Israel mbona wao wakipigwa wanasema hakuna aliye kufa wao huwa wanajeruhiwa tu au wanamiili ya chuma sasa kama ni miili yao chuma si waende tu wakawakamate au ndo vyombo vya habari mnalishwa matango pori kulazimishwa kuongea uongo😊
Naon kila siku wanasem wamepig sehem zeny silaha za Hezbollah na baadae anashambuliwa na hao hao Hezbollah, jan tu kataka kuuliwa na drones kakosw nyahu, ss hizo silaha wanatoa wapi Hezbollah ikiw kila sik anasem anashambulia sehem zeny silaha huy zionist muongo san kazi yake kuuwa raia wasio na hatia sio wanajeshi
@@hemedjackson2261 kwani alikufa? Hapo hezibora na irani wanazubaishwa, pia ujue kwamba hata mtoto alipigana na wewe atarusha kakofi kwahiyo irani, hamasi hezibora wote ni Kama mbuzi ilazimishe kupigana na simba.
@@hemedjackson2261 irani ni kondoo anaye pambana na simba, Danieli 8:20 Yule kondoo mume uliyemwona, mwenye pembe mbili, hizo ndizo wafalme wa Umedi na Uajemi. Israeli ni simba. Mwanzo 49:9 Yuda (wayahudi) ni mwana-simba, Kutoka katika mawindo, mwanangu, umepanda; Aliinama akajilaza kama simba, Na kama simba mke; ni nani atakaye mwamsha? Usicheze na simba wewe, huyo kondoo atatafunwa mapema to, Subiri Utaona.