Baba Joan kazi nzuri hongera pia naomba uigize maisha ya chuo mfano una mpezi alafu ticha anamfukuzia alafu akuchonganishe kwa wazazi eti hauendagi chuo unakaa na mtoto wa watu geto ili mzazi wako au ndugu akuhamishe ili spate nafasi kwa mpezi wako wakati uko kwenye process yakuhamishwa ukagundua kumbe sababu no mwalm fulan ukagoma kuhama mpaka ukatishia kuachana nakusoma mzazi akakupa chaguo lakuhama au kurudia chuo palepale baada yakukaa miezi kazzaa nyumani kwa kuvutana
Kirobo nakupenda sana mtoto mzuri mashallah 💞💞💞 kazi nzuri sana hongera na Mungu azidi kukutia nguvu uzidi kuwa na maarifa kazi nzuri sana Baba Joan nawapenda sana 💞💞💞💞💞💞💞
I don't believe if it can be true because Mrs. Kitumbo has visited many people and you should be careful so that she doesn't come before you before you do something bad to her and then she does something bad to you😅😅😅😅😅😅
Naeza guess bi kitumbo atashinda kwa hili... Ungawa ingekuwa vyema ashindwe kwanza kisha aanze kutafuta nguvu zake za kichawi aje kwa kishindo a claim ushindi wake tena... Kisha pia baba joan atafute reservation ya nguvu zake takatifu tena amuangushe... Iwe nishinde leo nikushinde kesho... Isikuwe kama movie zingine uovu unashinda hadi unasinya😢 kisha uzuri unashinda mwisho ....
Wewe Bibi usiwe unapendelea uchawi ama wewe ni mchawi kweli? Usipende kucheza sehemu ya uchawi mwisho utakuwa mchawi kweli wacha kucheza uchawi kwani sivizuri