Тёмный

HAYA NDIO MATUKIO YA ALHAD MUSSA KABLA AJATUMBULIWA AKIGOMBONA NA SHEIKH MOHAMMED IDDI 

Swahili Tv
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

23 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 110   
@adrianorichard1709
@adrianorichard1709 Год назад
Yesu ni jina kubwa lipitalo majina yotee, Amen
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 Год назад
Ndio maana akaitwa Jehova El gibbon,Nisi,Shama,El Olam n k Majina yote maxuri ni ya Yesu💯👍🥰
@wanyooshetv9987
@wanyooshetv9987 Год назад
Makafiri mna utindio wa ubongo jina yesu lenyewe ni feki
@zariadunia6328
@zariadunia6328 Год назад
Ila Alhad inabidi afanye toba sana bado kijana mungu atamsamehe vinginevyo ni msiba mkubwa kwake
@jumakapilima7295
@jumakapilima7295 3 месяца назад
Al marhum sheikh Muhammad bin Ayyub ambaye keshakufa ana baraka gani tena za kukunufaisha wewe uliyehai?
@AbidhusseinJiwaji
@AbidhusseinJiwaji 2 месяца назад
😂😂😂😂
@fatumatandika6220
@fatumatandika6220 Год назад
Huyu kweli ni HASIDI anapenda kuitafuta shari subhanna Allah
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Год назад
Eee Allah ajaalie ha wa masheke kumaliza hizi to fauti zao hee hii kila siku Ina zidi yajana tutafika wapi yailahi tusimamie waja wako
@nancyjohnson6620
@nancyjohnson6620 Год назад
Waislam wenyewe kwa wenyewe hawaelewan Wakristo nao hvo hvo hawaelewan kimaro kasimamishwa ... hz nyakati tulizo nazo hz tuombe Mungu sana
@JabirJuma
@JabirJuma Год назад
Sheikh kakosea Sana anauchezea uisilam
@omaryiddi7454
@omaryiddi7454 Год назад
SWADAKTA SWADAKTA SHEIKH
@swabahasaidi8590
@swabahasaidi8590 Год назад
Asalamu Alekum Shekh lakini Nikitambo anaonesha kwa Upande wa Mashia iko wazi takumbele shekh
@mohamedturanardan8871
@mohamedturanardan8871 Год назад
Sh Mohd Iddi hapa upo sawa. Lakini kuwatetea MASHIA umeharibu sana
@mussakamando2678
@mussakamando2678 Год назад
Huyu sheikh alikuwa anautia aibu sana Uislam duniani.
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
Huyu Sheikh akiritadi siwezi kushanga maana naona nyenendo zake zina hasira Ya kuondolewa ktk cheo. Ila kwa kweli japo sina elimu kubwa ila hatuna utamaduni wakutumia duwa kwa jina la kiumbe yoyote zaidi Ya Allah.
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Год назад
Kama Yesu ni kiumbe,Kwanini mpaka Leo hajafa yupo hai???
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
@@davidmnyela2459 Kwani wapi umesikiya nikisema ni mnyama?
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Год назад
@@sonnyr1899 kwani mnyama si kiumbe???
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Год назад
@@davidmnyela2459 Wote sisi ni viumbe wake Mola, binaadam, minyama, miti, mbingu na ardhi, mabahari na maziwa vyote vilivyomo duniani ni viumbe vya Mungu kwani wewe unasemaje? Minyama imeumbwa na nani?
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Год назад
@@sonnyr1899 Kama Yesu ni kiumbe kwanini alikuwepo kabla ya Muhammad kuwepo na bado yupo mpaka Leo huko mbinguni??? Na manabii wote kabla ya mohammad walishakufa,kwanini Yesu yupo hai mpaka Leo???
@isaacvtv547
@isaacvtv547 Год назад
Ninachompendea Mungu sote tutakufa. Na mbere ndipo tutajua ila hapa duniani.
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Год назад
Waislamu wanaogopa sana jina la Yesu na hapo bado qiyama hajarudi kuhukumu ulimwengu
@allycomm1553
@allycomm1553 Год назад
ACHA ukafir ww kipind bado unaneema ya uhai
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Год назад
@@allycomm1553 kafiri(mpingaji)ni mimi au wewe ambaye hutaki kutumia jina la Yesu???
@allycomm1553
@allycomm1553 Год назад
@@davidmnyela2459 Utakuja kuelew sku ukifa mm sina meng
@allycomm1553
@allycomm1553 Год назад
Kw sbb anaemuongoz mja ktk njia yahaqi n ALLAH pekee
@davidmnyela2459
@davidmnyela2459 Год назад
@@allycomm1553 ukishakufa na lako halipo Hesabu ni hapa hapa duniani ili uijue njia ya Mungu muumbaji,nini maana ya jina YESU??? Na nini maana ya jina ALLAH???
@nassibdoma5408
@nassibdoma5408 Год назад
Alihadi ni shekhe wamchongo anapenda sifa nawatu wa siasa
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 Год назад
Ila musa salim umezid Sisi waislam tulikuwa tunachukizwa namambo yako mpaka tulijua labda Umeungana na wakiristo mara kwenye mwezi hata kama umeandama unawafuraisha watu flani tu unatangaza siku utikayo Nimefurahi sana kuondolewa Nafasi yako Wallah.
@mustafapandu5189
@mustafapandu5189 Год назад
mna matatizo sana nyote hamueleweki nyote mumekuwa masheikh dili kila mmoja anatetea unafiki wake kwa vikundi vyake
@jumbemkilla9556
@jumbemkilla9556 Год назад
Sheikh Alhadi badala ya kujibu hoja yeye anamshambulia Sheikh Idd Mohamed Idd naona bado anazidi kuchafua tu. Suala sio kumshambulia suala ni kujibu HOJA.
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 Год назад
KIONGOZI KUTUKANWA SIAIBU ,BALI KIONGOZI KURUDISHA MATUSI NI KOSA KUBWA SAAANA NA NI AIBU KUBWA KABISA, KIONGOZI NI WA WOTE WAZURI NA WABAYA LAZIMA AWE MSTAHAMILIVU SANA.
@ramadhanibundala580
@ramadhanibundala580 Год назад
Alhad sio mwislam kafili alieiva na hataki kukosolewa
@omarikibao9427
@omarikibao9427 Год назад
Hii ndio Dunia na waja Wake Mimi nashauri Tusameheane tu
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Год назад
Pamoja na kwamba Sheikh Mohammed Idi ni mtu wa hovyo lakini hapa yupo sahihi sana tena sana.
@elizabethswai7777
@elizabethswai7777 Год назад
Uso wake waonyesha majini makali mno🤣
@hassanmfaume4522
@hassanmfaume4522 Год назад
Wewe Eliza ni kaafir Allah akuongoze kuijua haki na kuufuata uislamu
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 Год назад
@@hassanmfaume4522 kaka maneno ya kumkaribisha mtu kwenye Uislam yanatakiwa yawe laini.
@muhibbualii4580
@muhibbualii4580 Год назад
Mnapenda uchonganishi nyinyi wabongo kwenye channel zenyu,haya mambo yalikwisha zamani.
@ruwaidaal-ismaily9099
@ruwaidaal-ismaily9099 Год назад
kwanza unamhneno machafu kupitiliza Unatukana ma sheykh wenzako huna lolote tulikuchoka wallah kama Allah katuskia Tunavo lalamika .
@abrahamanalliy2115
@abrahamanalliy2115 Год назад
MFITI UMEFANYA JAMBO KUBWA SANAA KUTOLEA MZIGO HUO. ALISHALEWA MADARAKA AKAACHA DINI
@Hussein_Mustafa_Parmar
@Hussein_Mustafa_Parmar Год назад
Sheikh Alhadi Musa had argument with Sheikh Mohammed Iddy, and they refuted each other in separate media and not being together and Sheikh Alhadi Musa called Sheikh Mohammed Iddy a hypocrite and a person of bringing conflict, but all are Shafi Sunni Muslims but they differed in views, and all are hired by the Government in the preachers in the Bakwata the preachers appointed by the Government, but they did not hit each other as Nigerians or South Africans or others or Pakistanis or Indians stabbing each other, but then they reconciled but even if they did not still they can meet each other and greet each other.
@fatumamisinga6211
@fatumamisinga6211 Год назад
Mbona umetetea mashiha
@mariamgodfrey53
@mariamgodfrey53 Год назад
Uwiiiiiiiiiiii kimeumana
@yukundapeter8200
@yukundapeter8200 Год назад
Muacheniiii shekh Musa,hanaga ubaguxi wa dini.Wivuuuu
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 Год назад
Nabila kuanfalia au kusubilia ametenguliwa au ametolewa ktk wadhifa alionao ndio kumkosowa mtu.anatakiwa kukosolewa pindi tu anapokosea.
@charlesmbaga6115
@charlesmbaga6115 Год назад
JE kama angesema Kwa jina la Isla jee ingeswihi
@sama-_8368
@sama-_8368 Год назад
Haiswii pia.
@istambulahmed6664
@istambulahmed6664 Год назад
Anza kila kitu kwa jina la MUNGU NA SIO KWAJINA MWINGINE, ukisoma biblia inasema Mvbariki vitu kwa jina la BWANA.
@soloboysolo8872
@soloboysolo8872 Год назад
Watanzania washamba sana
@KADALAtv255
@KADALAtv255 Год назад
Ubinafsi tu ndio unaowasumbua kwani kutaja jina la Yesu kuna shida gani? Mbona michango ya watu wa hao wa dini nyingine mnaipokea na misikiti wanawajengea na mnaswali sasa tabu iko wapi jamani Afrika hii hatuna dini hivi ni vitu vya kuletewa tu visitutenganishe .
@sama-_8368
@sama-_8368 Год назад
HUJUI
@RastaSuma
@RastaSuma 27 дней назад
Wakristo wanamwiita yesu kama mungu au mwana wa mungu na waislam wanamjua kama mtume wa mwenyenzi mungu kama manabii wengine waliopita na pia hii ndo tofauti kati ya wagalatia na waislam .
@ameokichaka9456
@ameokichaka9456 Год назад
Duuu
@nero7941
@nero7941 Год назад
WAISLAM ACHENI UNAFIKI ULITAKIWA USEME SIKUILEILE KUWA AMEKOSEA huo ni unafiki
@mwanaishakatuli5707
@mwanaishakatuli5707 Год назад
Alafu hajibu hoja sasa njaa ataijua
@salehmkandala1170
@salehmkandala1170 Год назад
Unatakiwa kujibu hoja nasiyo kumshambulia mtoa hoja hii haipendezi
@hidayahassan7473
@hidayahassan7473 Год назад
Kujisifu kujikweza sio sifa ya muisilam zaidi kiomgozi!!!!
@hidayahassan7473
@hidayahassan7473 Год назад
Wote mna shiida na ufahari jitathmini. Mnaaibisha uisilam viongozi wenye elimu ya kutosha lakini mnachezea dini. Jiulizeni kuwa muongozo wa mtume wetu ndivyo ulivyo??
@yahyahamad1802
@yahyahamad1802 Год назад
hii ni.ya zamani tu msimlaumu shekh Muhammad, huyu mwenye media ndio.ameamua kuiweka tena ni.ya zamani tangu.alhad hajatumbuliwa
@sharifuhusseinally542
@sharifuhusseinally542 Год назад
Yani umemuomba mungu akufanyie dahili ulimi wako uweze kuongea maneno fasaha yenye kueleweka je maneno yenyewe ndo hayo?
@yaizfamily6615
@yaizfamily6615 Год назад
Hii ni clip ya zamani chunguzeni kabla ya kuanza kutukana watu wenye elimu.
@saidishalako
@saidishalako Год назад
Abuu Idd vs Al Hadi nani zaidi kiufahamu(SI kielmu). Naona shida pande zote Mimi ila Abuu Idd Kiitakadi ana afadhali.
@anawa4326
@anawa4326 Год назад
Really sad indeed 😢😢😢
@sulyshaaban9392
@sulyshaaban9392 Год назад
kajamaa kameanza kero muda mrefu..elimu
@zuwenahumoudy3198
@zuwenahumoudy3198 Год назад
Jamani basi Tena jamani kwani nyie hamna makosa jamani mbona hivyo
@hafidhnzota2142
@hafidhnzota2142 Год назад
Sheikh Mohammed Idd. Umesema ukweli sasa viongozi wa Uislam nchini upo? Je unafanya nini? Je muda wote mtu anafanya kazi anakosea WANAMUOGOPA HUYO
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 Год назад
Media acheni unafiki nyie ndio wafitinishaji wa dini namba moja
@ayabukingshashu8018
@ayabukingshashu8018 Год назад
Kweli hafai huyoo
@HamadHamduni
@HamadHamduni 2 месяца назад
Huyo alihadi ni kafiri
@mohamedsaid1804
@mohamedsaid1804 Год назад
Kimsingi mashekhe wengi wana maradhi ya BT
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Год назад
Mliwahi kukwazana MSAMEHE
@mwanaishakatuli5707
@mwanaishakatuli5707 Год назад
Hii cilp ya mwaka juzi ila imewekwa tena ili huyu shekhe alhadi ajitathmin kuwa yeye alijiona amefika
@mahfoudhcalender2747
@mahfoudhcalender2747 Год назад
mbona apo mwanzo ulishindwa kumkosoa umesbr alipofukuzwa ndo unamrudi.
@hassanlikwenangu8471
@hassanlikwenangu8471 Год назад
Alimkosoa miaka mingi,wakagombana na wakapatanishwa..Hii sio ya leo
@djaffarsabiti4925
@djaffarsabiti4925 Год назад
Amelifanya hili tangu week hio hio. Labda wewe haukufuata tu.
@alhamdulillahalhamdulillah7529
Yalikwisha pita kitambo ni. Biashara tu kupitia mitandao yetu
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Год назад
Mnatuchanganya.MSAHAFU MNAUFUATA au mnajumuia nyengi ne ?!!!!Bora mnyamaze
@mariamhamza3673
@mariamhamza3673 Год назад
Wacha ubishi kijana
@saidsalim4524
@saidsalim4524 Год назад
Kibiri kimekuponza tafuta buyu ukunee ulijisahau Sanaa ukaniona wewe Kama mungu mtu haya Sasa ushatumbukiwa Dr mwaka hachezewi mbwa wewee maneno yavusara hunaaa
@fatnasaidi3027
@fatnasaidi3027 5 дней назад
Mbwa niwewe
@alphansamwi4158
@alphansamwi4158 Год назад
Walozungumza na wewe kwa adabu ni wanafiki ka wewe tu huna lolote wewe pia dar sio yako chunga ulimi ww,
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Год назад
HII DINI HAIKOPWI KARIBUNI MTAFAHAM subirieni !!!!
@hanifatanzania7258
@hanifatanzania7258 Год назад
Nawe pia unayako hatunajinsitu hatukuitaji. Niwote bakwata hatuwataki mnachaguanatu wenyewekwa wenyewe
@mbut3437
@mbut3437 Год назад
Acha zako wewe
@khadejakhadeja9713
@khadejakhadeja9713 Год назад
Mbona hukusena wakati yupo madarakani Leo hayupo ndio unayona unafiki .huo
@nevermind4789
@nevermind4789 Год назад
Hii ni video ya zamani Alhad akiwa madarakan
@fatumamisinga6211
@fatumamisinga6211 Год назад
Hueleweki nuzi tu umemtetea leo unamruka 🤣
@ayoubbilal3319
@ayoubbilal3319 Год назад
Mtalaka wa bakwata anatoa vijembe tu hajibu hoja 😆😆
@asiakheir8684
@asiakheir8684 Год назад
Acha ujinga viongozi wetu wadini hatutaki kuwakashfu hatakama wanamapungufu hayo yalishapita wewe afrika shwahili acha uchonganishi sisi tunajua aliteleza
@khaalidcheo5383
@khaalidcheo5383 Год назад
Tulieni nyie wafata upepo dawa iwaingie.
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Год назад
Makusudio yenu wewe na nani. Kuomba kwa jina la yesu??Usituchefue
@nully123
@nully123 Год назад
Sheikh al had Mussa tokea nilivooba alivonsema Buu idd namna hii alishuka daraja kwangu..Hata kama amekukosea mtu kidini sidhani kama unaambiwa umchambe mtu hivi..wewe ylikuwa sheikh wa mkoa kama kuonge ujuwe vha kuongea alikuwa anaongea kama mvuta bangi maneno hayafai kama sheikh wa mkoa kuongea yaani alikuwa mtu hajiheshimu hana hekma kabisa...yeye anahangaika kujibu kusuta watu utasema ana undugu na khadija kopa...Kama abu Idd kakosea basi yeye kama sheikh wa mkoa angetumia hikma na changua maneno ya kuongea sio hivii mdomo umepinda hujakoma wewe hasidi basi hii taarab
@maymunamakungu6265
@maymunamakungu6265 Год назад
Makusudio yenu wewe na nani?
@ahmadbadawi9664
@ahmadbadawi9664 Год назад
Nimekaona kachawa kake kapo nyuma,kumbe kameanza muda mrefu.
@hiarijuma2684
@hiarijuma2684 Год назад
Hakuna mkamilifu mbona wengine huwasemi ?
@abdulqadirjuma7495
@abdulqadirjuma7495 Год назад
Wewe ndio wa kwanza shekher kutokuwa na busara kwanini yote haya hukuyasema wakati shekher yupo madarakani?mpaka unasubilia mpaka mtu atumbuliwe au atolewe madarakani?huoni kama wewe ni mpuuzi wa kwanza shekher wangu?
@yaizfamily6615
@yaizfamily6615 Год назад
Hii ni clip ya zamani sio ya sasa muislam mwenzangu.
@minnahhers7437
@minnahhers7437 Год назад
Hii ya zamani jamani
@minnahhers7437
@minnahhers7437 Год назад
Ni ya kitambo hii si ya sasa enyi waja wa Allaah
Далее