Лучшее на RU-vid
Кино
Авто/Мото
Видеоклипы
Животные
Спорт
Игры
Приколы
Развлечения
Хобби
Наука
Авторизоваться
Зарегистрироваться
WOSIA WA MKAPA KWA WATANZANIA NA AFRIKA
11:41
Historia Yake: Siti Bint Saad mtumwa aliyejaaliwa sauti iliyopelekea kukodiwa na Sultan
10:53
Как закончит Путин? | Истории успешных революций: Военный переворот
16:59
Fake Referee Whistle Moments 😅
00:38
Саша Сулим: «Психиатрическая лечебница спасла девочку от пути маньяка»
00:18
Тестирую гаджет для роллов! 🙈
00:42
Historia Yake: Mwanamke pekee aliyeolewa na MARAIS wawili wa nchi mbili tofauti duniani
Swahili Network
Подписаться 4,9 тыс.
Просмотров 12 тыс.
50%
1
Видео
Поделиться
Скачать
Добавить в
Опубликовано:
20 окт 2024
Поделиться:
Ссылка:
Скачать:
Готовим ссылку...
Добавить в:
Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии :
33
@mtegamelkior5193
2 дня назад
Ni mwanamke mwenye upendo na mnyenyekevu na ni mzuri wa sura, maumbile na moyo safi. Mungu amlinde kwa maisha yame yote.
@Lfcswahili
4 дня назад
Ana bahati sana huyu mwanamke ❤❤❤❤❤❤
@ElizabethFumbuka
День назад
Bahati ya nini Sasa hapo ndoa ni ndoa tu,maana unachoenda kukifanya ndoani hakina tofauti
@Lfcswahili
День назад
@@ElizabethFumbuka ni kweli, lakini mbali na yeye unamjua mwanamke mwengine yoyote ambaye ameshaolewa na marais wawili wa nchi tofauti duniani? Hii ndio bahati niisemayo mimi hayo mengine ni kawaida tu
@Simulizizafilamu
4 дня назад
Historia nzuri. Sema hekima yake na uhodari wake wa kupambania haki ndivyo vilompa waume marais
@SheikhAly-v9f
2 дня назад
Hongera mama
@YouthSupportEducationHub
4 дня назад
Graca Machel ni mmoja wa wapambaniaji wa wanawake duniani
@annoorcommunitytv4762
4 дня назад
Amepata pigo la kupoteza waume mara mbili 😢
@MurunguwetoshaDeheaven
2 дня назад
Mara tatu hiyo inahusu Marais Mme wake wa Kwanza ni Edward mondline ,aliyekuwa mwenyekiti wa frelimo alipokufa ndio Machel akamchukua
@elizabethkalinga0822
3 дня назад
Mungu amutunze
@MurunguwetoshaDeheaven
2 дня назад
Ana mkosi wote wamekufa,,bado umemsaha Edward mondulane aliyekuwa Rais wa frelimo, ya msumbiji kabla ya samora
@mariamfaicalhassan2890
День назад
Alikuwa mume wake pia ?
@ElizabethFumbuka
День назад
@@MurunguwetoshaDeheaven nasikia alikuwa side chick wa Savimbi pia
@ce-08
5 часов назад
@@ElizabethFumbuka😂😂😂 we Elizabeth
@AbdulrazaqMadenge
День назад
Tofauti na umalaya alikua na tamaa na wanaume wanaojiweza!
@ElizabethFumbuka
День назад
@@AbdulrazaqMadenge ndio nilichotaka kusema Mimi,alkuwa anadangia wanenei
@swahilimedianetwork
День назад
Kama rahisi tafuteni na nyinyi basi
@elizabethkalinga0822
3 дня назад
Mpaka sasa anapambania Uchumi wa Wanawake na Tasisi ya Gracia Machel Trust
@cleophacephelician6739
2 дня назад
Nadhani huo ndo ulikuwa udhaifu wa Mzee Mandela kwa mara ya kwanza. Mzee angetafuta mwanamke mwingine nchini mwake na siyo kurithi mjane!?
@swahilimedianetwork
День назад
🤣🤣🤣🤣
@SheikhAly-v9f
2 дня назад
Wewe ndo malaya uyu si malaya kwa kuolewa na wanaume wawili ni umalaya
@HamisMghuna-fj3vz
2 дня назад
Yuko bomba huko chini,
@tomsijohni
4 дня назад
huyo alikua malaya sana mwanamuke gani anaweza kuolewa wa wanaume wawili tena lnchi tofauti ni ujinga tu
@Lfcswahili
4 дня назад
Hakuna sheria ya kuwa mwanamke asiolewe na mwanamme mwengine wa nchi tofauti
@swahilimedianetwork
4 дня назад
Kwani aliolewa na wanaume wawili kwa wakati mmoja!!!? Au kuna sheria inakataza mwanamke kuolewa zaidi ya mara moja????
@tomsijohni
4 дня назад
@@swahilimedianetwork kwa hiyo ukubali wewe 😀
@khamisikhamisi7225
4 дня назад
Hongera🎉🎉!
@EsupatLaiser
2 дня назад
Ivi kuolewa ni umalaya unajielewa kweli?
Далее
11:41
WOSIA WA MKAPA KWA WATANZANIA NA AFRIKA
Просмотров 22 тыс.
10:53
Historia Yake: Siti Bint Saad mtumwa aliyejaaliwa sauti iliyopelekea kukodiwa na Sultan
Просмотров 13 тыс.
16:59
Как закончит Путин? | Истории успешных революций: Военный переворот
Просмотров 136 тыс.
00:38
Fake Referee Whistle Moments 😅
Просмотров 3 млн
00:18
Саша Сулим: «Психиатрическая лечебница спасла девочку от пути маньяка»
Просмотров 15 тыс.
00:42
Тестирую гаджет для роллов! 🙈
Просмотров 675 тыс.
3:35
VISITA A JOSÉ "PEPE" MUJICA
Просмотров 39 тыс.
31:20
KUMBE!! KUTOFANYA MAPENZI NI MOJA YA SABABU YA TATIZO LA AFYA YA AKILI
Просмотров 17 тыс.
13:20
Historia Yake: Sheikh Abdalla Al Farsy aliwahi kuwa KADHI mkuu katika nchi mbili tofauti
Просмотров 21 тыс.
3:11
Rais Ruto ajitia hamnazo tena akikosa kuongelea aliyekuwa Naibu wake Gachagua
Просмотров 38 тыс.
16:15
WATU 8 WALIOFARIKI MFULULIZO KABLA RAIS MAGUFULI HAJAFA / ILIKUA VITA YA VIGOGO DHIDI YA MAUTI
Просмотров 177 тыс.
37:38
The difficult life of a 93-year-old grandmother in the mountains far from civilization.
Просмотров 6 млн
10:07
MAZINGE AMLIZA SENGA MSIBANI KWA PEMBE MAWAIDHA MAGUMU BILA KUPEPESA MACHO
Просмотров 8 тыс.
9:54
MTANGA NA KIWEWE ,WASHINDWA KUJIZUIA MSIBANI KWA PEMBE ,UKWELI HUU HAPA CHANZO CHA KIFO CHAKE.
Просмотров 7 тыс.
19:23
Historia Yake: Mtambue BALOZI mdogo kabisa katika historia kuiwakilisha Tanzania
Просмотров 10 тыс.
5:54
MANENO MAZITO YA IBRAHIM TRAORE YALIYOWAKERA VIONGOZI WENGI WA AFRIKA NA UMOJA WA ULAYA.
Просмотров 52 тыс.
16:59
Как закончит Путин? | Истории успешных революций: Военный переворот
Просмотров 136 тыс.