Тёмный

Historia ya OSCAR KAMBONA Rafiki Wa NYERERE Aliyegeuka Adui Hadi NYERERE Kutomzika 

Charles Kombe
Подписаться 154 тыс.
Просмотров 298 тыс.
50% 1

#HomeOfUntoldStories #CharlesKombe #nyerere #oscarkambona
Ahsante kwa kuendelea kufuatilia, please Subscribe!
If you’ve got a thirst for knowledge that never quits, join a community of 100k thousand and grow! We have a good time, so take your shoes off, kick back, and make yourself at home here at the home of untold stories!
___________________________________________________________________________
MATUKIO YA KUTISHA: rb.gy/zol9ix
MAKALA ZA KUSISIMUA: rb.gy/h3pkse
MAKALA ZA HISTORIA: rb.gy/wg2aax
For brand, partnership inquiries: charleskombetz@gmail.com

Опубликовано:

 

30 мар 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 195   
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Asante sana kwa kuendelea kufuatilia channel hii. Please subscribe!
@anithadavid5668
@anithadavid5668 Год назад
Unapaswa upewe pongezi kwa jhud ulzofny
@henrywambura7753
@henrywambura7753 10 месяцев назад
Kulingana na maelezo niliyoyasikiliza Osca kambona ilikuwa na tamaa ya ya kuwa RAISI WA NCHI HOI
@isaacmashauri
@isaacmashauri Год назад
Asante kwa historia ya Kambona. Yote yatapita lakini neno la Yehova Mungu halitapita. Naitakia Amani TANZANIA kwa jina la Yesu
@lessomwinyimkuu1268
@lessomwinyimkuu1268 Год назад
Never outshine the Master....
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Год назад
Mwalim huo ujinga kauanza yeye na ndio karithisha ma CCM wenzake hadi Leo hii wao hawataki kupingwa wanayoyataka wao yawe......hii ndio ujinga wa nchi kuongozwa na ideas za mtu mmoja
@ernoldmligo110
@ernoldmligo110 6 месяцев назад
Asante kwa taarifa. Nyerere alikufa akiwa hana mali yo yote nchini wala nje ya nchi. Hakuwa na tamaa ya utajiri kama Oscar Kambona.
@user-hn6dm3ev5p
@user-hn6dm3ev5p 3 месяца назад
Unauwakika
@emmanuelnzaligo6262
@emmanuelnzaligo6262 Год назад
Makala hii unasimulia vizur Sana hongera kwa kazi nzuri.
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Shukran sana kwa kufuatilia
@fulgencekanuti2622
@fulgencekanuti2622 2 месяца назад
Asante sana Bwana Kombe
@surusuru1994
@surusuru1994 Месяц назад
Napenda nyerere ❤kwni asigekuwa makini leo tungekuwa kama wa cocomani
@frankotembo
@frankotembo Год назад
Charles kombe unaitaji support na nguvu katika kazi yako nzuri sana,inatufikia vizuri sana apa UNITED KINGDOM MUNGU AKUBARIKI SANA
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Shukran sana Frank kwa kufuatilia na kwa maoni yako yenye kutia nguvu. Barikiwa pia
@jerryalfredngailo6106
@jerryalfredngailo6106 9 месяцев назад
Ilikuwa si rahisi kukaa na MTU huyu wa Musoma. Alipenda kuonekana yeye tu
@user-fd7vi4xv5x
@user-fd7vi4xv5x 6 месяцев назад
​@@jerryalfredngailo6106 Mzee alikua dikteta sana ila hakujidhihirisha, pia hakua focused kwenye maendeleo ya nchi..
@haggairaywer7002
@haggairaywer7002 Год назад
Shukran kwa kutujulisha yaliyowatofautisha Mwalimu Nyerere na Oscar Kambona
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Asante sana kwa kufuatilia
@user-ys3kp8nn3g
@user-ys3kp8nn3g 8 месяцев назад
Asante kwa historia za viongozi wetu waliopita tunajifunza kitu
@stephennditi
@stephennditi Год назад
Asante bro. Life goes on ila hatujui mwisho wetu.
@IbrahimMakame-oi7wn
@IbrahimMakame-oi7wn Год назад
Asante kwa historia nxuri
@neema_mollel
@neema_mollel Год назад
Umemchambua vizuri sana
@augustabisetsa5007
@augustabisetsa5007 Год назад
Nyerere , , mtu mwenye busara, , na hekima
@denistoyi3926
@denistoyi3926 Год назад
Habarinyelele
@faizahalidi7084
@faizahalidi7084 Год назад
Interesting thank you
@ibrahimmaxmillan1430
@ibrahimmaxmillan1430 Год назад
Mwanangu unasound vizuri sanaaaaa
@thabitbatenga1775
@thabitbatenga1775 Год назад
Inauma sana kwa marafiki kuitilafiana
@shabansumaiya4770
@shabansumaiya4770 10 месяцев назад
Ndio inavyokua
@erycah
@erycah Год назад
Watanzania tusingekua na fitina tungekua mbali sana
@raymondonyona.2736
@raymondonyona.2736 Год назад
Kwa stori ya Nyerere na Kambona, nakubaliana na Sera ya nje ya Marekani kuwa," Marekani hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu."
@user-gd3bm5ni1q
@user-gd3bm5ni1q 9 месяцев назад
Mbowe na slaa
@piusundisputed
@piusundisputed Год назад
Napenda sana makala zako
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Shukran sana Pius. Nashukuru kwa kuendelea kufuatilia channel hii.
@kenMakokha-od4tp
@kenMakokha-od4tp Год назад
Story interestinge
@user-gl6iq3oe1c
@user-gl6iq3oe1c 8 месяцев назад
Mnafiki sana nyerere
@SaidSwalehe-dr9ku
@SaidSwalehe-dr9ku День назад
Nyerere laanatullah ndiye kafanya mpaka sasa maendeleo yawe hafifu nchin Tanzania jamaa mbaya sana ana roho mbaya kweli kwel Allah ampe adhabu mpaka kufufuliwa
@ibrahimasambyasaleh4027
@ibrahimasambyasaleh4027 9 месяцев назад
Kwakweli uadui haukuanza Leo na kila siku marafiki ndiyo maranyingi wanakuja kuwa maadui hatuwezi jua kati ya Nyerere na kambona yupi alikuwa mkweli kwa mwenzie Ila Mwenyezi Mungu peke yake ndiye alijuwa lakini kwa sasa wote hawapo tena Duniani kile wailicho kifanya watajibu mbele za Muumba
@liverpoolvsrangers2273
@liverpoolvsrangers2273 Год назад
Sema kambona alioa miss Tanganyika kipindi iko
@oduorevans3493
@oduorevans3493 Месяц назад
Nyerere husifiwa lakini alikua dictator sana
@harunmanura7900
@harunmanura7900 Год назад
Kwa wasiomfatilia nyerere kwenye history wanasema nyerere alikuwa mzarendo na wanaamini kuwa Idiamin ni dictater, kumbe nyerere alikuwa bonge la dictater haku penda kuyasikia mawazo tofauti japo hakuwa msomi wa kiwango kikubwa,
@user-uo6bo3ph6g
@user-uo6bo3ph6g 9 месяцев назад
😢😢
@mohammedputta5821
@mohammedputta5821 Год назад
Kambona alijiuma Nyerere akimaliza miaka 10 angehombea yeye urais lakin Nyerere alikuwa hataki Wasomi kipindi chake wengi TU aliwaweka kizuizini ila Kambona alikuwa smart
@pulltheskymusicgroup4475
@pulltheskymusicgroup4475 Год назад
Acha uwongo
@abednegoabel7047
@abednegoabel7047 8 месяцев назад
Hata saivi wasomi kaka wanapingwa sana
@bettingmastertz
@bettingmastertz Год назад
🔥🔥🔥
@jastinkanjost4454
@jastinkanjost4454 Год назад
Kambona kuwa mhaya huwa inatokana na nn👏👏
@erickmuli1030
@erickmuli1030 Год назад
Gonga lyk kama unaamin Tz tunaish kwa vsasi.
@davidowino3022
@davidowino3022 Год назад
Very interesting story
@Alihamdulil
@Alihamdulil Год назад
Nyerere julias alikuwa mnafiki sana tena mtuu mmbaya ni iletu watanzania hamjui historia kuhusu uyo Nyerere
@halima1798
@halima1798 Год назад
Tuletee hy historia y nyerr kuw alkuw mnafk😂😂😳💃
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
@@halima1798 😂😂😂 na mimi nasubiri kuisikiliza
@user-ln9px2vh6r
@user-ln9px2vh6r 11 месяцев назад
Kweli
@jonfredkewe3451
@jonfredkewe3451 11 месяцев назад
Kuwa makini nakauli zako
@daisynyerere5730
@daisynyerere5730 9 месяцев назад
Ok
@jamesmilanzi3336
@jamesmilanzi3336 Месяц назад
Nimejifunza kwamba madaraka yanalevya always
@mohammedjafar7242
@mohammedjafar7242 Год назад
Nimejifunza hii ichi maraisi wote watu wa visasi
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Год назад
Ndio fitna zetu Tanzania na Nyerere ndio muanzilishi wa hayo na CCM wa Sasa ndio wanaendeleza tu
@farajiissa560
@farajiissa560 24 дня назад
Nyerere kwa kambona alikua hawez kitu vingine propaganda ila kambona alikua genious sana
@DawnMurcas-pz4uq
@DawnMurcas-pz4uq 3 месяца назад
Kambona commander
@MathewNathan-yb2bz
@MathewNathan-yb2bz 3 месяца назад
Nyerere alichangia nchi hii kuwa maskini
@farajiissa560
@farajiissa560 24 дня назад
Kachawi afu tukaaminishwa ndo baba wa taifa na lichama lake la kifisad
@mohamedallyrajabu205
@mohamedallyrajabu205 Год назад
Ninavyo jua hakuna nchi duniani ambayo haija fanya mabaya, katika kuakikisha mafanikio ya dhati na hayo yote hutokea sababu anaekua na nafasi ya uongozi wakati huo anakua na wasiwasi na kuto kujua nani wa kumuamini na nani wa kuto kumuamini, kwaiyo aliyo yafanya Nyerere wakati wake ni kile alicho amini ni kizuri kwa taifa na ile ilikua starting point ya taifa letu kutoka kwa watu weupe, si rahisi na haikua rahisi sababu binadamu tuna chuki na tamaa hivyo sio wote watakupenda au kukueshimu, maoni yangu tujiulize saizi tunaenda wapi na kila mwenye nafasi yakutetea hili taifa kwa namna yake afanye, sababu waliopita wamefanya kwa kiasi chao.
@hasankawanje4279
@hasankawanje4279 Год назад
Saf sana
@davidcurtis175
@davidcurtis175 Год назад
Inasikitisha sana jamaa aliambiwa si mtanzania, jamaa ndio pekee alikuwa anapinga hoja za Nyerere tena bungeni na kitwa muasi inasikitisha sana, nchi yetu kipindi hicho haikutaka wasomi maana tuliamishwa kwa njozi zaidi kuliko kwa fact, nimeota muvua itanyesha hvi karibuni kumbe ni habari za hewa duniani na wakati huo kumiliki redio ya mbao wewe ni bilionea, Huyu kambona alikuwa alikuwa akisikilizwa sana sana na wanajeshi hivyo ilikuwa hofu kubwa kwa mwalimu maana alikuwa anapinga hoja zake waziwazi.
@omarikinyory5785
@omarikinyory5785 Год назад
Uyu ni babu yangu mzaa baba kambona😭💔
@ireneaurelian907
@ireneaurelian907 Год назад
@@omarikinyory5785 haya kambona pole jmn
@omarikinyory5785
@omarikinyory5785 Год назад
Sema sikuwai kumuwona nime ishiwa pewa istory2 tena juzi juzi ndio tuna juzwa kikubwa duwa2 innalilahi wahina lilahi rajun
@seifismail6041
@seifismail6041 Год назад
@@omarikinyory5785 VP na ww unawanyoosha uko shule
@joycemosha1898
@joycemosha1898 Год назад
Kampong ni wa kwanzza kutangaza kiswahili London laakini wanatnga salimkke na zuhura yunusi tena walipigania uhuru na nyryr mpaka kulala chumba kimoja huko London
@raymonddeodatuskyara
@raymonddeodatuskyara Год назад
Tumetoka mbali sana.
@omary7517
@omary7517 2 месяца назад
Kambona alikuwa msaliti mkuu
@SimonMagija
@SimonMagija 11 дней назад
Tuwache hao walio tanguli mbele za haki yupo mwe nyewe aliye wapa kipaji hicho atawahukumu mwenyewe na sisi tupambane tuivushe nchi wametuachia, vyama viko vingi tuingie tupambane kama mpina anavyopambana
@davykisabo875
@davykisabo875 8 часов назад
Hata katiba tuliyinayo Nyerere ilimlinda naweza kusema alijitengenezea
@kashebojassonyrwezaula7402
@kashebojassonyrwezaula7402 10 месяцев назад
kweli urafiki wa kisiasa hauna maana
@suitbertmaro6690
@suitbertmaro6690 Год назад
Mkuu Leta story ya Dossa Azizi
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 3 месяца назад
👊✌👍.
@abbymkombozi4382
@abbymkombozi4382 Год назад
Laki 8 kwa mdahuo nisawa na bilion 8 kwasasa
@sauljotam115
@sauljotam115 Год назад
Kweli hii nchi kumbe ilikuwa ngumu tokea ilipopata uhuru🥲🥲
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Год назад
Kabisaaa kaka....Kuna mengi Mwalim kayaficha mabaya yake.......katufanya tuamini mema yake tu
@Husenimuddi
@Husenimuddi 9 месяцев назад
Nikweli kambona alikua anatumika kisiasa na captalism block
@HaleluyaKalalu
@HaleluyaKalalu 8 месяцев назад
Bila capitalism usingeshika hata thumuni wewe mpakachupi ungevaa ya kitenge
@michaelmkisi6999
@michaelmkisi6999 Год назад
It's fine hakuna binadamu asiye na adui
@KamugishaSperatus-qx5kt
@KamugishaSperatus-qx5kt Год назад
Kambona angelishirilian na nyerer nchi ingelifika mbali lakin tatizo ni elimu ya ulaya aliyoipata ,
@elisantenyange8751
@elisantenyange8751 Год назад
Wote walikuwa na elimu ya ulaya.
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Год назад
Kwani Mwalim hakua na elimu ya ulaya?.........Mzee alikua na roho mbaya alitaka awe yeye tu Nyerere, wengine wote wasionekane
@PhilipoMwita-wc1ku
@PhilipoMwita-wc1ku 5 дней назад
TUNDU LISSU alisema Nyerere sio mungu... Nyerere alisema kwamba ccm sio mama yake
@mbaroukothman3626
@mbaroukothman3626 Год назад
wakati nasomewa makala hii (mimi sijui kusoma) kama msomaji hakutia yake nimegundua kuogopwa kwa mfumo wa serikali 3 Tanzania ni kuenzi fikra za baba wa Taifa na pia chuki hazikuwa kwa kambona peke yake kwa wote watakaojulikana wana ukambonakambona
@georgerichard6706
@georgerichard6706 Год назад
Kumbe yanayo endelea hata sasa sii mapya
@mansourlikamba6289
@mansourlikamba6289 Год назад
Laki 8 ya enzi zetu ni kama Bilioni 80 ya sasa hv
@LazarokisiaNyakamande
@LazarokisiaNyakamande 18 дней назад
sio kisasi Nyerere uko sawa ukiwa mnafiki mwishowake ndo huo
@destosolomoni8544
@destosolomoni8544 Год назад
Me na kambona dam dam yaan hili n jabali kwel 😂😂😂😂
@mfebricknkuna7106
@mfebricknkuna7106 6 месяцев назад
Maneno ya kurushiana kati ya Mwalim Nyerere na Oscar Kambona ni siasa tu, ila ukweli unabaki kuwa tumenyimwa na haki ya kumjua mtu muhimu katika historia ya n'nchi yetu. Inasikitisha hata sanamu la kumbu'kumbu hana, ila mchango wake ni mkubwa sana katika historia ya n'nchi yetu.
@user-mz4ry1sl8l
@user-mz4ry1sl8l 9 месяцев назад
Hv kwa matukio kama hya unawezaje kusema Nyerere alkuwa mtakatifu wkt alkuwa na element za udikteta
@NgomaMbago-dk3gp
@NgomaMbago-dk3gp 10 месяцев назад
Nimejifunza kumbe rafiki kipenzi anaweza kuwa msaliti na adui mkubwa kwako
@user-kw4nf5dv1k
@user-kw4nf5dv1k Год назад
Pal
@AlphaBarageti-ru5xj
@AlphaBarageti-ru5xj 4 дня назад
Si kila rafiki ni rafiki isipokuwa huwazi au huna fikra kinyume na snachofikiria yeye.
@shekhkitambi414
@shekhkitambi414 Год назад
Kumbe tungekuwa na rais mwamke Toka enzi hizo duh! Na Hawa viongozi wengine waacc kama akina kambona mbona hawana cku Yao ya kukumbukwa ingesaidia watu hata watoto wetu kujua historian hizi
@kiddyadams
@kiddyadams Год назад
Kambona, bibi titi, Tewa , sokoine, malima, ally Juma, karume etc … Nyerere aliwapoteza kimtindo 😅bongonyoso Hakuna rais mwema TZ.
@charleskombe
@charleskombe Год назад
Hatari kweli kweli....Historia ya BIBI TITI tayari nishakuwekea brother, waweza itazama ktk channel hii.
@happylynguya3464
@happylynguya3464 Год назад
Nasikia Sokoine alikuwa vizuri katika uongozi, kwa sasa tunaweza kumfananisha na Majaliwa. Wanasema Sokoine aliuawa na Mawaziri wenzake na sio Nyerere.
@hashimmussa1057
@hashimmussa1057 10 месяцев назад
Kijiji cha kwambe kiko Wilaya ya Nyasa kwasasa, na sio Wilaya ya Mbinga.
@alfredymjema5834
@alfredymjema5834 Год назад
Kikulacho ki nguoni mwako!!
@user-qz6vn5mo3w
@user-qz6vn5mo3w 7 дней назад
Nyerere alikuwa mpigania uhuru wa wa Efrica kambona alikuwa na Ilimu ya kuwahi angepata mpaka Leo tusingekuwa na ardhi.
@user-qz6vn5mo3w
@user-qz6vn5mo3w 7 дней назад
Alibabaika na maisha ya ulaya alikuwa na elimu nzuri ila alikuwa anataka kujitajirisha kwanza kabla ya kuangalia elimu uliyoipata itawasaidia nn wandugu zako
@lawrencemapunda3666
@lawrencemapunda3666 Год назад
Shule ya kati aliyosoma haiitwi Mt. Barnabas bali iliitwa Mt. Paul.
@user-wx1or7ny6i
@user-wx1or7ny6i 8 дней назад
Siyo peter mbwimbo ni Petro Bwimbo
@festoottosimkwayi5597
@festoottosimkwayi5597 Год назад
NAAMINI SUALA UFISADI BADO NI HOMA TANZANIA
@user-dh1bz9lj1z
@user-dh1bz9lj1z Год назад
Faharii wawili hawakai zizi moja
@ABSTemu
@ABSTemu 3 месяца назад
Wakipigana Ziumiazo Nyasi. Huu mpasuko busara ingewek sawa Taifa lingenufaika zaidi tungekuwa mbali zaidi. It is unfortunate.
@glorykastai3996
@glorykastai3996 12 дней назад
Viongozi hawataki kupingwa mipango yao ni lazima ipite hata kamati mda mwingine huwa ni za kuzuga wananchi
@charlesolomi9514
@charlesolomi9514 22 дня назад
Ilikuaje akawa Balozi London?
@osybethmbangule7652
@osybethmbangule7652 Год назад
Duuuh hawa Wazee walifanya dhambi kubwa sana
@hasnuumakame9219
@hasnuumakame9219 Год назад
Yamepita mengi sana kaka, mifumo ya Tanzania miguu toka zamani
@Kresiwabula-mc2dl
@Kresiwabula-mc2dl Год назад
Hee jaman ndo ilivyo kuwa hongela yake nyerere
@ZaitunAbdallah-ol1bb
@ZaitunAbdallah-ol1bb Год назад
Nyerere alikua dikteta asietaka kupingwa au kukosolewa kama makufuli
@farinhafrank-dm4sg
@farinhafrank-dm4sg Год назад
Hii ndio shida ya waafrika , neno dicteta limeletwa na wakolon ambao mliowafukuza mkidai uhuru sasa sasa mnafikir hao wakolon atawapenda
@user-hy8ku7xp3r
@user-hy8ku7xp3r 7 месяцев назад
Ubaya hauna kwao
@user-bq6we7gw1m
@user-bq6we7gw1m Год назад
Ndiyo tz yetu hii
@haroungwiyamabuzohera-jk3vl
Hivi KAMBONA HAKUSOMA TABORA SCHOOL.? TUPE UKWELI.
@issaalfani1030
@issaalfani1030 Год назад
Umdhaniae ndiye sio
@farajiissa560
@farajiissa560 24 дня назад
Nyerere mnafik sana simpend mm
@nyigudondola4081
@nyigudondola4081 10 дней назад
Mpende baba yako
@ponsianaprotas8990
@ponsianaprotas8990 День назад
Umpende, usimpende, ni baba wa Taifa. Hakuna mwingine kama yeye.
@wilsonsikahanga1761
@wilsonsikahanga1761 Год назад
Hivi nisahihi kusema "SWAHILI au KISWAHILI"?
@shadymoses5813
@shadymoses5813 10 месяцев назад
I'm
@MkulaElfrida
@MkulaElfrida 6 месяцев назад
Alikua mkorofi tu mbona wala Nyerere hajashindana nae
@kinanaomar
@kinanaomar 10 месяцев назад
Siasa haina rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu
@cyprianboniphace-oz5lw
@cyprianboniphace-oz5lw 14 дней назад
Laki 8 ya wakati huo hivi sasa ni mabilioni.
@EmmanuelSentimea-yu8no
@EmmanuelSentimea-yu8no 11 месяцев назад
Maisha ya siasa ni kuvumiliana' hasa ktk mfumo wa vyama vingi!
@user-gm5uu3ee8i
@user-gm5uu3ee8i 5 месяцев назад
Unafki wake wengine hatuujui tusome wapi tufahamu
@gowekogoweko5803
@gowekogoweko5803 10 дней назад
Our father who is in heaven 😂
@peterkabyemela6479
@peterkabyemela6479 5 месяцев назад
Hapo walichemka
@dijohbanks4312
@dijohbanks4312 4 месяца назад
nimejifunza kuwa kumbe nyerere alikuwa ni mtus
@nyamarungujr7834
@nyamarungujr7834 Год назад
Mwezi wa nane kuna mvua mzee nani😂😂😂😂 no issue nakutania tu….. nice story though
@surusuru1994
@surusuru1994 10 месяцев назад
😂😂😂chija jamn mmh now inebaki story
@miriamdavis3893
@miriamdavis3893 Год назад
Nyerere kuna kitu alifanya ndio maana ccm ngumu kutoka
@lilyg2134
@lilyg2134 9 месяцев назад
Mpaka leo tumelemazwa!! Na ujamaa! Ukiwa shupavu na revolutionary unaitwa dictator.. kwamba una chuki hutaki maendeleo🤣🤣🤣🤣shida ilianzia huku! Angalia mashujaa wote wa zamani waliuawa!!
@ayyamirubba5226
@ayyamirubba5226 Год назад
Mifumo ya watawala yahitaji tafakuri ya hali..usije sifu usomjua!/???
@mangimeli5846
@mangimeli5846 10 дней назад
kawawa alikuwa na level gani ya elimu
@BONGOINMOTION
@BONGOINMOTION 9 месяцев назад
Picha mbona za wazungu mtoto
Далее
Strongest man in the world !! 😱😱
00:16
Просмотров 3,6 млн
КРУТОЙ ФОКУС С ШАРАМИ
00:35
Просмотров 124 тыс.
KARUME ALIVYOPIGWA RISASI HADHARANI
12:01
Просмотров 421 тыс.