Тёмный
No video :(

HOUSE GIRL EP 43 || love story💞💕 

BUSATI TV
Подписаться 114 тыс.
Просмотров 167 тыс.
50% 1

#bongomovie #housegirl

Опубликовано:

 

12 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 709   
@roda254totolapwani-ur3ur
@roda254totolapwani-ur3ur Месяц назад
Wanabusati tv plzzzzzz nawaomba msiwahi kumaliza hiiiiii tamthlia nawasihi muendele hivyo hivyo hdi itakapofika tamthlia ya 100 kwasababu ina mafunzo mazuri sana pamoja n mtiririko wa kueleweka watching from Saudi as a house girl tooo Much Love to Busati Family ❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
❤❤❤😍😍
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Asante sana tutaifanyia kazi maoni yako
@anyona711
@anyona711 Месяц назад
😅😅Saudi Niko hapa Jeddah, tukutane istaraha tukunywe kahawa😅
@user-eb6ye8fi4y
@user-eb6ye8fi4y Месяц назад
❤❤❤
@RakhmaFosi
@RakhmaFosi Месяц назад
​@@anyona711nipo Abha c tupewe episode 44😅
@user-fw2zn2os8g
@user-fw2zn2os8g Месяц назад
jamn anae jisikia fraah kai kumuomb msamah baba ake like ap
@halimahassan1930
@halimahassan1930 Месяц назад
Hakika inamafunzo sana hii movie mungu awabariki sana kwa kazi nzuri ❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Месяц назад
Ambao tunasubiria kwa hamu ndoa ya kai na zuuh tujuane kwa like zakutosha,,,,,,,, 😂😂😂❤❤❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Месяц назад
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Месяц назад
❤❤
@PaulOjiambo-p1f
@PaulOjiambo-p1f Месяц назад
❤❤
@mohamedlopa8410
@mohamedlopa8410 Месяц назад
​@@PaulOjiambo-p1f❤❤❤
@user-kc2mf1fz7g
@user-kc2mf1fz7g Месяц назад
❤❤❤❤
@HellenAlquin
@HellenAlquin Месяц назад
Na mm Leo ndo wa mwisho hvyo naomben like zangu Ili nifahamu npo miongon mwenu Ili niwahi
@mercyassy5469
@mercyassy5469 Месяц назад
Candy atapigwa na kitu kizito na huyo shemeji yake wa mchongo atauza nyumba na hatopata hata mia mbovu🤣🤣😂
@lulumhapa
@lulumhapa Месяц назад
Aisee nahisi mimi ni wa kwanza ambae sijaomba like 😂😂😂😂😂...nnachotaka kusema ni pongezi kwa busati TV kwanza wanatoa movie kwa muda pili vipande vinaeleweka jmnnn pongezi kwenu kazi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉 nawapenda sana 🎉🎉🎉🎉 msichoke kutupa vtu vitamu ❤❤❤❤❤
@PillysalimSengo
@PillysalimSengo Месяц назад
nakungana na ww ambae ujawahi kuomba like 😊
@VivianeMhapa
@VivianeMhapa Месяц назад
Lulumhapa nadhan Sisi ni ndungu
@lulumhapa
@lulumhapa Месяц назад
@@VivianeMhapa kwa kweli jamani ❤️
@VivianeMhapa
@VivianeMhapa Месяц назад
@@lulumhapa ok tujuane zaid
@lulumhapa
@lulumhapa Месяц назад
@@VivianeMhapa saww
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi Месяц назад
Jamani wengine wanalia, wengine wanafukuzwa, wengine wanashereheka , wengine wanapiga magoti aki kudadek movie ni tama mno ebu gongeni like apa kama wew ni mkenya❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@salhatiddy
@salhatiddy Месяц назад
😂😂😊
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi Месяц назад
@@salhatiddy 😂😂😂umeonaee
@AdamZainab-mb7qj
@AdamZainab-mb7qj Месяц назад
Wengine sio wakeny kwaiy tufanyaj
@user-xv4br7jo6b
@user-xv4br7jo6b Месяц назад
😂😂😂
@macrinafuraha-zg3mi
@macrinafuraha-zg3mi Месяц назад
@@AdamZainab-mb7qj 😂😂😂🤣just comment tuu
@user-st9hn2bx5g
@user-st9hn2bx5g Месяц назад
Hivi nyie like mnapelekaga wapi mnanikela na hizo like mnashindwa kufanya kazi iliyowaleta mpo tu mnaomba like
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🙏🙏
@user-im8pr5cj3n
@user-im8pr5cj3n Месяц назад
Kweli kabisa
@user-jl8kp7gu7x
@user-jl8kp7gu7x Месяц назад
Wakwanza Leo Ni Mm nipeni like nzangu from USA ❤❤❤
@Mr_Jones_Og
@Mr_Jones_Og Месяц назад
Mimi sijawahi pata like hata moja tangu hii muvi ianze 😢
@MayasaFatuma
@MayasaFatuma Месяц назад
Sasa ww like unataka upeleke wap
@SaraQueen-tm5dr
@SaraQueen-tm5dr Месяц назад
Utaenda kununulia nn?
@salehHassan-rl8bd
@salehHassan-rl8bd Месяц назад
Ukisha uzaaa n tag plz
@Mr_Jones_Og
@Mr_Jones_Og Месяц назад
😂😂😂​@@MayasaFatuma
@DianaMuyoka
@DianaMuyoka Месяц назад
😂😂😂😂​@@salehHassan-rl8bd
@sifamaureen2792
@sifamaureen2792 Месяц назад
Kumekucha,furaha iliyoje, na awapenda saana tear busat tv kwa kazi nzuri❤❤❤🎉🎉
@PrinceAman20027
@PrinceAman20027 Месяц назад
BUSATI TV ON FIRE🔥🔥🔥🔥🔥ninachowakubali Ni kwamba hampoi Wala hamboi daily mnatoa kazi,,,, kiufupi mnatoa kazi kwa wakati CONGRATULATIONS 👏👏👏👏
@Rizikialiamechannel763
@Rizikialiamechannel763 Месяц назад
Hebu nicoment chap chap bila yakuangalia from oman 🇴🇲 nazan mumeiyona coment yngu like napokea😂 😂😂
@AbdallahBonge-wb9dt
@AbdallahBonge-wb9dt Месяц назад
Wangap wanaamin zuu bado anakimbia had sasa mnipe like zangu
@johariabdalla3099
@johariabdalla3099 Месяц назад
Mwee😂 hata like mbili tu kwa ajili ya kai na zuu❤❤❤❤
@user-wq4jo9px8t
@user-wq4jo9px8t Месяц назад
❤❤
@JenifaSilvester
@JenifaSilvester Месяц назад
❤❤❤❤❤
@PaulOjiambo-p1f
@PaulOjiambo-p1f Месяц назад
❤❤❤❤
@SarahRichard-iv2dl
@SarahRichard-iv2dl Месяц назад
Bila shaka wewe ni mtu mbeya 😅😅😅
@rahimaaaaa5682
@rahimaaaaa5682 Месяц назад
😊😊
@user-oe7xe1dv3w
@user-oe7xe1dv3w Месяц назад
Muache ubanguzi😅bana like 10 tu nami leo naomba alafu team zuu NN tunasubiria kesho❤❤
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Месяц назад
Jamani kutoka kenya 🇰🇪🇰🇪team strong team zuu mko wapi halafu sania mgonganishi kweli 😂😂
@mercypeter2864
@mercypeter2864 Месяц назад
Nlikua nadhani nmefika wa kwanza from Kenya but umeniwakilisha
@Asharashid-s3n
@Asharashid-s3n Месяц назад
Kenyan people oyeeee
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Месяц назад
@@mercypeter2864 karibu Sana
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Месяц назад
❤️❤️
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Месяц назад
@@Asharashid-s3n hoyeee
@JamillaWesonga
@JamillaWesonga Месяц назад
Kendy pamoja na akina masozi mnajidanganya mtapelekaje nyumba isiyo yenu kwa mnada atakaye weka sahihi n nan pumbavu zenu nyiye 😅😅😅😅😅😅team zuu,kai na baba ngojeeni tunaanda shereee❤❤❤🎉🎉
@vxp5228
@vxp5228 9 дней назад
Wanajidanganya hawa wajinga hawaezi uza nyumba ya mtu bila kukubali acha aibu iwaponze tena😂
@nurumgaya1620
@nurumgaya1620 Месяц назад
Naombeni like na mimi Niko on time jamani team zuli na team Kai mpo!? Natamani kuona zuli na Kai wakioana
@emmanuelsylvester4329
@emmanuelsylvester4329 Месяц назад
Nikazan ntakuwa wa kwanza kumbe nmechelewa naomben hata like basi
@user-wk5yv4um4m
@user-wk5yv4um4m Месяц назад
😂😂😂😂mambo ya movie eheee kumbe zuu abado Alikuwa njuani anakimbia🏃🏼🏃🏼🏃🏼🏃🏼
@user-hb2nn6ud2d
@user-hb2nn6ud2d Месяц назад
Jaman mm naomba kuuliza hv hizi like kila mtu anaomba zinasaidia nn au zinakaz gan
@Jackiline-kw3zq
@Jackiline-kw3zq Месяц назад
Wakwanza leo nipeni like acheni uchoyo
@user-vg8ht5pm1i
@user-vg8ht5pm1i Месяц назад
Jaman vipenzi kwa leo tu mnipe ata like zenuu tu kila siku me nalike zenuu why me❤
@NuruenezaJosephEnock
@NuruenezaJosephEnock Месяц назад
Ee Mungu naomba utusaidie watu wote tulioko upande wa Khai,Zuuhh,Tasha,pamoja na baba yake ni kweli wameshasameheana lkn tunahuzunika Sana kwa kuwa Candy aneshachukua hatua ya nyumba jaman Mungu shuka tuokoe ktk hili
@LadenUssama
@LadenUssama Месяц назад
Ameen
@user-ql7to3rm3p
@user-ql7to3rm3p Месяц назад
Kitamuramba hapo kwa nyumba tuangalie
@official_jimmymj
@official_jimmymj Месяц назад
Samahani Busati ,,Mimi Huwa na download Nawatch baadae....❤❤❤
@busatitv
@busatitv Месяц назад
❤❤
@PaulOjiambo-p1f
@PaulOjiambo-p1f Месяц назад
❤❤
@MwanamvuaNassoro
@MwanamvuaNassoro Месяц назад
Tamaa mbele mauti nyumba, basi chisa anadhani kwamba basi ameshaomokq 😅na tamaa zake vile 😏😏😏
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Kabisaaa
@eliewahamsophe9972
@eliewahamsophe9972 Месяц назад
Kesho tunatoa full mpaka mwisho like kama unapenda tufanye ivoo
@user-sk7un6ls2t
@user-sk7un6ls2t Месяц назад
Ambao tupo bega kwa bega na busati TV mpaka kieleweke like kidogo tu 😂😂😂😂😂
@user-uq4wt9dx9g
@user-uq4wt9dx9g 11 дней назад
Wapewe maua Yao 🎉🎉🎉
@alfredofrancisconachituta8428
@alfredofrancisconachituta8428 Месяц назад
Wakwanza leo mimi naomba like
@EliTimothy-nf1rm
@EliTimothy-nf1rm Месяц назад
Leo wametufurahisha sana mashabiki like Kwa busat tv
@VeronicaIbrahim-wv4dg
@VeronicaIbrahim-wv4dg Месяц назад
Nimewahi ♌ kama unaipenda hii movie gonga like hapa🎉🎉🎉
@JosephineJosephine-nn9sm
@JosephineJosephine-nn9sm Месяц назад
Huyo juu na Kai waletwe kenya kunanyumba nitawapa juu mapenzi Yao Niya dhati I really love you guys
@nasmaramdhan-bf3bm
@nasmaramdhan-bf3bm Месяц назад
Wanao mpenda Kai naomben like jaman
@user-th1vo9lz2h
@user-th1vo9lz2h Месяц назад
Mimi wa kwanza leo nahomba like ata 10 please 🙏
@MwanamisiSuleiman
@MwanamisiSuleiman Месяц назад
Ushasamehewa kai hayo kimbia nyumbani nyumba yauzwa
@pillymakambi9133
@pillymakambi9133 Месяц назад
Dakika ya pili oya wee nimewah nipeni like kwaajil ya kai na mr tashaa
@KHANMOVIEZETU
@KHANMOVIEZETU Месяц назад
Jaman jaman Leo mnetufurahisha like Kwangu wameofurah
@VeronicaIbrahim-wv4dg
@VeronicaIbrahim-wv4dg Месяц назад
Wakwanza naombeni like jamani
@rudo_b_classic1131
@rudo_b_classic1131 Месяц назад
Nimefurahisha kwa kuachia vipande viwil leo
@Saumu254
@Saumu254 Месяц назад
Wakusoma coment yangu msiipite mje polpole😂😢
@Nailah736
@Nailah736 Месяц назад
Asanteni sana wana busati TV mungu akazidi kuwafafanulia hayo mafunza ndiposa pia nasi tuyapate Asanteni sana director wetu kwa jumla 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@user-vw3mr7jd1i
@user-vw3mr7jd1i Месяц назад
Busati Tv kazi nzuri sana🔥,likes zimiminike kwa busati Tv,Team zuu na team kai na rafiki yake mzuri✨
@MwanajumaMwinzi
@MwanajumaMwinzi Месяц назад
Kwn hizi like mnaomba zaliwa
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e Месяц назад
😂😂
@LoyceJastine
@LoyceJastine Месяц назад
Waulize
@Starlet836
@Starlet836 Месяц назад
Nawashangaa 😂 kila mtu like like like hawana kitu cha maana cha ku comment
@hajimwendo
@hajimwendo Месяц назад
Mapema sana leo like kidogo tuu!!
@NjoleZuma-ue9yo
@NjoleZuma-ue9yo Месяц назад
Mimi hapa
@BABAJOAN1604
@BABAJOAN1604 Месяц назад
Hongereni BUSATI TV mpo vizuri Sana sifuatiliagi bongo movie ila hapa mmenikamata mnafanya kazi nzuri
@user-ny8yk8fu2t
@user-ny8yk8fu2t Месяц назад
Jaman siamin kuwa nimewai leo
@godfreyonderi5338
@godfreyonderi5338 25 дней назад
Wakuu naombeni hata likes kumi❤❤
@melanianjau3244
@melanianjau3244 Месяц назад
Jaman kutoka united state of msaranga tugengeee like❤❤❤❤❤❤
@user-lj3tc1xs5j
@user-lj3tc1xs5j Месяц назад
Leo wa kwaza😂❤❤😢
@user-ho7vv4tx1y
@user-ho7vv4tx1y Месяц назад
Ila nime mkubali sana lafiki ake kai ana usha uri sana kwa mwenzake 🎉🎉
@BahatiTarimo-yz7im
@BahatiTarimo-yz7im Месяц назад
Na mm Leo nimewahi jaman naomben like ata mbili😢
@user-mv6vi1gv6f
@user-mv6vi1gv6f Месяц назад
Chiko kua na kula naomba like mwenye atakuja nyuma 🎉❤🎉❤
@LennaAjiambo
@LennaAjiambo 14 дней назад
Jamani mahali nimefikia naomba tu likes za kai na zuu❤❤❤❤❤
@Asha-xc1nc
@Asha-xc1nc Месяц назад
Mimi naona Leo ndo kwnza kutoka 🇰🇪🇸🇦nipeni hata kma likes mbili
@KemmyMercy-my9uf
@KemmyMercy-my9uf Месяц назад
Tujifunze kusamehea jameni ❤❤ movie nzuri sana congrats busati TV
@SalumMuhsin
@SalumMuhsin Месяц назад
Sitaki hata like moja mm nawasisitiza tu muchukue mafunzo haya muyafanyie kazi katika ndoa zetu
@Victoriambalangu
@Victoriambalangu Месяц назад
Wew ndo unatakiwa kupewa like big up sana
@SalumMuhsin
@SalumMuhsin Месяц назад
@@Victoriambalangu shukran busaty
@hlimaa5182
@hlimaa5182 Месяц назад
Naskitika 😢😢😢 Candy kapata hati 😢😢ila sijui kitakacho tokea mbele napia nafurahi baba kumsamehe mwanae kai mke wa kilamba pongezi nyingi za dhati kwa mlivyo au unavyo mtunza baba kai❤❤❤❤❤
@ShukraniNiyonsaba-ne2sx
@ShukraniNiyonsaba-ne2sx Месяц назад
Wanaopenda zuu nipeni
@tabithanzisa9755
@tabithanzisa9755 Месяц назад
Mko vizuri najifunza mengi kwa hii movie ❤❤❤❤jamani isiishe aky jamani haraka😢
@Phoebenafula
@Phoebenafula Месяц назад
Mimi wa kwanza tena wa mwisho nipeni like zenu
@IsraelngoroKone-tm7te
@IsraelngoroKone-tm7te Месяц назад
Wa 2 kutoka Gauteng Pretoria
@briellaqueen-lk1dc
@briellaqueen-lk1dc Месяц назад
❤❤
@urlickndunguru2005
@urlickndunguru2005 Месяц назад
@peterphilipo5103
@peterphilipo5103 Месяц назад
Chiko bhana eti mto ruvu😂😂😂😂😂
@janatmapenzi5264
@janatmapenzi5264 Месяц назад
😂😂😂😂candy nyumba niya kampuni mama rudisha hati utafeli hadi mm mpate ndoa😂😂😂
@HawaSadock
@HawaSadock Месяц назад
Bora Tu iweee hivyooo😢😢😢😢 maana inaniuma sana😢
@vxp5228
@vxp5228 9 дней назад
Licha yakua nyumba ya kampuni bt haezi uza nyumba bila sign ya khai ju nyumba ya soma jila la khai si candy😂
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf Месяц назад
Ni tamthlia nzuri love Kai na team yako ❤❤
@Mariamuthoni-kh9vv
@Mariamuthoni-kh9vv Месяц назад
Waaaaah na Sasa cendy ndie Ako na nyumba kutaenda aje woow kesho inakaa moto
@chrismdawi3524
@chrismdawi3524 Месяц назад
Wapenzi wa busati mpo live muda wote❤❤❤❤
@Emeraldlady16920
@Emeraldlady16920 Месяц назад
Napenda Sania anachoambiwa kamkonde 😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉
@bayubaheallydelly-rn2zv
@bayubaheallydelly-rn2zv Месяц назад
Wakwanza jmn nip like zangu
@WinnieNtoiti
@WinnieNtoiti Месяц назад
Jamani ,sina huakika kuwa zile hati za nyumba candy amepata kama ni real ones ,au nani anafikira Moja na mm
@busatitv
@busatitv Месяц назад
🙏🙏
@LadenUssama
@LadenUssama Месяц назад
Hata mimi sitaki kuamini
@WinnieNtoiti
@WinnieNtoiti Месяц назад
@@busatitv aki Nina Imani kuwa ziwe fake maanake mwanamke mwenyewe sumu jamani hata kuachika kakataalia vipi akibahatika kupata hati za nyumba Khai Tena mtihani kwake
@emmahmoraa4884
@emmahmoraa4884 Месяц назад
Aki chiko eti kamkonde tena😂😂😂😢
@AnnaMzava-yl1su
@AnnaMzava-yl1su Месяц назад
Hongeren jaman mnajua kufunza
@irenemosha962
@irenemosha962 Месяц назад
Dakika moja comment 23 dah kweli watu mpo busy mtandaoni 😂😂😂😂
@user-co5ed6xr5c
@user-co5ed6xr5c Месяц назад
Hongereni sana yaan kitu kimetulia kabsa inamafunzo mazuri sana ❤❤❤🎉🎉🎉
@Aishybeb
@Aishybeb Месяц назад
Hawa watu nawapenda bure wallah yaan hawana baya n watujali sana mashabiki wao kwa kutochelewesha episode hongeren sana ❤❤
@NeemaRobina-bk7tm
@NeemaRobina-bk7tm Месяц назад
Jamani leo nimekuwa wa kwanza
@LovelyCows-dq2uv
@LovelyCows-dq2uv Месяц назад
Kazi nzuri sana kay❤❤❤❤❤❤
@jennymali4368
@jennymali4368 Месяц назад
Yani hii move aichoshi wala aiboi ni nzuri na inafundisha sana❤❤❤❤
@mariamuhamisimwamrezi4832
@mariamuhamisimwamrezi4832 Месяц назад
Candy mchezo utakugharimu uwo😢😢
@vxp5228
@vxp5228 9 дней назад
Utamuponza na akae akijua haezi uza nyumba bila sign ya mwenye nyumba😂
@user-ro7sk9ic7z
@user-ro7sk9ic7z Месяц назад
Daaaah inafundisha sana nawapenda sana Mungu awajalie maisha marefu 🙏🙏
@AshaRashid-hq1kr
@AshaRashid-hq1kr Месяц назад
Jaman😢vipande fanyeni hata viwili Kwa siku moja jaman haaaaaaaaaaa yani aa tufayieni hivyo ban misiombi like naomba vipande viogwzewe jamani mtu hulali unawaza uliko ishia je itakuwaje ogezen
@busatitv
@busatitv Месяц назад
Jana tumepos EP 42 na 43
@LucyPeter-uh3gu
@LucyPeter-uh3gu Месяц назад
Jamaniiii muvi nzuri ila khai kanifanya nilie
@rosemarynjeri-cm7bn
@rosemarynjeri-cm7bn Месяц назад
Pia mm
@MtabibuAsilia
@MtabibuAsilia Месяц назад
Izo nyele za candy jamani abadili stail bs
@DamianoFisoo
@DamianoFisoo Месяц назад
Angalieni movie cyo kuomba like tu
@JaneChaula
@JaneChaula Месяц назад
Kweli yaani watu kil mtu like like tu
@Phoebenafula
@Phoebenafula Месяц назад
Waambie😂😂
@salmamwakabutama
@salmamwakabutama Месяц назад
Kama wapuuzi wanaacha kuandika vya maana like likes loooo
@NaahKijoj
@NaahKijoj Месяц назад
Bora umewaambia
@SophyAkadikor
@SophyAkadikor Месяц назад
Wenyee wanamarafiki wazuri kama wa kai wapi likes zenu❤❤
@mwanamkacally4248
@mwanamkacally4248 Месяц назад
Kwani hizo like mnatafuna au mana kila mtu like eeeh like
@juma3473
@juma3473 29 дней назад
Jitahidi tusione kibaza sauti au kivuli Cha wanaorikodi hii series lakini ipo vizuri ❤❤❤❤
@NasmaMoses
@NasmaMoses Месяц назад
😂😂😂kumechangamka huku begi la Sania latupwa nje 😅😅😅
@user-wm7gu8os2i
@user-wm7gu8os2i Месяц назад
Shukran sana house gerl femly nawaombea masha yafuraha
@MaryChemnyetich
@MaryChemnyetich Месяц назад
Nimewai 😂nipeni like jamani❤❤❤❤❤
@SalhaAthmani
@SalhaAthmani Месяц назад
Nimefurahi Kai kwenda kumuomba samahani baba ❤🎉🎉🎉🎉lkn upande wa pili Hati ya nyumba ishachukuliwa cjui itakuje😢
@LighySteven-gd8wo
@LighySteven-gd8wo Месяц назад
Ambassador wa kay na zuuh tujuane mapema
@ZainabuSalehe-hi2pw
@ZainabuSalehe-hi2pw Месяц назад
Jamanii uyu shida ataki kujifunza tuu😅😅
@user-xz7mn9bn2n
@user-xz7mn9bn2n Месяц назад
Jamani hamlali.
@user-yu9qn4oi3g
@user-yu9qn4oi3g Месяц назад
Kz nzuri sana 😢ohhh Kai shida kule kashachukua hati ya nyumba anaenda kuchukulia mkopoo 😮
@Rahmaomarymangosongo
@Rahmaomarymangosongo Месяц назад
Jamani me nafuatilia sanaaaaaaa ila ata like sipewi 😢😢😢
@sbdennovevo-zoukstar
@sbdennovevo-zoukstar Месяц назад
Wangapi wanaona movie inaelekea kuisha😂😂
@AbdulyRashidi
@AbdulyRashidi Месяц назад
Kazi nzuri lakiñ khai uchezi kama mtu anaetakiwa kucheza naomba ubadilike we ndo steering wa movie lakin umepoa upokeaji wako haupo kabisa
@AbdulyRashidi
@AbdulyRashidi Месяц назад
Sawa lakin umepoa
@PetronilaMtewa
@PetronilaMtewa Месяц назад
Macho ya kendy kaa mjusii
Далее
HOUSE GIRL  EP 44 || love story💞💕
20:43
Просмотров 159 тыс.
HOUSE GIRL EP 22  | S2 | love story💞💕
24:59
Просмотров 62 тыс.
Qora Gelik
00:26
Просмотров 489 тыс.
SNAKE BOY | ep 31 | SEASON TWO
36:36
Просмотров 543 тыс.
MISSION IMPOSSIBLE [22]
20:57
Просмотров 65 тыс.
MKWE KAROGWA...Ep 16..( Love Story 💕💕💕 )
28:46
PENZI LA FUNDI VIATU 💞 Love Story | DONTA TV
24:56
HOUSE GIRL EP 18  | S2 | love story💞💕
23:01
Просмотров 106 тыс.
MISSION IMPOSSIBLE [21]
18:01
Просмотров 84 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode /26/ #love
25:09
Просмотров 395 тыс.
HOUSE BOY  ❤️ FULL MOVIE
1:20:30
Просмотров 273 тыс.