Amen,,nimeinuliwa sana kupitia mafundisho yako,,pia ninazidi kukua kiroho ninapo kusikiliza, isitoshe imani yangu inazidi kupanda kwa njia za ajabu,,,God bless you the man of God,,from Kenya.
Baba unatufundisha na kutufanyia tufurahi ujue unatustory flani unatoa unatufurahisha Sana,Yani nikiwa naisikiliza mafundisho yako huwa sipendi hata cm yoyote ipigwe mpaka nimalize Somo