KARIBU KATIKA RU-vid CHANNEL YETU HII KWA KUPATA QASWIDA MBALI MBALI KUTOKA TANZANIA ZENYE UJUMBE TOFAUTI UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KU-SUBSCRIBE KU-LIKE NA KU-SHARE ILI UWE UNAPATA TAARIFA ZETU KWA WAKATI HUSIKA.
Hizi mashallah zinamkera mno Allah ... Maana hapa sio mahala pake... Allah (s.w)...tutamuhusisha vipi mahala asipopataka... Ni haramu wanawake kutoka wazi wazi... Zaidi tena wamejipamna... Tena wametangamana na wanaume... Allah atuongoze sote katika kheir kuzilinda sharia zake... Aamina... Kutoka mombasa. Nawapenda kwa ajili ya Allah
Hongera sana ukhti asha umependeza mashallah na allah akujaalie uzidi kuwa na aibu popote pale utakapokuwa allah azidi kukupa stara zaid na zaid hongera