🙌🙌🙌🙌🙌Ajiuzuluuu wanaficha machafu sana polisi sasa hivi ni hatari kwa jamiii 😭😭😭😭Katiba mpya Tunahitaji kuondoa hawa polisi wahalifu wako wengi sana .✊🏾✊🏾✊🏾✌️✌️✌️✍🏽
Ni kweli kabisa Wizara ya mambo ya ndani imefeli. Viongozi wake wanapaswa kuwajibika. Wananchi wengi hawana imani na Jeshi la Polisi. Ukatili na majibu ya kuvunja moyo yanaongezeka. Ufanisi katika kupambana na utekaji wa Raia umeongezeka. Ikiwa kufeli kwa NHIF kumemgharimu Mhe Ummy halkadhalika kufeli kwa Uwajibikaji wa Jeshi la Polisi inatosha kwa Mhe Masauni kujiuzulu
Inasikitisha kuona Wanao Tazamwa kama ndio Walinda Amani , Hawastuki kwa lolote, Mambo yamekua nimengi sana. Na wakiendelea Hvi Hii Nchi tutaiokotea Kwenye Mitaro