😂😂😂😂 Harmo ulitia huruma ulipoporwa setup na mond, !!
@heriethmsigwa1389
@heriethmsigwa1389 6 лет назад
masikini walimtoa kwenye mood kabisa
@slayingtee6044
@slayingtee6044 5 лет назад
Nimemuonea harmonize huruma kwenye hiyo scene ya mabati,,,,your a humble angekuwa mwenyine angepigana
@essykasubukiaofficial3330
@essykasubukiaofficial3330 3 года назад
Harmonize is very humbled
@stephenemganga3604
@stephenemganga3604 3 года назад
???????
@stevelumumba1824
@stevelumumba1824 6 лет назад
proud of wasafi you really work around the clock to entertain us much love from 254
@starnewstvtv1126
@starnewstvtv1126 6 лет назад
nyakwar Ageng'o sirkal yore Nakubal sana
@mohammedselemani205
@mohammedselemani205 6 лет назад
Harmonize kaka mungu awape miaka mingi mana muna tu wakilisga vyema
Далее
Diamond Platnumz - Zuwena Behind The Scene Part 1
29:31
Tetema Behind The Scene Part 3 - SKIZA Dial *811*180#
20:17
Купил КЛОУНА на DEEP WEB !
35:51
Просмотров 2,9 млн
DIAMOND PLATNUMZ amtoa MACHOZI HARMONIZE
5:22
Просмотров 3,4 млн
Mbosso - Sele Behind The Scene Part 1
45:29
Просмотров 224 тыс.
Harmonize - Ameloa (Behind The Scene)
9:49
Просмотров 208 тыс.