Umeeleza vema an nikweli nyongeza huyo Abdullah mfalme mama yake ni myahud... Ama hizi hila unadhami zitaendelea mpka lini? Hii dunia kuna kila aina ya ya dhulma inayofanywa na Wazayuni. Hao wanaojiita waingereza wamepachikana majina tu wote hao nimayahudi waliopo marekani na kwinginepo.. . Kwahyo unapotoa mada ujue kuwa wapo wajuzi kwenye uyasemayo. .ina maana hata wewe unaguswa na hii dhulma inayo fanywa. Kwa hakika Jutihada ni kubwa na nusra inakuja udhalimu unafika mwisho. Mayahudi watapigwa dunia nzima mpka watasalimu amri. Hy moja pili kuna watu leo bado wanaamini Israel taifa teule huko nikujidanganya km vile hutaki kusikia kifo ingali kifo kipo pale pale. Vyote vilivyo fanywa na Uingereza na wengine ni dhulma na dhulma hua haidumu kinacho dumu ni hasara na hasara ndio hii inajitokeza.utashuhudia tukijaaliwa uhai. Kwakumaluzia kuna Familia inayotawala dunia Ya Roschildy ndio moja ya familia ilo amua kuanzisha 1948 hy israel . Na juzi shetani Sr jacob roschild amekufa naakazikwa israel hii familia inayo zaidi ya trilion dola 5000 mpka leo ndio wanamiliki Kanisa katoliki waliikopesha kanisa dola lake nne ikashindikana kulipwa wakaichukua mambo nimengi Uislamu utabakia na Ushindi mkubwa kwa uchacheo
Yah ni kweli ila allh huwa anatuonesha nani ndie na nani sie,ila uislam haulindwi na bin Adam ila aneulinda ni yule alieumba bilion ya galaxy ambaye ndali ya galaxy 1 tu kaumba nyota km itawekwa mawasiliano hadi ktk nyota iyo ukisema hello,basi baada ya miaka minne4na miezi mi3 ndio ifike huko.sasa huyu ndie mwenye kuulinda hii dini ya uislam(ALLAH S.A.W)
Kosa kubwa linaanzia enzi za dola ya rumi, ilipowatawanya wenye yenye nchi ama jimbo la Yudea (Yuda/Yehuda) baada ya kupinga utawala wao na kulinvunja hekalu la Yerusalem wengi wao walikimbilia na masharik mwa afrika ambako warumi hawakutawala
@@zenahussein2242 Wayahudi halisi wako afrika, alafu jua kutofautisha kati ya Myahudi na Muisrael, kuna moja ni kabila kati ya makabila 12 ya Yakobo pia ni imani, na jingine ni taifa mkusanyiko wa makabila 12 ukitaka kujua kua hao sio, hakuna mlawi, mrubeni, myusufu n.k Yahudi ni kabila la Yuda mtoto wa nne wa Yakobo na ufalme wa kusini makao makuu yao ni Yerusalem ambapo Mungu aliazimia kusimamisha ufalme wake kupitia huyo na ndio kabila la Yesu
Jordan Siyo nchi ya kiislamu hadi mwaka 1960 uislam ulikuwa asilimia 35 lakini kwasasa uislam unakaribia 58 asilimia ndiyo maana kwenye katiba yao rais wa nchi anakuwa mkristo na waziri mkuu mwislamu
@@Awatee Sasa ulitaje .. wanajuana wale ni majirani kama Kenya na Tz.. Yesu Kristo alibatizwa mto Jordan na hapo kunauwezekano Kuna Wayahudi Wengi tu ndani ya nchi ya Jordan..
@@Awatee halafu kwa akili Yako Waarabu na Wayahudi ni ule uadui wa kivita tu lakini hata baadhi ya maneno ya kiyahayudi ni yaleyale ya kiarabu na wanasikizana... Hata kuona wanaoleana Sana tu.. mtoto wa mfalme wa saudia prince mamake ni myahudi baba msaudi Arabia, Osama bin laden mama myahudi baba msaudi Arabia hapo najua utabisha mpaka mwisho 🤣🤣pole Sana
Nice history, ila ,watu,wa ,gaza ,wanakufa , jamani, waislamu,mungane na wakristo, wa Tanzania mpige kerere mbona ,mmenyamaza wanaokufa kule sio mbuzi ,eti, ni binadamu, kama cc,
Awo si ndio wale waliolishwa sumu vichwani mwao,Israel ni taifa la mungu, ata akili hawatumii kabla ya 1947 kuliluwa na taifa linaloitwa Israel? Ata uyo Israel masikini hawamjuwi ndio nani wanapelekeshwa tu, wkt huu ndio wakutumia akili kwa wakiristo nakuchanganua.
Ila wewe watanzania wafanye Nini? Mmarekani kwenyewe watu wana andamana ila imeshindikana, south wameshitaki lakini wapi unafikiri sisi tunaweza kufanya nini?