Huyo Dada mshenzi tu Kama washenzi wengine na atamkumbuka sana umalaya tu nilikuwaga namheshimu ila nilivyoonaga kaolewa na kile kitoto Mpaka mume wake kapata presha kafa nilimdhalau kabisa na Bado uzinzi hautamuacha salama kahaba wa kike.
Hawa wanawake wa mujini nimtihani wakati alipokuwepo ulimtema nakumuona hana maana, Leo unasema umemkumbuka???tutolee Stress zako bwana, wewe na Zari wanafki wakati wanaume wako hai mliwatesa sasa malipo ni Duniani ,mlijiona keki Leo hata wakuwabembeleza mnawatafuta, ndo mjue Duniani kuna malipo