Jumla ya wananchi wapatao 272 walioko jiji Tanga wamepima saratani ya matiiti na kati ya hao 71 wamekutwa na matatizo mbalimbali kwenye matiti huku sita (6) wakiwa na viashiria vya satarani.
Madaktari bingwa hao wabobezi kutoka hospitali mbalimbali ikiwemo Ocead Roads wamepiga kambi kwa siku tatu mkoani humo ingawa mwamko wa wananchi kujitokeza kwenye matibabu hayo ni mdogo.
@official_jennifersumi
#azamnewsupdates
29 авг 2024