Тёмный
No video :(

HUWEZI KUFANIKIWA KIMAISHA BILA MATATU HAYA.... 

MAHUBIRI TV
Подписаться 213 тыс.
Просмотров 1,1 млн
50% 1

Опубликовано:

 

5 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 628   
@salimakida95
@salimakida95 9 месяцев назад
Japo ni dini tofauti lakini huyu mchungaji namkubali sana Ana nasaha nzuri sana
@rayanndizeyes3161
@rayanndizeyes3161 3 года назад
Mungu akuzidishiye mahali ulipo towa Neno na mafundisho umenikuza kiwango kigine naliweka moyoni na kishwani.asanti mubarikiwa wa Mungu
@Marlenapilikitsao-gk9je
@Marlenapilikitsao-gk9je 16 дней назад
Asante mtumishi imenitoa ujinga Leo barikiwa mungu akupe ufahamu Zaidi yaulionao Amen 🙏🙏🙏
@zulfasaeed7445
@zulfasaeed7445 3 года назад
Asantee sana japokuwa mimi muislam na nipo kwenye funga yangu ila kwa hilo nimekuelewa sana mungu akujalie sana,maisha marefu baba🙏yan had nimelia 😭😭
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Asante sana!! Mungu akupe mfungo mwema
@sheimalmasele7896
@sheimalmasele7896 3 года назад
Thanks for this message pastor
@oleladennish1516
@oleladennish1516 3 года назад
I enjoy your teaching especially mpaka bando zinaisha uongezi hata kitu kipya kwenye ubongo
@dianamalaba1776
@dianamalaba1776 3 года назад
Mungu akiamua kukutumia kwny kazi yke,shetani anaaibika,pr,Mungu amekujalia kipawa cha ajabu,ni mhubiri mzuri,hapo hapo ni mwalimu bingwa,Mungu akutunze pr Mmbaga.
@samonielisa234
@samonielisa234 3 года назад
Warumbe
@ndimbwelukajuki8938
@ndimbwelukajuki8938 3 года назад
Asante sana pr
@trophainamagogwa9991
@trophainamagogwa9991 3 года назад
Sasa wapi ambako Shetani kamwinukia ??
@fillomuhenga4240
@fillomuhenga4240 3 года назад
Ni kweli mchungaji mahubiri yako ni mazuri sana ubarikiwe
@user-ev8sj6xu7f
@user-ev8sj6xu7f 11 месяцев назад
Yuo have said bro. That's God's power. Thanks so much.
@bariadisdachurch
@bariadisdachurch 3 года назад
Bwana akubariki Mchungaji. Ni kweli kutamani sio kuzuri, Bora kuchunguza na Kupanga namna ya Kuanza. Mungu atusaidie Tusitangulize Tamaa.
@kalundepeter2606
@kalundepeter2606 2 года назад
🙏
@ELIANKABOMBO-sx5bs
@ELIANKABOMBO-sx5bs Год назад
Barikiwa sana mtumishi was mungu hakika mungu anamakusudi na watu wake mpaka akuwezeshe kururudisha neno la upakoooo mungu akubariki sana pia na mm mungu anibarikiiiiii
@rodahadhiambo3637
@rodahadhiambo3637 Год назад
Mungu atukuzwe kwa kutufundisha mengi ,ubarikiwe sana pastor .
@sylviaelias2529
@sylviaelias2529 9 месяцев назад
Ameen
@emanuelshilinde5605
@emanuelshilinde5605 3 года назад
Pastor, naomba kukili kuwa Dr Myles speech zake na wewe nimepata kubarikiwa sana, Dr Myles alitumika na Mwenyezi Mungu vizur. Mungu aendelee kukutumia sana na ubarikiwe mtumishi. Amina.
@gracemkomwa5172
@gracemkomwa5172 10 месяцев назад
Nimebarikiwa sana kusikiliza mafundisho yako Mtumishi. Mafundisho haya yaweka msingi mzuri sana ktk maisha yetu, na hata vizazi vyetu, hasa pale tutakapowajengea uwezo kwa haya. Mungu azidi kukubariki na kukutumia.
@LilianWilliam-z4v
@LilianWilliam-z4v 21 день назад
Ahsant sana pastor,kwa mafundisho mazuri Mungu akubariki
@jakee2041
@jakee2041 11 месяцев назад
Ameeen. Ameeen. Powerful teachings. God Bless you Pastor.❤❤ ukweli kabisaa huwezi ngangana kumtolea Mungu ili hali wazazi wako wako hawana hata blanket, nyumba, etc
@justinerjuliaus8907
@justinerjuliaus8907 Год назад
Powerful massage man of God
@IgnaseTalaboe
@IgnaseTalaboe Месяц назад
Asante baba,na amen
@conniemukami127
@conniemukami127 3 года назад
Amina pastor, nimebarikiwa na somo lako na nimesoma kitu mpya. Mungu anisaidie. Ubarikiwe sana pastor
@jacksonshosi5246
@jacksonshosi5246 3 года назад
Uelewa kweli nimekuelewa pastor
@user-pn2ob4vd4j
@user-pn2ob4vd4j 8 месяцев назад
True true our pastor. Thanks for your lesson from the God
@afroma33
@afroma33 9 месяцев назад
Barikiwa sana pastor,kwa hili fundisho hakika nimepata kitu
@hellenngwilla550
@hellenngwilla550 9 месяцев назад
Mungu akubariki Mchungaji wetu tunabarikiwa na mafundisho yako
@QueenLiz-jn7xt
@QueenLiz-jn7xt 6 месяцев назад
Glory be to God! Be blessed the servant of God
@methuselazekalia3013
@methuselazekalia3013 2 года назад
Ahsante Sana pastor umeongeza vitu vingi Sana kwa mind yangu.mungu azid kukutunza...
@selestinsongola2787
@selestinsongola2787 3 года назад
Mungu naomba niwekee mkono wa baraka unipe ufaham
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 2 года назад
Barikiwa zaidi pastor hakika umenigusa kabisaa
@magaurioba8105
@magaurioba8105 3 года назад
Hujawahi kuniangusha mchungaji barikiwa sana
@peternyambui7492
@peternyambui7492 10 месяцев назад
❤❤❤Very nice and true... Jina la baba Mungu lizidi kuhimidiwa DAIMA..
@felixomondi3673
@felixomondi3673 3 года назад
Mungu nisahidie niwe na kitu kipya akilini mwangu kila siku be blessed pst
@johnmungai6096
@johnmungai6096 3 года назад
Wewe ni mwalimu naerimika sana kwa mafundisho yako mara nyingi machozi yanajitoa b blessed Teacher, Isaac Gathendu naishi Kenya
@LilianWilliam-z4v
@LilianWilliam-z4v 21 день назад
Barikiwa pastor kwa,mahubiri mazuri
@ridormespreparatory-fu5wt
@ridormespreparatory-fu5wt Год назад
Barikiwa mtumishi Mbaga. Tuko pamoja. Nabarikiwa mno na mahubiri Yako. Ni Richard Kereti kutoka Kitengela Kenya.
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga Год назад
Mungu akubariki sana
@thomaswilson2407
@thomaswilson2407 8 месяцев назад
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu 🙏🙏
@user-nc6lp2wq4e
@user-nc6lp2wq4e 10 месяцев назад
Pastor thanks your talking the realness reality
@Joycependopendo-dv2tb
@Joycependopendo-dv2tb 8 месяцев назад
Amen mungu akuongezee miaka mengi hapa duniani Na pia akuzishiee hekima
@JoelMwangangi-li9vj
@JoelMwangangi-li9vj 9 месяцев назад
❤you have really turned my life by your teachings
@upendomassawe9357
@upendomassawe9357 3 года назад
Amina paxtor mbaga,huwa nafatilia xana mahuburi yako huwa na barikiwa xaxa,xan,mungu aendelee kukufunulia zaidi na zaidi.
@MarycianaDonald-bx1he
@MarycianaDonald-bx1he Год назад
Nimebarikiwa sana na somo hili ubarikiwe sana pastor
@priscalwangili4278
@priscalwangili4278 3 года назад
Pastor Mbaga, You're so Talented and hard working. God bless you nimekupata sawa sawa
@herriethmbise5454
@herriethmbise5454 2 года назад
Ameni mtumishi wa Mungu barikiwa Sanaa kwa neno hili hakika tutapona wengi
@paulgendagenda3982
@paulgendagenda3982 Год назад
Umeni inspire sana Mtumishi,Barikiwa sana!!
@shukranjulius9526
@shukranjulius9526 2 года назад
Amina pastor kiukweli kupitia RU-vid nimejifunza mapishi mengi hadi sasa namshukuru Mungu nipo nchi za watu kujifunza kwahitaji nia wala usijilaumu kisa hujasoma barikiwa pastor wangu Mungu akutunze
@HashimAlly-o1c
@HashimAlly-o1c 15 дней назад
Mungu akupe maisha marefu mtumishi
@GiselaNdanzi-vl3ml
@GiselaNdanzi-vl3ml 5 месяцев назад
Amina sana ubarikiwe kwamahubili
@luckMwamwage
@luckMwamwage Год назад
Ahsante kwa Mafundisho mazuri, Mungu azidi kukupa ufahamu wa juu zaidi.
@AKIMANAAfsa-ki3vk
@AKIMANAAfsa-ki3vk 10 месяцев назад
Watumichi wamungu Balikiwa Naomba usaidizi Nirirogwa migu Nilirogea upande yabega yamukono yangu hoto Niko nawumuya amiiina balikiwa mutumichiwa mungu
@ernestkunja3472
@ernestkunja3472 3 года назад
Amen Mtumishi wa mungu ubarikiwe sana
@anithaglorykwayu9728
@anithaglorykwayu9728 3 года назад
Kweliii kuna rafiki hapati usingizini ana kazini nzuri, nyumba nzuri na mume wake hadi amepewa dawa za vichaa ili alale kweli pesa inanunua kila kitu lakini vyo usingiziiii.
@user-jf8sf7pb9b
@user-jf8sf7pb9b 9 месяцев назад
Powerful message
@danielnzyoka5938
@danielnzyoka5938 3 года назад
That's greatly reasoning, pastor! God bless you...as you shine to transform the lives of many. Give him a like 👍
@vumiliakayela7219
@vumiliakayela7219 3 года назад
Thanks pastor!.
@morukamary5441
@morukamary5441 3 года назад
B blessed pastor for the powerful inspiration.
@petermagesa1184
@petermagesa1184 2 года назад
@@vumiliakayela7219 y
@nimaishakassim4886
@nimaishakassim4886 2 года назад
Strong motvating speech
@okhwakudunduomwenecommedy1991
@okhwakudunduomwenecommedy1991 7 месяцев назад
Mtu wa Mungu kupitia mafundisho yako nimebadilika sana God bless you man of God
@Oderabrenda
@Oderabrenda 3 месяца назад
Asante sana kwa haya mafunzo ninaamini nitatimiza haya mafunzo
@bonifacebeatrice8077
@bonifacebeatrice8077 3 года назад
Amina, MB zangu kwa masomo yako Mch.David Mmbaga,Mungu akupemaisha marefu%.
@ShukranSamsoni
@ShukranSamsoni 4 месяца назад
Mungu akubariki pasta kwa kunitoa woga🎉 maana kusikia hela kubwa huwa naogopa sana
@priscaayo2237
@priscaayo2237 9 месяцев назад
Somo linanigusa kwa kweli , Pastoe Mungubakubariki sana
@rimepeter789
@rimepeter789 3 года назад
All glory be to God for this connection, really am so blessed indeed, God bless you daddy in christ ❤🙏
@noahlameck8355
@noahlameck8355 3 года назад
Pastor,yup have inspired to the maximum,be blessed
@alexmushi8120
@alexmushi8120 3 года назад
Holy holy holy with chords
@user-hr1bq6vt8w
@user-hr1bq6vt8w 6 месяцев назад
Nabarikiwa Sana na huduma unayofanya,,Mungu Akupandishe utukufu zaid hadi utukufu wa juu
@joycemaige8683
@joycemaige8683 3 года назад
Nime lia Sana aseee nina moyo wahuluma lakin ninayo kutana nayo ni magumu yanakatisha tamaa kuenderea kujitafutia maisha
@erickfrank6656
@erickfrank6656 3 года назад
Polee sana nini shidaaa jamani
@joycemaige8683
@joycemaige8683 3 года назад
@@erickfrank6656 hii ni media uwezi ongea apa vitu privacy
@erickfrank6656
@erickfrank6656 3 года назад
Nicheki fb Erick Frank Saerah utaniona naweaza kukupa mawazo tofauti wangu pole sana mungu yuko pamoja na ww
@joycemaige8683
@joycemaige8683 3 года назад
@@erickfrank6656 fb mi Sina Ina Instagram tu
@makongoronyerere1564
@makongoronyerere1564 3 года назад
@@joycemaige8683 ushauli wako nimzr ila inategemea umetingwa namazito kias gan
@lorubaadvocates
@lorubaadvocates Месяц назад
yuko vizuri kasisi
@rosepeter8996
@rosepeter8996 3 года назад
AMEN🙏....barikiwa sana mchungaji🙏
@joelpeter220
@joelpeter220 3 года назад
Mambo
@user-ng1mc7lh2r
@user-ng1mc7lh2r 7 месяцев назад
Ubarikiwe sana mchungaji nimepata kitu san By Aminieli fundi wa rangi
@isabelavictor9964
@isabelavictor9964 3 года назад
Asante Sana mtumishi wa Mungu kwa somo zuri 🙏
@sebastiankimario3321
@sebastiankimario3321 3 года назад
Ninaomba mawasiliano
@pamellahmark4822
@pamellahmark4822 3 года назад
Powerful message I'm so blessed ooo
@joramusijaona7119
@joramusijaona7119 3 года назад
Unakata tusiweke bondo unataka tukuangalije as a.
@michaelmkea4073
@michaelmkea4073 2 года назад
Hongera mchungaji
@kepsonmaendakyenye2467
@kepsonmaendakyenye2467 Месяц назад
Pastor mungu akuzidishiye 🙏🙏
@MhojaJussa
@MhojaJussa 4 месяца назад
Nimekuelewa sana mchungaji unakaa wapi maana uko sawa sawa
@lightmichael9081
@lightmichael9081 3 года назад
Nabarikiwa na mahubiri......nafungua mwaka kwa Aman
@seesee8114
@seesee8114 3 года назад
Esther Nyabuto from KSA ,Tuko pamoja kwa somo yaleo
@jemairisparick7541
@jemairisparick7541 3 года назад
pamoja pamoja
@joelmangere9045
@joelmangere9045 3 года назад
Hata mimi nilifanya kuku 🐔🐔 aina ya sasa... Walipata ugonjwa baadhi wakafa. Waliobaki niligawia wachungaji kwenye Makambi kwaaajili ya kitoweo. Nilipata shule 🏫 siku kata tamaa. Mwaka huu nimelima mahindi 🌽🌽 mimi na rafiki yangu hekalu 40 🌽 yametoa shina hadi shina . Leo hizi tarehe 10 mwaka 2021 wanatuita sisi n wachawi. Mahindi yamestawi kilioko maelezo......
@abelsiyame7863
@abelsiyame7863 3 года назад
Amen
@pascalnicolaus6986
@pascalnicolaus6986 3 года назад
Strong motivating speech!Thank you Pastor Mbaga! This is more than annointing!
@bishoppeteroballa7701
@bishoppeteroballa7701 3 года назад
ok be blessed Indeed
@rocklandschool4606
@rocklandschool4606 3 года назад
@@bishoppeteroballa7701 a+Amina
@peterbetto1739
@peterbetto1739 2 года назад
Dodoma
@user-cz6fg9tl9o
@user-cz6fg9tl9o 8 месяцев назад
Thank you so much bishop I am age19 you have really motivated me for hustling 💪
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 8 месяцев назад
Keep it up
@gersonjoseph224
@gersonjoseph224 3 года назад
NabarikiwA sana na somo lako mtumishi
@JamesDismas-gs6jg
@JamesDismas-gs6jg 10 месяцев назад
Glory 2 God💪
@sisterolivia9874
@sisterolivia9874 3 года назад
Nimesoma mengi
@ferialajami6991
@ferialajami6991 3 года назад
Gladys umazi -ubarikiwe mchungaji kwa ujumbe mzuri mungu aidi kukupa hekma nakubali.
@judymate669
@judymate669 7 месяцев назад
Amen 🙌powerful teachings
@queenessiekenya6869
@queenessiekenya6869 3 года назад
Woow this is not just preaching but inspiration 👌👌👌👌
@SilidionSimon
@SilidionSimon 15 часов назад
❤❤❤❤❤❤❤ asante muchungsji
@jacksonchilukusha2747
@jacksonchilukusha2747 3 года назад
Thanks so much pastor GOD bless you
@benjaminfernandes5599
@benjaminfernandes5599 3 года назад
Amen Pst nazidi kupata mafunuo be blessed.
@christinambilinyi5352
@christinambilinyi5352 3 года назад
Nabarikiwa na mafundisho yako
@musatbobius5472
@musatbobius5472 3 года назад
Katika MAMBO AMBAYO MTU HUYU ANABARIKIWA SIO MCHOYO KWELI NINAPOKUFUATILIA VIPINDI HIVI NABUBUJIKA BARAKA,MAFUNDISHO YAKE YAMEJAA MADINI,UBARIKIWE SANA
@MahubiriPrMmbaga
@MahubiriPrMmbaga 3 года назад
Amen
@anneboyani8560
@anneboyani8560 3 года назад
So wonderful teaching, God bless you ,I have learned something from you which I did not know ,am from kenya
@janetjeruto8691
@janetjeruto8691 3 года назад
Amazing lessons watching from Dubai thanks alot mwanawa Mungu
@eloikakulima5926
@eloikakulima5926 3 года назад
Nice piece pastor
@GeofreyEmmanuel-b4t
@GeofreyEmmanuel-b4t 2 месяца назад
Mungu azidi kukutunza milele
@enockmogaka8041
@enockmogaka8041 3 года назад
Surely Pr. may God bless u soo much for such wonderful speech
@jaromeedward781
@jaromeedward781 11 месяцев назад
God bless you pastor amen
@isaiahiman5617
@isaiahiman5617 3 года назад
Be blessed the sevant of LORD,I appreciate your lesson. May GOD blesse you,.thank you very much
@rashidikipangu9514
@rashidikipangu9514 7 месяцев назад
Mungu akubaliki mchungaji
@user-tq2hx3xq6s
@user-tq2hx3xq6s 6 месяцев назад
barikiwa san pasta mbaga 🙏🙏🙏🙏tuna enjoy san na mafundisho yako
@LucyMasingija
@LucyMasingija 8 месяцев назад
barikiwa sana pastor mbaga nakuelewa sana mm msabato mwenzio
@miccashilla791
@miccashilla791 7 месяцев назад
Excellent
@joycemaige8683
@joycemaige8683 3 года назад
Yani tokea nime patwa na vitu katika kichwa changu tena vyakukatisha tamaa lakin tokea nimeanza kufatilia saikolojia zinazo elezea maisha ndani yake Kuna mafundisho ya dini pia unajiapatia elim nzuli nime falijika Sana pia nimeanza kuona umuhinu sasa wakufatilia hizi saikolojia zenu asnt pastor 🙏mpo kama watu watatu kwakweli mung awape maisha malefu yani wewe na Joel nanauka hampishani mung azidi kuwapa miaka mingi aseee mung awape maisha malefu
@vumimmari4109
@vumimmari4109 3 года назад
Z
@MusaMusa-iz3cp
@MusaMusa-iz3cp 11 месяцев назад
❤❤❤❤
@gracelyimo9157
@gracelyimo9157 10 месяцев назад
😊😊
@gracelyimo9157
@gracelyimo9157 10 месяцев назад
L
@jakee2041
@jakee2041 11 месяцев назад
Hii imenipendeza kabisa. ,,,, unatoa zaka na sadaka ili hali mzazi hana hata breakfast,,,, laana tupu ukweli kabisaa❤❤
@ericodavile7070
@ericodavile7070 7 месяцев назад
Amen nimefahamu mambo nisiyo yajua na kuelewa kweli neno la mungu lipo na raha,,, nimepata mafuzo kweli
@johnwafula6500
@johnwafula6500 3 года назад
Powerful message man of God
@yusuphusaimoni4182
@yusuphusaimoni4182 Год назад
Naitwa muchungaji Yusuph Saimon Kamugisha nipo Singida nimebarikiwa sana mchungaji barikiwa
@user-wy4yn2xi3n
@user-wy4yn2xi3n 8 месяцев назад
KWELI MAELEZO YAKO NIMEYAKUKUBALI. MUNGU AKUBARIKI.
@agnesskalinga9915
@agnesskalinga9915 3 года назад
Mungu akubariki Sana Tena na zaidi kwa kutupa ufahamu huu. 🙏🙏🙏.
@rehemakungule5423
@rehemakungule5423 3 года назад
Asante pastor kwa maneno mazuri
@Bahati-ms6vk
@Bahati-ms6vk 2 месяца назад
Ubarikiwe sana pasta.siri 3 ili ufanyikiwe kimaisha samaani lakini nasubiri sana nisikiye iyo ya 3mafundisho hii mwalimu alitaja2mafundisho mda ukaisha
@daveondiekaaron2204
@daveondiekaaron2204 3 года назад
True Servant Of God 🙏
@BisieReceiver
@BisieReceiver 2 месяца назад
Vraiment c'est très profond
@musarichard3173
@musarichard3173 3 года назад
Mtumishi wangu nabarikiwa sanaaa MUNGU akulinde niendelee kupata magombo ya kuikomboa akili yangu
@angelanather9640
@angelanather9640 2 года назад
Asanteee Pastor. Somo nzuri, God bless you. Ila naomba msaada wako. Nina biashara zaidi ya miaka 15 ila kila siku national hela mfukoni na kuanzia moja. Siingizi hela hata siku moja. Mpaka sasa nimechoka. Naomba msaada wako Pastor. Samahani kwa usumbufu.
@dukegsmandrepairserviceste8090
@dukegsmandrepairserviceste8090 9 месяцев назад
You are not fake indeed, God's power is in you.
Далее
Triple Protein Sandwich
00:32
Просмотров 4,4 млн
NGUVU INAYOZUIA MAFANIKIO YAKO.
54:51
Просмотров 183 тыс.
MUNGU ATAINGILIA KATI MAMBO YAKO? | PR.DAVID MMBAGA -
1:23:37
JINSI YA KUTAMBUA SAUTI YA MUNGU NA KUIFATA.
1:05:48
Просмотров 214 тыс.
SILAHA KUBWA YA KUVUNJA MADHABAHU || PR DAVID MMBAGA
56:10
JE UNAMJUA YESU? | PR. DAVID MMBAGA (OFFICIAL VIDEO)
1:16:32