Nilikuwa na swali ivi wabembe washawai kuwa na Mwami wa asili au ule mwami wa wami kma kabila zingine yule akisema wengine wanafuatilia kile kilichosemwa na Mwami au kila ni Mwami seemu yake au la huyo yupo au la na kma ayupo kwann asichaguliwe ili awe kwenye kata ya fizi kma wengn tunatakiwa tuwe nae Mana itatusaidia sana kwenye Commonotte yetu ya kibembe Ni maon yangu