Mdogo wetu Tundu Mungu ana makusudi nawe ndio maana amekusaza hata leo. Hilo shambolic lilikuwa la kuangamiza kabia lln Mungu akashikilia roho yako na uzima wako kwa makusudi yake. Nakuomba umkumbuke sana Mungu na kumnyenyekea na kumpenda sana na kumpendeza sana kumsikiliza na kumwamini na na kumtii. Tumaini lako liweke kwa Bwana Mungu wako aliyekuokoa ktk kifo.
Tundu Lisu anapenda na watanzania wanao kuelewa. Mungu Atakule si tu uchaguzi uhai. Hata wana ccm wanaweza kumpa kura Tundu Lisu kuwa Raisi. Na watanzania wote wanaopenda haki na kuirudisha Tanganyika. Tutamlara Raisi toka upinzani kwa mara ya kwanza toka uhuru na kuirudisha Tanganyika tukiamini haki. Lisu ni Raisi wa kwanza wa Tanganyika bila kupunguza. Ukombozi umefika.
Dada mkubwa nayeye amejawa hekima na busara kubwa, Inshallah Mungu atamfanya mwamba Antipas kuwa ni mkombozi wa Taifa la Watanganyika ajaye hata kama watawala watayapuuza Maono na fikira za Dada mkongwe huyu. Na hawatayaamini macho yao siku hiyo.
Tundu lisu laisii wa maana kabisaa ana juh kila kichocholo cha tz jamani ndugu zangu wa tz uyo bwana ndie mtetezi wa wanyonge alie bakii ccm Amna chamana Wana tengeneza shida alafu ana tokea mtu apo apo ccm Wana jifanya kusawa zisha wakatii wao ndio walio tengeneza iyoo shida co awatufaiiii