Тёмный

HISTORIA YA SHEIKH KASSIM MAFUTA -ALLAH AMUHIFADHI 

Elimu sahihi
Подписаться 17 тыс.
Просмотров 66 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

27 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 217   
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 года назад
Mashekh wetu Allah awahifadhi biidhinih, kweli mlitutoa kwenye jaa, tulikaa Sana na masufi na mahizibi wakatupotezea umri na mda wetu, hatukusoma kwao uislam wa sawa, walillahi lihamdu mmetutua mzigo wa viza. Namuomba Allah ajaalie jitihada zenu hizi ktk mizani ya mema yenu siku ya qiyama.
@kassimkilwiye4742
@kassimkilwiye4742 2 года назад
Jazakallahu khairan
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 года назад
@@kassimkilwiye4742 amiin wa iyyaka
@MuhammadiKulanga
@MuhammadiKulanga 7 месяцев назад
MashaAllah nimepata kujifunza kitu Alhamdulillah 🤲🏿 niingie mzigoni sasa InshaAllah ✍️✍️✍️✍️✍️✍️✍️
@fadhiliramadhani7758
@fadhiliramadhani7758 8 месяцев назад
Allah akuhifadhi sheikh wetu,Na baada ya Tawfyq ya Allah tumeijua haqq kupitia ww
@suleimanabdul-karim1212
@suleimanabdul-karim1212 9 месяцев назад
Allah akubarik sheikh QASSIM Mafuta Allah akupe umri na afiya njema akupe mwisho mwema YaaRab
@muhidinizuberi2726
@muhidinizuberi2726 3 года назад
Jaman mim natangaza hadharani mim nampenda sana shekhe wangu huyu allah amuifadhi tuzid kustafidi
@nabillkhamis8188
@nabillkhamis8188 2 года назад
Ww tangaza ila uyo si shekhe
@mbanga6759
@mbanga6759 2 года назад
@@nabillkhamis8188 Ninani .?
@KassimBakari-mw8ey
@KassimBakari-mw8ey 7 месяцев назад
Sheikh kassim mafutaa " mashallah " , sijamsahau Babu yangu sheikh twaha pongwe , wako kassim Bakari Bindo kutoka kigamboni dar es salaam.
@IsmailrashidAbdul
@IsmailrashidAbdul Год назад
Mashallah, Allah akuhifadhi sheikh wetu Qasim mafuta na akuzidishie ilm
@swalehfarid5466
@swalehfarid5466 3 года назад
Utamu Umekatika Njiani Haikuisha Mpaka Mwisho...ALLAH Akuhifadhi Sheikh Qasim Na Akupe Umri Wa Kheri
@tawfiqathman2045
@tawfiqathman2045 3 года назад
Aamin yaa rabbal aalamiin
@tawfiqathman2045
@tawfiqathman2045 3 года назад
Allah atujaalie na ss wengine tuwe mfano wake na ss
@muniratalal8418
@muniratalal8418 3 года назад
Tafadhali Twaomba mwisho wa kisa Chako chakusoma eilm. ALLAH AKUHIFADHI
@RahmaIsmail-l9o
@RahmaIsmail-l9o 5 месяцев назад
allah akuhifadhi sana maasha Allah nakupenda sana kwa ajili ya allah
@alimasigasaleh8530
@alimasigasaleh8530 3 года назад
Sheikh kuelezea kusoma kwake lengo ni kututia jazba na hamu ya kutafuta ilm. Allah amhifadhi
@abbuuarqam
@abbuuarqam 3 месяца назад
Masha Allah Sheikh Qassim Mafuta Allah akuhifadhi
@abuuhudhayfa1838
@abuuhudhayfa1838 2 года назад
Mashaallah Allah amekuhifadhi akhyy
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 года назад
Baaraka Allah fiyka wa jazaka Allah khayran sheikhanaa Abul Fadhwil.
@meriamumeriamu9015
@meriamumeriamu9015 Год назад
Allah akuhifadhi sheikh wetu
@wskn9061
@wskn9061 3 года назад
JazakAllahu Khairan
@Abuumuqbil4994
@Abuumuqbil4994 Год назад
Naam very good mafuta allah akuhifadhe
@faizhassan8423
@faizhassan8423 10 месяцев назад
Mashallah Elmu, kajifuze kuwa na thawaadhu, pamoja kuwa na Hikima na Busara.
@fhyubhhh2881
@fhyubhhh2881 2 года назад
May Allah bless you always Ameen Yarrab
@MasoudMasoud-mt9bz
@MasoudMasoud-mt9bz 7 месяцев назад
Mimi napenda kumuita Gogo la Tanzania Allah akuhifadhi Sana kama Kuna mtu ana namba zake nahitaji kumsalimia tu!
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
Allah atulinde na Shari za mawahabi na hao waliopandikizwa mbegu za chuki dhidi ya waislamu
@abdulraheemhussein1832
@abdulraheemhussein1832 11 месяцев назад
Kufa na chuki Yako!!!
@hashimiddi4789
@hashimiddi4789 2 года назад
Allah akuhifadhi shekhe
@muniratalal8418
@muniratalal8418 3 года назад
Very beneficial may Allah reward you jannatalfirdaus Al Aalaa. Shekhe qasim mafuta and all salafy brothers
@azizaj776
@azizaj776 2 года назад
Yes May Allah reward him JAHANAMA
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 года назад
Allahuma amiin, My Allah reward you the same also.
@mbarakassa4347
@mbarakassa4347 Год назад
Mashaallah sheikh Qaaim Mafuta Allah Akuifadhi
@AsmaaIssa-wz6by
@AsmaaIssa-wz6by 2 месяца назад
Maasha Alla😂😂 mpaka nimeona wivu jmn Allah akuhifadhi shekhe wetu
@hilmialiomar1983
@hilmialiomar1983 2 года назад
Mashallah, kwa wale hawakusoma muda bado upo tusikate tamaa.
@abbuuarqam
@abbuuarqam 3 месяца назад
برك الله فيك
@ZakariaHamad-y6j
@ZakariaHamad-y6j 12 дней назад
@umulkulthumabdallasaid8520
@umulkulthumabdallasaid8520 Год назад
ماشاءالله تبارك الله... الله يحفظك
@amenakenya7993
@amenakenya7993 3 года назад
Ma shaa Allah shekh wangu tunaomba muendelezaa shaa Allah Allah akuifadhi Amiyn
@jumadou8418
@jumadou8418 3 года назад
Barakallah fikum wajazakallah khaira shykhe wangu
@muhammadabdallah5304
@muhammadabdallah5304 2 года назад
Mashaallah
@abuunajat4450
@abuunajat4450 3 года назад
Maashaallah good massage my brother kassim mafuta
@hamzamwaya463
@hamzamwaya463 3 года назад
Allah akuhifadhi
@ibrahimracho2357
@ibrahimracho2357 3 года назад
Ma Sha ALLAH umejaaliwa ilmu, shida ni umenyimwa hikma,faman utal hikma faqad uutiya khairan kathira,sasa huko kujisifu ndio kukosa hikma
@fadhilimussa5067
@fadhilimussa5067 3 года назад
Hajisifu Bali anaelezeaa history ili watu waige mema ..mkasome na nyie
@abuhafswin2686
@abuhafswin2686 3 года назад
Hujui maana yahikma ndo maana ukasema hayo,Allah atuongoze
@HamkingCompanyLimited2023
@HamkingCompanyLimited2023 2 года назад
Huelew unachoongea! Na kla unaloongea ujue wapo malaika juu yako wanadhibiti. Usimuongelee mtu usiyo mjua.
@rizikishekh7639
@rizikishekh7639 2 года назад
Allah amzidishie elim shekhe wet
@Ahmadasshii-raazy8888
@Ahmadasshii-raazy8888 11 месяцев назад
لا يجرمنكم شنآن قوم على ان لا تعدلوا اعدلوا هو اقرب للتقوى
@selemanishabani463
@selemanishabani463 11 месяцев назад
Huna shukran na mashekh zako walokusomesha kwakutaka ukubwa nyinyi mawahabi ni walokole ktk din hii kila jambo mwajiona mko Sawa kuliko wengine
@Dawah99
@Dawah99 3 года назад
Our beloved brother, Shaykh Kassim Mafuta حفظه الله
@pavillioncry5241
@pavillioncry5241 Год назад
Inshaaaalah na mie nitakuwa zaid yako
@muhammadochenje4610
@muhammadochenje4610 3 года назад
Zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki walisoma hapa hapa Africa ya mashariki na kisha kuenda kusoma Arabuni mfano wao ni kina sheikh abdallah bin Muhammad bakathir mwanafunzi wa baba wa harakati za elimu Africa ya mashariki Al habib swaleh bin alwiy Jamalullayl,kina sheikh Abubakar bin Muhammad al maawiy,kina al habib Abubakar bin abdrahman manswab,kina al habib alwy bin Abubakar ashaatwiry na wengineo wengi tu katika mabingwa wa kiilimu wa Africa ya mashariki,hawa walisoma makkah kwa mufti wa makkah wa wakati huo assayyid ahmad zain dahlan, mwenye kitabu maarufu cha dahlan,kina sheikh Muhammad bin said babsweyl alikuwa pia mufti wa makkah kina asayyid Abubakar bin Muhammad shattwa mwenye إعانة الطالبين na vitabu vingine hawa ni baadhi tu ya wanazuoni wa makkah walowahi kuwasomesha wanazuoni wetu hao wakubwa tulowataja,upande wa yemen ni kina al habib Ali bin Muhammad al habshy,kina al imam asayyid Aydarus bin umar,kina al habib abdrahman bin Muhammad al mash-hur.hawa walikuwa wanazuoni walokubalika ulimwengu wa kiisilamu wakati ilmu ilikuwa imezagaa.licha ya yote hayo,wanazuoni wetu wa Africa ya mashariki wengi wao kutoka kisiwa cha lamu kenya na wengine unguja waliporudi kutoka arabuni hawakuwadharau walimu zao wala kujiona eti wao ndio wanajuwa sana,bali heshima yao ilizidi kwa walimu zao na walielimisha jamii toka miaka hiyo mpaka sasa ilmu ya afrika ya mashariki yatoka kwao na makkah na yemen.leo akija mtu kama kassim mafuta na mfano wao na madai eti masalafi mara ilmu swahihi,ni fujo tu kwa jamii na utovu wa nidhamu.Afrika ya mashariki ilmu na uisilamu sahihi uko toka zamani huu upuzi awababaishe wasojuwa na wahabi wenziye,kama ni kusoma njee walitangulia zamani wanazuoni wengi waafrika wa mashariki,eti historia ya kusoma kwake!!lipya ni lipi hapo?au cha ajabu?bali kuonesha utovu wa adabu miaka nyingi amesomeshwa na mashekhe wa kisufi kisha hawaombei rahma akiwataja na kuwashutumu kila wakati,toka kuanza kusoma kwake mbona hasipelekwe kwa masalafi?walikuwa wapi?
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 года назад
Nimekukubali ndugu yangu wewe sio elimu wewe umepata elimu ya hufahamu kutoka kwa Hawa masalafy wasaka tonge...
@ismailmsangule1380
@ismailmsangule1380 2 года назад
Allah atunufaishe kwa barka zao aamin aaamin aaamin aaamin
@abdulraheemhussein1832
@abdulraheemhussein1832 11 месяцев назад
Kufa na chuki zako!!! Maulamaa wa Yemen wanajulikana Wacha kutaja wanazuoni masufi na makhurafi!
@mustafahkapopwa-bi7yb
@mustafahkapopwa-bi7yb 5 месяцев назад
Wewe ume acha nuru na kufwata jiza za Muhammad abdul wahabu mwenyezi mungu akuongoze katika kupotea kwako.
@YasirOmar-x5e
@YasirOmar-x5e 11 месяцев назад
Alla amuhifadhi
@margayibrahimu4607
@margayibrahimu4607 2 года назад
Nakupenda kwaajili ya allah Allah akuhifadhi shekh wetu mlezi
@yahyamohamed4862
@yahyamohamed4862 3 года назад
mimi niko nairobi napennda kumsiakiza sheikh hafidhahullah
@Heiswatching.
@Heiswatching. 2 года назад
Allaah akuhifadhi akufanyie wepesi
@yahyamohamed4862
@yahyamohamed4862 2 года назад
@@Heiswatching. amiin ndugu yangu tuko wengi tunataka tuje tusome uko inshaallah
@Heiswatching.
@Heiswatching. 2 года назад
@@yahyamohamed4862 Allaah عز وجل , atawatakieni kheri tu.
@Heiswatching.
@Heiswatching. 2 года назад
@@yahyamohamed4862 dua
@yahyamohamed4862
@yahyamohamed4862 2 года назад
@@Heiswatching. amiin ndugu yangu Allaah akuhifadhi nawewe
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl 9 месяцев назад
Wewe hujasoma kwaajili ya kupata radhi za Allah s.w bali umesoma ili tu kupata sifaa kwa watu basi hunajengine na ndio masalafi mulivyoo sifa nyinyi na kibrii basi hamuna jengine
@ismailkasim979
@ismailkasim979 3 года назад
Mm nampenda shekh wangu huyu Allah amuhifadh na mahasidi
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 года назад
Aamiin
@JuchonlineTV
@JuchonlineTV 10 месяцев назад
Mbonaa masheikh zako unawaita vijana???
@faatwimahwazir4871
@faatwimahwazir4871 3 года назад
Allah ambaarik sheikh wet
@mudarisuburhan3702
@mudarisuburhan3702 3 года назад
Upo vzr
@abdulkarimmohamed5494
@abdulkarimmohamed5494 3 года назад
Hata shukran huna .ngojea hisabu yko.من لا يشكر الناس لا يشكر الله
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Abdulkareem:Ulitaka awe na Shukran kwa nani zaidi ya kwa Allah. Unapogundua njia potofu mahali lazima uhame kwa ajili ya kumhofu Allah: We vipi bwana!
@mohamedasaid7910
@mohamedasaid7910 2 года назад
@@selemanimartin1081 Kwa hivo Sufi ni wapotofu kwa hivo siwaislamu.?
@abuuayoubayoub9260
@abuuayoubayoub9260 2 года назад
@@mohamedasaid7910 hawana jambo hawa mawahabi ndo maana kila siku wako mbali na Allah
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 года назад
@@abuuayoubayoub9260 ahahaha ety mbali na Allah, jahil wewe, wewe ni nani kwa Allah mpaka ujue watu wako mbali naye?, Wewe una haki ipi kwa Allah mpaka ujue walio karibu au mbali naye?, Au una dalili ya Hilo? Itaqillah yaa Abuu Jahli
@abuushaymaatz
@abuushaymaatz 2 года назад
@@mohamedasaid7910 nani kasema sio waislamu?, Wana makosa sio kufru, Sasa kwanini wasijirekebishe?
@muhidinizuberi2726
@muhidinizuberi2726 3 года назад
Penda sana shekh wangu ..allah akuifadhi
@muslihharith3692
@muslihharith3692 3 года назад
Allah akuhifadhi shaykh..
@sadambakari2579
@sadambakari2579 8 месяцев назад
Allah atupe ilimu na ufahamu tusiwe kama kina hawa masheikh wanaowadharau waliowasomesha
@zahirmahir6965
@zahirmahir6965 2 года назад
Alosoma hajisifu wala hasemi kama kasoma Ila anajulikana na watu kama msomi.ww mafuta inaonesha kichwa cheupee hata mungu humjui unasema Allah anamikono miguu vidolee Kakaaa kitako mbingunii hayo si maneno yakisomi.
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 года назад
Ila mungu katuchoka no sawa iyooo we nyamaza hujui kitu
@murshidhajji4715
@murshidhajji4715 2 года назад
Allah amuhifadhi sheikh wetu sisi twampenda sana kwa maana anaongea kutoka kwenye kitabu na sunna hatutaki chuki za watu binafsi
@abuyunusmohamed6961
@abuyunusmohamed6961 2 года назад
Hukwenda kusoma umeenda kutembea tu.Miezi sita unasoma nini?wenzio kima Cha chini ni miaka miwili.
@qasimmafuta
@qasimmafuta 6 месяцев назад
Hivi nikitaka niwe kama sheikh Qasim Mafuta nitakuwa?
@IbrahimGalgalo-c8p
@IbrahimGalgalo-c8p 8 месяцев назад
Ummjua mwenyezmungu kupitia mashekhe wa kisufi sai unwatukana n haki kweli
@AbuuSumayyah-rh7oi
@AbuuSumayyah-rh7oi 4 месяца назад
Wahiyo ulutaka abaki kwenye batili kwakuwa ndio walio msomesha ?
@SalumHemedy-k4m
@SalumHemedy-k4m 9 месяцев назад
Allah akupe hekima katika elim yako
@makadac
@makadac Год назад
Nami natamani niwe kama uyu sheikh hapa qasim mafuta
@leonardmbonea4117
@leonardmbonea4117 3 года назад
Allah akuongoze au akuvunje mgongo tubia uongo wako dhidi ya watu wa haki
@JumaabedNzota
@JumaabedNzota 11 месяцев назад
Hapa shekhe anaongea nawatu wenye ajili haongei na machiz
@abdulazizmsonde985
@abdulazizmsonde985 3 года назад
جفظه الله تعا لى
@ummuzubayr2759
@ummuzubayr2759 3 года назад
yaan tunauumiwa ni ss tunaoanza kufata quran na sunna,,,,za kisalafi ilaa sasa ndo unakuta hawa masheh ndo wanatoleani tofauti kabisa na kuzihirisha kama wana ugomvi kabisa,allah awajalie waweze kujua jinsi gani wanatuvuruga sisi beginers,,allah awalipeni heri sababu wote mnfanya hayo kwa ajili ya allah.hapa wengine hatujui tushike lipi.anyways :namuomba allah aniongoze kwenye njia ilio sahihi...na hii haihusiani na hio video hapo juu
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
Subhanalah anawatharau na kuwakejeli maulamaa wakubwa kama abdulmajid zindani na yusuf alqarthawi na sleman al udah na nabil alawadhi na........ Ni Nani weye na muruwsibitha wenzako
@صالحمولد-ب1ط
@صالحمولد-ب1ط 3 года назад
Wewe unawkubali makhawariji hujielewi
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
@@صالحمولد-ب1ط Ni nani makhawarij?
@صالحمولد-ب1ط
@صالحمولد-ب1ط 3 года назад
@@khamisptrany9393 yusufu qardhawi salmanil,auda
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
@@صالحمولد-ب1ط Nipe dalili kwenye qurani na sunah kuwa salman al udah na yusuf alqardhawi na abdul majid zindani na......... ni makhawarij Na ikiwa hukupata dalili kwenye qurani na sunah niambie ni kitu gani kilichokufanya wewe uwaeke kwenye kundi la khawarij?
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
@@aidathsued9938 Nakushukuru sana kwa nasiha yako lakini mpaka sasa sijapata dalili kwenye qurani aw sunah kuwa mashekhe hao ni makhawarij, na wala sijapata vipimo ambavyo vilikufanyeni muwaeke kwenye ukhawarij Nakilini nami nakunasihini sana sana kuwa neno khawarij kihistoria lilitumika kisiasa, kila mpinzani anamtuhumu mpinzani wake kuwa ni makhawarij ili kumpaka matope na kumuondolea sapoti kwa waisilam. Kama leyo linavyo tumika neno ugaidi ( irhab) Ukhawarij ni sifa fulani zikiwepo ndio unaweza kusema kuwa fulani ni kharijiy, sasa je nisifa gani za kikhawarij zilizopo kwa mashekhe hao? Mfano selmani al audah yupo jela, je alie mfunga ni mcha mungu? Aw ni mwanasiasa mpotofu? Ndio maana nakunasihini kuwa tujaribu kuchambuwa baina ya aqidah na siasa, kwani upotofu wa siasa umefekenyezwa kwenye dini, na hicho kitu kimeanza tokea enzi za bani umeya
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl 9 месяцев назад
Na hii dhimma uliojibebesha na izi fitna na ubaguzi ulizo zianzishaa ukasababisha waislamu leo kutengana ipoo siku zitakutokea puwani 😢
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl 9 месяцев назад
Umesoma dini lakini Allah s.w hajakupa takwa huna uchaamungu kazi yako kubwa ni kujisifiaa na kuwachafua waislamu wenzio ambao wanamtazamo mwengine ,na kuleta vurugu basi huna jengine 😢
@ibnayub2374
@ibnayub2374 3 года назад
Kila nikikaa muda natamani kusikiliza hii historia ya Sheikh Allah amuhifadh
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 года назад
Tatizo kasoma lkn hakupewa hufahamu wa alichokisoma......
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Abdallah; Hiyo chuki binafsi kwa Sheikh wetu, kakuzidi ki-Elimu wewe na wenzako:
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
We Muongo, wivu unakusumbua kakuzidi sana ki-elimu
@abdallahrajabu4401
@abdallahrajabu4401 3 года назад
Hivi nimeonee wivi mtu anaeshindana na salum Barahiyan kuwa Nani kaleta ulokole ( manhaj ya kisalafy) tz...ndio dini imetufundisha upuhuzi labda kwanyinyi viraza sio mimi
@ramadhanmbwana5718
@ramadhanmbwana5718 Год назад
@@abdallahrajabu4401 Wewe hujielewi ungejielewa usinge sema maneno hayo allah akuongoze
@ABUUALLY-tv8rl
@ABUUALLY-tv8rl 9 месяцев назад
😂😂😂 Hana elimu Moja acha kumsifia ,angekuwa anaelimu kweli basi asingesubutu kuwachafua waislamu wenzake ili apate kusifiwa yeye na angeheshimu khilafu za wanachuoni ambao wakubwa ambao hata robo za elimu zao hawezi kuwafikia alafu munamsifia anaelimu 😂😂 ni mpuuzi tu Hana elimu Moja kazi sifa nyinyi basi hamna kitu
@ibbutv4275
@ibbutv4275 3 года назад
Sheikh anajisifu Sana na anakufurisha mpka walimu wake duh hatari hiii
@mohdali2408
@mohdali2408 3 года назад
Anatia moyo watu wajitume sio kucheza pia kwenye elimu Allah ndie mjuz zaid
@taturamadhan5940
@taturamadhan5940 3 года назад
Anwajibu waona kazuka tu
@fikafikan8484
@fikafikan8484 2 года назад
Asalam alekum warahmatullah wabarakatu ustadh mwenye ilimu hajisifu husifiwa pili mwenye elimu hakosowi watu mitandaoni sasa mm sina ilimu lakini mafuta wanitia wasi wasi elimu yako ndogo
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Год назад
Kasome ili asijutie waswas man kukosa elmu pia nitatizo mana lazima Ibliis akutie waswas
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
Kujisifu tu hata mashekhe walio msomesha hivisasa anawakufurisha Bado anakiri hata kwenye masomo alikuwa anapigana na wenzake tena ugenini
@مبغضالبدع-ع9ص
@مبغضالبدع-ع9ص 3 года назад
Kama ni mjinga si unyamaze tu, una ruhusa kuwa mjinga wakati mwengine lakini usitumie vibaya ruhusa hiyo, ukawa mjinga kila jambo wataka kutia lako.
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
@@مبغضالبدع-ع9ص Mjinga ni weye ulio tiwa ujamu ukawa unabururwa na mijitu ya fitna iliyo kuwa haina elimu , Na kujipa ruhusa ya kufanya ujinga badhi ya wakati, hiyo ni dalili tosha ya kubobea ujinga wako Hata honi haya
@hijjafadhili8873
@hijjafadhili8873 3 года назад
Kwani wewe una elmu kiasi gani mbona kina siku mnaawambia watu hawana elmu jiangalie maana miongoni mwa kibli mtu kujiona yeye Ana elmu kuliko wezake
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
@@hijjafadhili8873 Unajuwa sisi wale wajinga ambao wanabakia na ujinga wao kwa nafsi zao tu sisi hatwaulizi, lakini wajinga hao wakatumia ujinga wao wakanza kuwashambulia wengine huwa tunawabainishia watu kuwa hao ni wajinga, kwani wenye elimu huwa wanaheshimu rai za wengine na hujiepusha na kujenga fitna kwa hoja za kusema kubadilisha munkar
@assayyidaydaruus181
@assayyidaydaruus181 3 года назад
Mafuta ya taa haya
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Wivu wakusumbua
@idrisshogobe6424
@idrisshogobe6424 3 года назад
Naomba yote, imekatika
@maryamshuraim4163
@maryamshuraim4163 3 года назад
kwan ukisoma kwa masufi wanasomesha dini gani ?
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Mariam unauliza ukisoma kwa masufi unasoma dini gani ?? Marima uko mbali kweli na mambo ya kielim hiv ujui kuna ushia kuna ukadiani ulshabab ambao ni ukhawariji kuna ujahmiyya kuna uashaira hayo yote ni makundi katika dini ya uislam je we wasoma uislam wa kikadiani au upi ?? Lazima ujue baada ya mtume صلى الله عليه وسلم Kufariki waislam waliingia kwenye fitna wakauliwa baadhi ya makhalifa kama vile Othman na waislam wakasambalatika wakaingia watu wa ovu ndani ya dini yetu kwa kupitia mwanya uo na wakaweka myenendo ndani ya dini yetu tukufu ambayo si myenendo ya mtume na maswahaba wake wakaanzisha fikra ndani ya dini zinakwenda kinyume na dini ya mtume na maswahaba wake kama vile kadariyya khawariji murjiya shia wote hawa wamezua mambo kwenye dini maswahaba hawakuridhia walipingana nao lkn wapi moto ulishawaka wakapata nafasi na wao hivyo uislam una njia sahihi na mbovu kwenye kuusoma .
@salamakhamis8092
@salamakhamis8092 3 года назад
@@mahengomwenyewe4204 Sasa ya Masufi ndio umehakikisha wewe ndio miongoni mwao hizo elimu zisizofaa? Uko tayari ukawe shahidi wa hili mbele ya Alla?
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Wanasomesha Usufi! Tatizo hamtaki kusoma, tutawajibu hivihivi
@jumamzee6999
@jumamzee6999 2 года назад
Huna mpango hata mmoja zaidi ya kujisifu. Kazi yako fitna mara useme maibadhi uwatukane kwa sababu hawafungi mikono .sasa sisi tuweke mikono wapi karibu ya shingo kwrnye kifua .juu ya kitovu au chini ya kitovu maana ukiingia msikitini kila mmoja kaweka mikono srhemu mbali mbali
@hafidhsalum9149
@hafidhsalum9149 2 года назад
Na wewe jisifu tuone basi au ni chuki tuu
@ramadhanimussa9324
@ramadhanimussa9324 3 года назад
Shukra mkuu
@zahirmahir6965
@zahirmahir6965 2 года назад
Mtu hajisifu mwenyewe Bali husifika ukimuona mtu ajisifu mwenyewe ujue hamna kitu kichwani inawezekana umesoma sana lkn hujafahamu kitu kwani kusoma na kufahamu ni vitu tofauti
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 года назад
Alhamdulillah twamsifu shekhe wetu mpka bac Yani adi raha Allah amuhifadhi na husda za makhawaarij
@mohamedkijuu9675
@mohamedkijuu9675 10 месяцев назад
Yaani had raha nikustafid tu elimu ya qasim bin mafuta Allah akihifadhi shekh let la nguvu afu na nyie washamb kama hamjui ki2 kuhusu din fungen midomo yenu so kutoa maneno ya kashfa
@abufatmawario6299
@abufatmawario6299 2 года назад
Allah akuongoze uwe hizbih!!!
@rashid3562
@rashid3562 Год назад
Kwhyo usalafi umeanza juzi tu afu mnaona ndio dini pumbavu
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 9 месяцев назад
HUNA LOLOTE WEWEEE
@hashimal-ahdal1210
@hashimal-ahdal1210 3 года назад
ww kasim mafuta kwangu si shk kabisa
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 года назад
😁😁😁😁
@khamiskhamis5098
@khamiskhamis5098 3 года назад
Bade tusome shekh mafuta
@yusufodhiambo9623
@yusufodhiambo9623 3 года назад
wacha kwa na hasid
@salimhassan1874
@salimhassan1874 3 года назад
Mashallah jazzakallah khair.
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Год назад
Hata Mimi ntashangaa ukisema nishekh wako twakuona umepinda hivyoo...wanafunz wakasimu mafuta Allah amuhifadhi wote wamwnyooka maashaallah.....
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
mtu ambae ni wafitna huyo bado hajasoma kitu wala hana elimu yoyote
@tawfiqathman2045
@tawfiqathman2045 3 года назад
Naomba nambar yako habiib
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
@@tawfiqathman2045 تفضل karibu
@مبغضالبدع-ع9ص
@مبغضالبدع-ع9ص 3 года назад
Duh na wewe umesomea wapi kaka? Ingawa comment zako ni kama wewe ni guta kiasi.
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
@@مبغضالبدع-ع9ص Mimi mijitu ya fitna kama hiyi huwa ninaichukia sana, na sichiki kwa upotofu wa manhaji aw aqida zao lakini naichukia kwa fitna zao, kwani kazi yao ni kufuatilia mitelezo ya wengine na wasipo pata hujitungia
@khamisptrany9393
@khamisptrany9393 3 года назад
Alie kuwa nyuba yake mi yakiyoo hawalengi wengine mawe
@MURIDIWASHEIKHE
@MURIDIWASHEIKHE 5 месяцев назад
Mpofu ww kaa chni usome tena kwa masuf
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 2 года назад
Bingwa wa kuwafanyie waislam wenzake kiburi, madharau, kejeli na kufuatilia aibu zao Mafuta hanaa adabu hata chembe
@omadal1
@omadal1 2 года назад
@Juma Naso kwani huo uislamu unao utaja umetufunza kukashifiana from ur comments?
@jumanasoro8903
@jumanasoro8903 2 года назад
@@omadal1 الجزاء من جنس العمل وكما تدين تدان
@JumaMsangaziMsangazi-nq1ru
@JumaMsangaziMsangazi-nq1ru 10 месяцев назад
Upo sahihi uliyetoa maoni yako...Mafuta shida yake kubwa kanyimwa HIKMA,NA BUSARA...nahisi ujana bado unsumbua
@hassanmati4861
@hassanmati4861 3 года назад
Unaweza ukasoma sana lakin huku elimika hivi leo mnawalingania watu waingie katika kundi na mnasema kua kundi fulani ndo lilo ongoka umeona wapi mambo ayo walinganieni watu waingie kwenye dini sio kuwaita watu katika makundi
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Hassan wewe mbumbumbu kaa kimya wenzio tulivyokua wajinga tulisema kama wewe lkn baada ya kujitambua tumejua makundi yapo na haya kayasema mtume kama ujui kaa kimya. Utatukana bure kwa ujinga mwisho udhurike
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Muongo mkubwa, acha kijicho
@rashid3562
@rashid3562 Год назад
Kwhyo usalafi umeanza juzi tu afu mnaona ndio dini
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 года назад
Kumbe ndio huyu Sheikh anaetukana watu, embu wekeni picha yake tumuone
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 года назад
Alafu inasaidia nn ukimuona
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 года назад
@@saamiaabdallah2160 mimi najua nini itabisaidia ntumie tu picha yake nimuone
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 года назад
@@saidsuleiman1753 كل تسوير حرام Picha haramu
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 2 года назад
@@saamiaabdallah2160 kumbe
@saamiaabdallah2160
@saamiaabdallah2160 2 года назад
@@saidsuleiman1753 ndy Kaka
@maryamshuraim4163
@maryamshuraim4163 3 года назад
Imamu wa mtoro huyu
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Uyu sio imam wa mtoro ni kassim mafuta yupo pongwe tanga ndio markazi yake ilipo uyu ni salafi sio sufi wa kwa mtoro
@azizaj776
@azizaj776 2 года назад
Muongo , Jamani acheni kuwaongopea watu , wewe Mafutaa wewe uongo huu wewe PEPO uipate wake , wewe Mafutaa weweeeeeeeeee ACHA KUWAONGOPEA WASIOKUJUA WEWEWEWE KUWA NA KHOFU WEWEWEWEWEWEWE
@abuuuthaymeen7049
@abuuuthaymeen7049 2 года назад
uongo wake ni jambo gan hapo??
@abuushakiraddausiy8666
@abuushakiraddausiy8666 Год назад
Nanini!!!!!!
@mahammoudhaji
@mahammoudhaji 2 года назад
Hio ni ria tu
@mohamedsalim972
@mohamedsalim972 3 года назад
We Endelea kudharau Watu ndio ushehehe
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Kamdharau nani,kumrudisha mtu mstarini ndo kumdharau?
@kassimualli1600
@kassimualli1600 2 года назад
Wakati umeanza kusoma ulikuwa dhehebu gani?tatizo lenu wote mlikuwa njia iliyonyoka ilipofika miaka ya tisini na ndo yameibuka hayo madhehebu yenu ya kuzusha eti salafii,Salafi wa ukweli washapita zama hizo nyinyi wa Leo ni njaa na jeuri tu na mmezusha mambo mapya ktk dini ndo mnaleta habari zenu za usarafi
@abusultanzimbawy501
@abusultanzimbawy501 3 года назад
Sifa zako za riyaa
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Muongo
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 9 месяцев назад
wee punguza kuvuta Bamgi ukubwani
@yaziduhamisi4096
@yaziduhamisi4096 2 года назад
Ulisilim kabla ya kuwa salafi
@adamhashim3352
@adamhashim3352 3 года назад
Hahaaaa mafuta kweli haya
@Jureyji
@Jureyji 3 года назад
ety Shekh Khamis Ame mwanafunzi wako hahahaha unajitetea kisa anakukosoa mienendo yako?
@moussamohammad5073
@moussamohammad5073 3 года назад
Allah Amuhifadhi Sheikh Wetu Abuu Usaamah Khamiys Ibn Ame.
@مبغضالبدع-ع9ص
@مبغضالبدع-ع9ص 3 года назад
Hakuna hatia kuwa mwanafunzi wake, pia ukimsikia shkh khamis anakaa ni mwanafunzi wake.
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Kakuzidi wewe na Huyu umpendae
@Jureyji
@Jureyji 3 года назад
@@selemanimartin1081 katuzidi nini? na ww ndio mtoaji mpaka useme katuzidi?? Nyie baraamika mtihani sana na oftenly huwa hamjielewi mnacho kiongea
@salimakida95
@salimakida95 6 месяцев назад
Nini faida ya kutaja ilmu yako?
@omarbuya4520
@omarbuya4520 3 года назад
Kumbe kujigamba kwote huko ulisoma kwa ahlu twariqa, kisha leo unawaponda.kiukweli twariqa ndio walioeneza dini khususan katika Africa mashariki ukiwemo wewe qassim mafuta.nahakuna mtu ovyo kama wewe.
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Moja ya matatizo ya usufi unaweza kusoma mda mrefu lkn maarifa ukawa hauna sasa hata tofaut ujaiyona kua kuna vitu kavijua haviko sahihi kaviacha ? Ili ujalisikia kama vile akida ya kiashaira maulid nk unaoneaje ivyo sasa kama unazoakili za kuelewa ?? Inaonesha hata maneno uyaelewi sasa uwo ndio usufi unamsikiliza mtu mwanzo mwisho lkn huelewi kitu.msiba kweli wallahi nami nilikua ivyo ivyo zamani Allah atuongoze
@saidibaraza1379
@saidibaraza1379 3 года назад
إنه من جهلاء الأمة الإسلامية في زمننا هذا ومثله يتشابه بالعالم بل إنه رجل بليد
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
@@saidibaraza1379 Kwavile anakunyosheni lazima mumchukie walillahi Lhamdu tumewagundua waislam walio na fikra za kikhawariji za kishia za kijahmiyya za kimuutazila tumewajua makadiyani na tumewajua Ahlu Sunnah wa kweli na wanaharakat we baki ivyo ivyo kua kama mwehu hata ujijui manhaji gani ukisema uislam hauna makundi tunakuambia makundi yapo yalitabiliwa na mtume na yalishatokea kitambo kirefu tangu kuuliwa kwa Othman ibn Affaan kama unaporojo zako lete nakusubir najua makhurafi hanaga hoja mnaporojo za namrudh
@selemanimartin1081
@selemanimartin1081 3 года назад
Omar: majigambo hayapo ila kakuzidi sana ki-elimu kikusumbuacho ni Husda-roho yskuuma sana, halafu mi nakufahamu toka shuleni,uwezo wako ulikuwa chini sana
Далее
FAHAMU HISTORIA YA KUSOMA DINI YA DUKTUR KHAMIS IMAM
30:58
Sheikh Naasor BACHU - KWENYE UZITO KUNA WEPESI
36:17
Просмотров 688 тыс.