Muongo kapewa na mwambino afanye hivyo😂😂😂😂 hata wanae wenyewe anawapeleka kfcahaa anashindwa kuwapeöeka znz au sauth au zanzibar jamani leo anadanganya watu 😂😂
Mimi ni mkongo 🇨🇩🇨🇩 H BABA nilimuona kwenye mouvie ya saladina 😂sijawai tena kumuona popote pale, naisi kwamba ma neno yake niya uongo kabisa 😂😂 Harmonize ni mtu maarufu ata apa Congo 🇨🇩 anajulikana.
Huyu H Baba Hana akili timamu yaani wakati wake ushapita lakini anajiona bado Yuko mjini huyu mtu mzima ovyo Hana shukulani kabisa mshenzi WA tabia haon hata haya unasema harmonize wakati cyo level zAko huu uchawa ataolewa tu
Weye uko pumbavuweye umekwenda unamutukana ivi uko unamutafuta tembo ili urudi kwake tena wasafi wamekufukuza sasa unataka uka usamehewe aca zako bwana tafutia nyingine sehemu ufanye kazi