Innalillah wainaillah rajuin Allah akulaze pahla pema Pepon na akupe mwanga na nuru akupe mwanga wa milele 😫😫😫😫😫😥😥mbele y2 nyuma yako mama angu daaah dunia hii jmn
Mbele yako mama yangu mzazi bi fatuma daimu nakukumbuka sana mama yangu umeondoka kwenye uso huu wa dunia mwanao uliniacha bado mdogo cjaanza kujitemea ujawai kula hata mia kma kifuta mgongo chako kwa yale uliyonifundisha jinsi ya kuishi na wanazengo waja wasiokuwa na haya wala vibaya
Mama thamani yako naijuwa mimi namuomba Allah hazidi kutuweka salama hapa duniani ili uje uione thamani yangu na mie naandika huu ujumbe kwa hisia Kali moyoni kwakuwa uko mbali na mie nakupenda mama "I will love my mummy than my son"
Tuwapende I Mama zetu,haijarishi ,wanepitia nahumu mengi kutukuza , allah awafanyie wepesi inshallah,na waliotangulia basi mwenyezimungu awape kauli thabiti inshallah.kina Mama wate ni masuper woman's
Wimbo huu na maneno yake yatadumu milele hakuna wa kuushusha Mama ni mama tuu hata awe kichaa hakuna kama mama .Kila kitu kwenye wimbo huu kinetulia na umeimbwa kwa ubunifu sana Hongera sana Aisha na Hongereni sana wote mlioitwa MAMA kwani hakuna kopy ya mama .Mama atabakia kuwa mama tuu
Wanao itazama hii video ya isha hadi sasa tujuane hapa, hii nyimbo imebeba ujumbe mzito sana, uko juu isha ila pole kwa kuondokewa na mama ( Allah ampe amuepushie adhabu ya kabri Inn Shaa Allah )
Asante sana mkurya mwenye mashauzi... Remind me of my teenage days nikikesha kwny vigodoro TANGA RAHA SANA... I really miss my home... 2018 still enjoying each beat of it!
Cwez kusema chochote mama yangu ulinifunza jinsi ya kuish na watu pia ulikosa kulala pale me nilipokuwa naumwa ulikosa kula pale nilipokuwa najisikia homa ulipambana wewe na mumeo yaan baba yangu mzaz mzee dua hili me na dada zangu tuweze kusoma na kujitambua mbele ya kikaz hiki jeur
Pumzika kwa amani kipenzi Chang u hakika ulikuwa nguzo muhimu sana kwangu na huu wimbo ulikuwaga unaupenda sana kumdedicate Bibi yetu gaani mama yako ambae umetangulia ukamuacha😭😭 mama unaniuma sana bado nilikuwa nakuhitaji mnoooooo ktk maisha yangu😭one year past naona Kama Miaka kumi haupo