Тёмный
No video :(

HII HAPA BAJETI YA KUFUGA KUKU WA MAYAI. TAJIRIKA KUPITIA KUKU. 

Rgs Tv
Подписаться 3,9 тыс.
Просмотров 36 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 39   
@zaudolutambi9895
@zaudolutambi9895 3 месяца назад
Ubarikiwe sana kaka kuna baaz ya wafugaj wanakatisha tamaa
@Hansi-x8f
@Hansi-x8f Месяц назад
Nakubali Sana good idea umetupa
@SAMUELGEORGE-so3qj
@SAMUELGEORGE-so3qj 2 месяца назад
Mungu akubariki kaka Mungu aendelee kukutunza umeongea kitu ambacho wafugaji wengi huwa hawakiongei baadhi ya wafugaji wengi huwa hawasemi ukweli pindi mtu anapotaka Ushauri juu ya ufugaji wa kuku wa mayai huwa ni waoga kuona mtu mwingine anafanikiwa kama wao ni wabinafsi sanasana Mimi nitakutafuta nakuomba unishike mkono natamani kufuga kuku wa mayai ila sijapata mwongozo stahili nitakupigia sim tuongee zai mungu azidi kukuinuwa zaidi ya hapo ninaamini kuku ni utajiri mkubwa sana kama unaenda kwa misingi ya kuku wanavyotaka
@EnthusiasticJaguar-ej2du
@EnthusiasticJaguar-ej2du 11 дней назад
Nataman kufuga kuku wa mayai ila muongozo sina
@DOROTHEAHAROLD-gt7di
@DOROTHEAHAROLD-gt7di Год назад
So interesting
@NeemaBaletse
@NeemaBaletse 12 дней назад
Naomba bajeti ya kuku 100 kuanzia tokea ninapoanza mpaka wnapoanza kutaga
@user-oy3pp1lb4d
@user-oy3pp1lb4d Месяц назад
Aisee broo umetisha nipo Mbeya nafanya uwakala naacha narudi moshi kwetu kufuga kuku
@bonifacemollel87
@bonifacemollel87 2 месяца назад
Sio kweli kabisa eti kuku anataga mayai kilasiku ndani ya mwaka moja
@kananiomwamirwenyagira8374
@kananiomwamirwenyagira8374 2 месяца назад
Endelea kujifunza ukisema kwa sauti utachekwa..kaa na mfugaji akufundishe
@HaroldUkason-cs3jk
@HaroldUkason-cs3jk 2 месяца назад
Sikiliza vizuri maelezo na uyarudie tena. Amesema kuku WANATAGA kila siku kwa miaka miwili na sio ANATAGA maana yake hakuna siku utaingia bandani ukose mayai ndani ya miaka miwili. Kuku mmoja wa mayai aliyelelewa vizuri anaweza kuacha kutaga mara moja tu kwa wiki. Pia kuna sehemu amesema wanaweza KUKATA au KUACHA kutaga kwa sababu mbalimbali. Fanya utafiti vizuri mpendwa.
@bonifacemollel87
@bonifacemollel87 2 месяца назад
Sawa kaka ​@@HaroldUkason-cs3jk
@user-pj7ng8il4t
@user-pj7ng8il4t 16 дней назад
Jibu swali acha kutoa maelezo
@lucyathumani8181
@lucyathumani8181 7 месяцев назад
Natamani kweli tatizo mtaji
@barakamutabazi2824
@barakamutabazi2824 16 дней назад
Kazi nzuri. m.ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-kOH7-qS4kxU.html
@MaryKasaine-us6fo
@MaryKasaine-us6fo 4 месяца назад
Niko arusha nahitaji fundi wa kunijengea banda zuri nianze ufugaji wa kuku
@raphaelmtui
@raphaelmtui 4 месяца назад
Pigia hiyo namba iliyooneshwa kwenye video
@user-nm2jq7xo5f
@user-nm2jq7xo5f 17 дней назад
Naomba namba yako ya simu
@alexntahiraja2974
@alexntahiraja2974 2 месяца назад
Jamani neno uaminifu ni mtaji lisiwapite. Wapo matajiri wengi ambao wana pesa na hawapati watu wa kuwaamini.
@raphaelmtui
@raphaelmtui 2 месяца назад
Tumelitaja kwa uzuri kabisa Bwana Alex.
@josephkiwale374
@josephkiwale374 Месяц назад
Upo sahihi kiongz
@ruwaydaversi9825
@ruwaydaversi9825 6 месяцев назад
Thanks
@RoseMbwana
@RoseMbwana 5 месяцев назад
Mtaji wa 300000 unapata kuku wangap
@huldawango6915
@huldawango6915 6 месяцев назад
Naomba namba zako za simu tafadhali
@raphaelmtui
@raphaelmtui 6 месяцев назад
Tumezitaja kwenye hiyo video kwa uzuri kabisa.
@user-qs8qu5kz6j
@user-qs8qu5kz6j 5 месяцев назад
Kaka kwenye hilo bado unafanyeje usafi
@raphaelmtui
@raphaelmtui 5 месяцев назад
Piga simu namba zipo hapo kwenye video utafundishwa bure. Somo muhimu sana hilo.
@user-hh8oc4lp9c
@user-hh8oc4lp9c 10 месяцев назад
Asanteni
@user-kp7vj1eg3y
@user-kp7vj1eg3y 3 месяца назад
Million 7 za TZ ni pesa gapi kenya
@dicksonmutungi7367
@dicksonmutungi7367 3 месяца назад
368,000 Kshs
@jifunzemengi1620
@jifunzemengi1620 2 месяца назад
Ingia google andika tsh to ksh
@peterkalistopeter1396
@peterkalistopeter1396 Месяц назад
Kuku wa mayai hawalipi
@Amazing-xk3hj
@Amazing-xk3hj 29 дней назад
Wanalipa ila faida utaiona baadae
@MadamOrida
@MadamOrida 2 месяца назад
Naomba namba zako kaka
@raphaelmtui
@raphaelmtui 2 месяца назад
0688129292 namba za huyo mfugaji
@salehhassan4010
@salehhassan4010 6 месяцев назад
kaka kuku 100 wa mayai wanahitaji banda lenye ukubwa gn?
@raphaelmtui
@raphaelmtui 6 месяцев назад
Weka namba yako hapa utapigiwa na mtaalamu
@joyceamos8136
@joyceamos8136 4 месяца назад
Si mtuambie hapa kila mtu ajue jaman?
@joyceamos8136
@joyceamos8136 4 месяца назад
Alafu mbona mmeanzia ela kubwa hivyo mpk mtu anaogopa kuanza kufuga? Mamilion yote hiyo mmmh
@raphaelmtui
@raphaelmtui 4 месяца назад
0688129292 Anaitwa Mwl Harold
Далее
SHAMBALULU: UFUGAJI KUKU WA MAYAI KISASA.
28:07
Просмотров 18 тыс.
Simple Flower Syrup @SpicyMoustache
00:32
Просмотров 1,4 млн
Bajeti ya kuku wa mayai 100 | Layers 100
8:57
Просмотров 24 тыс.
ELIMU BILA MALIPO - BIASHARA YA UFUGAJI WA KUKU
28:36
Просмотров 168 тыс.