KARIBU KATIKA RU-vid CHANNEL YETU HII KWA KUPATA QASWIDA MBALI MBALI KUTOKA TANZANIA ZENYE UJUMBE TOFAUTI UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KU-SUBSCRIBE KU-LIKE NA KU-SHARE ILI UWE UNAPATA TAARIFA ZETU KWA WAKATI HUSIKA.
Mashaalh hongera Sana limetimia jambo jema kwa Kudra za allha sasa mwende mukaishi Vyema kama vitabu vinavyosema asha najua wajua kila kitu inshaalh nakuombea dua
Ni wakati tubadilishe harusi zetu ndugu waislamu... Michanganyiko ya wake na waume imekua jambo la kwaidia Tanzania... na mabinti waziwazi kwenye mitandao