Sheikhana alfadhil nakuombea Mungu jambo la kwanza Allah akupe afya na awafanye watu wengi kama wewe duniani na msimamo wako uwe hivyo hivyo. Shujaa ibn Shujaa. Mashaallah Tabarakallah. Da'wa hii against maadui wa Allah endelea hivyo hivyo bila kuogopa chochote. Tuko na wewe kwa Roho na Mali. ikiwa wao majahili wapoteza pesa zao kupotoa waislamu, na sisi tuko tayari kutumila pesa zetu kwa Da'wa ya haki. Akhuka fillah. Mohamed Abubakar
Shukran ustadh umenielewesha vizuri sana maana mm niko bahrain na hapa ninapofanya kazi ni mashia na ndo mwanzo kukaa na hawa watu mambo yao sampuli wallahi hata swala zao na saa ingine ni kama wanikashifu namna ss sunni tulivyo ila siwajibu mm nimesimama na dini yangu ya Sunni.
Kwa kuwa Shia wafanya baadhi ya mambo kinyume na ulivyofunzwa haina maana wafanyavyo wao ni makosa. Wewe shikilia madhihabi yako madamu waona ndio haki, lakini usiwakashifu Shia wote kwa kutofautiana na wewe. Kukashifiana kimadhihabi, kama wafanyavyo hao usemao na huyu Shekhe, si sawa. Kila mtu afuate hujja zimkinaishazo na ambazo kesho atajitetea mbele ya Mwenyezi Mungu. Wenye kumfuata Imam Hussain a.s upande wao na wenye kumuunga Yazid, muuaji wa Imam Hussein a.s mjukuu wa Mtume s.a.w.w upande wao.
إِنَّ الَّذِينَ فَرَّقُوا دِينَهُمْ وَكَانُوا شِيَعًا لَسْتَ مِنْهُمْ فِي شَيْءٍ ۚ إِنَّمَا أَمْرُهُمْ إِلَى اللَّهِ ثُمَّ يُنَبِّئُهُمْ بِمَا كَانُوا يَفْعَلُونَ Hakika walio igawa Dini yao na wakawa makundi makundi, huna ukhusiano nao wowote. Bila ya shaka shauri yao iko kwa Mwenyezi Mungu; kisha atawaambia yale waliyo kuwa wakiyatenda. Quran 6:159
Wallahi USHIA ni UADUI MKUBWA wa UISLAMU. Hawa viumbe moja ya IBADA YAO KUU Ni KUSEMA URONGO. Yaani SHIA kudanganya watu Ili USHIA upendwe ni IBADA km SWAUMU au SADAQA. HASBIALLAHU waneema-l wakeel. Hii si laana hii?
@@a.a.nassir8832. Mimi nawafahamu uzuri sana mashia. Wewe km ni Shia wa kweli basi Uko Radhi binti yako aziniwe kwa malipo. SHIA mnaita MUTAA. hata mama zenu km ni Shia basi MUTAA ni sawa kwao. Kuna Laana zaidi ya hio? kisha hata Quraan hamjui kusoma. Wallahi Dini yenu ya ajabu sana. Usul l kafi inahalalisha mpk kumuingilia mkeo nyuma. Hata wayahudi hawafanyi hivyo. HASBIALLAHU waneema-l wakeel
@@akahtaan7288 Usemayo yote yameshajibiwa katika vitabu na kanda mbali mbali. Lakini watu kama wewe hamusomi, hamusikizi wala hamuoni. Huzidi hasira mukiona watu, waume kwa wake, wazee kwa vijana, wanavyoingia katika madhihabi hii ya haki mwaka baada ya mwaka.
Wamlilia nani we kiunbe usie na elmu. Maskini senti mbili zakutoa ktk UISLAMU. Subhanallah. Kama ni njaa njoo kwa waislamu tukuchangie. Atana na kufru kijana. Mito wa Allah sio mtezo
Nimecheka. Syd Husein Alikatazwa Usiende usiende lkn Hakusikia!! Kwa vile amejitakia sio. Lakini Umekubali Waliomuua ni Pote potevu. Syd Hasan Imam Ali Hata kifo Cha MTUME, MASHIA WAMEWEKA SIKU ZA HUZUNI.
kweli ushia si dini tena si dini khaswa wanakukashifu bore hilo latambulika kwanini watumia pesa wanadanganya watu kesho akhera watajibu,mwenyenzi mungu awalani
Ikiwa atautumia umri huo kufundisha ukweli sio kuwafitini Waislamu kama afanyavyo katika kanda hili. Kama msomi na Shia (nilizaliwa Sunni), nakuhakikishia haya ayasemayo anapotosha ukweli au anawapaka matope Mashia wote kwa makosa ya wajinga wachache. Na hilo anafanya kusudi kwa sababu za kiinadi. Mwenyezi Mungu Amuongoze.
@@a.a.nassir8832 Sasa kama ww unalalama nn humu umeitwa? Tuachie wenye tumuamini atufundishalo Sawa acha barabara kahukoooooooooo ufundishwako ukaelewa
@@mrsliverpool4235 Hata hiyo Qurani hujaisoma vyema kujua yasema nini kuhusu maswahaba. Umeteuliwa aya fulani tu kuhusu baadhi ya maswahaba ukafichwa nyenginezo kuhusu maswahaba wengi walivyokuwa. Rudi kwenye Qurani ujisomee, usitegemee Mashekhe wenye chuki na wenye kupotosha ukweli.
@@a.a.nassir8832 wewe rudi ukasome Tena na Tena uielewe, mimi nitamsikiza huyo ustadh wangu sheikh wangu. Wewe kama Quran inakwambia ulaani maswahaba ni wewe, mashia wenyewe Quran wameibadilisha, huniambii kitu kuhusu mashia maana nimeishi nao katika mazingira yangu ya kazi huku Iraq
Wewe inafaa usome ushia kwa urifu na badae utajua ukuweli uko wapi, Siyo unaropoka unavyo taka , na ilimu yako ndogo umno. Tafadhali some ndugu yanguj.
Usiwadanganye watu. Ushia haukuanza Irani; ulianza Madina. Irani ilikuwa Shia mpaka karne ya 16. Walikuwa Sunni na walitowa Maimamu na wanavyuoni wakubwa wa Sunni.
Adui wa Waislamu ni wale vibaraka wa Waamerika na Waingereza ambao leo walitambua Israel na kuwakhini ndugu zetu Wapalestina. Mbona huyu Shekhe wenu yu kimya kuhusu hao?
man kunto maulaa fa haaza Aliun maulaa To whom I am the master Ali is the master. Note: A famous tradition (hadith) of Prophet Muhammad(saw) Beside the 3 claming to be Khalifas the dunderhead never knew how to do judgments not unless advise from imam Ali 10 days of Moharram are not for only for imam Hussein but all the Ahl al Bayt Learn about shia before you talk your bulshit .. Mohammad, Ali, Fatima, Hassan and Hussein Prophet (PBUH ) family - Ahl al Bayt
UNALIPWA HELA NGAPI KUTANGAZA UPUMBAVU? uso angalia maisha yako kazi kubobokwa, Dini ni nyingi na madhehebu ni mengi Utamuongoa nani? Angalia familia yako na maisha yako usimalize nguvu kusambaza ujinga kwenye media Tupe visa na Darsa za tafsiri tufaidike hebu
Mbona Huyu Ustadh Izzudin asema urongo?? Mbona usiseme ushia ulivyo!!?? Aliyekwambia mashia hawaadhimishi wafat za Ahlul bait Nabi wote ni nani? Ustadh mrongo sana Huyu!!
Hasira zako ni kuwa Waislamu wengi wanafuata madhihabi ya Ahlil Bait a.s licha ya uongo wako uenezao katika minbar yako. UPENDE USIPENDE Ushia unavyozidi nguvu. URONGO WAKO KUHUSU USHIA ndio unaowafanya watu kuwa na Shia wanapoonyeshwa ukweli.
@@josephnjoroge5649 Lengo la huyu Shekhe ni kueneza chuki baina ya Waislamu kwa kueneza uongo kuhusu Waislamu wengine na kupotosha ukweli. Huo Ukhalifa hata hawana haja nao ila kuutumia tu kugawanya Waislamu. Kama wangekuwa na haja ya Ukhalifa leo wangekuwa na Khalifa. Mbona hakuna Khalifa leo? Au Ukhalifa si wajibu kwa Waislamu wa leo kama wa Zama nyengine?
@@a.a.nassir8832 we huna lolote ulijualo. Huna elmu wala hujui kuwa hujui. Wala si wewe tu bali MASHIA WOTE hakuna ajuae UISLAMU WA KWELI Bali nyie ni wapenda ZINAA mkizihalalisha kwa Kuzeta MUTAA. We utakubali Dadako alale na Khomeini kwa malipo? Ogopeni Mungu enyi waabudu Karbala. Jahannam ipo na itakuwepo kwa Maadui za Mtume na waislamu km ulivyo adui wewe.
Huyu sheikh ni boya kweli ndio maana hakanenepi fundisha watu acha chuki na mtu mwenye elimu anaongeaga kwa point na sii kwa jazba sisi wenye akili timamu tunaona unaropoka tu hivi msomi unasema ushia umeanza Irani kweli elimu yako ni ya kike mwanaume hawi na jazba katika ufundishaji wake boya wewe
Halima Ramadhan da halima sisi tunataka elimu tu na dalili basi ili tuwaelewe Hawa mashia na sii kuongea kwa jazba haya maneno tunashindwa vipituyabebe haya mashiko Sasa
@@ABSUMAYYA mimi sio sheikh na nina mke mmoja na mjukuu What is your point here. Ushia sio UISLAMU bali kuna baadhi ya wanaojiita shia ni waislamu. Nimeishi na Mashia miaka mingi na wallahi wabillahi USHIA na Ukafiri havipishani . Kitabu kikubwa cha MASHIA Usul l kafii inasema wazi kabisa USHIA ni kitu gani. ALLAH anilinde mimi na waislamu wote na USHIA.(ukafiri) Yaa rabbi l aalamin
@@ABSUMAYYA ushasema TUMERUHUSIWA sio TUMEAMRISHWA. There is a difference there. Its NOT A Command to have polygamy in Islam rather its an option. Na Pili Nchi ninayo ishi mimi ni kwa mujbu ya Sharia ya nchi hii(law of the land) its a crime to have more than one wife . Siwezi kuvunja sheria ya nchi ninayokaa kwa kitu ambacho ni KHIYARI. Nadhani nimekujibu. Sasa nikuulize wewe. Je wewe ni SHIA unaeamini kuwa Quraan ina mapungufu na Unaamini kuwa Allah anafanya makosa? Manake MAKAFIRI wa KISHIA ndio wana Imani hizo ktk vitabu vyao.