Тёмный

Isha Ramadhan - Mama Nipe Radhi One of the greatest and classic taarab of all the time 

LEAKSTV NETWORK
Подписаться 37 тыс.
Просмотров 3,7 млн
50% 1

Видеоклипы

Опубликовано:

 

19 май 2012

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,4 тыс.   
@happyjoseph5840
@happyjoseph5840 Месяц назад
Akuna kama mama miaka 💯 msj nzuri ya mama na mwana 2024 nyiee isha anajua ❤
@Riziki-ek3ko
@Riziki-ek3ko 2 месяца назад
Wanao tizama hii nyimbo huu mwaka twende like
@nasib_filmwhip9957
@nasib_filmwhip9957 Год назад
Still hitting different in 2023 💯💥💥
@errydeo8865
@errydeo8865 4 года назад
Nimefiwa na mama a few weeks ago!huu wimbo una maana nyingi kwa nyie ambao mna mama!the best person ever
@user-qy8lw4pd4v
@user-qy8lw4pd4v Год назад
Allah amrehemu mama yangu kipenzi ila mungu amempenda Zaid hii nyimbo inanigusa sanaa kwelii kuishi nawatu kazi sanaa
@hadjiyussuf4566
@hadjiyussuf4566 5 лет назад
Rip bi rukia juma Allah akuwe penye wema peponi
@amnahleilah8589
@amnahleilah8589 6 лет назад
Ukipata radhi maishani utanyookewa ukimdharau muzazi mwishoni utararukiwa
@jordanjustin7290
@jordanjustin7290 5 лет назад
Kuishi kwingi ndio kuona mengi kwa hiyo mwanangu kwenye wengi kuna mengi.... Kama umesikia hiyo gonga like
@gsmtools8956
@gsmtools8956 8 месяцев назад
❤️❤️❤️❤️😍
@halimamohammedy9247
@halimamohammedy9247 5 лет назад
Napata shida sana natamani kukurudisha mama angu ila mungu kakupenda zaidi yangu pumzika kwa amani tu mama angu
@mohammedkijimbu4051
@mohammedkijimbu4051 5 лет назад
Mungu amlaze mahali pema
@sudisudick7886
@sudisudick7886 4 года назад
Pole Sana ndgu yang u🤔🤔🤔
@shukurumavumila1684
@shukurumavumila1684 3 года назад
Pole sana
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 года назад
Pole my
@user-wj6hw7df5r
@user-wj6hw7df5r 9 месяцев назад
Wanaoitazama 2023 tujuane ❤rathi ya mama mhimu sana🎉🙏
@mwanaishambili241
@mwanaishambili241 6 лет назад
Mama ni number moja hana mpizani naipenda sna hii nyimbo ongera my somu
@rahmarogath4067
@rahmarogath4067 2 года назад
Jamani nikiskiliza wimbo huu machozi yanatoka😭😭😭😭😭
@MudMuho-zo9do
@MudMuho-zo9do 10 месяцев назад
Pole sana jamani
@shadyjuma7688
@shadyjuma7688 5 лет назад
Innalillah wainaillah rajuin Allah akulaze pahla pema Pepon na akupe mwanga na nuru akupe mwanga wa milele 😫😫😫😫😫😥😥mbele y2 nyuma yako mama angu daaah dunia hii jmn
@princessfettyrashidi2409
@princessfettyrashidi2409 4 года назад
MUNGU msamehe MAMA yangu makosa yake😭😭😭😭😭 pumzika MAMA yangu one day tutaonana
@salimasalim7796
@salimasalim7796 Год назад
Pole my yn m nikion Mt anmama bs naumia lkn ndo ivyo TN y mung meng
@daveme9180
@daveme9180 Год назад
Amina
@mariajoseph5347
@mariajoseph5347 4 года назад
Wanano itazama 2020 gonga like Kwel kuishi na watu kazi
@josephclemence4441
@josephclemence4441 3 года назад
Wanaotazama ngoma hii 2021 wagonge like💜
@Monaish___mooon
@Monaish___mooon 3 года назад
Inanikumbusha mbali
@annakaijage9205
@annakaijage9205 2 года назад
Still watching 2022
@husseinmasai713
@husseinmasai713 Год назад
​@@annakaijage9205
@rizikikhamisi8142
@rizikikhamisi8142 Год назад
Asante xna
@DonyJuma-ct2he
@DonyJuma-ct2he 7 месяцев назад
Ngoma nzuru sanaaaaaa
@mohammedfundi545
@mohammedfundi545 6 лет назад
Namkubali mashauzi ,nimekua sasa nimeona kazi ya mamangu alioipitia.ewe mola msamehe madhambi yake aliyoyatanguliza na yajayo amin
@malken8181
@malken8181 2 года назад
Nakuhasa mwanangu hii dunia tunapita kuisha na walimwengu yahitaji uvumilivu wema wako utaukuta kwa mungu ❤2022 nimeelewa sana hicho kipengele
@violetnyandege2029
@violetnyandege2029 10 месяцев назад
Ukweli kabisa
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 лет назад
R.i.p bi rukia juma mwenyezi mungu akupunguzie adhabu ya kaburi
@juliusmwinga4051
@juliusmwinga4051 5 лет назад
Duniani Tunapita
@wilonjahatua2067
@wilonjahatua2067 5 лет назад
@@juliusmwinga4051 kbs
@fatumadaud9302
@fatumadaud9302 5 лет назад
R.I.P mama Rukia Jumaa😭😭😭😭
@rahmatumam357
@rahmatumam357 5 лет назад
Innalilahi waina ilahi rajuin hta habari sina kma hatunae tena bi rukia jumaa Allah ampunguzie adhab ya kabri
@sharifhabibukibavu1268
@sharifhabibukibavu1268 4 года назад
Mwanaha ariy
@wilisonmbwambo7110
@wilisonmbwambo7110 5 лет назад
nimekumbuka mwaka 2010 nilikua naupenda sana mpakaleo 2018
@barakambogera1667
@barakambogera1667 5 лет назад
Pole Sana na KUFIWA na mama yako mzazi Bi rukia juma hakika apumzike KWA AMANI :"""!:""
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 года назад
Mbele yako mama yangu mzazi bi fatuma daimu nakukumbuka sana mama yangu umeondoka kwenye uso huu wa dunia mwanao uliniacha bado mdogo cjaanza kujitemea ujawai kula hata mia kma kifuta mgongo chako kwa yale uliyonifundisha jinsi ya kuishi na wanazengo waja wasiokuwa na haya wala vibaya
@havijawaabdallah8026
@havijawaabdallah8026 5 лет назад
September 2018??? 🙌🙌 One of my best song ever kwny taarab😋😋😋. Qan hapa nilipo mashetani apa una mashetani weh..
@zabibuissa7157
@zabibuissa7157 5 лет назад
Nani anaeicheki hii ngoma mpk sasa 2019 gonga like twende sambamba
@ashalazaki2845
@ashalazaki2845 4 года назад
penda sana ili songi
@ivolevina660
@ivolevina660 4 года назад
Mimi pia
@swabrakaisary8960
@swabrakaisary8960 4 года назад
Mimi apaaa
@shadiaadam5149
@shadiaadam5149 4 года назад
Tuko pamoja mama
@safaaabeid8166
@safaaabeid8166 4 года назад
Hapana chezeyaa ww
@angelsuleiman4668
@angelsuleiman4668 6 лет назад
nakupenda mama mengi umenijalia japo kitu sina utu wangu pokea ,,,hongera ishaa
@abasisalum9691
@abasisalum9691 4 года назад
RIP MAMA 😭😭😭 HII DUNIA TUNAPITA DAH 2019 LIKE APA
@peteriranga5592
@peteriranga5592 2 года назад
.... still listening 2021. Mama ndiyo kila kitu; Love you Mama.😘🙏
@fatmachambotanzania9379
@fatmachambotanzania9379 5 лет назад
R.I.P mama Rukia yaan kwa haya nnayopitia haukukosea kuishi na watu kazi sana tena kazi mzito kila ufanyalo kwao ni baya tu
@aishaanthony4508
@aishaanthony4508 3 года назад
Pole kipezi
@tusemezanenamariana5933
@tusemezanenamariana5933 3 года назад
Wangapi wanatizama 2020 Tujuane hapa..gonga like kaa zote❤️💜💜💜💜
@shabankimbulasantekonde549
@shabankimbulasantekonde549 Год назад
Tupo weng pia hii nyimbo inamaadir Sana
@halimakombe4734
@halimakombe4734 2 года назад
Ahsante mama kwakunileta duniani mama yangu ndonguzo yangu
@alfredycheyo8847
@alfredycheyo8847 6 лет назад
Mama nipe radhi,kuishi na watu ni kazi inahitaji ujuzi !!
@chabbybae9294
@chabbybae9294 6 лет назад
Nice song
@hajiurassa3790
@hajiurassa3790 6 лет назад
Masungwa Masungwa sister upo vzr xana umeniburudisha xan pia umenikumbuxha mbal xan
@khadijatwahir9743
@khadijatwahir9743 5 лет назад
Penda sana mama yangu sema mungu kampenda zaid penda isha
@bintisalumubintisalumu5482
@bintisalumubintisalumu5482 5 лет назад
Mamanipe
@alfredycheyo8847
@alfredycheyo8847 5 лет назад
*Insha Allah, kwake M/Mungu asiyekosa kwake ndio marejeo yeke*
@msusamusa7178
@msusamusa7178 6 лет назад
Mama thamani yako naijuwa mimi namuomba Allah hazidi kutuweka salama hapa duniani ili uje uione thamani yangu na mie naandika huu ujumbe kwa hisia Kali moyoni kwakuwa uko mbali na mie nakupenda mama "I will love my mummy than my son"
@halima9061
@halima9061 5 лет назад
kwakweli inauma
@maryamhamisi4257
@maryamhamisi4257 4 года назад
Wewe naipenda sana ahaha hahaha wape
@sudisudick7886
@sudisudick7886 4 года назад
Asante na nimekuelewa musa
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 года назад
Da tuko wengi tuko mbali s na mm zetu
@happinessmwidini8992
@happinessmwidini8992 3 года назад
Best naso
@najmamichael2208
@najmamichael2208 5 лет назад
Nakupenda san mama angu bi khadija mungu akupe maisha marefu ya kuishi hapa duniani kweli kuishi na watu kazi
@ashamwandu6572
@ashamwandu6572 3 года назад
Tuwapende I Mama zetu,haijarishi ,wanepitia nahumu mengi kutukuza , allah awafanyie wepesi inshallah,na waliotangulia basi mwenyezimungu awape kauli thabiti inshallah.kina Mama wate ni masuper woman's
@babat5272
@babat5272 3 года назад
nakupenda sana mama yangu. wee mwenyezi. Mungu nakuomba unitunzie mama yangu. Umzidishie afya njema aishi miaka 1000
@bahatimwasaghwile8336
@bahatimwasaghwile8336 Год назад
Nakupenda mama angu
@SayfMziray
@SayfMziray 5 месяцев назад
Wanaotazama ngoma hii 2024 like hapa
@hassanisalimpulo2223
@hassanisalimpulo2223 4 месяца назад
❤❤😊
@salimasha7346
@salimasha7346 3 месяца назад
Tupo 😂😂😂
@salimasha7346
@salimasha7346 3 месяца назад
I love that
@SamsungA14-mw7wl
@SamsungA14-mw7wl 3 месяца назад
❤❤❤
@mariamdennis-um9vx
@mariamdennis-um9vx Месяц назад
❤❤
@neemaiddy3750
@neemaiddy3750 5 лет назад
Mama angu popote ulipo nakupenda sana umetulea kwashida mpaka tumekuwa wakubwa Mungu akutunze mama angu,,
@zainabg1309
@zainabg1309 Год назад
💥💥💥
@abbassuleh9920
@abbassuleh9920 5 лет назад
Nakupenda sana mamangu,bila wewe sipati Rana duniani
@mudrickabdallah8496
@mudrickabdallah8496 4 года назад
Akuna kama mama nampenda sana mama yangu mungu ampe kauli thabit uko alipo
@neemaandrew4769
@neemaandrew4769 3 года назад
Mashaallah sst isha mashauzi nakumbuka mbali sana kila nikiona hii nyimbo nakupenda sana 😍 2021tujuane tulioingaliaa🥰🥰
@geraldmakalala6091
@geraldmakalala6091 2 года назад
Pamoja
@jasmine.mayala7597
@jasmine.mayala7597 2 года назад
Yaan hp ndy nimeweka 🤣🤣🤣🤣🤣
@kombakomba7922
@kombakomba7922 2 года назад
2022
@hamisimtenje5590
@hamisimtenje5590 2 года назад
@@jasmine.mayala7597 mom9m9
@rosemarybenjamin4333
@rosemarybenjamin4333 6 лет назад
Ujumbe mzur nimeipenda asanten kina Mama
@nusurakaoneka5281
@nusurakaoneka5281 4 года назад
Nani Kama mama
@gastonngedenokm8478
@gastonngedenokm8478 4 года назад
Kuishi kwingi kuona mengi mungu mjaalie huyu mwana sanaa
@rosemarymathias4938
@rosemarymathias4938 3 года назад
Hakuna kama mama.
@geonycoutinho5055
@geonycoutinho5055 5 лет назад
Hii nyimbo nzuri sana nakupenda sana mama ang kipenz mungu
@aishambise8835
@aishambise8835 4 года назад
R l P mama yangu uliko mungu akuodolee Adhabu ya kaburi
@kokujohn2220
@kokujohn2220 2 года назад
No kwer msera wangu
@florrybenjamin7372
@florrybenjamin7372 7 лет назад
kweli katika hii dunia utapambana na mengi cha msingi kuvumilia yarabi nipe uvumilivu
@yngsavage6262
@yngsavage6262 5 лет назад
Mama mwalimu'docter ;masibu kwa kweli ni kilakitu
@seifkuku3943
@seifkuku3943 7 лет назад
pamoja na ujane aliokuwa nao mama yangu wallah hatukuwahi kulala njaa..alikuwa radhi akae na njaa wanawe tule
@mariamually9502
@mariamually9502 6 лет назад
Seif Ally mamag.mahabube.nakupenda
@mkaliimkalii6064
@mkaliimkalii6064 6 лет назад
Big big sana mamaa
@fatumaseleman2373
@fatumaseleman2373 5 лет назад
Sefu
@halimahalima7356
@halimahalima7356 5 лет назад
penda sana umwimbo
@pilishazycounterog8200
@pilishazycounterog8200 4 года назад
Alihamdulilah mama ndy kila kitu kwang love mom
@ntwangaisaya9424
@ntwangaisaya9424 4 года назад
Nimekuta tuh leo napenda kusikiliza nyimbo zako
@ba3206
@ba3206 9 лет назад
Unaweza ukadhania wana act kumbe ni kweli ni mama na mwanae...mama anaonekana mdogo sana....I love Isha...hasa mashauzi yako
@abbyk_lymo4053
@abbyk_lymo4053 6 лет назад
sijajua kama ni mtu na mama ake kabsaa. aisee safi sana hii nyimbo haiish utamu
@pantamagonga9132
@pantamagonga9132 4 года назад
Penda sana aise inanikumbusha Mbali mno
@lightnessmbise1430
@lightnessmbise1430 7 лет назад
R. I. P my luvely mumy!!! Ahsantee kwa kunifunza mengi katika hii dunia.
@abbyk_lymo4053
@abbyk_lymo4053 6 лет назад
R.i p my mom too
@godsonjuma6868
@godsonjuma6868 6 лет назад
Mamauko vizur
@peterelias3093
@peterelias3093 6 лет назад
lightness mbise kwer nani kama mm nimekumic mm angu mpendw munguakupe miaka ming rove you my mother
@halimasekky1850
@halimasekky1850 3 года назад
Kweli kabisa hakuna kama mama
@AAA-zu1vy
@AAA-zu1vy Год назад
Pl
@fatmanassib2823
@fatmanassib2823 6 лет назад
Mama nipe radhi.. Love u isha Ramadhan. Mashauzi iko yu
@annamaokola807
@annamaokola807 5 лет назад
Kwa kweli hakuna kama mama!!!mama nipe radhi kuishi na watu kazi,,, song litadumu miaka kama yote!big up ISHA
@ngomangoma8629
@ngomangoma8629 Год назад
Llooop
@biasha5414
@biasha5414 Год назад
Nape da Sana hii taarab
@norah2079
@norah2079 5 лет назад
Tupo wakenya 2019 apa tunaoisikiza hii ya mama???kidole juu tusonge mbele jamani☝❤💕
@vuzoblog2230
@vuzoblog2230 6 лет назад
Hakuna kama mama, safi sana
@jumaayubu3048
@jumaayubu3048 6 лет назад
Napenda xna hii Taraabu na ntaipenda daima
@farajisureman9925
@farajisureman9925 4 года назад
Hii imetulia kuna mzigo wa Mossi sasa ukikaa na huu
@user-cz5ol4kg4t
@user-cz5ol4kg4t Месяц назад
bila ladhi ya mama peponi uingii ndugu yangu kmukimfulahisha mzazi ndiio umemfurahisha mungu
@getrudemauya8298
@getrudemauya8298 7 лет назад
Mama umenivumilia mengi nakupenda sana,big up sis Isha utunzi mzuri
@leilashaban3519
@leilashaban3519 5 лет назад
Gonga like kama unamkubali mashauz class
@hassanadamali3382
@hassanadamali3382 8 лет назад
kweli wazuri na wabayo wamo duniani waja wana roho mbaya wamesahau hisani penda sana hapo hongera sana na Mungu akujaze na akupe maisha marefu
@sabhaimaro6886
@sabhaimaro6886 8 лет назад
Omore
@ashuraalla9454
@ashuraalla9454 6 лет назад
Jamn napend San taarab i jamn sitoichok never inaujumb san
@neemaboniface7557
@neemaboniface7557 4 года назад
Pumzika kwa Amani Shilwa Magema Mungu akupunguzie adhabu za kabri 2020
@abasomary7122
@abasomary7122 4 года назад
Wimbo huu na maneno yake yatadumu milele hakuna wa kuushusha Mama ni mama tuu hata awe kichaa hakuna kama mama .Kila kitu kwenye wimbo huu kinetulia na umeimbwa kwa ubunifu sana Hongera sana Aisha na Hongereni sana wote mlioitwa MAMA kwani hakuna kopy ya mama .Mama atabakia kuwa mama tuu
@consolathasaimon2545
@consolathasaimon2545 7 лет назад
penda sana mama yng kipenz bi Elizabeth love you my Apple
@tumainikassanga7659
@tumainikassanga7659 7 лет назад
mwenyewe penda sana mama yangu, ahsante mama kwakunilea vizuri.
@mwanaidathuman7727
@mwanaidathuman7727 4 года назад
Wanao itazama hii video ya isha hadi sasa tujuane hapa, hii nyimbo imebeba ujumbe mzito sana, uko juu isha ila pole kwa kuondokewa na mama ( Allah ampe amuepushie adhabu ya kabri Inn Shaa Allah )
@gideonlungwa6555
@gideonlungwa6555 4 года назад
Kuishi na walimwengu yahitaj uvumilivu aisee good song my sister from dom tz. 2019
@gladymosha3120
@gladymosha3120 5 лет назад
Tulokuja hapa baada ya kusikia kifo cha mama aisha 💁
@wakatiomar5123
@wakatiomar5123 5 лет назад
Naam mungu amlaze mahali pema peponi😭😭😭
@latifahsalum3479
@latifahsalum3479 5 лет назад
Allah ampe kauli thabit
@salomerenard8830
@salomerenard8830 5 лет назад
Aise pole sana isha mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu ameen
@jumaismaily1640
@jumaismaily1640 5 лет назад
Polen jaman
@jaggaludegula6826
@jaggaludegula6826 5 лет назад
Tupo pamoja nawe
@saidimgoa8593
@saidimgoa8593 6 лет назад
Unaweza bi dada, na wala hubahatishi
@chekanadigookichwechwe8728
@chekanadigookichwechwe8728 4 года назад
👍
@aishamohamed4412
@aishamohamed4412 5 лет назад
Wanaoitazama 2019 gonga like
@latifacarlos9640
@latifacarlos9640 6 лет назад
I love my mom Allah akupe wepes ktk maisha ya dunia na akhera my everything
@reybabybabyrey5982
@reybabybabyrey5982 3 года назад
I love you my mom
@jacklineedward9079
@jacklineedward9079 6 лет назад
Memkumbuka mama leo rip ma, ulonifunza nayaona, mpaka leo isha naickiza hii nyimbo
@salamamohammed5446
@salamamohammed5446 3 года назад
Pole mpenzi mungu yu pamoj na wewe my
@swabrakaisar3212
@swabrakaisar3212 3 года назад
Kwakweli kabisa kabisa
@swabrakaisar3212
@swabrakaisar3212 3 года назад
Daima nakukumbuka mamaanqu kwakweli toka Munqu akuchukue nimekuwa mpweke saana
@babujay9132
@babujay9132 11 лет назад
aaaah isha hii nyimbo kali sana mno yaan uwifanye tena remix by babu jay (ATHENS)
@suleimanathman2906
@suleimanathman2906 11 лет назад
kama nikupenda taarab basi za aisha mashauzi nimefika
@johnmapunda99
@johnmapunda99 5 лет назад
Wimbo huu ambao upo katika mtindo wa call and responding...umeimbwa vizuri sana na kwa utulivu.Pia ala zimepigwa vizuri sana.Hongera kwao.
@ashiraali3954
@ashiraali3954 7 лет назад
nice sanaaa hakuna kama mamaaaaaaa
@annasimon178
@annasimon178 3 года назад
Waooo dada angu mie msoma hakuna mchovu akiwa mchovu uyo kachanganya Asante sn
@zulachama1067
@zulachama1067 5 лет назад
Mama nipe Radhi.2019 tuko pamoja hapo ulipo tuwape pongezi zao
@sudisudick7886
@sudisudick7886 3 года назад
Kweli kabsa
@jasintamushi2614
@jasintamushi2614 4 года назад
Wenye tnaangaliaaa 2020 gonga like
@zakiasongoro2004
@zakiasongoro2004 4 года назад
wangapi wanaangalia leo 2020 siku ya mama duniani nani kama mama
@kilanyamohamedy7555
@kilanyamohamedy7555 3 года назад
Kama unaicheki hii nyimbo 2021 twende sawa
@zenakaide6604
@zenakaide6604 4 года назад
2020 mpo. Pumzka kw amani mama aisha
@elizasule4944
@elizasule4944 3 года назад
Mama yake na isha au isha mwenyewe
@JinaMakame-vq8mq
@JinaMakame-vq8mq Месяц назад
Mama ninamba moja nakupenda sana mama yanguu mama umenifunza mengi sana ninakuombea kila heri nikisikiliza ngoma hii nakupenda mama
@faredamobilo3678
@faredamobilo3678 12 дней назад
True ma Isha, wacha tusiende ,ni Neema ya .mumgu aliye hai siyo waoh wala shee ya Allah kreem!
@sammynganga8998
@sammynganga8998 7 лет назад
Hongera mama nani kama mama
@mashaallah4186
@mashaallah4186 4 года назад
walah niisikiza natokwa na machozi maana siko karibu na mamangu mda sasa
@magrethjumamaundazoloamisi596
@magrethjumamaundazoloamisi596 4 года назад
Naupenda Sana uwimbo nani kam mama
@dadamaisha4470
@dadamaisha4470 3 года назад
Una sauti mashaAllah dada... Queen of best melodies
@wazirbashir7626
@wazirbashir7626 6 лет назад
Asante sana mkurya mwenye mashauzi... Remind me of my teenage days nikikesha kwny vigodoro TANGA RAHA SANA... I really miss my home... 2018 still enjoying each beat of it!
@berthakadaso3389
@berthakadaso3389 2 года назад
Unfortunately this lady is not originated from tanga,bt mara region.
@abdaziz1876
@abdaziz1876 Год назад
Tanga hatari sana sasa kuna vijamvi balaa tupu
@eldachrissy5551
@eldachrissy5551 8 лет назад
Mwimbo unanifariji sana..kweli kuish na watu kazii
@fatmaadam1778
@fatmaadam1778 5 лет назад
Nikweri mm nimtu lkn kwer kuishi nawatu kazi
@ackleymsangi5922
@ackleymsangi5922 4 года назад
Huu wimbo naupenda ni balaa.....
@shamsazakaria3315
@shamsazakaria3315 4 года назад
Elda Chrissy tn sana jmn
@rehemafrancis5480
@rehemafrancis5480 3 года назад
Kweli hakuna kitu kikubwa Kama mama. Nakupenda Sana mama japo umetutoka tangu 2007 pumzika kwa amani mama yangu.
@deborahjuma6869
@deborahjuma6869 2 года назад
R,IP mama yangu nilikupenda MUNGU kakupenda zaidi,, Asante kwa kunifuza mengi yenye hekima katika hii dunia,, Mungu akulanze mahalo pema
@zaiiomary8970
@zaiiomary8970 5 лет назад
Wangap wanatizam mpak sasa 2019 tujuwane
@zubedayahyamselem3673
@zubedayahyamselem3673 4 года назад
2020
@davidhamaga7477
@davidhamaga7477 3 года назад
Wangapi 2020 wanatizama mpaka Sasa hii nyimbo tujuwane
@ashanyoni1210
@ashanyoni1210 3 года назад
Tupo bb
@mansourally91
@mansourally91 2 года назад
MY BEST TAARAB EVER IN TANZANIA 🇹🇿. MWENYEZ MUNGU UWAPE MAMA ZE2 MAISHA MAREFU 🥰🤲
@allyduwa9914
@allyduwa9914 4 года назад
Cwez kusema chochote mama yangu ulinifunza jinsi ya kuish na watu pia ulikosa kulala pale me nilipokuwa naumwa ulikosa kula pale nilipokuwa najisikia homa ulipambana wewe na mumeo yaan baba yangu mzaz mzee dua hili me na dada zangu tuweze kusoma na kujitambua mbele ya kikaz hiki jeur
@johnpaulluteshi3305
@johnpaulluteshi3305 10 лет назад
hata mimi nina mashetani ahsantha mama umenipunga sio siri one love from Kenya now in saudia
@alexandrinadomaino9868
@alexandrinadomaino9868 5 лет назад
Wanaoutuzama 2019 likes zenu hapa
@siamdaudi7717
@siamdaudi7717 4 года назад
Panda sana isha mashauz
@rehemajuma9299
@rehemajuma9299 4 года назад
Hahaha. Nyimbo tamu
@rahmasalim1520
@rahmasalim1520 4 года назад
Katika nyimbo nayoipenda yA kwanza hii
@agnessdaud6250
@agnessdaud6250 6 лет назад
shukuran sana kwa mama ang mzaz!!
@user-ku1vm1rt3j
@user-ku1vm1rt3j 2 месяца назад
Kuishi kwingi ndo kuona mengi kwaiyo mwanangu kweny weng kuna mengi❤❤❤❤ nimependa sana hii verse
@fatmarashidi8353
@fatmarashidi8353 5 лет назад
Wanao tazama 2019 twende sawa apa
@aishaoman6542
@aishaoman6542 4 года назад
Haichuji kwangu hii ngoma tamu sana kweli ukimzarau mzazi utaharibikiwa
@nasirabubakari7845
@nasirabubakari7845 4 года назад
2020 April
@johnmapunda99
@johnmapunda99 4 года назад
Wimbo mzuri wa muda wote. When taarab was real. Nani kama mama? Wameimba kwa mtindo wa call and responding... Yaani kwa kuitikiana. What a great song!
@ogetoj6245
@ogetoj6245 2 года назад
Mawaidha mwafaka. Nani kama Isha jameni?Heri njema kwenu nyote. Ahsante Isha. Dr. Ogeto International
@khdijaahmed8458
@khdijaahmed8458 4 года назад
Nani kam mama jamani ❤❤
@mwanaidathuman7727
@mwanaidathuman7727 4 года назад
Tunao sikiliza hadi 2020 tujuane jmn, wapenzi wa taarab tupo???
@yazidkawaya7475
@yazidkawaya7475 4 года назад
Tupo
@khadijahomankweliyamjahaya7421
@khadijahomankweliyamjahaya7421 4 года назад
Tupoo
@jumakunyela7058
@jumakunyela7058 3 года назад
P 1
@jumakunyela7058
@jumakunyela7058 3 года назад
saf Sana hii taharabu na itakua ngumu Sana kuchuja
@sizaahmed417
@sizaahmed417 3 года назад
Tupo
@saumjuma7546
@saumjuma7546 5 лет назад
wanaotizama 2018 gonga like to show love
@fatumaaliy9546
@fatumaaliy9546 5 лет назад
Dada ukovizuri sana
@ajnansaid8643
@ajnansaid8643 5 лет назад
Iko vizur na wala haichuji
@ramadhanishabani6926
@ramadhanishabani6926 5 лет назад
Rama khan, kumbusha mbali sana
@bintisalumubintisalumu5482
@bintisalumubintisalumu5482 5 лет назад
Mama
@bintisalumubintisalumu5482
@bintisalumubintisalumu5482 5 лет назад
Mama,mm
@Sharifaliuma-gb3vt
@Sharifaliuma-gb3vt 2 месяца назад
Ulijitaidi sana hii nyimbo aichoshi kuisikiliza na kuiyangaliya🎉🎉🎉🎉🎉
@mohamedchaugwade6234
@mohamedchaugwade6234 4 года назад
Mohamedi Chaugwade. Tutakukumbuka mama
@zahrahabib3177
@zahrahabib3177 4 года назад
2020 sichoki kuisikiza hii nyimbo
@mosemose7272
@mosemose7272 4 года назад
Haiishi ladha kamwe
@colethacharles548
@colethacharles548 3 года назад
Pumzika kwa amani kipenzi Chang u hakika ulikuwa nguzo muhimu sana kwangu na huu wimbo ulikuwaga unaupenda sana kumdedicate Bibi yetu gaani mama yako ambae umetangulia ukamuacha😭😭 mama unaniuma sana bado nilikuwa nakuhitaji mnoooooo ktk maisha yangu😭one year past naona Kama Miaka kumi haupo
@munnacarta7879
@munnacarta7879 4 года назад
Tunaongalia 2020 gonga like
@aishamkadara6752
@aishamkadara6752 6 лет назад
100% isha ramadhan mama n mama allahu arhamha. ...R.I.P mom kwa malezi yko 😂
@samsonymasanja7235
@samsonymasanja7235 5 лет назад
Uliiba ukweri dada yngu
@geofreyniyonkuru5724
@geofreyniyonkuru5724 5 лет назад
2019 jameni nipe tano Kweli huu ujumbe mpa mwisho wa dunia
Далее
Tugawane Ustaarabu
16:19
Просмотров 207 тыс.
Taarab: Nitadumu nae. ©
15:00
Просмотров 1,6 млн
Копия iPhone с WildBerries
01:00
Просмотров 368 тыс.
Taarab: Mwanamke hulka
13:54
Просмотров 1,2 млн
Utalijua Jiji Full Song
18:13
Просмотров 2,7 млн
Khadija Kopa Top In Town Official Video
20:39
Просмотров 2,5 млн
MACAN, A.V.G - Привыкаю
2:55
Просмотров 165 тыс.
OG Buda, 4n Way - МЭВЕРИКС
2:15
Просмотров 176 тыс.
Malohat
3:35
Просмотров 802 тыс.
JJAM
3:06
Просмотров 1,6 млн
Mirjalol Nematov - I love you (Videoklip)
3:56
Просмотров 2,9 млн
지민 (Jimin) 'Who' Official MV
3:28
Просмотров 14 млн