😳😳 Hivi Candy Anawadudu Kwa Head au khaa Jamani hebu Busati Tv, Fanyeni Adundie Pua kwa Miba 😂, Halafu nimeona Anasodolewa kuwa kikwapa Kinanuka Ndio maana Kai alipoingia Chumbani baada ya Candy Kuweka Urembo alitaka kuzimia , kumbe kikwapa bhana Bora akajilalie kule Kwa Zuu Wetu 😂😂
Watu sijui mpoje mwanzo mpaka hapa mnafukuziana like kama machizii vilee😪😪😪mnashindwa kutoa vit vya maana kaaaah mtulize makomwee au muanzishe vituo vyenu vyakuomba like
Weee kaii kazi unayo hapo sasa weeee candy nayee nacheke 😂😂😂😂😂 sanra nayee nacheke 😂😂😂😂 weee kikweli hii mvi inafunza kitu ama kweli weeee ongera sanaa kwa bsati tv🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu awabariki kiramba Na mke_ wako mzidishiwe mnapo punguza Kwa ajili ya baba.kai kinacho nyelewa Na mwana hakikatwi baba Amini atakusamea mana anajua haikuwa akili yako.fanya Hima ufike ufunguke zuu anakutafuta mapenzi wako ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️
Siku nyingine mkiangalia kama mmewahi mueleze kwenye comment kilichoendelea maana naangalia huku nasoma comment hyu madevu ya mbuzi simkubaligieata kidg
Kiramba mchuzi mke wako mzuri san wallah mashallah kiramba mchuzi pote ulipo kuna wageni wanakuja je kazi utaenda au np mwana kutoka 🇴🇲🇴🇲 aya ngoja nione