Mwanachuoni wa kweli hakubali sifaa,,,wallahi ni wanchuoni ni wachaji mungu si makhurafi wa kupiga dufu,,,,kidevu kinakaa embe hata hakuna ndevu,,,Allahu mustaan
Nynyi mwajuwa maana ya kuwa mwanachuoni ama mnasema,,,masufi ni kweli hamna akili timamu,,maneno ya imam shafii ,,,,ukabila na kuabudu makaburi,,,ata juzzu amma hajahufadhi,,,mpiga dufu na dhikiri ya kukohoa ,,,Allahu musta'an,,twaghut
Wew ushaambiwa huyu ni mwana Chuini.eti mtu anahoji!!! Eti mwanachuoni hana ndevu 😢 hii dunia sijui inaelekea wapi sababu kuna watu majahili kweli kweli
Kula pote lina kiongozi wake na hawa tumekinai sana na wao na ilmu yao sasa nyinyi kama nyinyi muna masheikh zenu wafueteni hakuna ungomvi sababu mambo yaendelea na yatazidi kuendelea.
Wewe ndio uthibitishe uwawachuoni wake ni upi Mana sisi tunaambiwa wanawachuoni ni warithi wa mitume lakini huyo tukimuangalia hata kujifananisha na mtume swallallahu alyhi wasallaam ameshindwa
Shida yenu kubwa munaliza watu wafuate itikadi ya masheikh wenu kina ibn Baaz kina Utheimin na sisi twaamini hao ni project ya mayahudi kutoka waqti sh.Muhammad bin Abdulwahab.
@@adennurahuka402 jufri niyeye peke yake atajibu kwa Allah lakini nyinyi manhaj mzima yakiwahabi imewekwa na waengereza na mayahudi akewekwa Sh.Mohd Abdulwahab kuuwa waislamu ambao hawakubaliani na fikra yake akisema ni washirikina.
@@rushu1232wallahi la!!!leta hoja,,,mm nimekueleza shekhe lenu mwanae mrejelea kuwa amewasifia mayahudi,,,nioneshe shekhe wa salafi akiwapongeza au kuwa sifu,,,ikiwemo ibn baaz ibn uthaymeen albani nakadhalika Allah awarehemu ,,,,Sisi dini yetu ni Qur'an na sunnah kwa ufahamu waliyoongozwa maswahaba na mwalimu wao mtume Muhammad swala na salamu zimfikie,,,,,nyie ni kupiga ukhurafi n ushirikina kuabudu makaburi na bida'a nyingi ambazo Allah hajateremsha katika uongofu Kwa mtume na waja wake,,,,,si rayi ama maoni ya mashekhe wenu Sisi tuko Kwa haqi,,,,tukosoea Kwa dalili ya Qur'an na sunnah tutafuata Lau si hivyo Baki na ukhurafi wako
Kuma wamuona c wAna chuoni ungempa heshima uisilamu au umuri wake Mtume saw amesema sikatisis asiyewa hurumiya wadogo na kuwahishimu wakubwa muislam mwenziyowamwita mwana choooni Subhana ALLAH
Eti gwiji la bidaa Ebu kasome kasome kitabu chake kimoja tu kitakutosha kama macho unayo! Hapo utajua kama kama gwiji la bIdaa au gwiji wa sunna kitabu kinaitwa annusuusu swariha fil'aqiidati swahihah. acha kubwabwa
Aibu Kwa kakaangu kujiita jina tukufu la mtume Muhammad kisha akhlaaq ukakosa ukawaita maulamaa wengine wapuuzi,ni makosa sana, Allah akusamehe Ila si adabu ya kiislamu kuwatukana shurafaa wa wengine.
@@muhibbualii4580 Utukufu si jina wala kabila acha ujinga, ndio mukatukuza wata hadi kuwapa daraja wasizostahiki, ati (masharifu) ujinga mwingi na kutishana tuu wengine waingia kwenye shirki kwa ujinga huu.