Zuu hadi huruma ila pia hongera sana kwa baba mkwe anae kusubirisha kwenye hiyo nyumba busati shukran sana kwa kutulete mafunzo mazuri sana yaani atakae fuatilia hii movie kwaumakini sana atapata kitu na kuishi vzr kwenye ndoa yake baba mkwe nisawa na babako mzazi much love 💕 mlio shikiki kila mmoja kaitendea haki nafasi yake ❤❤❤❤❤❤
Pole sana zuuu wafanyakazi wa nyumba kama wote pakiwemo na mimi tunapitia iyo Hali kwa hiyo vumilia zuuu. Na aswaaa ukumbuke maisha ya nyumbani ndo yanasababisha tunavumilia Kira pito tunalo pitia 😢😢❤❤🇧🇮🇧🇮
Wale ambao hatujaolewa tujifunze mambo hapa hatakama utaolewa na mume mwenye uwezo mkubwa akikuekea msaidizi wa nyumbani kwako tuwe kipao mbele sana kwa waume zetu kwakila jambo mfanya kazi awe tu na kazi ndogo ndogo hatakama yualipwa kiasi gani cha pesa👂👂😍😍😍😍ina mafunzo mazuri sana😊
Waooo safi san busat tv np hap kutoka oman🇴🇲 nimewai leo aya tujuwane wale mashagala wa warabu like kama zote kiramba mchuzi kifuu hchoo nimekipenda mm mwana kumbe unakifuu kizur sass pili mabonga anafeli wap aya
Pole sana dada zuu umenikumbusha mbali nimepitia mateso sana yani mnatuelimisha tujuwe gisi ya kuhishi na mfanyakazi na yeye ni binahadamu kama wangine,😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Movie zako nzuli xna Kai Ila muda wako ni mchache xna please mm nikiwa kama shabiki wako kitoka Dubai na Mungu akutie nguvu zaidi na kazi yako inshallah ❤❤❤🎉
Zuu pole sana kweli ila ipo siku atakupigia magoti ilo tubili ,na Kai na ww jiangalie mtoto wakiume uku kama demu anetafuta mume ,leteni hata tatu kwa siku from marekani
Zuuuu dada yangu pol sana yatapita tuu vumilia hujui kesho yako wanawake wa kisasa jmn aisee mwingine eti mupumbavu mwenzangu 😅😅😅 movie nzuri busati TV oyeee ❤❤❤❤
😢😢😢😢😢 aki waona fanyia dada wa kazi mateso haya pia wao yatawakuta malipo hapa kweli anacheza zuu ila wapo wanapitia kama haya mateso ila kai haoni akamtetea mfanyi kazi wake 😢