Huyu mtangazaji mashaallwah anajitahidi sana ila watu wengine hupenda kutia wenzao ila tu lkn mtu huyo huyo ukimpa nafasi kama hii wallwahi thumma wallwahi atachemka sana.. kubwa tuombeane Dua na tuwache UBAYA wa nafsi .
Ama kweli nibora uwe mjinga hujui haqqi kuliko mpumbavu anaejua haqqi na akaikanyaga Kwa kufata matamanio yake na kuwaridhisha wazee wake na watuwake ❌❌❌❌❌❌
Mwamba ina maana Maswahaba hawakuyajuwa haya kuwa Yana muhimu, nyny ndio mnajuwa zaidi kutenda mema. Daah waislamu Sisi WA Leo kweli Mtihani. Yaani Kanzu nzuriiii mnavaa na Maswahaba walivokuwa. Ndio Sayyidna Umar kashafariki, angewakuta Watu sampuli yetu hii angecharaza Bakora mbiooooo!
Kisha unasema wale ambao hawajafahamu. Basi na Maswahaba hawakufahamu hayo na wapo waliobashiriwa Pepo Duniani. Jee Nyny vipiiiii mnajijuwa mlipo mnafanya mliyokuwa hamukuamrishwa!
Znz hakuna mtu atae Acha kazi zake akaeka munakash na ww dj na nyinyi nyote mutaenda kuulizwa na Allah na ww sheikh mudhihir mche Allah unaubeba uwo uzushi na Allah atakuhukumu kupitia ayo na ww kizito hujaona watu wa kutuletea mpk ulete wasanii mungu ndo atakuhukumu
Waumini tumeumbwa kupenda haqqi kutoka Kwa Allah na mtumewake ilo lenu limetoka wapi? Kwa Allah au mtume? Au maswahaba? Au maimamu wakubwa? Duh aisee watu ni wabishi sijapata Kuona he 😠🤔🤔🤔
Nini uwahabi, uwahabi ni genge au kundi lilioanzishwa na Muhammad Abdul wahab kutoka katika mji wa Najid huko saudia yapata miaka 300 tu iliyopita, na hawa mawahabi ndio waulioungushs utawala halali wa saudia ya zaman kabla ya saudia ya sasa, Mawahabi ndio waliopindua uongozi halali wa kizazi cha mtume katika miji ya kale ya saudia Arabia, hii saudia ikiwa mawahabi hamuelewi ni jina la babu wa Fahdi bin Abdul azizi Al saudi, hawa mawahabi ambao wanaleta shida katika dunia ndio walipindua kizazi cha mtume kwa msaada wa Uingereza na Marekani, Hawa mawahabi ndio waeneza chuki katika uislam, Hawa mawahabi kila kheri hujaribu kuibadisha ili iwe shari, Uwahabi chimbuko lake ni mji wa Najid mji ambao mtume Muhammad S, a, w alikataa kuuombea dua, kumbe alikwisha jua kuwa muanzilishi wa uwahabi atatoka hapo na ndio sbb ya kuja kuutia dosari na kukosoa kila zuri la kiislam, Uwahabi ni kama chama, unaingizwa na kutolewa,
Tukisema tufunge ndevu na kuoa mnasema sunna nyingine hatuzioni tukizifata sunna nyingine mnasema mnataka ndevu sisi sio Nabii hatuwezi shika yote hayo sisi nyongo tunazo Nabii hakuwa na Nyongo hii ni tafauti yetu na yeye
Huwa mnashindwa Kutueleza nn Uwahabi kiistwilahi na kilugha??Je,Uwahabi ni nn Hili swali hamjaweza Jibu Masufi mpka sasa. Kwa sabab Hakuna Kundi/Madhehebu linaloitwa wahabi. Na hakuna Maana ya Mawlid inayomaanisha hiyo yenu Bali ni Ihtifaalat bil mawlid Nabiyy. na Hakuna Mwanachuoni yyte Asemaye Jambo hili ni sunna.
Mtangazaji jitahid tulia na fikiria unachotak kuongea usikurupike utangazaji unaitajia fikra kubwa sio kilaakati eee aaaa, hem tulia na punguz papara katik kuongea. Na ukifanya hivyo utakua mtangazaji mzur sn
Huyu mtangazaji ni Chale anashabikia akipotoka Bure hata ukauze samaki malindi Uandishi wa habari haukufai kabisa Na huyo unaemuhoji ajijua hayumo ndio maana amekimbia Mombasa
@@checkcheck5191 kwa kafiri MAULID (MAZAZI YA MTUME SAW) NI UVUNDO. LKN KWA WAISLAMU MAZAZI YA MTUME WETU NI FURAHA TU. CHUKI ZENU MAKAFIRI HAZIWEZI KUTUTUDISHA NYUMA WAISLAMU
sasa hivii hamtupatii tushashtukaa wano yapiga maulidii wanahojaa zenye misingii ya haq juzi naangaliaa clip watuwamaulidi wameambiwa maulidi nibidaa mtume wala maswahaba hawaku fanyaa wakaja na hojaa wakasema bc na mashindano ya quran nibidaa maana mtume hakufanyaaa 😅😅😅duuh
@@jamalikatikiro6145 ebu eleza kidogo tu ibun Abdulwaab ni nani? Na nina uhakika tena asilimia mia moja hujui na hujui....humjui ni nani ila ni fikra tu za kizembe mmelishwa...na kwa sababu wallahi nina uhakika ungalikuwa wamjua ni nani hungethubutu kutapika hayo matapishi yako
@@yusuphhamisi504abuu khawla aliambiwa ajitokeze kwa Niqash kama yule kikojozi akakimbia lkni mpaka leo hajajibu amenyamaza wala hajasikika tena kama vile huyo kikojozi kutoka baada ya Niqash mpaka leo hajasikika tena na zile kelele zake za kama mwaka jana kutukana wanazuoni na Masharifu juu ya Mamimbar na kutupa kitabu bali sasa twaona mambo yamebadilika yamekuwa tafauti alienda kuwasifu Masharifu na kuweka mijadala na mawahabi wenzake kila siku imekuwa kama musalsal yakuendeleya wanalimana wao kwa wao
Ittakillah, huyo ni muislam kama ww haifai kumkejeli hata kama kuna tofauti flani kati yenu, tunalazmika kua kitu kimoja waislamu pamoja na tofauti zetu tulokua nazo coz hizi haziwezi kuondoka. Samahani kama ntakua nmekukosea kwa nasaha yangu.
user-zr1dv2tb5k Shetwani zaidi wale waloigawanya Tauhid kwa sababu Shetwani alimuahidi atawapoteza ktk waja wake ndio akawapata nynyi mawahabi akawafundisha kuigawanya Tauhid ya Mwenye Ezi Mungu
@@FahdIbnyussuf nyinyi ndio mwajuwa Akida ndio mukaigawanya Tauhid? Kutawasal kwa Mwenye Ezi Mungu kupitia kwa watu WEMA au kitu CHEMA haijakatazwa hata Nabii Yusuf A.S alitawasal kwa KANZU na babake akaponya upofu kwani ilikuwa hawezi kumuomba Mwenye Ezi Mungu moja kwa moja na Dua za Manabii zajibiwa hapo hapo,ilokatazwa mukifanya kile kitu ndie Mwenye Ezi Mungu, sasa hiyo Akida yako au yenu ya kumgawanya Mwenye Ezi Mungu ينقسم توحيدإلى ثلاثة أقسم muliitowa wapi?
Sisi pia hatujawaambia someni maulidi lakini mjue tu dini ya uislamu ima letwa na masufi kasome tarikhi ya East Africa lao siwao hata kukoga janaba na kutawadha mungejuwa nyie mawahabi
Dalili ipo kwa mwanachuoni mkubwa munaemtegea Sheikh Islam IBN Taymiyah ktk kitabu chake IQTIDHAAU SWIRATWAL MUSTAQEEM kasome عن شيخ الإسلام ابن تيمية هو القول بأن: الاحتفال بمولد النبي صلى الله عليه وسلم؛في كتابه اقتضاء الصراط المستقيم:وإنما يفعل مثل هذا النصارى الذين يتخذون أمثال أيام حوادث عيسى عليه السلام أعيادا، أو اليهود، وإنما العيد شريعة، فما شرعه الله اتبع؛ وإلا لم يحدث في الدين ما ليس منه. كذلك ما يحدثه بعض الناس إما مضاهاة للنصارى في ميلاد عيسى عليه السلام، وإما محبة للنبي صلى الله عليه وسلم وتعظيما له، والله قد يثيبهم على هذه المحبة والاجتهاد وقال رحمه الله: " فتعظيم المولد، واتخاذه موسمًا، قد يفعله بعض الناس، ويكون له فيه أجر عظيم؛ لحسن قصده، وتعظيمه لرسول الله صلى الله عليه وسلم،لا على البدع من اتخاذ مولد النبي صلى الله عليه وسلم عيدا. hapo mwisho mwisho asema ktk kuyatukuza Maulid لا على البدع sio ktk Bid'aa
@@abubakaromar6101 mwenye kudai jambo ndo juu yake kuleta dalili/ushahidi... Mlalamishi akidai kaibiwa bas ni juu yake kuleta ushahidi c yule aliye iba