Aise binti mzuri na story yake ya huzuni but she's so strong na ananipa furaha sana anavyo elezea story yake ,even though it's so painful she's still smile ,Tena mchapa kazi ,I salute you my sister, don't judge book by it cover 📔,kwa yote Mungu ndo anamlida ,God bless you brother Zahir imekuwa mda mrefu sana 👏👏👏❤
Dada pole sana kwa majaribu,tafuta msaada wa maombi kuvunja hayo matamko aliyokusemea baba yako kuwa hutakaa uolewe yy ndo mume wako,bila maombi hautaweza kutoka kwenye hicho kifungo utaangaika sana.Baba yako ndo amekufunga kwa matamko yake maovu tafuta msaada wa maombi na urudi kwenye dini yako uliyobatizwa Mungu atakusaidia
Dah pole sana Dada yangu hizo n changamoto z maisha mungu atakusaidia Katika maisha yako. Dada yani mpaka Léo unaendelea kumuita Baba. Uyo sio baba n shetan Moja tu
Pole sana, dada yangu Mungu afungue mlango wa ndoa yako. Pia hongera kwa Imani kwa Mungu Muombe Mungu na kuikataa hiyo raana ya baba yako. Na Mungu awalinde kwa nguvu zake. Ombi langu msamehe baba na wengine waliokukosea na Mungu atafungua MAISHA yako. Mungu akubariki sana.
Kwa kweli nimeumia sn sn ila ss imeishia pale hatujajuavkm Yule mume wake aliondoka au la? Pole mnoo Mungu akijalia utaniona kwny na yk. Ila maombi omba, omba omba, ,Funga hata 3 kavu Maanisha toa sadaka Mungu atakujb hadi utakimbia
Cha kwanza uyo binti aache. Kuzaa. Siyo kila mwanaume unaye mpata lazime uzae. Kwasababu mwisho wa siku wewe ndo unahudumia watoto peke yako. Na cha pili unatakiwa uwe na mwanaume ambaye. Ataki kuzaa kama ww. Maisha nimagumu mdogo wangu usipo kuwa makini utajikuta una watoto saba wote hawana baba which is sad😢. Acha kuzaa enjoy life na leya watoto ulionao kwa sasa. Mimi nina miaka 28 na nina mtoto mmoja tu, ila haimanishi kwenye maisha yangu yote nimekuwa na mwanaume mmoja . Ila nimeshajifunza siyo kila anayesema ananipenda basi ni mzarie mtoto
ndugu yangu sasa rudi kwa mungu wako sali sana omba utakacho m mungu yuko nawewe usijali songa mbele iko siku utafanikiwa usikate tamaa weka imani ya mungu
Pole sana dada, nisha ona mahali unafeli, wewe bado ni mchanga ila jambo unalo faa kulifa nikutembelea kituo cha huduma ya afya ili upate ushauli wa mpango wa uzazi. Manake hata baada ya kumzaa yule alie tumboni, bado utatamani mwanume.
Nimeangalia hii interview yooote nimesikia huzuni sana, Yan kiufupi dada ameeleza ukweli wote na amesha athirika kisaikolojia mahali pakubwa anahitaji msaada. Hilo zee lenye laana sidhani kama linastahili kuwa uraiani. Kuna watu wanapitia mambo mazito sana Duniani.
Pole saana. Dunia hii imekwisha baba unamlawiti mtoto wako tena unitumie nguvu du mwanangu Allah yuko pamoja nawe na atazindi kukupingania. Kwanza unaonekana uko strong. Mungu akujalie ule watoto wako. Huyo baba yako Mungu kamuadhibu
Nakuhakikishia hakuna mahali unafeli ni mapito,umri walo no mdogo sana ukilingamisha na matukio yaliyokukuta na bado una nguvu.Kuna watu wazima kama huyo baba yako hawawezi kupambana huku wana ujuzi.uko vizuri.maombi unayoyataja ndiyo njia sahh na mungu atafungua njia.hao watakupigia magoti siku moja.mungu hutenda na atatenda kwako.
Asha umepona tayari. Sifa kuu kwake Mwenyezi Mungu, wazungu wanasema ukikubaliana na jambo basi umepona sana sana ukilisema kwa uwazi. Naomba yako please
Pole dada Mary kwa yote unayopitia ile kauli ya babako kuwa hutaolewa ila yeye ndiye mumeo kuanzia sasa NAIFUTA KWA JINA LA YESU NA NINAKUFUNGUA KUTOKA MATESO HAYA KWA JINA LA YESU. Nakushauri tafuta kanisa la wokovu uokoke Mungu atakubariki.
Ukisikiliza story kwa mtu una pata nguvu ya kucheka kwa sababu ni kama hadithi, ila siku likikukuta ndo utajua kuwa sio hadithi pole sana dada yetu ila inabidi utumie uzazi wa mpango kwa maisha unayo pitia
Mmmmmmmm pole dada kwa istoria yako pia wanaume kama hawa wavivu awataki kazi wapo ndio maana na mm nilimkimbia na nikamnyima mtoto ata kumuona tuu mpaka leo
Pole dada jitume tu mwenyewe,tena dada bible imeandikwa anae lala na babake amelaniwa,fanya toba utakazwe na MWENYEZI MUNGU.na utafunguliwa,utakuwa uhuru.
Wewe unasema alaniwe na kizazi chake khaaaaaa????!! Kosa afanye yeye kizazi 😮watoto wake walaniwa wanamakosa Gani????Anitha nawe utalaaniwa kama unagawa laana Kwa namna hiyo
Kumuomba tu mungu,baraka neema hutoka Kwa bwana kwani waliobatizwa hakuna wenye matatizo au changamoto????? Kila linalomkuta mwanadamu si Kwa sababu hakuufuata ubatizo fanya tafiti vzr
Dada wewe ni mchapakazi ila unapofeli ni hali yakuamini wanaume kila mwanaume anayekuja kwenye maisha yako unamuamini nakuanza kuzaa haujiangalii unamtoto mdogo na bado mambo yako hayajakaa sawa jalibu kutuliza akili yako peleka watoto shule mana unavyohama leo huku kesho kule watoto wanasoma saangapi? Katika zunguka zako hebu angalia ni mkoa gani katika utafutaji wako unanafuu basi baki hapo na uanze maisha hapo hao wanaume wanakufelisha pambana kufanya kazi zako watoto peleka shule nipo tayari kukusapoti kwa kidogo nilichojaaliwa