Тёмный

Hotuba ya Mwalimu Nyerere kwenye Mkutano Mkuu wa CCM Dodoma 1995 

Joseph Mabima
Подписаться 45 тыс.
Просмотров 3,7 млн
50% 1

Опубликовано:

 

7 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,2 тыс.   
@bensonwissa5777
@bensonwissa5777 3 месяца назад
Tunaotazama hii hotuba 2024 gonga like hapa
@NeemaMathias-w2k
@NeemaMathias-w2k 2 месяца назад
Speech yake inadumi milele
@samkisembo-f2e
@samkisembo-f2e Месяц назад
namutaka huyu ras sana
@kelvinmuli9215
@kelvinmuli9215 4 года назад
Mwalimu your voice will never die! Heshima tokea 254🇰🇪
@filipomdendemi9921
@filipomdendemi9921 11 месяцев назад
Mwalimu nyerere nakupenda toka moyoni, na hata hivyo naahidi cku moja ntakuja nifanye uliyofanya kwa sehemu yangu japo najua ni kazi ngumu lakini Baba ntafanya hivyo kadiri ya mazingira ya Leo! Niombee Baba wa taifa! Najua sifahamiki lakini ntafahamika kwa wakati bwana akiniinua hivyoo!
@mwaminijoseph
@mwaminijoseph Месяц назад
Amina utafika tu
@RizbonMzumbwe
@RizbonMzumbwe 19 дней назад
True
@abdulhajiahmed8735
@abdulhajiahmed8735 3 месяца назад
Kazi iendelee !!!
@ommyakili552
@ommyakili552 3 года назад
Mwaka huu ndio ninazaliwa Kisha legendary ndio anahutubia🤗🤗🤗🤗🤗
@AkuotDiri
@AkuotDiri 5 лет назад
Huyu alikuwa kiongozi mwenye hekima a busara tele. Aliweka msingi thabiti kwa taifa la Tanzania kuwa na umoja na utengamano. Mambo ambayo sisi wa Kenya hatuna. Fare thee well your excellency!
@eastermwakalinga2749
@eastermwakalinga2749 5 лет назад
Daima hatuta kusahau baba wataifa
@chawamataunion6682
@chawamataunion6682 6 лет назад
michaelgreysonw mwenyezi mungu alitupatia Mwl Nyerere akamtwaa,sasa ametupatia mhe,magufuli.Hapa kazi tu.
@allansk1035
@allansk1035 2 года назад
What a great speech wish we had someone like you in Uganda (RIP)
@StephenWaswa-pd8yx
@StephenWaswa-pd8yx Год назад
I like listening to this great late man. A great orator. I like his tonal variations
@ambrosenthiani585
@ambrosenthiani585 5 лет назад
So sharp president I have ever come through this Guy was not ordinary chap from the street read my lips, Mzee Mungu akuweke mahali pema peponi, Mzee mwenye hekima kama Solomon
@greatdocumentaries1473
@greatdocumentaries1473 3 года назад
Watching in 2021 and Admiring Mwalimu Julius Hapa Kenya
@EzekielMasi
@EzekielMasi 7 месяцев назад
Mungu atupee kiongozi kama huyu Kenya na African
@ponsianomushi8132
@ponsianomushi8132 5 лет назад
JK alizungumza maneno haya mwaka 1995 kuhusu kutamalaki kwa rushwa, ukabila na udini, sijui angekuwepo leo hii, angezungumza kwa maneno gani kuhusu rushwa, ukabila, udini uvyama, ukanda na mengine mengi sana
@lutheramani8078
@lutheramani8078 5 лет назад
Jamani wanao mkubal mkono juu.wale wezangu waliozaliwa mwakaa 1999 achia like
@milliontonne5819
@milliontonne5819 4 года назад
Hahhahjahdhshsijcbhd
@alexsamson7297
@alexsamson7297 5 лет назад
Napenda xan kauli yak mzz ulikataz udn ukabil ulikuwa unaona mbali xan Baba wa taifa nataman Ata leo ungekuwep baba
@rashidimfaume2272
@rashidimfaume2272 4 года назад
Sana babayetu tuna kukumbuka sana baba WA taifa
@sidantambilija7535
@sidantambilija7535 3 года назад
baba wataif ahsante
@sidantambilija7535
@sidantambilija7535 3 года назад
baba wataif ahsante
@UgunjaMotorbikes
@UgunjaMotorbikes 11 дней назад
Africa's greatest leader of all time. Progressive and honest to a fault. Every time Africa is scorned and belittled on the account of poor leadership, I get encouraged that Mwalimu JK Nyerere existed. Proud of Mwalimu and Tanzania. Regards from Kenya.
@hilimahilimaa7763
@hilimahilimaa7763 4 года назад
Kama na wew bad unaipenda historia hii had Leo 2020 gonga like twnd pamoja
@alialamoudi9729
@alialamoudi9729 Год назад
Huyo nyerere anazungumza kinyume ya sheria ya mungu kabisa kwanza huezi kusema udini au mtu mwenye kufwata dini ni upumbavu katika nchi ya tanzania aliye umba ulimwengu alituamrishe kubudu yeye bila ya dini utaua utachukua reshwa sasa huyo alikaa miyaka thelathini NA tano rais mbona nchi haikuendelea NA kwanini anataka wananchi wamchague mgombea kutoka ccm kapila mungu alisema magapila kwa ajili ya kujuana huyo hivi huyo mzaramu huko muhaya kuna ubaya gani hapo haifai kusema nynye wasawahili NA kutharau wananchi wewe au kutharau maimamu watu wa dini ndio watu wa mungu sio wahuni hata wala rushwa au kuzini au kuiba sasa wewe wanashambulia dini NA unasema tuondoe upumbavu NA sisi hatujengi misikitini mambo yako nashangaza wewe husali wewe huna dini mbona makufuli hatukani kama wewe anatembela misikitini anava kanzu NA kofia anauliza hali za watu watu walipenda NA kila akisema anamtaja yesu NA ni mtu wa dini inchi imeendelea wakati wa magufuli basi umri wake mfupi makosa mengi alifanya huo nyerere vita kila mahali amepoteza uchumi wa tanzania ndio maana ikawa nchi maskini wakati makufuli anasema nchi yetu ni tajiri sana tafauti kubwa baina yao kwa hiyo watu wasikiliza mahutuba ya sio NA maana
@SuperKibwana
@SuperKibwana 7 лет назад
HII ITAENDELEA KUWA ONE OF THE BEST
@kelvinchuwa7442
@kelvinchuwa7442 5 лет назад
Ungeya una ya leo mzee ungeli Mungu akulaze pema pepon .Amen::
@alexandermutakha882
@alexandermutakha882 3 года назад
The late President Magufuli was the reincarnation of Mwalimu Julius Nyerere's legacy and vision. May his soul rest in eternal peace.
@dicksonlaurean1614
@dicksonlaurean1614 3 года назад
Good speech
@milkabelias448
@milkabelias448 3 года назад
Bigap
@antonioigneous6653
@antonioigneous6653 11 лет назад
...Thank u Nyerere for coming in Tanzania and share with us the gifts that GOD has given U !
@magharibicomms3891
@magharibicomms3891 Год назад
Kiongozi thabiti, mwenye maono na upendo kwa Afrika kipenzi, kwa wanyonge na kwa waTanzania. Roho yake ipate kupumzika kwa amani milele.❤️🇰🇪🇧🇼🇹🇿🇹🇿
@mwovengei2322
@mwovengei2322 2 года назад
A philosopher colossus that strode along our paths professing and teaching true pan african ideology.Mwalimu lived ahead of his nation's time.I remember his funeral in 1999 at the age of 12 years.I felt a void in my life as he was lowered in his Butiama masoleum.RIP Mwalimu Nyerere!
@adrianobarnaba2381
@adrianobarnaba2381 2 года назад
L
@richardedwinn1291
@richardedwinn1291 4 года назад
2020. Gonga Like kama bado unaicheck hii, tujuane, haichuji
@MichaelMathew-ke6bi
@MichaelMathew-ke6bi Год назад
Nashukuru sana hayati baba wa taifa, mwalimu Nyerere. Yaani huyu alikuwa mmoja wa watu adimu sana duniani. Alikuwa ni Magufuli lkn naye hayupo ameshafariki. Mdogo wake baba wa taifa bac alikuwa ni Magufuli. Huyu naye alikuwa jembeeeee sijawahi kuona. Wote hawapo leo. Cjui nilie!!! Leo hii hakuna watu kama hawa wawili, Nyerere na Magufuli.
@stever4924
@stever4924 9 лет назад
Thank you Mwalimu, you were a unique leader in Tanzania, and in Africa. Its sad that present Tanzania does not such leader anymore, And maybe Tanzania will never have one in future.
@flalji2166
@flalji2166 3 года назад
The best you can learn from him is to make sure every citizen of Tazanis gets best education in political science and History of Africa. Tanzanian will have good leaders in future. Tanzania is like mini India. United with different citizens of different cultures and languages. Stay United. And also save the wildlife of your country. Your country is blessed. Protect your country from western culture. Maintain and develop your own culture in art and music. God bless beautiful people of Tanzania. Start a fund raising so you can build a big statue of Mwalimu. UHURU NA UMOJA.
@shulestuff
@shulestuff 2 года назад
My dad's independence generation in Kenya was a very hopeful one, gave us names like Nyerere, Kaunda, Nkrumah, Mandela etc. and then proceeded to divide along tribal lines - we are still widening the divide. I miss Nyerere
@remigiusmwageni6274
@remigiusmwageni6274 5 лет назад
Naomba mungu anipe ata nusu ya hekima ,busara , utii, na ujasil wako Mwl pumzika kwa Amani baba etu Wa taifa 16.01.2019
@janetfrancismsagatimsagati4734
Amen
@nibigirajumapili9074
@nibigirajumapili9074 5 лет назад
Remigius Mwageni d.naombamrzryakoconco
@emanueljoel227
@emanueljoel227 5 лет назад
Remigius Mwageni kweri broo huyu mzeee arikua kiongozi mwema
@rev.musabalalarogersmusabalala
Safi sana hotuma makini sana. Mungu asaidie nchi itembee kwenye misingi makini sana
@amihogatai8432
@amihogatai8432 2 года назад
let me say it again. tanzania, indeed afrika, will never have a leader like him. forever my hero.
@kondosalum2884
@kondosalum2884 5 лет назад
Namkubali sana kafanya mengi sana kwenye nchi hii mbaka mungu anachukua roho yake nipengo kubwa kwataifa kwaujumla pumzika kwa amani baba wataifa we remember your slogan says “TOGETHER WE CAN”
@omspayne5830
@omspayne5830 5 лет назад
Great man of the people, great father of the nation, baba wa taifa 🙏🏽
@raphaelmwamakimbula9642
@raphaelmwamakimbula9642 Год назад
Dah,chombo hicho na lingine kilichotutoka 2020 vilikuwa lulu haswa isiyo na chembe za kughushiwa kabisa.Adante Mungu aliwayumia vyema kuiwajibikia nchi yetu Tanzania♥️😭
@liverpoolfootballclub9985
@liverpoolfootballclub9985 4 года назад
Legends of Africa. Nyerere(TZ) Jomo kenyatta( Kenya) Nelson mandela ( South Africa ) Kwame nkrumah ( Ghana )
@Wesh12346
@Wesh12346 3 года назад
What did Kenyatta do?
@Wesh12346
@Wesh12346 3 года назад
What did Kenyatta do?
@iconicwriters1305
@iconicwriters1305 2 года назад
Jommo Kenyatta is a joke and a useless man
@R.mkushi-vo2hn
@R.mkushi-vo2hn Год назад
Saluti Sana Baba yetu. R.i.p Babu yetu.. Maneno yako hayawezi potea milele, pia wewe haujafa Roho yako, ila mwili umepumzika kwa mda tuu..👏👏👏👏👏🔥🔥🔥💯💯💯
@emiliamulaki3600
@emiliamulaki3600 7 лет назад
Eu tenho muito saudades do nosso Pai mwalimu Nyerere. Um homen muito simpatico e divertido. Viva Nyerere para sempre na nossa historia da Tanzania apesar voce nao esta connosco.
@hamisimhenwa7082
@hamisimhenwa7082 5 лет назад
Hongera sana Baba yetu. Hivyo maneno yako bado yanaishi, umetatua mengi hivyo naona mchango wako. Mwenyezi Mungu akusamehe madhambi yako.
@alphoncemsongareri7278
@alphoncemsongareri7278 6 лет назад
Iwapo watanzania na afrika kwa ujumla wangefuata mawaidha ya huyu mzee, hakika tungekuwa mbali
@ezekielraymond8749
@ezekielraymond8749 3 года назад
Always legendary never die much respect kwa baba wa taifu MUNGU aendelee kukulaza mahala pema
@richardmsongolo7121
@richardmsongolo7121 9 лет назад
Critics are unavoidable but nyerere is an intellectual to me, and his thoughts will dwell 4ever.....................R.I.P MWALIMU & KARUME.
@liliankimaro60
@liliankimaro60 5 лет назад
Richard Msongolo ok
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Amiin.. but don't worry about the critics Almighty knows the intentions .. R. I. P Teacher..
@loner_wolf
@loner_wolf 4 года назад
08/09/2020 natazama na kusikiliza hotuba ya Mwalimu JK na bila shaka najifunza kitu kikubwa kuliko nilichojifunza miaka yote nilipokuwa shuleni.... Wisdom floats his head for sure.
@zawadiomary8195
@zawadiomary8195 5 лет назад
Aise kama unakubali mzee wetu gani like yako ili tukuone.
@omarypraysalum4198
@omarypraysalum4198 5 лет назад
uzinduzi wa kampeni za uchaguzi wa yanga
@temuramadhani6582
@temuramadhani6582 5 лет назад
zawadi Omary
@emanueljoel227
@emanueljoel227 5 лет назад
zawadi Omary ninaimani huyu mzee angerikuepo hakika Tanzania ingerikua tofauti kbxa
@Pedeshee01
@Pedeshee01 5 лет назад
tuliozaliwa 2000 tujuane kwa kumsoma huyu babu
@eliasrange2180
@eliasrange2180 5 лет назад
Hakuna hayupo kama nyerere
@shabanimarijani662
@shabanimarijani662 5 лет назад
Nyerere was a president of the 21st century, nyerere didn't like a leader who is of selfish but he liked a strong leader who can fight against corruption in the country. R.I .p mwalimu
@PiusJM
@PiusJM 10 лет назад
there have never been a leader in Tanzania like Nyerere, kizazi cha sasa hivi hamna shukrani, mnaibuka na kumsema vibaya baba wa taifa. yeye ni binadamu kama wengine, aliyoyafanya tunapaswa tumshukuru kwa hayo na sisi twendeleze hapa tulipo.
@MrPherez
@MrPherez 7 лет назад
The only president that i ever had passion for his leadership....only african president that loved his people wish he was my president...mapenzi tele kambarage
@francescosabin3536
@francescosabin3536 5 лет назад
Mwal tunakuhitaji hasa kwakupitia taarifa na speech zako mhimu
@ogindiii1465
@ogindiii1465 3 года назад
He was a great man indeed Legend don't die🇰🇪
@sifamanyori-kf9vq
@sifamanyori-kf9vq Год назад
Baba mutu akisema ukweri nikichaa mupeleke mirembe akanyogwe
@Shoaibkhan-vn6zt
@Shoaibkhan-vn6zt 5 лет назад
I just love this Great Leader❤️❤️🇹🇿👑🌍⭐💯🔥
@mathiassimon4700
@mathiassimon4700 8 лет назад
different speech makes someone to know what supposed to know and what our philosopher's says (R.I.P FATHER OF OUR NATIONAL)
@ndalahwamasembamwandu5432
@ndalahwamasembamwandu5432 4 года назад
DILA
@neemalazalo8331
@neemalazalo8331 5 лет назад
This speech..... Will forever live in my soul.... Rest easy dad
@mudymusa5033
@mudymusa5033 5 лет назад
Mambo
@salvatorymtunga2802
@salvatorymtunga2802 2 года назад
Mkapa alikuwa yuko vizuri, lakini alimpendekeza yule.
@afrakanaswahilitv5520
@afrakanaswahilitv5520 2 года назад
Hotuba hii ni hekaya. Mwalimu ni shujaa na bingwa wa Waafrika wote duniani kote.
@petercharls
@petercharls Год назад
Peter huyu kiongozi shupavu wa afirica
@kalungawanje275
@kalungawanje275 4 года назад
What a Man! May Africa get more of such calibre
@frankomollo5285
@frankomollo5285 5 лет назад
Tutakukumbuka daima,Raha ya milele umpe na Mwanga wa milele umwangazie Ampmzike kwa Amani Amina
@jacksonjoakim4115
@jacksonjoakim4115 5 лет назад
ungekuwepo 2019 ukampa Jpm jeuli
@mabroukabeid148
@mabroukabeid148 5 лет назад
Dah hiki kichwa Mungu ndo anae jua amjalie huko aliko R.I.P baba yetu.
@benitosanga2907
@benitosanga2907 4 года назад
Mabrouk Abeid amina
@mohamednasser2085
@mohamednasser2085 7 лет назад
He was very peaceful ruler and love to his people
@jarielrutaremara3884
@jarielrutaremara3884 5 лет назад
Namupenda sana Mwalimu NYERERE. Viongozi kama yeye barani Africa, siyo wengi.
@MonicaAshery
@MonicaAshery 10 лет назад
You are immortal though long gone, RIP Julius of Tanzania. Amazing how you could see years ahead of time, you are so missed!
@deadcrush
@deadcrush 10 лет назад
there is no hell, and if hell existed, the foolish man speaking in that video would be in hell right now. IT'S GOOD THAT HE LET THE MICROBES FREE OFF HIS BODY AND HIS DECAYING BODY MADE GOOD FERTILIZER FOR THE FUTURE. THE FOOLISH MAN LEFT US NOTHING BUT THE ABOVE. tanzania is full of FOOLISH PEOPLE. PEACE PLUS POVERTY EQUALS DISEASE,VIOLENCE AND FOOLISHNESS. going to dig up the body of the foolish man and put a bullet on his head. i will kill him again.
@kabwikaibrahim9502
@kabwikaibrahim9502 2 года назад
There many ,problem is how to spot them!
@kabwikaibrahim9502
@kabwikaibrahim9502 2 года назад
Actualy he built a very concrete foundation of which mother Tanzania. Stands!
@RestMasha
@RestMasha 9 месяцев назад
Yanga
@anoldydanielyanoldy5819
@anoldydanielyanoldy5819 6 лет назад
Nyerere Tz One iyo kichwa ni hatar kwa mafisad mrithi wake Anko magu, Mungu awatie nguvu popote walipo.
@rizikimustapha3806
@rizikimustapha3806 4 года назад
AMEEN AMEEN
@rizikimustapha3806
@rizikimustapha3806 4 года назад
Kaikombowa nchi wao wanataka kutia gundu
@samuelsherah2092
@samuelsherah2092 5 лет назад
THIS IS GOOD FOR US FROM KENYA
@calebmungai4059
@calebmungai4059 4 года назад
Amazing,this was a wise man!Africa is still struggling to fight the four vices he mentioned,Corruption,poverty,religion and tribalism.He foresaw these!we are in 2020 and still we can't overcome these and its still getting worse.
@maksman.maurice
@maksman.maurice 5 лет назад
Mungu atupatiye wengine kama huuyu...Africa yote itaendelea sawa!
@maselejacob8370
@maselejacob8370 5 лет назад
Ni halali kuwepo kwa siku ya nyerera day Kwa kizazi cha siku hizi wataona kama wanapoteza mda lakin kama ww n mtanzania mzalendo lazma umkumbuke baba wa taifa letu R.I.P mwanaharakati shujaa jk. nyerere
@kijananakazi2363
@kijananakazi2363 6 лет назад
This is one of the greatest statesman that ever lived
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 года назад
Kiboko ya hotuba fupi na kali kuliko
@deogratiusmaruma2652
@deogratiusmaruma2652 5 лет назад
Hongera baba WA taifa uliona mbali sana ww ni nabii haswa Mungu akuweke mahali Pema peponi Amina
@jamesmwanginde9345
@jamesmwanginde9345 12 лет назад
greatest talk,by the time it was difficult for myopic mind to fully complihend the message.But now the political status of the country objectively verify its inner meaning.
@josephmatonyi1802
@josephmatonyi1802 5 лет назад
Ooohh mungu msamehe mwalim Na umpumuzishe baba wa taifa retu kwa aman Amin
@yasinimasimba8829
@yasinimasimba8829 5 лет назад
ungekuwepo hadi leo nahisi nchi yetu ingekuwa mbali sana
@gilbertodongo613
@gilbertodongo613 3 года назад
Julias Nyerere are such people like whom the society especially Tanzanians will dwell to recall forever
@TheBigyosef
@TheBigyosef 12 лет назад
We miss you Mzee Mwalimu Rest in Peace Mzee
@emmamibrahm8148
@emmamibrahm8148 5 лет назад
TheBigyosef
@SaidiMfwangavo-ht6jd
@SaidiMfwangavo-ht6jd 7 месяцев назад
Hotuba bora kabsa kutoka kwa kiongozi mzalendo na mkubwa Mwl Julius Kambarage Nyerere (1922-1999(77)
@peterjohn8745
@peterjohn8745 5 лет назад
Baba maneno yako yatadumu miaka maelfu na maelfu1995 mpaka2019 yanafariji yanafundisha yaan nashndwa niyaelezee vipi mwenyeji mungu akurehemu shujaa wa taifa
@edwardedward2520
@edwardedward2520 6 лет назад
Udini utatusaidia nini sisi big up Baba wa taifa.... RIP you were incredible and serious leader.
@gabrielisack7786
@gabrielisack7786 5 лет назад
04 septemba 2019 Mwalimu alikuwa anaona mbali sana maana upeo wake ulikuwa ukiyatambua mambo yajayo.
@safarikadingi1454
@safarikadingi1454 4 года назад
This is the wisest president ever in East Africa. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
@yusuphalmas8283
@yusuphalmas8283 5 лет назад
Ama hakika mwl nyerere alikuwa muerevu,Allah nipe hekima kama za mwl nyerere
@kabanomtabazy358
@kabanomtabazy358 5 лет назад
Utakumbukwa xna
@lucywilliam3559
@lucywilliam3559 5 лет назад
sawa, lakini ni vigumu. Mwalimu alikuwa kapewa vitu Vingi sana na Mungu zaidi ya upeo wetu wa kawaida
@niyokatwook8355
@niyokatwook8355 4 года назад
Du ubarikiwe baba yetu mungu akuraZe mahara pema pepon
@khamissiali2231
@khamissiali2231 4 года назад
Mmshenzi tu huyu Hana lolote
@williammasanja1403
@williammasanja1403 3 года назад
@@khamissiali2231 wewe ndio mshenji, umekalia udini nenda uarabuni
@davidkamando9630
@davidkamando9630 Год назад
This man was straight forward...
@gaspernziku551
@gaspernziku551 8 лет назад
mungu amlaze pema peponi mwalimu wetu ameiopigania nchi yetu kwazati
@SuperKibwana
@SuperKibwana 5 лет назад
Moja kati ya Hotuba Muhimu mno alizowahi tuzitoa Mwalimu J.K.Nyerere. RIP jemedari wetu.
@peterbayo4677
@peterbayo4677 4 года назад
Hotuba zake ziko kama hiyo. Sema hii ilikuwa nzuri kwa wakati ule ni wa uchaguzi alipiga kwenye kitovu hasa
@sharifmuadham2454
@sharifmuadham2454 6 лет назад
unatisha sana we mzee mungu akubariki sana
@jacobpatrick7936
@jacobpatrick7936 5 лет назад
16/10/2019 still nakula madin ya genius boy wa taifa
@asteriapaulo9620
@asteriapaulo9620 5 лет назад
Hats me bado naiangaria
@augustinemzeentinginya3057
@augustinemzeentinginya3057 5 лет назад
Sure👌👌
@mayalakatema2576
@mayalakatema2576 5 лет назад
Nan Kama mm Yuko anajifunza leo 18/10/2019
@elishaworkout6116
@elishaworkout6116 4 года назад
Me nanifuNza leo taRe 10/10/2020
@mathiasmateru9977
@mathiasmateru9977 5 лет назад
I will miss you so much. Your a mirrow in my future's leader dream.
@sudyngoma9266
@sudyngoma9266 4 года назад
Nikwel baba wataifa maneno yako mungu akulumie uko ulipo
@samuelsikanyika6097
@samuelsikanyika6097 5 лет назад
Hayo maneno ndio yanayonifanya nimpende Magufuri. Ongera Mwl
@mtegar.d4074
@mtegar.d4074 5 лет назад
safi san
@chiefkaitaba.m.9466
@chiefkaitaba.m.9466 4 года назад
Magufuri kwa lipi??
@boybony2543
@boybony2543 4 года назад
Kwa o Lip
@alphoncelagwen1712
@alphoncelagwen1712 4 года назад
Mama
@alphoncelagwen1712
@alphoncelagwen1712 4 года назад
@@boybony2543 mama
@abrahammtongole2747
@abrahammtongole2747 4 года назад
APumzike kwa Amani Mwalimu Nyerere, busara zake bado zinaishi
@bobtalksseries650
@bobtalksseries650 5 лет назад
Ooh what a man.... RIP great wise man. African united. Ukabila ni sumu
@ezekielmassawe5621
@ezekielmassawe5621 9 лет назад
ccm ya nyerere sio hiii ya sasa jameni nikimsikiliza mwalimu machozi yananitoka alikuwa na uchungu na tz, lkn mungu alimpenda zaid,
@fredymachange6069
@fredymachange6069 7 лет назад
Ezekiel masawe
@linuskyando8022
@linuskyando8022 6 лет назад
Kweli
@kaliwabuyehosheba4330
@kaliwabuyehosheba4330 6 лет назад
Kumbe tupo wengi mwenyewe ad nimelia
@youngloyclassic3173
@youngloyclassic3173 5 лет назад
uko sahihi
@johnkessy4966
@johnkessy4966 5 лет назад
Watu wanasikia lakini, wameweka pamba masikioni mwao. Maneno yao na vitendo vyao tofauti kabisa na Mwl Nyerere. Pumzika kwa Amani Baba.
@linzeudaud1948
@linzeudaud1948 5 лет назад
hotuba nzurii sana rip
@edwardaron729
@edwardaron729 5 лет назад
Africa tunahitaji viongozi au kiongozi kama Mwalimu Nyerere, tungekoma kuomba omba wazungu .
@freudntanama7839
@freudntanama7839 7 лет назад
milele utabaki kuwa nyota wa Tanzania yetu na sasa tunae JPM nahisi kama anafuata nyayo zako kwa kujali wanyonge, huko uliko nakuomba umuombee Rais wetu JPM . love you Tnzania
@murubonabaptistmbstudentce7293
you are very Wrong
@alphamaninga8237
@alphamaninga8237 6 лет назад
shenzi wew acha kumchafua nyerere
@januarylugasio8040
@januarylugasio8040 6 лет назад
Freud Ntanama jpm hajawahi kuwa wala kuelekea kuwa, tuhuma nyingi sana zinamkabili!
@psterinishayo4270
@psterinishayo4270 5 лет назад
Ubarikiwe saana mwalimu heri na tumbo lililokizaaa
@mackisarara5719
@mackisarara5719 7 лет назад
Mzee kama kifo chako kilikua na mkono wa mtu na alaaniwe mtu huyo na watu wote waseme amen.
@mahmoudaziz6281
@mahmoudaziz6281 6 лет назад
Mack Isarara ameen
@hemedyramsso7424
@hemedyramsso7424 6 лет назад
Mack Isarara Ameen
@halidihatibu961
@halidihatibu961 6 лет назад
Ameen
@devidpanja115
@devidpanja115 5 лет назад
amen
@behindsuccessachievements1901
@behindsuccessachievements1901 5 лет назад
Amen
@evanceshirima1450
@evanceshirima1450 6 лет назад
hakika we ulikuwa mkomboz wa wazee nasi twamshukuru mungu vizaz hivi vyetu tumempata mkombozi Mungu amlinde na ampe nguvu JPM
@pauloamisse7051
@pauloamisse7051 10 лет назад
Paulo Amisse.Mimi ndyo raia wa msumbiji,niko Maputo Shuo kikuhu UNIVERSIDADE PEDAGOGICA, TATIKA NGAZI YA UWALIMU sijui kuandika kiswehil lakini nanyanyagia kuongea.naomba masahada wenu kwasababu kiswuhil ndyo lugha ya kujifunza.Portugues ndio luga ya taifa na nahandika na kuongea,Im not good speaker of english,but I try to writte and speak.thank you.
@ndarojuma5128
@ndarojuma5128 7 лет назад
Paulo Amisse Njoo Tanzania utapata walimu wengi tu wapo tena hawana ata ajira
@mrtanzania8706
@mrtanzania8706 6 лет назад
Nicheki WhatsApp +255713855715
@musabalinaki5847
@musabalinaki5847 6 лет назад
you're super
@omarymansuri2406
@omarymansuri2406 6 лет назад
Ok
@samwelikereto6420
@samwelikereto6420 6 лет назад
Kweli wewe ndie baba
@MussaSelemani-h3f
@MussaSelemani-h3f 4 месяца назад
Pumzika kwa amani baba wa Taifa, ulituacha wakati bado tunakuhitaji❤❤❤❤
@reginaassey6534
@reginaassey6534 11 лет назад
Huyu ndo kiongozi ninayemtamani kwn alitetea wote kwa usawa kulikuwa hakuna matabaka,alipigania unyonyaji, na hata akikemea kitu hakuwa na hofu kwani alijiamini ni Kiongozi mwema. Aliweza kutunza mali za watanzania bila tamaa. Baba wa Taifa nakukumbuka sana. Lala kwa Amani
@tomasbugwano5287
@tomasbugwano5287 5 лет назад
Asante mwalim nyerere mungu akulaze mahari pema
@dottomakanyanga5214
@dottomakanyanga5214 5 лет назад
R.I.P Baba yetu wa Taifa Mungu ailaze mahali pema peponi roho yako milele amina
@richardgaya3965
@richardgaya3965 2 года назад
You listen to this ADDRESS in the year 2022 the year of Kenya's General Elections and the feeling you are left with is how bereft our own Nation is of "genuine Statesmanship" within her political echelons!!!!....and indeed the degeneration that has also occurred and or taken place in Tanzania's own political landscape!!!! Rest In Peace Ndugu Mwalimu Nyerere you were indeed a Light in the Darkness!!!
@emanuelemil4281
@emanuelemil4281 5 лет назад
msimfananixhe magufuli na baba wa taifa"nyerere ni hbr nyingine, kilikuwa kichwa cha kazi"angekuwepo mpaka leo kuna baadhi ya vigogo wangekuwa jela wanakula maharage
@muhammadsalim7936
@muhammadsalim7936 5 лет назад
Rushwa ilianza enzi zake
@frnkkayange4376
@frnkkayange4376 5 лет назад
Awap magu kichw ww
@abrahamkibona7038
@abrahamkibona7038 5 лет назад
Magu kiboko maana anachukua hatua kwenye upumbavu
@kebo2155
@kebo2155 4 года назад
Dogo hujui kitu.. Wote mpango mmoja.. Unataka kutambika??? 🇹🇿
@rizikimustapha3806
@rizikimustapha3806 4 года назад
Mmhh tusha kujuwa mtani wajad😂😂😂
@mrsamson8810
@mrsamson8810 5 лет назад
Siku nilipo sikia umefariki nilikua Safarini ghafla nilijihisi mwili wangu unajizoazoa na nilihisi kuugua ghafla, lkn nililazimika kukubali. nmekaa ktk mashaka mda mrefu, lkn sasa ingalau nmeanza kuona jpm anakuja vzr..
@jamesrichard2026
@jamesrichard2026 5 лет назад
Mr Samson
@abdifatahabdi6282
@abdifatahabdi6282 5 лет назад
Just one of the 5 who dreamt of USA with Kwame nkrumah
@abdallahjuma7516
@abdallahjuma7516 5 лет назад
Cjawahichoka kumsikiliza huyu mzee mabaya na mazuri aliyonayo Ila mungu amfanyie wepesi huko roho take ilipo!
Далее
Kauli ya Baba wa Taifa J. K.  Nyerere juu ya maendeleo
13:31
DOTA 2 - ПРОКЛЯТЫЙ АККАУНТ?!
23:03
Просмотров 189 тыс.
Mwalimu Nyerere: Kuwa CCM Sio Kwenda Ikulu
15:31
Просмотров 279 тыс.
Mwalimu Julius Nyerere,Rais wa kwanza wa Tanzania
3:42
HOTUBA YA J K NYERERE MBEYA MWAKA 1969
49:55
Просмотров 249 тыс.
PROF KABUDI ASHANGAZA WENGI KWA HOTUBA YAKE
37:31
Просмотров 179 тыс.