Тёмный

IGP WAMBURA NA WAZIRI WA MAMBO YA NDANI MHE MASAUNI WANAPASWA KUJIUZULU - HASHIM RUNGWE.. 

Wasafi Media
Подписаться 4,8 млн
Просмотров 14 тыс.
50% 1

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Опубликовано:

 

16 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 20   
@Patrick-w1j
@Patrick-w1j 28 дней назад
Waziri wa mambo ya ndani anatakiwa awe kutoka bara hawa wazanzibar wapo nyoronyoro sana
@shaabanmohammed2611
@shaabanmohammed2611 28 дней назад
Kwa taarifa yako Mhe Masauni Asili yake ni Bara. IGP ni Mtu wa Barabara. Sasa what's your point? Acha Ubaguzi na chuki za kijinga
@btechie04
@btechie04 28 дней назад
Hii nchi hakuna uwajibikaji kabisa
@noelbryson7840
@noelbryson7840 29 дней назад
Kama huyu waziri wa mambo ya ndani ni mzigo wa misumari..
@israelkisaila8401
@israelkisaila8401 29 дней назад
Mimi sijawahi kumuelewa Kwa chochote aise,akiongea ni kama hataki vile,yani mm
@Ba63828
@Ba63828 29 дней назад
Ni kujiuzulu tu akiwemo Waziri wa Mambo ya Ndani na IGP
@Officialjidaa-sn9cs
@Officialjidaa-sn9cs 28 дней назад
Mzeeee kajilipua kweli hongera sana mzeeeeee 🙌🙌🙌🙌🙌
@AfricaQueen
@AfricaQueen 28 дней назад
🙌🙌🙌🙌🙌Ajiuzuluuu wanaficha machafu sana polisi sasa hivi ni hatari kwa jamiii 😭😭😭😭Katiba mpya Tunahitaji kuondoa hawa polisi wahalifu wako wengi sana .✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️✍🏽
@farajisureman9925
@farajisureman9925 28 дней назад
Wasioona shida ya kuziuzuru Mh.Rais awang'oe tu.Natena waambie wamekuwa hawatoshi basi.Kama Hatai Mwinyi alijiuzuru,sisi ni nani tubembelezwe
@leokamil6284
@leokamil6284 28 дней назад
Mr Rungwe🎉
@mjemamjema9695
@mjemamjema9695 29 дней назад
MNAPITA PEMBENI. RAIS AWAWAJIBISHE. ASINGOJE WAO WAAMUE. POLISI WAMAKUWA MAADUI WA HAKI.
@shaabanmohammed2611
@shaabanmohammed2611 28 дней назад
Ni kweli kabisa Wizara ya mambo ya ndani imefeli. Viongozi wake wanapaswa kuwajibika. Wananchi wengi hawana imani na Jeshi la Polisi. Ukatili na majibu ya kuvunja moyo yanaongezeka. Ufanisi katika kupambana na utekaji wa Raia umeongezeka. Ikiwa kufeli kwa NHIF kumemgharimu Mhe Ummy halkadhalika kufeli kwa Uwajibikaji wa Jeshi la Polisi inatosha kwa Mhe Masauni kujiuzulu
@tumainimayala8187
@tumainimayala8187 28 дней назад
Huyo Masauni amewekwa hapo na dadake ili kutesa watanganyika
@sonnyr1899
@sonnyr1899 28 дней назад
Mbongo ukitaka kumfutahisha mwambie wewe ulikuwa hujazaliwa ao ulikuwa mtoto basi apo atafurahiya sana
@mvullamanase
@mvullamanase 28 дней назад
Inasikitisha kuona Wanao Tazamwa kama ndio Walinda Amani , Hawastuki kwa lolote, Mambo yamekua nimengi sana. Na wakiendelea Hvi Hii Nchi tutaiokotea Kwenye Mitaro
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 28 дней назад
Sijuwagi majukumu ya huyo waziri
@HalidMuhammad-gi9qy
@HalidMuhammad-gi9qy 28 дней назад
Masauni unaona sasa unatutukanisha wa Zanzibar wote tuko nyoro nyoro toa uamuzi wa maana
@vincentcharles4385
@vincentcharles4385 28 дней назад
😂😂😂😂 Poleni sana Ndugu zangu Wazanzibar
@GeorgeElias-p5o
@GeorgeElias-p5o 28 дней назад
Nchi ngumu sana hii
@fxmeddy9567
@fxmeddy9567 28 дней назад
Rais ni BOM
Далее
SALIM KIKE NDIO  MMILIKI WA CROWN FM
18:28
Просмотров 18 тыс.
How would you react?!😳
00:44
Просмотров 4,1 млн