Nyiee waomba like !! Muachegee usenge na utotoo hebu toeni sifaa au maoni au madhaifu ktk move kwa waigizajii achenii ujingaa !! Aah nani mwingine nae anakereka na hii tabia ya waomba like😅😊😮😊😟😟😟
Kai safi sana umeanza kuonyesha msimamo hii nimependa Hongereni sana ila huyo rafiki Kai anaongea sana movie inakua inaboa mpk ikifika kipande chake inatulazimu kupeleka movie mbele ila wengine wote mmetisha sana movie nzuri sana
Mmmh movie yenu iko poa ila nkitoka sifa n kuwa Zuu ni mwenye bidii anafanya bidii Kwa hayo yote anayefanywa hufanyiwa katika hiyo nyumba na BDO anazidi kuvumilia ❤❤❤
Busat 👌👌👌♥️♥️♥️ from Iringa elimu nzuri sana mm najifunza mengi sana na nipo kwenye ndoa kweli nafrahi sana najengwa na mengine ambayo nilikuwa siyafahamu ♥️♥️🙌🙌💋
Kumekucha tena kwa kai np hap mwan kutoka oman 🇴🇲 waif za bure za warabu za bure hadi raha karibu san mashagala wezangu tujuwane bas maneno kutuu kiramba mchuzi kai senge kweli sijui lapewa nn hili kai we wako somy wap somy ❤❤
Kai nawe una kera..kafukuzwa kazi kafukuzwa kazi..kafukuzwa kazi hiyo kwio..usipo funguka macho utaletewa mume mwenzio , kwenye nyumba yako, kwenye kitanda chako..ndio utajua hujui..
Dhu movie tam sana ina mafunzo mmetisha sana sema uyo kendy Angekua ivyo kweli angekufa bila ndoa make kila ndoa angeachika lakini pia kai Acha upumbafu chukua goma ilo