shekhe Ilunga was very genius,japo mimi si muislam,lakini napenda sana darsa zake,watu kama hawa walifaa tumiwa vizuri waendeleza nchi lakini wana kwenda na vipawa vyao.Alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kuchambua mambo.
Ndugu zangu Watanzania huyu Ilunga hakika ni mwenda Wazimu, maana hiyo miaka yeye anayosema 1920 s. waislamu waliokuja Tanganyika ni waarab kutuletea dini na Papa kutoka Yemen nakuchukuwa Karafuu na Watumwa kutoka Tanganyika na Zanzibaa,Hakukuwa na chama chochote kilichoundwa na waislamu kupigania uhuru wetu,Hadi Tarehe 7/7/1957.Nyerere na machifu kutoka Tanganyika,wakaanzisha chama cha[ TANU]Chama hiki kilipoanza hakukuwa na chama chochote cha kutupigania tupate Uhuru kutoka kwa wakoloni.Miaka hiyo anayosema, kulikuwa na mashujaa Kama Chifu Mkwawa na wenzake waliwapinga wakoloni kuichukuwa Tanganyika ya kati..kwa sababu walijuwa waislamu walipatiwa kitabu cha kuruani bsi wakafungiwa mapazia milangoni mwao wakalala wasione mali zao zikichukuliwa na waarabu, Kama pembe za Tembo, Na za Vifaru,Pia Watoto wetu kuibiwa na[ Mumiani] Kusafirishwa na kuwa Watumwa Nje ya Afrika.....Huyu Mzee ni Muongo Sanaaaaaaa.
asalam-aleikum. MZEE wangu muwapinge wale waarabu na wahindi. wewe ni bantu kwanza. mufanye uislam waki TANZANIA kama ivo waliofanya wa SENEGALI serkali ya Tanzania wapeni ma sheikh wa asili ya TANZANIA uwezo na madaraka zaidi. wa chunge usalama wa inchi na hishima ya wa TANZANIA. na furahi na guo unazo vaa. waarabu na wahindi ni ma nyoka mabaya. MA HADUI YA WATU WEUSI( WA AFRIKA). look Omani hakuna bantu raia wa OMANI KABLA MAFUTA KUTOKA UKO WOTE WALIKUWA KWETU. NDUGU TU FUNGUWE MACHO. MAASALAM
hana upeo wa kutosha hawa ni wachafua amani ya nchi, mtu na elimu yk hawez kumsikiliza ni mjinga, anahisi waislam wote hawana upeo wa kufikir kama yeye, waislam msidanganyike
Wewe juma Ally una mtihani huyu shekh Ilunga amenukuu katika vitabu na amevitaja acha ukipofu Nyerehakuna alicho kianzisha yeye alikuta watu wamesha anza Inatakiwa Usome