Waaah watu hawalali jamani mmmmh haya basi mimi nimefika nko hapa haya kama unafuatilia hii movie gonga like hapa tukisonga mbele❤❤❤❤❤❤❤from kenya🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Candy anafurahisha jamani 🤣🤣 Baad ya kumaliz kuomba msamaha aondoke mamaake atamfikiria yeye anamjubu shombk Tena kisa kamkatalia kumsamehe 😂😂😂 hii movie tamu sana
Hhhhhh makubwa zuu kawaweka kumtari wote wadangaji daa nyiye wote mna piga magoti daa aaa wapi sio kweli mnaiga tu sio kawaida yenu kendy na rafiki take mmmmh na Cheka tu mie hhhhhhh adabu muhim acheni ujeuri hhhhhhh
Yap kabxa anacheza part yake Masha'Allah site tunatambua hii ni movie tuu japo ina uhalisia ndani yake ni big big big movie I say hongera kw washiriki wote ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwani yeye alitegemea nini?? Hivi kweri kuipeleka caisse kwa ndugu wa mme unategemeaa watakuskiaa kuliko mtoto wawo na ndio maana wifi kamupa kicambo cakueleweka hiii filamu inamafunzo sanaa
Mama uyo shida usimsamehe kabisa anahitaji tu mambo yake yaende sawa uyo hana adabu tu hhhhhh hhhhh nimecheka apo alivo vuwa hizo ganga kweli kendi kiboko hhhhhhh