Pakua Application ya Upawa ili ujifunze jinsi ya kupika vyakula mbalimbali na kusoma makala muhimu za chakula na lishe play.google.com/store/apps/de...
Mbosso nakuelewa sana kipaji kikubwa mno uelewa mzuri halafu nimefatilia mazungumzo yote nimegundua Diamond ndio master mind wa mafanikio ki mziki yani anajua ukitoa ngoma aina hii next inafaa uje vipi ndio watu wakuelewe.
Apo nimeamini kwer mboso anakipaji Sana Cha mziki na wasafi ni chuo Cha mziki na Sanaa,,nandomana Daimond anampenda Sana mboso kumbe..kwamana anakipaji Saaaana..
True STORY NINJA MBOSSO MSHEDEDE" ata mimi pia WAKATI naanza kusikia na kuona VIDEO ya AMEPOTEA! ulinichanganya kidogo NINJA" mimi nipo huku SOUTH AFRICA and Still nipo SOUTH AFRICA" SO baada ya kuona Ile VIDEO ya AMEPOTEA nilistuka sanaaa na pia MSG ilinigusa Couse KIPINDI hiko pia na mimi natafutwa na FAMILY yangu" kwenye CM sipatikani na ukizingatia na MAISHA yetu ya huku SOUTH AFRICA kila SIKU MATATIZO" SO WIMBO ulivyo kuwa unaendelea nakuja kuona VITU TOFAUTI kabisaaa! Hila HOME BOY wangu unajuwa sanaaa mpaka UNAKELAAA😂😂😂