Тёмный
No video :(

MBOSSO amjibu ALIYEMSHUTUMU kuchukua $4k TORONTO na kutotokea 'Simjui, namuonea huruma ameibiwa' 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 27 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

8 июл 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 95   
@gagedamoursarusaru8079
@gagedamoursarusaru8079 Месяц назад
Hapa Canada utapeli kwenye show iko mingi mno!
@paulhema5713
@paulhema5713 Месяц назад
Mbossso anaongea ukwel ...nothing hidden there....sijui nimepatia icho kiswainglish😂😂😂.....uyo jamaa anaonekana amekurupuka
@pendo8082
@pendo8082 Месяц назад
Elly hajui lolote 😂😂
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 Месяц назад
Hapa mnashindwaje kumuelewa Elly mbona hoja yake inaeleweka kabisa!
@hashimuuhehwa4252
@hashimuuhehwa4252 Месяц назад
​@@pendo8082 Acha uongo Elly kaeleweka vizuri sanaa, labda nikuulize umeelewa nini
@Official83640
@Official83640 Месяц назад
​@@hashimuuhehwa4252Pck kapokea pesa nakuwapeleka pale kina Mbosso ili watu wajue km wataparfom lkn kumbe Pck hakuwaambia kina Mbosso km kala hela sijui mmeelewa ugomvi wao maana km hawaendi kuparfom hapo kwenye show walifata nn jamaa tapeli yule sasa wote wamekutana matapeli watupu hapo
@pendo8082
@pendo8082 Месяц назад
@@hashimuuhehwa4252 kwani akiishi Toronto ndio anajua kila kitu
@karirekinyana9759
@karirekinyana9759 Месяц назад
Mbosso mukweli sana nampenda yulekaka jamani kalibu Danmark ❤❤❤❤❤
@AbdulGermany210
@AbdulGermany210 Месяц назад
Inavyoonekana Pck kampiga huyo jamaa na wasanii hawajui chochote,ndio maana mziki wa east Africa hauendi kimataifa,
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Месяц назад
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wite inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wabakwebda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 29 дней назад
Pck ni noma alimtapeli wema sepetu penz na pesa juu itakuwa huyo elly tena ashukuru hata hajagongewa yai
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Месяц назад
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@ruqaiamohammed345
@ruqaiamohammed345 Месяц назад
Mungu kalipa maana ht ww ni tapeli ulitapeli watu kuwapeleka canada wakatuma pesa zao mwisho wa ck hakuna safar mpk leo malipo ni hap dunian
@latifahali8228
@latifahali8228 Месяц назад
Kwanza Huyu mtu limbukeni tuko Uko lkn hajastarabika Ety awe mtu mkubwaaaaa
@esthermakelemo2864
@esthermakelemo2864 Месяц назад
Huyu Eli,anaonekana hayuko sawa anamakasiriko ,hayuko sawa hata kwakumuangalia sura,tumsamehe Bure,maisha magumu yanamsumbua,Watanzania wazarendo tumsamehe bure
@strong8534
@strong8534 Месяц назад
Sky, u dont sleep😮😮😮😮
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Месяц назад
Sky; Festival haikua ya Alikiba. Kila mwaka Toronto kuna Festival kubwa sana ya Waafrika wote inaitwa AFRO-FEST na wasanii mbalimbali toka Afrika wanakwenda kutumbuiza BURE. Watu wanaenda kwenye hivyo viwanja BURE, hakuna malipo wala gates za kuingilia. Hivyo ule mkusanyiko sio wa Alikiba. Kulikuwepo na wasanii tola Afrika zaidi ya 10.
@Zenny89
@Zenny89 Месяц назад
Hiko kijamaa ninapenda penda kujulikana sana.. Na hakuna mtu anaweza kuzuia mtu mwingine kutofanya show Nchi yeyote
@isunga1964
@isunga1964 Месяц назад
Kama yupo Toronto basi wamekula pesa kweli wamlipe pesa kaka wa watu 😢😢😢
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 29 дней назад
We matako kweli sasa kwan kuwa huko ndio lazima aperform hata kama hajalipwa au hujasikiliza vizuri maelezo pande zote mbili
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s
@LeonardmpembaMsemakweli-q8s Месяц назад
AFU UYO JAMAA MBONA ANAONEKANA NICHOKO UYO JAMAA WA KANADA
@mylasadick5189
@mylasadick5189 Месяц назад
Muha ya uyo
@pendo8082
@pendo8082 Месяц назад
Haeleweki😂😂
@Khalidwandhera
@Khalidwandhera Месяц назад
Unaona mbari jamaa ni kipusa
@sadikilumumba1370
@sadikilumumba1370 Месяц назад
Tusi wahamini sana wa sanii wetu wa tanzania 🇹🇿. Wana tu danganya sana 😂😂😂😂😂😂
@ukhutfatumah1154
@ukhutfatumah1154 Месяц назад
Haaaaaa elly kaingizwa cha kike aise pole sana kijana wangu
@shuwehaharuna6309
@shuwehaharuna6309 Месяц назад
Wamekutia hasara na wamekutukana Una kipara😂
@kizdady2544
@kizdady2544 Месяц назад
😂😂😂
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Месяц назад
Elly unaongea sana , umechanganyikiwa na life ya ughaibuni wewe, tuliza mshono.
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
Umesema kweli jamaa anapayuka
@davidshaban7375
@davidshaban7375 Месяц назад
@@ndukulusudikucho_Aisee!! yule jamaaa nilishamblock like each and everywhere 😊
@homeandaway2811
@homeandaway2811 Месяц назад
​​@@ndukulusudikucho_yani mwanaume amekaa kama mtu wa mipasho 😂 anadhani atachafua majina ya hawa wasanii
@ngoyaboy1590
@ngoyaboy1590 Месяц назад
Sema hiyoo ya kipara imemuuma sanaa😂😂😂
@antonimwamahonje
@antonimwamahonje Месяц назад
Who going to bring back your money? Who told you to invest for the artist you didn't have any agreement with them
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari Месяц назад
We andika kiswahili basi English gani chafu hiyo
@pendonoor8869
@pendonoor8869 Месяц назад
Ok. Nakwelewa lakini mbona ukatumia lugha mbaya kumjibu? Si ungesema hivi tu...pole jamani mwenzangu MuTZ!
@jumamuhamed8636
@jumamuhamed8636 Месяц назад
Tapel katapeliwa anapiga kelele tuliza futa ilo boya ww Elly jambazi
@MS.independent8934
@MS.independent8934 Месяц назад
Ww jamaa ungelikuwa na akili timamu kama mwanaume haswa nasio shoga Kwa myaka yote upo Toronto ugaibunu uko ungelikuwa umesha funguwa hata viwanda 20 I chini ukaonekana mtu wa maana ila kwasababu utaandikwa kwenye kitabu Cha uzima Cha club apo sawa zuzu weee nenda kashtaki mahakamani kama unataka ulipwe Hela zako😂😂😂
@mkulimatanzania
@mkulimatanzania Месяц назад
Elly ni shoga alishajeuzwa na wazungu muda simrefu ataikana nchi yake. Njaa imemponza kaacha maisha bongo kaenda fanywa mke daah
@davidshaban7375
@davidshaban7375 Месяц назад
dahh yule jamaa simuelewagii kabisaa
@ndukulusudikucho_
@ndukulusudikucho_ Месяц назад
Jamaa kichomi saaana na alazimisha umaarufu saana, mdomo wake ndio mchawi wake
@user-fx2fn2qs3t
@user-fx2fn2qs3t Месяц назад
Huyu jamaa anaongea ukweli sio kwamba anamuchafua nyie Tanzania munajua nikuchafua jina jamaa kaingiza pesa
@johnmwandu2116
@johnmwandu2116 Месяц назад
Kwan Dollar 4000 si ni sawa na milion 10, sasa appearance tu unaikataa milion 10😂😂😂, daah sasa mimi hapa duniani nafanya nin
@menlandmutashobya8377
@menlandmutashobya8377 Месяц назад
Dollar 4000, Kuna expenses zake, Kuna percentage ya kampunj,na Kuna asilimia yake,atabaki na ngapi
@t.y.g.a_
@t.y.g.a_ Месяц назад
Ko nd umenuna kuambiwa una kipara ama😂😅🙌🏻
@kingbyaro6016
@kingbyaro6016 Месяц назад
Wewe uwe Toronto usumbufu wenu tuta kupoteza huku Acha maneno dodo 😊
@t.y.g.a_
@t.y.g.a_ Месяц назад
Private Jet ee😅..hangaika ivo ivo😂🙌🏻
@mdachiog5211
@mdachiog5211 Месяц назад
😂😂anaijua wasafi
@alisalum2023
@alisalum2023 Месяц назад
Elly yeye ndio tapeli nayeye katapeliwa yeye msimuamin tapeli sna sna
@richkaja3317
@richkaja3317 Месяц назад
Mbosso kama kweli kafanyeni show mmalize tofauti zenu
@othinielkamyola3697
@othinielkamyola3697 Месяц назад
❤❤❤❤❤❤❤
@elijahbaraka9470
@elijahbaraka9470 Месяц назад
Uyo elly anajiita professor afukaingizwa mjini . Tangu sikugani professor akawa promotor? 😂😂
@joycekisamo4896
@joycekisamo4896 Месяц назад
Mboso kajieleza vizuri sana. Eti $4,000 .... Business class ticket yake ni zaidi ya US$5,000😂
@HansChuma
@HansChuma Месяц назад
😂😂😂😂😂 home boy mm nipo pamoja naww wasanii wakibongo mieyusho
@jimmyhabarugira4232
@jimmyhabarugira4232 Месяц назад
@HansChuma. Kabla ya kumuunga mkono na kuanza kulaumu ebu fikiriya vipi utatowa hela yako bila kuongeya na muhusika? Thinking before to blame
@Legends_Interviews
@Legends_Interviews Месяц назад
Waambie ukweli
@noellahgervas90
@noellahgervas90 Месяц назад
Shisha inanywewa cku hz na hamsemi???😂😂😂
@yama_virginhairthequeen1065
@yama_virginhairthequeen1065 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂 Tulia ww ushapigwa watu washaelekeaaaa😂😂😂😂
@pendo8082
@pendo8082 Месяц назад
Elly atulie hajui lolote😂😂😂😂😂
@hamisisalim8076
@hamisisalim8076 Месяц назад
Sababu ya mbosso kuambiwa apitie Toronto ni kwasababu huyo promoter wake alikua amekula hela ya huyo dogo
@masoudmasoud8138
@masoudmasoud8138 Месяц назад
kwahiyo huyo jamaa mwwndawazimu ?? REJESHA HELA ZAWATU WEE KENGEEE
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 29 дней назад
Matako ww acha makasiriko shoga ww
@Bama959
@Bama959 Месяц назад
Wasanii wa tz sio wa kweli kabisa
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 29 дней назад
Ufala unakusumbua unaonekana limbukeni ukiona mtu anaishi ughaibuni unaona ndio wamaana ndio mnakuaga mashoga nyie kisa kujifanya mnaakili za kimamtoni
@Bama959
@Bama959 29 дней назад
@@imanimhagama4647 hakuna mnachokijua zaidi ya uongo tu na maneno mengi pasipo kufikiria. Wewe kama haujawai kushuudia vituko vya wasani wa tz kila mara wakiwa na show nje ya Africa unatakiwa kuuliza ili uambiwe na wala usiwe kama kijifala fulani ambacho hakijielewi. Mpumbavu wewe. Tena shoga mkubwa sana wewe na ndio maana mziki wenu ni wa matusi wa na umbea tu.
@jacksonmsendo3478
@jacksonmsendo3478 Месяц назад
Itakuwa promota kamzunguka uyo elly
@SadaDamas-jh2gt
@SadaDamas-jh2gt Месяц назад
PCK ndio mchawi wa kila kitu hapo ndio maana mboso alipouliza hakufunguka
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 29 дней назад
Wamuulize wema sepetu pck alimtapelu wema penzi na pesa juu
@mudiskaina2342
@mudiskaina2342 Месяц назад
yani kama utamtizama kwa makini huyu jamaa utamjua huyu ni mlevi
@djafro8729
@djafro8729 Месяц назад
Mboso alifanya vibaya kutusi vifara . Mimi kipara nilihisi mbaya sana
@cocotz1892
@cocotz1892 Месяц назад
😂😂😂😂 zamanı mlikuw mnauwa huko Shinyanga 😅pole sana
@aftapat5365
@aftapat5365 Месяц назад
😂😂 pole kaka
@MasterVoltron-f9w
@MasterVoltron-f9w Месяц назад
😂😂😂😂jamaa kapigwa 😂😂😂😂 Na ujanja wooote wakuishi Canada kumbe limeibiwa😂😂😂😂
@linnerphilip4260
@linnerphilip4260 Месяц назад
Hatuwez kuamn hadi hao mapromoter waseme jambo kukutetea .... Ila wakikaa kimya ... Kitakuramba😂😂😂😂
@mudiskaina2342
@mudiskaina2342 Месяц назад
HUYU JAMAAA NI MLEVI HAJUI ATA ANAONGEA NIN
@omarzinga7046
@omarzinga7046 Месяц назад
Huyu tapeli😂😂😂
@itNeza
@itNeza Месяц назад
Kijana Kaliwa pesa ndo Upara Utazidi Kuwa Mpana kichwa Kizima. 😂😎
@chrisjack4278
@chrisjack4278 Месяц назад
If you know and you know exactly your home is Africa. Please stop scamming people who live in Europe. The technology here in Europe is on next level. I really hope that mbossa is not involved if he is involved. It will end up sadly not just in medias. But in life time for sure
@awaynaaaa3490
@awaynaaaa3490 Месяц назад
Kaumiy alipoambiw anakipara khaaa
@dullahabdallah-nu1py
@dullahabdallah-nu1py Месяц назад
Mapromota ndio wametapeliana,wasani hawana makosa
@sonnyr1899
@sonnyr1899 Месяц назад
😂
@HassanMussa-vk3tj
@HassanMussa-vk3tj Месяц назад
Mbosso unajua jimsogani uyujamaa alivoibiwa wewe umo
@user-ib7kn6fs4x
@user-ib7kn6fs4x Месяц назад
Huyo jamaa asikuumisheni kichwa kwa nxa hana uwexo wakupromo mtu hasa wasanii kama mbo uyo jamaa ni porojo tu na kama hamuamini mfuatiliyeni tik tok porojo tu huyo
@jeanpierrekwizera6400
@jeanpierrekwizera6400 Месяц назад
Huyo jamaa anatafuta kiki tu , aache kuchafua majina ya watu
@omarzinga7046
@omarzinga7046 Месяц назад
Onyosha mikataba
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi Месяц назад
Muombe msamaha shabiki wewe usijifanye mwerewa
@ndikumasabodiegovevo9091
@ndikumasabodiegovevo9091 Месяц назад
Ely kila siku anajifanya mjanja kakutana nawajanja wenzie kama pck
@imanimhagama4647
@imanimhagama4647 29 дней назад
Amuulize wema sepetu😂😂😂
Далее
НАША НАСЫЩЕННАЯ ПОЕЗДКА В КИТАЙ
1:32:55
MWAMBIE HIVI BOSS WAKO
9:45
Просмотров 363 тыс.
KUPASHA
10:54
Просмотров 135 тыс.