Тёмный

HOUSE GIRL EP 40 || love story💞💕 

BUSATI TV
Подписаться 105 тыс.
Просмотров 160 тыс.
50% 1

#bongomovie #housegirl

Кино

Опубликовано:

 

10 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 871   
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 21 день назад
Mwendo wabandika bandua kma unamkubali mama candy kua mkweli weka like hpa from Oman 🇴🇲
@busatitv
@busatitv 21 день назад
❤❤❤
@user-hf7pk2lx4v
@user-hf7pk2lx4v 20 дней назад
Candy heri upoteze vitu zote lakini kukana mama mzazi hiyo ni laana asiyeskia la mkuu huvujika guu
@happynesbaemuhappynes8813
@happynesbaemuhappynes8813 20 дней назад
Tunawashukuru sana kwa Move nzuri ​@@busatitv
@user-uz7uq5lj5w
@user-uz7uq5lj5w 20 дней назад
🎉🎉🎉🎉 Nawakubali Sana Jamani 🎉🎉🎉🎉kwahilo kofi la kwenye chavu 😮😮😮😮atari😂
@YasmeenKhalifa-zq1zk
@YasmeenKhalifa-zq1zk 20 дней назад
🇴🇲
@CarolineMurugi-bt5dz
@CarolineMurugi-bt5dz 20 дней назад
From kenya guys,,,mwenye anaona kendo anamfanyia mamake vibaya ngonga like hapa jamani😅
@ministerlightnessrobert5342
@ministerlightnessrobert5342 21 день назад
Wale tunao ona ndowa ya zuu na kahi itafungwa like apa😊
@HellenSteven-y2y
@HellenSteven-y2y 20 дней назад
@user-lx8zm7rh4c
@user-lx8zm7rh4c 17 дней назад
❤❤❤❤❤
@JacksonVicent-i1t
@JacksonVicent-i1t 21 день назад
❤ hii tamthilia cjalala nilikua nakusubir hiki kipande brothers mnajua sana
@YohanaKagundo
@YohanaKagundo 21 день назад
Wakwanza Leo Mimi naombeni like 10 kwajili ya dada wa kazi
@lovnell6462
@lovnell6462 21 день назад
Mm kama shabiki naombeni likes ata Tano tw❤
@AdamZainab-mb7qj
@AdamZainab-mb7qj 20 дней назад
Na mm Kam shabiki nimekup like
@user-qb4qp7xj7d
@user-qb4qp7xj7d 20 дней назад
😅😂🤣​@@AdamZainab-mb7qj
@user-qd7ey5cp5s
@user-qd7ey5cp5s 20 дней назад
Watu wa kuomba likes hapa kama watoto ni lini mtakuwa watu wazima sasa😏😏hakuna siku mtawahi ongea mambo ya muhimu kupitia hii filamu na mjifunze kitu hapa....acheni utoto😏😏😏mnaboo sana
@marynabwile4086
@marynabwile4086 20 дней назад
Hapo umenena wanaudhi sana
@user-im8pr5cj3n
@user-im8pr5cj3n 20 дней назад
Wanakela blaa😏😏
@user-ee5ek3se1s
@user-ee5ek3se1s 20 дней назад
Upo sahihi my dear
@naominafula7803
@naominafula7803 17 дней назад
Wanaudhi sana aiseee
@Mwanamvua-ze5ls
@Mwanamvua-ze5ls 20 дней назад
Wangap wanamkubli kendi kuitwa shida 😅😅😅😅😅😅😂😂😂😂gonga like apo
@queenyqadoty
@queenyqadoty 19 дней назад
Hilo jina linamfaa sana😂😂😂😂
@queenyqadoty
@queenyqadoty 19 дней назад
Hilo jina linamfaa sana😂😂😂
@Mwanamvua-ze5ls
@Mwanamvua-ze5ls 19 дней назад
@@queenyqadoty 😀😀😀😀😆😂
@kalambonews
@kalambonews 21 день назад
Mbona dada wakazi ajawai like comment yangu au Hana smart phone adi sasa 🤔🤔🤔
@SarafinesimiyuMainq-iv5tw
@SarafinesimiyuMainq-iv5tw 20 дней назад
Aki 😂hii comment ni ya mkenya
@adelinaomani9012
@adelinaomani9012 20 дней назад
😂😂😂😂😂😂
@JoselyneMutama
@JoselyneMutama 20 дней назад
Yani sijui nisemeje kunawtu wnajua kucheza kbx nimepata funzo kbwa kbx.kazi nzuli sana.naw penda mno.
@rosemarenga832
@rosemarenga832 20 дней назад
Hongeren San Kwa Kaz nzur Mung awabarik sana nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t 21 день назад
Nimewahi naombaeni like kidogo please 😢😂😂😂❤❤❤
@Rsilk192
@Rsilk192 20 дней назад
😢
@Marim-sj7oi
@Marim-sj7oi 20 дней назад
Hongera 🎉🎉🎉
@user-qb4qp7xj7d
@user-qb4qp7xj7d 20 дней назад
Hay nimekupa Maan umeongea kwahuruma jmn
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t 20 дней назад
@@user-qb4qp7xj7d asante 🤣🤣😂😂
@user-os3tt6ru7k
@user-os3tt6ru7k 20 дней назад
Kaombe msikitini
@user-yp7qy2qf7k
@user-yp7qy2qf7k 20 дней назад
Mama ni mama hata kama unamzidi elimu candy mamako na unamfanyia hivo 😢😢😢😢😢
@brendakhasiala7343
@brendakhasiala7343 20 дней назад
Tangu EP 1 adi hii Leo Wacha ni comment aki nime fell mamake shida wah kweli kabisa hiyo ni uchungu, kumzaa adui yako 😢, like zi come basi
@user-ti5mt6cr7v
@user-ti5mt6cr7v 20 дней назад
Wanao mkubari mam cendy kusema ukweli weka like
@mauamshindo2558
@mauamshindo2558 20 дней назад
Sehem ya comment ni yakutoa mawazo na mlichojifunza nyie mnaomba like😂😂😂🙌
@Mariam55-hz8if
@Mariam55-hz8if 20 дней назад
Huyu candy kiboko sana yaan mama ake anamjibu kama mke mwenzake na huyo masozi saut kama kaweza sabufaa😂😂😂😂😂kudangia vilema hii noma sana
@AdelaLudovick
@AdelaLudovick 20 дней назад
Wanaoniunga mkono kuwa waongeze dakika like zenu tafazali
@UpendoHussein-k7t
@UpendoHussein-k7t 20 дней назад
Busati tv mambo ni moto MR TASHA umetisha sana
@user-jr1qx1sj8t
@user-jr1qx1sj8t 20 дней назад
Ucmdharau mzazi ata kama ana magumu kumbuka yy alikulea akiwa na maisha hayo hayo ya dhiki 2heshimu sana wazaz 2uangalie kisa cha candy na kai 2kielwe nawapenda wote❤❤
@MizeMatano-nb9pj
@MizeMatano-nb9pj 21 день назад
Wenye tumeisubiria kwa hamu tujuane hapa mnipe like ata tatu🎉🎉🎉
@HellenSteven-y2y
@HellenSteven-y2y 20 дней назад
🎉🎉
@user-xn7ru6fl6q
@user-xn7ru6fl6q 21 день назад
Wa tatu leo like zenu
@user-mv6vi1gv6f
@user-mv6vi1gv6f 20 дней назад
Leo130 naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@UniceMsomi
@UniceMsomi 21 день назад
Naona watu hamlali duh sio pw jaman Ata dakika1 haijaisha ila watu mpo😂😂😂Aya bana kutoka zanzibar apa ❤
@Emeraldlady16920
@Emeraldlady16920 21 день назад
Wawooooh hatimaye mama lend kuonyesha ukweli kuhusu kandy
@SleepingEyes-ej3ir
@SleepingEyes-ej3ir 21 день назад
Wa Kwanzaa nipeni like wapenzi much love from Canada ❤❤
@nurusaid4698
@nurusaid4698 20 дней назад
Cendi Wwe Aya Kma Ndio Maisha Kweli Cjui Ungekuaje Maana Naona Mtto Uliepatikana Kwa Shuda Ungekuwa Unamfita Mmako Machozi Aliopitiya Yuma Nawe Ila Funzo Zuri❤❤❤❤
@RAMSABOYTZ
@RAMSABOYTZ 21 день назад
Nyie watu sio WAZURI mmeshafika kumbe ila acheni kuomba like mnazingua aiseeee
@sabrahnibuka1211
@sabrahnibuka1211 20 дней назад
Daah chozi limenitoka daah
@MymunaMuna-qn5lo
@MymunaMuna-qn5lo 20 дней назад
hawana kazi 😊
@ClariceMatulanga
@ClariceMatulanga 20 дней назад
Kumbe umeona😂😂😂😂
@GetrudeChengula
@GetrudeChengula 20 дней назад
Ndio waache usumbufu
@user-bm4nr4no2d
@user-bm4nr4no2d 20 дней назад
​@@GetrudeChengulaWanasumbua 😂😂
@estermpare4078
@estermpare4078 20 дней назад
Yaani comment zilizojaa ni kuomba like tuu !! Hebuu kuweni watu wazima basi acheni utoto. Mnakeraaa😏😏😏😏😏
@user-qd7ey5cp5s
@user-qd7ey5cp5s 20 дней назад
Waambie maana mm nishachoka
@jaliamartinz
@jaliamartinz 20 дней назад
Wambie bwana 👏👏👏
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b 20 дней назад
Waambie jmn waelewe sababu wanakera sana
@marynabwile4086
@marynabwile4086 20 дней назад
Waambie tena wanaudhi sana
@TabiaMwaisumo-ss7pz
@TabiaMwaisumo-ss7pz 20 дней назад
Wanakera sana
@user-mq3zd9vk2p
@user-mq3zd9vk2p 20 дней назад
Pole sana mama candy waaah hii movie ina Mafunzo mengi sana big up sana 🎉🎉🎉❤❤❤
@RehemaSospeter-vu4ms
@RehemaSospeter-vu4ms 20 дней назад
Yan kwenye tamthilia zingine watu hawaombi like km humu jmn....hemu acheni
@user-or7bm5ui5f
@user-or7bm5ui5f 21 день назад
Wa kwanza jaman naomba like 2
@JasminiSabun
@JasminiSabun 21 день назад
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭kumbe watoto wakubakwa ndo wako hivo
@adelinaomani9012
@adelinaomani9012 20 дней назад
Wengi wao wasumbufu sabu ya waliomzalisha hiyo ndo ndo tabia sasa mtoto piahulisi
@JacksonVicent-i1t
@JacksonVicent-i1t 21 день назад
Shabiki no one member NN mm APA mkurya niso na baya tarime moja kichwa radi panga sheria nawakubali sana wakongwe kai zuh hii part unyama sana ❤❤❤
@MaryamMaryam-ru1qt
@MaryamMaryam-ru1qt 20 дней назад
Hahaha wakulya 2po
@user-dn3sn2fk9v
@user-dn3sn2fk9v 20 дней назад
40 ep house girl here we go❤❤❤❤❤❤❤❤❤ I wish isiishe iendelee Tu at ad 1000ep😂😂😂
@juma3473
@juma3473 20 дней назад
Kweli kabisa nzuri sana sana usimalize jamani iwe kama ya kihindi ❤❤❤❤❤❤❤
@user-os3tt6ru7k
@user-os3tt6ru7k 20 дней назад
Hahahaha
@MymunaMuna-qn5lo
@MymunaMuna-qn5lo 20 дней назад
hata kwenye tivi nyumbani wambieni wawape like kwenye tivi maana kwenye simu tumechoka like like khaaaa mnachosha
@VioletGerald-dl9wr
@VioletGerald-dl9wr 21 день назад
Nimewah leo jaman wap like
@RAMSABOYTZ
@RAMSABOYTZ 21 день назад
Mnaoomba like mnaenda kupika kama mbogas au niadje
@user-kc7ri4vj4q
@user-kc7ri4vj4q 20 дней назад
😂😂😂😂😂
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b 20 дней назад
😂😂😂😂😂😂😂
@aishaaisha7097
@aishaaisha7097 20 дней назад
😅😅
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf 20 дней назад
😂😂 Bora uwaulize wewe
@Asha-xc1nc
@Asha-xc1nc 20 дней назад
Yani Kila kukicha movi n 🔥🔥🔥nawapenda jaman sana🎉🎉🎉from🇰🇪🇸🇦
@user-gu2yu2wp1z
@user-gu2yu2wp1z 20 дней назад
Aisai sio kwa kibuli hicho,,kwa hpo ilipofika kuna kakitu kana kuja,waigizaji n mashabiki wenzang nawapendeni snaaa snaa ❤
@Tumasalo99
@Tumasalo99 20 дней назад
Busati Wamejua kuuvaa uhalisiaa bhnaaaa 🎉🎉🎉🎉Twende kazii 41......
@busatitv
@busatitv 20 дней назад
💪
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b 20 дней назад
🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
@esterkimalio8846
@esterkimalio8846 20 дней назад
Huyo ndio shida bhana sio Candy tena duuuh
@user-pp3vo8rw5j
@user-pp3vo8rw5j 20 дней назад
Waaaaah yan moto juu ya fire 🔥 tu saiii yan mngemuacha ajiue man anadharau sana huyo nawakubali sana much love from saudi ❤❤❤❤kai hapo usijishaulishe ukampenda tena fanya yote ila umutafute zuu kai ❤❤❤❤
@LovenessValentine-nn7wm
@LovenessValentine-nn7wm 20 дней назад
Nimewahi Leo jamani maana house girl inanifanya nikeshe mie but nawapenda❤
@Igra254
@Igra254 20 дней назад
Uchungu wa mwana ajuaye ni mama usimdharau mama mzazi hata mamamlezi samahani ❤Kwa upendo likes za mamake candy
@LightnessUrio-fo7mq
@LightnessUrio-fo7mq 20 дней назад
Mimi kama shabiki wa house girl naomben ata like kumi tuu mm sitajiuwa atamkininyima😂😂😂🎉🎉
@IshakaMachanoMakame-sb2xx
@IshakaMachanoMakame-sb2xx 20 дней назад
Mnazingua banaaaa
@user-cy2rb4pf7e
@user-cy2rb4pf7e 20 дней назад
Safi sana kay, like tu jamani
@user-lu7vs8wd8v
@user-lu7vs8wd8v 20 дней назад
Mimba ya candy aka shida ilitakiwa kutibiwa na p 2 mapema sana
@OfficialZuli-ve5kh
@OfficialZuli-ve5kh 20 дней назад
🎉🎉🎉 nzuriii yenyee kuvutia kuelimisha na kuburudisha
@christine7744
@christine7744 21 день назад
Waaa candy jamani weee hata kma ni move ata nalia much love you guys❤❤❤
@WeddyMithika
@WeddyMithika 21 день назад
Much love from kenya🇰🇪
@LINDAKARANI-jx3dr
@LINDAKARANI-jx3dr 20 дней назад
Fellow Kenyans let's gather here
@aishaqassim1777
@aishaqassim1777 21 день назад
Leo nimewahi wakwanza ila nawapenda 😊😊😊mungu awabaliki kwakazi nzuli ❤❤❤❤
@zubedamae-ro1jx
@zubedamae-ro1jx 20 дней назад
Hii movie aky inamafunzo lkn sijui kama nayaona mm au pia nyinyi waomba like mnaona au nivip, anyway tuwapende wazz wetu na tusiwe wepesi wepesi wa kuamini marafika tukaacha mashauri ya wzz, napia kugawa sio poa unajidhalilisha 😂😂 yaaan kugawa kitumbuaaa 😂😂😂
@PurityWaithira-ud2vj
@PurityWaithira-ud2vj 19 дней назад
Mie naombeni msamaha kazi imekuwa nyingi huku qatar😢, naombeni like tafadhali ingawa ni saa chelewa
@ShakilaHussein
@ShakilaHussein 20 дней назад
Mashallah move nzuli Sana mwenyezi mungu azidi kuwapa ufaham na ujuzi makubwa zaidi ya hapa inshallah nawapenda Sana ❤❤❤❤❤🙏🙏
@mariamsalehabdulla6825
@mariamsalehabdulla6825 21 день назад
Wa kwanz mm leooo nilikuw naisubr kw hamuuu
@VaneGesare-wf7oq
@VaneGesare-wf7oq 21 день назад
Weuh kendi mbona humkatae mama kazi kwl kendi cio poa
@AjathSwaibu
@AjathSwaibu 21 день назад
Leo nimekua wakwanza naombeni like jaman wapendwa na mpenda sana zuu na Kai
@user-os3tt6ru7k
@user-os3tt6ru7k 20 дней назад
Hizo like kamuombe mama yako
@AjathSwaibu
@AjathSwaibu 20 дней назад
@@user-os3tt6ru7k mmmm sawa
@Franciscah-ks5zq
@Franciscah-ks5zq 21 день назад
nilisubiria kwa hamu na ghamu hii
@ElizabethOuma-j4s
@ElizabethOuma-j4s 20 дней назад
Isay mnabamba hapa mie Niko shule wee mnabadilsha matendo yanyu well done
@zanishaikhonge7296
@zanishaikhonge7296 20 дней назад
Kidogo nimewahi jaman kazi nzur pamoja sana
@Jumambogo123
@Jumambogo123 21 день назад
Mimi sitaki like zenu
@jofumwakalambo1097
@jofumwakalambo1097 21 день назад
Kwanza mm jaman toka sumbawanga
@aishaomar2287
@aishaomar2287 20 дней назад
Candy alopiga mamake jiwe la kichwa kisa chakula kai ndie ulitarajia awe mkeo😢...inasikitisha, watoto tuwapende na kuwajali mama zetu hata watokee kutupata katika mazingira gani
@user-le6xc6ei5x
@user-le6xc6ei5x 21 день назад
Wakwanza leo 😂😂team zuu miko juu
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b 20 дней назад
Hizo like mnazo omba mnaenda kupanguzia mavi au, mnakera sana
@annwanalo7813
@annwanalo7813 21 день назад
Jamani Leo nimewai 🎉🎉❤jamani ata like Moja tu ❤
@merinazyd0532
@merinazyd0532 20 дней назад
Wapeni wenzenu hongera na sio kuomba like jamani kwani mnataka mzipeleke wapi hizo like mbona akili hamna
@CatherineLubela-sb1fb
@CatherineLubela-sb1fb 20 дней назад
Wana Kela saana Hao wote Wanao omba like sijui niutoto jamani
@user-sk4yh5kw9j
@user-sk4yh5kw9j 21 день назад
Nmewahi jmn hata like 20 ntashkuru
@user-hp3vn4kc4s
@user-hp3vn4kc4s 20 дней назад
Kazi nzuri Mr. Kai
@NathanaelSimoni-cu4wk
@NathanaelSimoni-cu4wk 21 день назад
Kazi nzuri sana
@user-bg3it2pf6r
@user-bg3it2pf6r 20 дней назад
Naombeni mumuache candy ajiuwe😂😂😂mfungieni chumba afe kiroho safi😂😂😂
@AdamZainab-mb7qj
@AdamZainab-mb7qj 20 дней назад
Jamn msimlaumu cendy vile alivyo ni kwasababu cendy anababa sita yaan ajulikani baba😅
@Dayana-o4z
@Dayana-o4z 20 дней назад
😂😂😂waaah wewe sio cendy wewe n shida
@sussymtunga3673
@sussymtunga3673 20 дней назад
Mambo imechemka hku sana waaa aki 😂😂😂😂😂 candy uko na vitisho...... very interesting nangoja the next part 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-nk4oq4ek9y
@user-nk4oq4ek9y 20 дней назад
Jmn sofia ni mwiko wa pilau lkn kajeuri sanaa kimbaombao
@user-gy1tu7wv8d
@user-gy1tu7wv8d 20 дней назад
Candy kweli ni Shida😅😅😅si bure ya iyo kina lake😂😂😂😂si wamwache hajiue
@ShazzLizz
@ShazzLizz 20 дней назад
Hadi Mimi nataka likes jamani kutoka Kenya❤️❤️❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@marynabwile4086
@marynabwile4086 20 дней назад
Aki,usituangushe wakenya huwa hatuombi likes huku likes ni kama wimbo
@LINDAKARANI-jx3dr
@LINDAKARANI-jx3dr 20 дней назад
​@@marynabwile4086mwambie
@BahatiNjemo-of9lx
@BahatiNjemo-of9lx 20 дней назад
Kwani na nyie mnaoomba like mbona ivo sasa, ama munkua km ao wanaotumia hii move kwa ajili yakujiendeleza
@AshaNzara
@AshaNzara 21 день назад
😂😂😂kaeni kwa kutulia
@user-ky7cf6nm8d
@user-ky7cf6nm8d 20 дней назад
Mmewai ila namimi nimewai team kai 🎉🎉🎉🎉
@dottonangemo2166
@dottonangemo2166 20 дней назад
Huyo ndio candy ukisikia mwengine photocopy tupo sambamba na we candy mpaka radhi ikutafune😂
@GivenessJamal
@GivenessJamal 20 дней назад
Hongerani kwa kutufunza na kutuburudisha
@MupaMumbo-fi4gu
@MupaMumbo-fi4gu 21 день назад
Nimekuawa Kwanza Leo nipee like
@jasminselemani62
@jasminselemani62 20 дней назад
😏🙄😡
@irenengowi8657
@irenengowi8657 20 дней назад
Sahvi hta sio nzurii hii movie jaman zuu the way awamuonyeshi sana na kai
@AidatAmadi
@AidatAmadi 20 дней назад
Iiih kipande ata sio nzur Yan maadis yamekuwamengi
@chandigamoses05
@chandigamoses05 21 день назад
Wakwanza leo ❤❤❤
@-kagerayetubw9jx
@-kagerayetubw9jx 21 день назад
Uyo mimi sasa
@sadahamad6158
@sadahamad6158 21 день назад
❤❤❤❤🎉🎉🎉 woyoo tupo chonjo team zuu
@Nailah736
@Nailah736 20 дней назад
Yenye nimekumbuka kwa hii movie 😢😢😢😢😢eeeh mola nijazie neema na ujasiri 😢
@nasmaramdhan-bf3bm
@nasmaramdhan-bf3bm 20 дней назад
Naomben like jaman
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf 19 дней назад
😂😂😂aty candy anaitwa nani??? Mama candy wewe ni bonge la mama sasa poor shida kubali 😂shida ni dramatic woman kajiue basi😅 nawapenda guys kwa kazi nzuri ❤❤
@Sofiashabani780
@Sofiashabani780 21 день назад
Heee washajaa kila mahali
@AgnesDavidmtalemwa
@AgnesDavidmtalemwa 14 дней назад
Nmechelewe jaman kai na timu yako gonga like
@beathakatwiga9228
@beathakatwiga9228 21 день назад
@LUKASNGOMBANIZA
@LUKASNGOMBANIZA 20 дней назад
Mnastahir sifa kwasababu kazi yenu ninzuri tunaipenda Sana ofcourse inatuelimisha wanajamii wenzenu. Ahsanten na mungu azidi kuwafunulia maarifa yakutoa mafundisho kwasababu tunaamini bado mnamengi yakutufunza zaidi.❤❤❤
@LeahMussagagi
@LeahMussagagi 20 дней назад
Naomb like nimewah Kaz nzr San kwa momiiii🎉
@user-sr7pk7vb8o
@user-sr7pk7vb8o 21 день назад
Jamanii wa kwanza leooo😅
@marangotv7748
@marangotv7748 20 дней назад
Cendy nakucukia kwakweli sio kwa movie tuu
Далее
HOUSE GIRL  EP 41 || love story💞💕
20:37
Просмотров 148 тыс.
HOUSE GIRL EP 03  | SEASON 2 |  love story💞💕
23:57
BABA YANGU KIPOFU Full episode /22/ #love
38:39
Просмотров 215 тыс.
HOUSE GIRL EP 60 || SEASON FINALE
22:53
Просмотров 139 тыс.
THE HOUSE GIRL EP 1
9:36
Просмотров 6 тыс.
HOUSE GIRL EP 01  | SEASON 2 |  love story💞💕
20:42
MR MONEY_EP 01
20:21
Просмотров 246 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /21/ #love
25:05
Просмотров 373 тыс.
HOUSE GIRL EP 02  | SEASON 2 |  love story💞💕
19:46