Тёмный

HOUSE GIRL EP 47 || love story💞💕 

BUSATI TV
Подписаться 120 тыс.
Просмотров 157 тыс.
0% 0

#bongomovie #housegirl

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 669   
@KhadijaAbdallah-kx8oi
@KhadijaAbdallah-kx8oi Месяц назад
Chiko kitakuja kumlamba mm nipo ap wanaoamin chiko kitamlamb nomben like zenu jmn
@GraceMlay-pv6bc
@GraceMlay-pv6bc Месяц назад
Wanaomkubali Tasha gonga like tujuane
@HyasintaWisdom
@HyasintaWisdom Месяц назад
Wanaosem mke wachiko sio mgumba twanga like ap❤😂😂
@SalvinJastin
@SalvinJastin Месяц назад
Kabisaa chiko kinamramba sio mda mrefu🤣🤣
@OlyUpowerfuljesus
@OlyUpowerfuljesus Месяц назад
Wanawake wakiona mwanaume haeleweki wanagoma kushika mimba
@Sayd-pi5lq
@Sayd-pi5lq Месяц назад
Ukiwa unafatilia kwl hii movie unajua waz km chiko hana mbegu😂😂😂😂😂
@user-xo7ns7bc8c
@user-xo7ns7bc8c Месяц назад
Ww wifi siku yako yaja unafurahia mateso ya wifi yako ilhali ww ni mwanamke na umeolewa
@user-un5yq5wh8x
@user-un5yq5wh8x Месяц назад
Tunajua kabsaaa mke wa chiko wala sio mgumba ila chiko ndo ana shida😢😢
@DaisyNyabuto
@DaisyNyabuto Месяц назад
Jamani neno uvumilivu kumbe Lina uzito namna hiii😢😢candy jamani utawezana kweli ?? Team zuuh njooni tuungane hapa 🫂🫂🫂❤❤🎉🎉
@AmanDaud-h9d
@AmanDaud-h9d 27 дней назад
🌹🌹🌹🌹👏
@hajimwendo
@hajimwendo Месяц назад
Jamaan like kama zote kwa zuuuh ❤❤
@faustashisha
@faustashisha Месяц назад
❤❤❤❤❤
@user-hx5vv5do8i
@user-hx5vv5do8i Месяц назад
Anaeungana nakuona kabisa candy anaenda kuzurumiwa nyumba na Dada ake masozy gonga like
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b Месяц назад
😂😂😂🎉🎉
@JosephaSulle-yi4zr
@JosephaSulle-yi4zr Месяц назад
Nyiee kama namwona mandevu yule
@user-rm2lk8se3w
@user-rm2lk8se3w Месяц назад
Nyumba imeenda Kwa madevu tiyari
@user-kg1hx6zc8s
@user-kg1hx6zc8s Месяц назад
Nyumba ishachukuliwa nadevu mchana kweupe
@user-bb6oy5dl6y
@user-bb6oy5dl6y Месяц назад
Ambao jana walisubiri adi saa sita like hapa tujuwane 😂😂😂
@Mwanajumahassan-tg3zg
@Mwanajumahassan-tg3zg Месяц назад
😂😂😂jamani caddy huyu anavituko loo shukran nyote Mr Tasha kua makini nyoka huyo ajificha tu mambo moto thnx all muko sawa
@user-zf8jx2zj9u
@user-zf8jx2zj9u Месяц назад
Umejuajeeeeee😂😂😂🎉
@NdiwaIvone-eo9hh
@NdiwaIvone-eo9hh Месяц назад
Tupo😂😂😂😂😂
@user-ck7gb7rf2b
@user-ck7gb7rf2b Месяц назад
Maskini Sania😭😭😭
@CelenaJacob
@CelenaJacob Месяц назад
Nipo nlikaa had saa7😢😂😂😂
@user-lz8kb9ds8k
@user-lz8kb9ds8k Месяц назад
Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@fatuma6011
@fatuma6011 Месяц назад
Candy shida yako huwez kunyenyekea hilo ndo tatizo huwez kujishusha
@turehemungailo8048
@turehemungailo8048 Месяц назад
Ok
@turehemungailo8048
@turehemungailo8048 Месяц назад
Sania utaman kumuingiza box tasha lakin tasha anakwepa sana
@AmanDaud-h9d
@AmanDaud-h9d 27 дней назад
👏👏👏👏👏👍👍👍🫂
@user-iw6wi6dt8b
@user-iw6wi6dt8b Месяц назад
Anaye amini Tasha na zatiti wataoana gonga like hapa
@LovesweetThuva-qj4tb
@LovesweetThuva-qj4tb Месяц назад
Maji yameshagaza kila mumoja
@rahemh1234
@rahemh1234 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂ilasania ana Force bwana 😂😂
@AmanDaud-h9d
@AmanDaud-h9d 27 дней назад
🤫🤫
@user-fk4pd6bp7j
@user-fk4pd6bp7j Месяц назад
Wanaofurahia candy kutopewa msamah gonga hapa like
@caroleangambe1239
@caroleangambe1239 Месяц назад
Next episode plz ❤❤❤❤❤❤❤
@MemoryKamutandi
@MemoryKamutandi Месяц назад
Jaman wewe chiko na dada yako hiyo mutawumbuka kweri😮😮😮
@rinciakhasoah
@rinciakhasoah Месяц назад
Ndokufika nilikwa maandamano 🇰🇪 🇰🇪 nipeni likes 🎉🎉🎉🎉🎉
@brayoomontana5011
@brayoomontana5011 Месяц назад
Wa Kwanza kutoka 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 nipeni like 🔥🔥🔥🌍🌍🌎
@catrinah0277
@catrinah0277 Месяц назад
Niko nyuma yako😂😂
@ABIGAIL67-tria
@ABIGAIL67-tria Месяц назад
❤❤❤❤❤
@user-lk6mj3yh9r
@user-lk6mj3yh9r Месяц назад
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
@user-rf2cg9tv3u
@user-rf2cg9tv3u Месяц назад
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
@AngelMahenge
@AngelMahenge Месяц назад
Tunaompenda zuu gong like
@ImeldaGaitan
@ImeldaGaitan Месяц назад
Kandy unanifuraishaa😂😂😂Huna subira hata kidogo kwa mama duuh!binafsi unanifuraisha kazi Zurich safi
@VenahKemuma
@VenahKemuma Месяц назад
SI hizi move sometimes Huwa za kweli mungu wangu usiruhusu niyapitie haya
@user-bq9zj5sm7i
@user-bq9zj5sm7i Месяц назад
Chiko anavyo jishauwa ss ngoja limshuke baada ya kuambiwa mimba sio yakr😂
@Judithopondo-fn9dr
@Judithopondo-fn9dr Месяц назад
Atajuwa ajui
@chunaamina878
@chunaamina878 Месяц назад
Ni navyo subir sana pia mm😂😂
@wasule6253
@wasule6253 Месяц назад
Mmmh Candy umenishinda tabia kumbe msamaha wenyewe unaomba kinafiki
@isabellahchuma
@isabellahchuma Месяц назад
Wale kwa kusoma comment movie ikiendelea kuja hapa kuto na gumzo😅😅anyway kazi nzuri guys 🎉🎉❤kutoka kenya
@FARAJAJAMESLEONARD
@FARAJAJAMESLEONARD Месяц назад
Hakuna viumbe mnaoboa kama hawa waomba like yaani mnaniudhi adi siyo poa badala msaport kazi mnakuja kuomba like
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b Месяц назад
Mm wananitoa hata kwenye mood
@NancySaha-kd2ov
@NancySaha-kd2ov Месяц назад
Mm wamenisinya kweli
@sumayyahmanyasi453
@sumayyahmanyasi453 Месяц назад
Kusoma comment mpka kuna kera
@Phanny-Nyonge
@Phanny-Nyonge Месяц назад
Tuko pamoja jamani, yaani mimi wananiuzi vibaya mno🙄
@lulumhapa
@lulumhapa Месяц назад
Yaani sana kama hawajielewi
@MercySilvester
@MercySilvester Месяц назад
Niwamwisho kutoka Kenya kama wampenda zuu na Kai wakiowana gonga like 🎉🎉🎉
@UmmyShabir
@UmmyShabir Месяц назад
Leo nimewahi jamaneeey mwaga like kwa busati tv plz❤❤❤
@HidayaamaniSuleimani
@HidayaamaniSuleimani Месяц назад
Kai km hujavaa hayo masuti yako unapendeza mashallah
@RazikeRara
@RazikeRara Месяц назад
Wangapi wanamkubali zuu kwa heshima yake mmi nkiwa wakwanza ❤❤🎉🎉
@salmaseleman3841
@salmaseleman3841 Месяц назад
Tuliopenda msimamo wa mama shida tujuane
@FurahishaMtendjwa
@FurahishaMtendjwa Месяц назад
🇨🇩🇨🇩 siye ndo wakwanza mikono yulu
@Nailah736
@Nailah736 Месяц назад
Wooow 🎉🎉Acha nikae sasa nisikize mafunzo ya leo❤❤
@user-cg8ti1re1t
@user-cg8ti1re1t Месяц назад
naomben like jaman 🎉🎉pamoja n kuchelewa
@anethvicent5870
@anethvicent5870 Месяц назад
Watu hawalal wanasubir kwa hamu ongezeni hata dakika jamani❤❤
@neemakoi6635
@neemakoi6635 Месяц назад
Asalamualeykum kai usitumie jazba tumia busara sawa babangu😊❤❤❤❤🎉
@ShakiraIbrahim-e7c
@ShakiraIbrahim-e7c Месяц назад
Anapendeza hafu nimzur kwel yan dah!
@fammamourchy2164
@fammamourchy2164 Месяц назад
Like Leo naziomba mweeeeeh 🎉 Busati TV mko vizuri ❤
@jacksonkahindi3235
@jacksonkahindi3235 Месяц назад
Hebu ngoja kidogo. Hivi huyu anae taka kuitwa shangazi vpi alizaa ama ni wale kuolewa aaaah 😂😂😂
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b Месяц назад
😂😂😂😂 ndio mawifi zetu jmn😂😂😂
@sharifabahar9905
@sharifabahar9905 Месяц назад
Yani achatu
@user-ie8cu9vm6p
@user-ie8cu9vm6p Месяц назад
Cand canda😂😂😂😂😂jaman utaniuwa we mtoto nawapenda nyote kaz nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
@MemoryKamutandi
@MemoryKamutandi Месяц назад
Tunawapenda nsana jaman wote ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
@user-ni8eh1fv4q
@user-ni8eh1fv4q Месяц назад
Daah watu wanalala RU-vid 😂😂😂 jamani
@DolikasiErisha
@DolikasiErisha Месяц назад
Mmmh mawizooo tunao natunatambanao😅
@momkhan-hc7zh
@momkhan-hc7zh Месяц назад
🤣🤣nampenda kaka ake candy yaan huyu muhun kwel
@ElizabethFrank-r4n
@ElizabethFrank-r4n Месяц назад
Mhun hasw
@JullianaEmmanuel-tm5xg
@JullianaEmmanuel-tm5xg Месяц назад
Kwhy mambo yanapoenda vbaya ndo unaenda kuomba samahan
@HillarySendeu-ht3lj
@HillarySendeu-ht3lj Месяц назад
Jamani naombeni like hta 10 wenzangu mnaoangalia movie yetu pendwa
@user-ij2po2jw2f
@user-ij2po2jw2f Месяц назад
We ndo umeigiza me mnanishangaza badala kuwapa moyo waigizajinata mpewe like mtupishe huko
@HillarySendeu-ht3lj
@HillarySendeu-ht3lj Месяц назад
@@user-ij2po2jw2f wewe makasiriko yanini?
@officialbasheer13_tz
@officialbasheer13_tz Месяц назад
Kuomba like tu kuoga aaahh
@HillarySendeu-ht3lj
@HillarySendeu-ht3lj Месяц назад
@@officialbasheer13_tz😅😅😅
@DariaMichael-xg7pu
@DariaMichael-xg7pu Месяц назад
Nmewahi namimi leooo😊😊
@user-jn8wk9il8j
@user-jn8wk9il8j Месяц назад
Waaaaah Sania umenweza leo Tashaaaaa kula chumaichoooo na ww kai wangojwa harkish ukafurahikie uwep wa mchumbaaa
@fatumaselemani3807
@fatumaselemani3807 Месяц назад
Mashallah ❤❤❤❤❤
@ashaathman-k4n
@ashaathman-k4n Месяц назад
❤my favourite movie jana nilisubiri sana
@zanishaikhonge7296
@zanishaikhonge7296 Месяц назад
Watu hawalali jaman ❤❤❤❤ kazi nzuri
@merinazyd0532
@merinazyd0532 Месяц назад
Jana sijala 😂😂😂😂Hadi saa saba ila kai amempata zuuu wanawake wote duniani tumuigeni zuuu ❤❤
@MR_RAMSABOYTZ
@MR_RAMSABOYTZ Месяц назад
Oya Leo nimewahi kidogo team Khai tujuane kwa comment
@ConfusedBabyOctopus-cb2ee
@ConfusedBabyOctopus-cb2ee Месяц назад
Aiii mbona mnasukuka tu mahali moja
@MwanajumBeyawa-j5w
@MwanajumBeyawa-j5w Месяц назад
Nipo wallah hongereni
@IrenaFrance-zk8sf
@IrenaFrance-zk8sf Месяц назад
Sania sania sania upo vzr ngoja namimi nimuoge zuuu😁😁😁
@shigangakelvin1
@shigangakelvin1 Месяц назад
Nipo Leo mapema kutoka kenya
@WeddyMithika
@WeddyMithika Месяц назад
Tujuane kwa salamu Leo jamani❤
@HusnaAlly-cx5ms
@HusnaAlly-cx5ms Месяц назад
Namaste
@mbikamtanganaki
@mbikamtanganaki Месяц назад
Anae mpenda candy ujue nayeye anatabia za candy yaan simpendi Kwa kweli😂😂😂😂😂😂😂😂
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b Месяц назад
❤❤😂😂🎉
@Mamygumbo
@Mamygumbo Месяц назад
Hakika tasha ni rafiki wa kweli marafiki kam hao ndo wakuwa nao kwan wanakuwa nawe kwenye shida na raha mauwa yako tasha🌷🥀🌻🌸💖♥️❣️
@nancyg8664
@nancyg8664 Месяц назад
😂iyo simu ya dada ake chiko kama remote
@Marim-sj7oi
@Marim-sj7oi Месяц назад
😂😂😂😂
@marymele9714
@marymele9714 Месяц назад
😅😅😅😅yeye mwenyewe anakaa kama hiyo sm
@user-qc5en6fo1u
@user-qc5en6fo1u Месяц назад
haaah Sania umeishiwa kwa kweli 😂 hivi inafikia ku hali ya kuomba tasha Uwe house girl wake duuh maisha bwana😢😢
@fatmahraseid7019
@fatmahraseid7019 Месяц назад
Nilitaka nishangae shida huyu huyu amalize salama karogwa au 😂😂😂😂😂😂😂😊
@nadhrakhelef6257
@nadhrakhelef6257 Месяц назад
Msamaha ni kitu kidogo ktamka lkn nikikubwa ukifanikiwa
@aishaabeid8106
@aishaabeid8106 Месяц назад
Namkubal sana Mr Tasha❤❤
@user-is4ts6gz6t
@user-is4ts6gz6t Месяц назад
Leo mapemaaa 😀 kama unaielewa house girl gonga like apa 😊
@lailatbakar5829
@lailatbakar5829 Месяц назад
Jamani! To be honest mimi nampenda sana Candy kwa uhusika wake... Hongera kwakeeee
@user-of5fe3jj1g
@user-of5fe3jj1g Месяц назад
Amecheza ipasavyo
@RoseNjoka_23
@RoseNjoka_23 Месяц назад
Ni kweli kabisa
@MwaliSuleih
@MwaliSuleih Месяц назад
Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@AminaMjeni-iz8uo
@AminaMjeni-iz8uo Месяц назад
Mr tasha the genius mwenyewe hongera sana broo kwa kuwashauri wenzako ili jambo lifanikiwi
@Gene-x2w
@Gene-x2w Месяц назад
Nakupendasana Tasha ❤❤nawapa ongera sana wangu awawezeshe da zuu usi ace kupigagoti❤
@user-rz7hz6hz1i
@user-rz7hz6hz1i Месяц назад
Nilikuwa naosha nyumba naomba like hata mm hapa😅😅😅
@CarolyneNyanchama-yk1gf
@CarolyneNyanchama-yk1gf Месяц назад
it's candy si mwingne 😂😂😂 hajui kunyenyekea
@aishalovesesibe
@aishalovesesibe Месяц назад
Zuuu unajuwa kuigiza kbs nakupenda sana ubarikiwe❤❤🥰🇧🇮
@ignitiussilungwe7930
@ignitiussilungwe7930 Месяц назад
Ivi chiko na Dada yako zamu yenu ipo subiri kicha Candy aanze kuwa mwagia uga ndomta jua kua Ndondo siomboga zakulia ugali . Candy! siomvumilivu atakido subira uvuta kheri. Zuu! fulahia penzi lako muke mwenzako yupo kuhanga ikakuomba ladhi kwamzazi wake inashindikana jivunie uwepo wa Kay! Mungu ayibariki Ndoa enu. Sania! Ndoa tamu umea mua kuomba u HOUSE GIRL . Pole sana mpenzi mbashala🎉🎉❤❤
@user-oy4ew3tp6r
@user-oy4ew3tp6r Месяц назад
Walahi akuna mtu amenipendesa kaa Sania ❤❤❤❤
@user-rf2cg9tv3u
@user-rf2cg9tv3u Месяц назад
Wifi acha ubaya sio poa Leo kwa wifi Yako kesho kwako ma wifi mh hayo ndio mambo yenu
@nahimanabella2478
@nahimanabella2478 Месяц назад
Kwani yeye alitegemea nini?? Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa
@merinazyd0532
@merinazyd0532 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Sania 😂😂😂😂😂 anatafuta mbinu 😂😂apate mume 😂😂
@user-qu4qy3lp8y
@user-qu4qy3lp8y Месяц назад
Namuona zuu Mrs Kay naipenda hii couple❤
@NuruIbrahim-ue1if
@NuruIbrahim-ue1if Месяц назад
Sijawahu omba laki ata moja ila kama unasema Tasha atakunali ombi la Sania gonga lafiki hapa
@user-sx6zw1pr1w
@user-sx6zw1pr1w Месяц назад
Kila siku huchelewa tu mm team strong 💪 twendeni tukaoshe hamamu 😁😁😁
@user-vm6kj2zx6p
@user-vm6kj2zx6p Месяц назад
Cendy huna adabu bado,,Kaa mjinga upate radhi ya mama😂
@Hidaya-os1pg
@Hidaya-os1pg Месяц назад
😂😂😂😂 candy akili zako zikoje 😂 unaombasaha kibabe jaman we kiboko akili zako na jins ulivyo mnafanana du hatar😂
@user-ck7gb7rf2b
@user-ck7gb7rf2b Месяц назад
Zuu kaumbika jamani alfu mungu kampa sura yakuigizia😂😂😂 nkupenda zuuuuuu
@Mr.franckayo
@Mr.franckayo Месяц назад
Watat jaman naombni lik
@jedenecosta
@jedenecosta Месяц назад
Nimefurahia filamu Hi naitazama naupendo wadati❤❤hongera sana
@RehemaKipanga-k4l
@RehemaKipanga-k4l Месяц назад
Candy keshachemka duh huyu jeuri imepitiliza hatobarikiwa ng,o
@user-ki9le1jy8e
@user-ki9le1jy8e Месяц назад
Leo kidg nimewahi pongez kwen wan busat TV bila kusahau kuomba omb like namim😅😅😅
@PriscaMhawila
@PriscaMhawila Месяц назад
kwan like zinàfaida gani 😂
@user-wt1dn2dy6o
@user-wt1dn2dy6o Месяц назад
😂😂😂 jmn Sania Leo kapiga gotiii😂😂😂😂
@user-rf2cg9tv3u
@user-rf2cg9tv3u Месяц назад
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh
@SunGod-i4b
@SunGod-i4b Месяц назад
😂😂😂😂😂😂🎉🎉
@user-gz5ud2xm2d
@user-gz5ud2xm2d Месяц назад
Watu mbona hawalali jamani 😂😂 nipeni like na mimi basi
@user-lz1qv1xe4w
@user-lz1qv1xe4w Месяц назад
Watu wa kuomba like mnabo😅
@dalilaabdulkarim4458
@dalilaabdulkarim4458 Месяц назад
Zuu ndie mke sahihi kwako kai😊
@MariahJuliuss
@MariahJuliuss Месяц назад
Ahsantee sana mwendelezo tafazali brother
@user-pg8og1gp1u
@user-pg8og1gp1u Месяц назад
Namba one today
@mejumaabaraza3989
@mejumaabaraza3989 Месяц назад
Yani lisubiri na kuchungulia umu kila muda kama nasubiri mume wangu jamani kahi ww❤❤🎉
@fatumamasoud
@fatumamasoud Месяц назад
Jamani hivi huyu candy atakua lini chini ya mamake kweli anavyo lipika kwa mama bt hakuna kama mama
@user-hf7pk2lx4v
@user-hf7pk2lx4v Месяц назад
Kwa kweli mwenye alipea candy hiyo part kwa kweli alijua anajua kuingiza kazi nzuri candy
@RahimaRahima-ig6vm
@RahimaRahima-ig6vm Месяц назад
Wewe 😂😂😂 Leo Cha asubuhi timu zuu and kai😅😅😅🎉🎉
@Marim-sj7oi
@Marim-sj7oi Месяц назад
❤❤❤
@user-ql7to3rm3p
@user-ql7to3rm3p Месяц назад
Jamami nimefika 🎉🎉🎉🎉
@-kagerayetubw9jx
@-kagerayetubw9jx Месяц назад
Nimechelewa lakini ndio mimi uyo❤
@baiyatwaha8824
@baiyatwaha8824 Месяц назад
Tatizo candy uwezi kuvumilia ata dakika kumi usemwe 😂😂 iyo ndio shida yako Kama jina lako
@AminaKavuo-gj3oc
@AminaKavuo-gj3oc Месяц назад
Hahaha 🎉🎉🎉kamukonde wew unataka kazi ya ndani 🎉🎉🎉
@user-wy7uw1ih5r
@user-wy7uw1ih5r Месяц назад
Leo candy kajiita shida😂chakunifurahisha kasahau nayenye ya memubeba😂😂😂
@janethgenes1074
@janethgenes1074 Месяц назад
Huyu wif na kakake wataumbuka vibaya. Usilolijua ni sawa na usiku wa giza
@Aishaahmed-r6k
@Aishaahmed-r6k Месяц назад
Wooow jmn mbona house girl tamu Ila sijui ratiba maana sijui kina peperushwa juma ngapi naomba usaidizi wenu
@RizikiZiki
@RizikiZiki Месяц назад
Jamani dakika 4 nimekua wa 40😢yani kunawatu hamulalami ikiingiya tu munayo haya twende kazi busati tv hatulali🎉🎉🎉🎉🎉
Далее
HOUSE GIRL EP 48 || love story💞💕
24:02
Просмотров 168 тыс.
MY MOTHER EP 01  | Love Story 💞💕
21:05
Просмотров 33 тыс.
I Built a WATERPARK In My House!
26:28
Просмотров 15 млн
ПОЁМ НАРОДНЫЕ ПЕСНИ🪗
2:04:11
Просмотров 1,1 млн
HOUSE GIRL EP 37 | S2 | love story💞💕
16:48
Просмотров 16 тыс.
HOUSE GIRL  EP 44 || love story💞💕
20:43
Просмотров 163 тыс.
MBUZA | Ep 1 | Love Story ❤
20:03
Просмотров 2,2 тыс.
MAMA WA KAMBO EP 1
7:32
Просмотров 410 тыс.
HOUSE GIRL EP 30 | S2 | love story💞💕
21:05
Просмотров 115 тыс.
HOUSE GIRL EP 60 || SEASON FINALE
22:53
Просмотров 178 тыс.
HOUSE GIRL EP 47 || love story 💞💕
8:47
Просмотров 80 тыс.
HOUSE GIRL  EP 01 || love story💕💞
19:15
Просмотров 518 тыс.
HOUSE GIRL EP 45 || love story💞💕
21:18
Просмотров 158 тыс.
I Built a WATERPARK In My House!
26:28
Просмотров 15 млн