Wa kwanza leo jaman😂😂tunao amin kua candy atahangaika sana kusahihisha makosa yake❤❤ like apa 😂 na pia tunaotaman tasha azid kukaza kwa sania na kumpenda zatiti bila kujal❤❤❤
Hongereni sana ila mr tasha achakuambiwa vitu na kushika mara nyengine itakucost mbona unashika maneno ya candy na unajua candy hampendi zuuu halafu candy ucpochunga utakua mchawi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣candy na sania naona kinawaramba sasa,lakini please pahali tumefika sania awachane na ugaga juu sisi tumechoka na mambo ya ugaga,alfu zatiti awache kulialia kama mtoto
Nicheke mie 😂😂😂😂😂kwa huo mwendo wa Candy n buibui lake hilo,,,mbn mnajitoa fahamu kwa aliosem Candy mimba siya Kai mimba ilipenya kabla ya ndoa ausio,,Kai alichinja kuku kwa mdomo wke mubichii