Mashaallah kweli imependeza sana kweli hongereni sana na mungu awatangulieni katika safar yenu ya maisha ya ndoa maana peke yenu hamuwezi pasipo mungu ili ndoa yenu iwe yenye furaha siku zote za maisha yenu
Ni ombi langu kaka Ambwene na shemeji yetu Jackline Ambwene ndoa yenu ni mfano tosha wa kuigwa Mungu aliye ianzisha hii safari awe nanyi mpaka kifo kitakapo watenganisha na mnaenda kuwa washauri wazuri kwa watu wengine
Mungu awe nanyi katika safari ya maisha lakin kaka ambwene kaktka maisha yenu, kumbuka sana maneno ulionena katika wimbo wako Wa ndoa, mungu awashike mkono, haraka tele ziw e juu ya nyumban yenu, amina