Huyu Sheikh akiritadi siwezi kushanga maana naona nyenendo zake zina hasira Ya kuondolewa ktk cheo. Ila kwa kweli japo sina elimu kubwa ila hatuna utamaduni wakutumia duwa kwa jina la kiumbe yoyote zaidi Ya Allah.
@@davidmnyela2459 Wote sisi ni viumbe wake Mola, binaadam, minyama, miti, mbingu na ardhi, mabahari na maziwa vyote vilivyomo duniani ni viumbe vya Mungu kwani wewe unasemaje? Minyama imeumbwa na nani?
@@sonnyr1899 Kama Yesu ni kiumbe kwanini alikuwepo kabla ya Muhammad kuwepo na bado yupo mpaka Leo huko mbinguni??? Na manabii wote kabla ya mohammad walishakufa,kwanini Yesu yupo hai mpaka Leo???
@@allycomm1553 ukishakufa na lako halipo Hesabu ni hapa hapa duniani ili uijue njia ya Mungu muumbaji,nini maana ya jina YESU??? Na nini maana ya jina ALLAH???
Ila musa salim umezid Sisi waislam tulikuwa tunachukizwa namambo yako mpaka tulijua labda Umeungana na wakiristo mara kwenye mwezi hata kama umeandama unawafuraisha watu flani tu unatangaza siku utikayo Nimefurahi sana kuondolewa Nafasi yako Wallah.
KIONGOZI KUTUKANWA SIAIBU ,BALI KIONGOZI KURUDISHA MATUSI NI KOSA KUBWA SAAANA NA NI AIBU KUBWA KABISA, KIONGOZI NI WA WOTE WAZURI NA WABAYA LAZIMA AWE MSTAHAMILIVU SANA.
Sheikh Alhadi Musa had argument with Sheikh Mohammed Iddy, and they refuted each other in separate media and not being together and Sheikh Alhadi Musa called Sheikh Mohammed Iddy a hypocrite and a person of bringing conflict, but all are Shafi Sunni Muslims but they differed in views, and all are hired by the Government in the preachers in the Bakwata the preachers appointed by the Government, but they did not hit each other as Nigerians or South Africans or others or Pakistanis or Indians stabbing each other, but then they reconciled but even if they did not still they can meet each other and greet each other.
Ubinafsi tu ndio unaowasumbua kwani kutaja jina la Yesu kuna shida gani? Mbona michango ya watu wa hao wa dini nyingine mnaipokea na misikiti wanawajengea na mnaswali sasa tabu iko wapi jamani Afrika hii hatuna dini hivi ni vitu vya kuletewa tu visitutenganishe .
Wakristo wanamwiita yesu kama mungu au mwana wa mungu na waislam wanamjua kama mtume wa mwenyenzi mungu kama manabii wengine waliopita na pia hii ndo tofauti kati ya wagalatia na waislam .
Wote mna shiida na ufahari jitathmini. Mnaaibisha uisilam viongozi wenye elimu ya kutosha lakini mnachezea dini. Jiulizeni kuwa muongozo wa mtume wetu ndivyo ulivyo??
Kibiri kimekuponza tafuta buyu ukunee ulijisahau Sanaa ukaniona wewe Kama mungu mtu haya Sasa ushatumbukiwa Dr mwaka hachezewi mbwa wewee maneno yavusara hunaaa
Sheikh al had Mussa tokea nilivooba alivonsema Buu idd namna hii alishuka daraja kwangu..Hata kama amekukosea mtu kidini sidhani kama unaambiwa umchambe mtu hivi..wewe ylikuwa sheikh wa mkoa kama kuonge ujuwe vha kuongea alikuwa anaongea kama mvuta bangi maneno hayafai kama sheikh wa mkoa kuongea yaani alikuwa mtu hajiheshimu hana hekma kabisa...yeye anahangaika kujibu kusuta watu utasema ana undugu na khadija kopa...Kama abu Idd kakosea basi yeye kama sheikh wa mkoa angetumia hikma na changua maneno ya kuongea sio hivii mdomo umepinda hujakoma wewe hasidi basi hii taarab
Wewe ndio wa kwanza shekher kutokuwa na busara kwanini yote haya hukuyasema wakati shekher yupo madarakani?mpaka unasubilia mpaka mtu atumbuliwe au atolewe madarakani?huoni kama wewe ni mpuuzi wa kwanza shekher wangu?