Тёмный

ITAKULIZA! ALIYEKUWA MFANYAKAZI BENKI APEWA KESI ya KUMBAKA HOUSE GIRL, APOKONYWA MALI ZOTE na MKEWE 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 66 тыс.
50% 1

ITAKULIZA! ALIYEKUWA MFANYAKAZI BENKI APEWA KESI ya KUMBAKA HOUSE GIRL, APOKONYWA MALI ZOTE na MKEWE...
Simulizi ya kusikitisha ya Mohamed Kipa mfanyakazi wa benki aliyesingiziwa kesi ya kumbaka mfanyakazi wake wa ndani mkewe kuchukua mali zote alizokuwa anamiliki...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 411   
@globaltv_online
@globaltv_online Год назад
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
@shebbymusic6224
@shebbymusic6224 Год назад
Habar
@ayshamahariq6665
@ayshamahariq6665 Год назад
@@shebbymusic6224 N nzur
@agnesssimon3976
@agnesssimon3976 Год назад
Mahakama zetu zinatuumiza Kila Leo jamani hizi haki zetu yutapewa na nani?
@agnesssimon3976
@agnesssimon3976 Год назад
Mungu lazima akulipie HAPA duniani
@OmarKhan-oz7om
@OmarKhan-oz7om 5 месяцев назад
À11q​@@ayshamahariq6665
@marthashenenga9076
@marthashenenga9076 Год назад
Mungu akusaidie baba angu uyo mwanamke aliyezaliwa na mwanamke muachie Mungu Sali moabidhi Mungu Kila kitu. Utakuja kumshuhudia na wale mashahidi wa uwongo wote utawashuudia amini ilo. Kwa Mungu haki zote zimeifadhiwa baba.
@awatifalghanim1106
@awatifalghanim1106 5 месяцев назад
Mungu atakulipia Dua ya Madhlum hujibiwa kwa haraka lakini kwa haraka urudi kwenye Dini yako kwa imani. Mnafanya mchezo kuoa na kubadilisha Dini. Fanyeni michezo yenu yote msicheze na Dini.
@deliriousgentleman7369
@deliriousgentleman7369 Год назад
Mshitakie kwa Mwenyezi Mungu. Ataku tetea
@salehrajab8341
@salehrajab8341 Год назад
Ifike wakati tuwe tunautambua uwepo wa mungu ktk maishayetu ili tusipate ujasir wakunyanyasa watu jmn hiidunia niajabu sana
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 5 месяцев назад
😭😭😭 Subhana Allah baba umeniliza sana mali ulochuma wewe leo zinakutesa pole sana kwa dhati ya moyo
@martinlema4192
@martinlema4192 5 месяцев назад
Pole sana! Nguvu za giza zipo, pole sana. Jitahidi ufanye maombi!
@allyfutto8763
@allyfutto8763 5 месяцев назад
Duh mateso Pole sana kaka Hongera kwa ustamhimirivu MashaAllah.
@sein.208
@sein.208 Год назад
Subhana Allah Astaghafirullah Pole sana baba Allah ni mjuzi zaidi haki yako haitapotea
@asiasalim9323
@asiasalim9323 Год назад
Subhana ALLAH, Pole Sana kakangu ALLAH atakulipia, ila mwanamke mwenzangu ubabe hauna nafasi katika hii dunia yataja kukutokea puan hayo
@shanifesto9037
@shanifesto9037 Год назад
Pole sana babangu,,mwenyezi mungu anajibu kwa wakati na malipo yake ni hapa hapa dunianj,,mungu atakusaidia ,,utapata haki yako,,dahh so sad kwa kweli
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 5 месяцев назад
Masikini mama Tz, nimeumia sana. Wanao tumeshafika hapo! Ziko wapi zile sifa zako za amani na utulivu, ambavyo ni asili, na jadi yako? Uko wapi moyo unaweza kuvumilia dhuluma, na ukatili kama huu, na bado tukabaki ndugu, kama ulivyotulea?
@GfgGgh-v5z
@GfgGgh-v5z 5 месяцев назад
😢 Subhana Allah pole sana baba Allah atakulipia kwa hili dhulma alokufanyia huyo mwanamke mpumbavu sana
@azizaaziza7996
@azizaaziza7996 Год назад
Mungu atamlipa hapa duniani
@zayumar2955
@zayumar2955 5 месяцев назад
Ila mapenz yakiisha jmniiiiiiiiii 💔😢😢 Pole sana Mzee ukwel wako anaujua Mwenye enz Mungu ila tu nikwambie dunian kupata haki ni ngumu mtegemee Mungu tu mali ni kitu cha kupita tu Bora uhai wako
@mngwalijuma597
@mngwalijuma597 5 месяцев назад
Rudi kwa mungu wako uliyoyafanya ndio.mungu anakulipa umeacha dini yko ya haki umesaliti kwa ajili ya mapenzi kwa tubu kws mungu wako akusamehe yote yatakua sw kwa uwezo wa allaah hukuwa na imani ya dini yako ya Uislam Pole san kakasngu
@princematumbo
@princematumbo 5 месяцев назад
Hata hastahili pole mshenzi huyu
@PaulinaSemindu-ob3de
@PaulinaSemindu-ob3de 3 месяца назад
Eti dini ya haki khaaa😂😂😂 hv kuna dini ya haki Zaid y Imani yako ww na Mungu wako
@omarymbaraj8072
@omarymbaraj8072 Месяц назад
Kumbe Dini
@bupemwakihaba-lj2fb
@bupemwakihaba-lj2fb 5 месяцев назад
Pole baba mungu yupo hivyo ni vitu vya duniani vyote tutaviacha,,mungu wako yupo
@MwalukoMakomelo
@MwalukoMakomelo 2 месяца назад
Pole Sana mzee mungu atakulipa uskate tamaa haki yako ipo itachelewa lakin utspata
@evalineemmanuel8178
@evalineemmanuel8178 5 месяцев назад
pole sana baba Mungu atamuhukumu hapa hapa duniani namachozi yako hayatapotea
@rayahamisi118
@rayahamisi118 Год назад
😢😢😢malipo duniani atalipwa tu uyo mwanamke kwa njia yoyote
@JoyceYohana-y7i
@JoyceYohana-y7i 3 месяца назад
Pole sana
@zuwaynamussa5629
@zuwaynamussa5629 5 месяцев назад
Sijawah kumuona baba angu sijawah feel ulebupondo wa baba ila hii stor ya huyu mzee imeniliza sana wallah
@tausishabani263
@tausishabani263 Год назад
Pole baba malipo Ni hapa hapa duniani kwa mungu Ni hesabu tu muombe mungu na umlilie atamlipa
@suleabdullah2247
@suleabdullah2247 Год назад
Kama hawajafa wote hao dhulmati watalipwa mmoja baada ya mmoja.Hizi ndizo mahakama zetu na watoa haki wanaotegemewa,pepo ya Mungu nahisi haitakua na hawa watu wanaoitwa watoa haki. Vuta subra Mzee Mungu halali utauona mwisho wewe amka kila usiku wa manane kilio hicho kibadilishe kuwa ibada mlilie Mungu atakujibu kwa namna bora
@bahatijanvier6357
@bahatijanvier6357 Год назад
Pole sana mzee, ukikosea kuoa ndio hivo Wanaume tujifunze.....
@faizaboubacar5064
@faizaboubacar5064 Год назад
Pole sana babu angu
@dennishyera5448
@dennishyera5448 5 месяцев назад
Hatari sana, Kumbe ni kweli watu husema, raia wa kawaida usioe polisi, utajuta. Baba ukiweza hama usiishi nae jirani anajambo huyo. Mungu awe nawe.Glory be to God.
@sawackoswald9322
@sawackoswald9322 Год назад
Hata juzi mwezi huu April tarehe 27 kunajamaa amefanyiwa ivi ivi na mwanamke Polisi wa pale Songea mjini nanipolisi pia sijui hizi Mali za hii Dunia zitawapeleka wapi Hawa watu WP wajitafakari sana Jamani jamani Mungu wa Mbinguni anawaona tafuteni ya Mungu hii dunia mtaaviacha vyote chini ya ulimwengu
@azizacherepa3979
@azizacherepa3979 Год назад
Imeniuzunisha sana jamani pole sana baba yangu Mungu akutie nguvu ww mama kua na huruma vitu vya kupita hivyo
@eastafricaqualitychickenfa9916
Mungu atalipa chozi la Mnyonge halipotei bure Ila mzee kosa kumkabizi mali Asimamie mwanamke
@mchelekwanza
@mchelekwanza Год назад
Pole sana baba
@fikirinimahamudu6488
@fikirinimahamudu6488 Год назад
Sheria Iko wap inakanyagwakanyagwa tu tutaishi wapi ss kama mahaka hazitoi haki?? Pole Sana Mzee wangu mm ushauri wangu kashtaki msikitini kwaidadi ya misikiti utayojaghaaliwa kutoa taarifa ifanyike Dua ya wengi hakika mwenyezi mungu ndie mjuzi 😢😢 naamini lolote laweza kutokea jema kwako wabillah twaufiq
@petercostakisoka
@petercostakisoka Год назад
Pole sana ulikosea kuoa mke mwenye tamaa mbaya sheria ifate aki
@maryamudunga1094
@maryamudunga1094 Год назад
Subhanallah wanaume muagaliaga wanawake wakuowa tatizo mnafagamia wanawake
@josephlorri431
@josephlorri431 Год назад
Mnafanana wote..wanaume tuko wakati mgumu..kuoa mwanamke wa kufaa mama watoto ni game of chance.. nafasi kubwa za utawala TZ mnazo, bado mnadai upendeleo.. Nampa pole huyu shujaa..ndiyo,ni ushujaa kutoka hadharani kueleza hayo
@leonardbrown181
@leonardbrown181 Год назад
Dah! Wanawake!!!
@maryamudunga1094
@maryamudunga1094 Год назад
@@josephlorri431 we usitujumuishe kwenye ujinga kwahiyo unataka kusema tz hakuna wanawake tulokuwa natabia nzuri
@Pedeshee01
@Pedeshee01 Год назад
@@maryamudunga1094 njoo nikuoe ila mpaka boksa zangu nitaandika majina ya ndugu zangu
@AmyeSanga-u4c
@AmyeSanga-u4c 5 месяцев назад
​@@Pedeshee01. Hufai kuoa kaa mwenyewe uoe alafu akili inaishi na nduhuzo kaa na ndugu zako inayosha
@aliferuzi1537
@aliferuzi1537 5 месяцев назад
Pole Sana bro ndio maisha ila muombe mungu Nina hakika hski HAIPOTEI RUDI ktk Imani ya dini ULIOKUWA MWANZO nnina hakika kazi itakua ngumu kwake
@bokaiddi2961
@bokaiddi2961 Год назад
Pole sana mze wangu changamoto za wanawake zimekuwa nyingi sana ila inauma sana da😭😭
@maryikambo6155
@maryikambo6155 Год назад
Pole kaka Mungu si kiziwi na wala hana upendeleo na haonei mtu. Ila anatwambia adui yako mwombee, maana kwa kufanya hivyo unampalia makaa ya moto kichwani.
@happinessmwenda2773
@happinessmwenda2773 Год назад
Uwiiii leo umenifundisha kitu kumbe kuoa hao watu ni hatari.😢😢😢😢eeeeh jamani yaani MUNGU ASIMAME MWANADAMU ASIPATE NGUVU.
@bashirbaruan3969
@bashirbaruan3969 Год назад
Huyu mwanamke ni zaidi ya ibilisi aise, Hana utu wala khofu ya mungu hata kidogo mungu amlipe anachostahili hapa hapa Dunia kwanza
@verryinyas5065
@verryinyas5065 Год назад
Mungu n mwaminifu pole sana baba Mungu yupo amesikia kilio chako serikal itakusaidia pia huku tulioguswa tunakuombea kila kitu kutakuwa Sawa Mungu n mwaminifu na Ndio maaan kila kesi hakupati anavyotaka yeye uwee dah uyo mama atapata alichokivuna Mungu yupo haki ya Mungu naapa utapata haki yako 🤲🙏
@yasintajohn1189
@yasintajohn1189 Год назад
Jaman Sisi wanawake tufike Mahal tubadilike jaman sad kwakwel .... huko uliko Mungu ana kuona
@sizalyimo8468
@sizalyimo8468 5 месяцев назад
Duu Pole sana kaka kipa nimefanya kazi na wewe delina na kiasi mapito yako nayafamu Pole kaka yangu nimelia sana
@sumayaishengoma4543
@sumayaishengoma4543 Год назад
Mungu ataingilia kati haki itapatikana inshallah
@ShekhahamedMuhsin
@ShekhahamedMuhsin 5 месяцев назад
Polee Sanaaa kaka mpakachozi limenitoka naomba serekali kuu imsaidiee huyu baba
@kassimally-zu3dz
@kassimally-zu3dz Год назад
Mungu atalimpa mzee wangu kua na aman pole sana
@imagepower3641
@imagepower3641 Год назад
Pole mzee mwenzetu, ulikuwa unaishi na jini mtu
@HellenKerubo-mo9vh
@HellenKerubo-mo9vh Год назад
Hoo I'm so so sorry but it seems that the man is old than the wife , but mey God be with you
@nassorowaziri3076
@nassorowaziri3076 Год назад
Pole Sana Kaka Mungu atakufuta machozi yako na pia tuko wengi wenye matatizo kama yako
@saleemadhiyabalkhatri7800
@saleemadhiyabalkhatri7800 Год назад
Kaka hakiyako iko tu haitapotea mungu atasimama nawewe daima dhulma haidumu itamtesa tu
@OmanOman-hr2nq
@OmanOman-hr2nq Год назад
p0resana baba
@OnesmoDenis
@OnesmoDenis 5 месяцев назад
Kumbuken dunia tunapita tu namali siyo zetu vyote ni maua ya mwenyezi mungu nass anatutumia tu kuvitafuta na kupendezesha dunia yake pea anaweza kuvichukua akiamua hivyo we mama uszan utajir unaolilia niwa muhimu kuliko ubinadam
@RukiaSalum-n4m
@RukiaSalum-n4m 5 месяцев назад
Hatusikii sauti iko juu sana ya mziki
@upendogreutert199
@upendogreutert199 Год назад
Na Sheria zetu TZ kwa upande wanaume huwa wanaonewaa jamani, tumwogope mungu
@isamony58
@isamony58 Год назад
kinawanawake wanarohooo mbaya sana kama wachawii tu
@saidakiwale9227
@saidakiwale9227 5 месяцев назад
Jamani Roho inauma sana
@elizabethismile6827
@elizabethismile6827 Год назад
Magu angkuepoo jmnii ungeskia naomba uyu baba asikilizwe 😢 uwiii kun watu wanakuag Yan kam vile hawan moyo kabsa uwiii maskinii jasho lako linakuangamiza🙌🙌
@fatuma5208
@fatuma5208 Год назад
Pole.sana.kaka
@victoriakiwanuka5428
@victoriakiwanuka5428 Год назад
Pole sana baba Mungu atamlaani
@mwanaidimwinyi844
@mwanaidimwinyi844 Год назад
Dah Mungu wa mbinguni akupe nguvu baba huyo mama hakukupenda alipenda Mali zako inauma kwakweli hakika ni bora ukosee kujenga nyumba kuliko mke au mume Allah atujalie tukutanae na watu watakaotupenda kwa dhati
@GerladSimon-me3sc
@GerladSimon-me3sc 5 месяцев назад
Duuuuuh kunabaadhi yawatu nikatili sana. Mshukuru mungu uko hai kaambali nahuyo mwanamke
@ramadhanideu6444
@ramadhanideu6444 Год назад
Hasbiyallahu waneemal wakeeel
@princesschii4090
@princesschii4090 Год назад
Dah inahuzunisha sana....
@namumlaki9838
@namumlaki9838 Год назад
Mwenyezi atakufanyia wepesi uyo mama akae akijua Dunia hii tunapita atapigwa na mungu mwenyewe siku isiyokuwa na jina
@djumakonki1964
@djumakonki1964 5 месяцев назад
Mzee ulikosea kosa kubwa sana la kubadilisha dini ! Hayo yote yanayo kukuta ni kwa sababu ya kubadili DINI. Fanya shime kurudi kwenye dini yako. Koran haikucha kitu kwa hao manaswara. Umeyataka mwenyewe kwa hiyo basi usimuombe msaada Raisi wala mtu yeyote. Muombe sana MwenyeziMungu peke yake . MwenyeziMungu akunusuru inshaallah.
@alfoncejohn2104
@alfoncejohn2104 5 месяцев назад
Mawazo yako tu
@evelynlehnard3928
@evelynlehnard3928 5 месяцев назад
Dini hizi mbili ni utumwa wa akili..ni wengi wamepitia mambo mazito zaidi na hakuwa wamehusika na dini yeyote..wengini wako kwa dini zao wamefata kikamilifu na bado wamekuwa au wako kwenye mapito mazito sana. Hebu waafrika tujinasue kutoka kwa utumwa. Utumwa ulianza na waarabu halafu wakafata wazungu na moaka leo hatujiulizi kwanini sisi tunafata dini za watu ambao walikuja watukuta kwetu tukiwa tunamjua Mungu. Pili hakuna bara lingine duniani ambayo inaafata dini ya kuletewa. TULILOGWA NA NANI SISI ??
@FlorenceMlemi
@FlorenceMlemi 5 месяцев назад
We kama huna unalo liwaza nibora upite tuu
@fredducaunt
@fredducaunt Месяц назад
Hauna akili Mtumwa wa tamaduni za waarabu Wanawaoneni watumwa manyani weusi mnawashangilia Ovyo
@aminaabdalla9949
@aminaabdalla9949 Год назад
Hayo machozi unayotoa yatalipa baba mueke mungu mbele 😭😭😭😭
@charlesmugisha6529
@charlesmugisha6529 4 месяца назад
Uyo mama mwenyezi mungu ampe maradhi ambayo yatamfanya ajute kwa upumbavu na tamaa alizo zifanya Kama hatakufa vile?
@gloriamsaki9109
@gloriamsaki9109 Год назад
Pole Sana.wanaume mkipata fedha fanyeni mambo yenu wenyewe.Wanawake wamezoea kutawaliwa na kumilikiwa.mwanamke anapenda kutumia vya mwanaume Ila akiwa na uwezo kuliko mwanaume lazima amnyanyase
@judicalosika7642
@judicalosika7642 Год назад
Eh!! Ni kweli kabisa dadangu
@aminakawawa5800
@aminakawawa5800 Год назад
Mwanamke ana roho mbaya dah 😢😢
@MagdalenaMalaki-qr6hy
@MagdalenaMalaki-qr6hy Год назад
Pole sana baba MUNGU atakuacha
@skjjsj1889
@skjjsj1889 Год назад
Pole bb hilo chixi unalolitoa mungu atakulipia
@zainabubalama8869
@zainabubalama8869 Год назад
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upate haki zako.huyo mkeo na Mamba mla Watu
@anosiata8242
@anosiata8242 Год назад
Jamani inauma pole sana kaka
@zuhuramussa3996
@zuhuramussa3996 Год назад
Pole sana kaka Mungu atakusaidia
@blandinamwarabu5025
@blandinamwarabu5025 5 месяцев назад
Pole kuoa afande
@johnsonbagambi1908
@johnsonbagambi1908 Год назад
Pole sana mzee
@SinaHafidhi
@SinaHafidhi 5 месяцев назад
Mrudie mungu wako Umemkosea ALLAH
@princematumbo
@princematumbo 5 месяцев назад
Anastahili kabisa yalomfika, mshenzi sana
@fredducaunt
@fredducaunt Месяц назад
Upuuzi huu Mungu hana dini Ni upwiru wa akili huu
@HarunaSadallah
@HarunaSadallah 4 месяца назад
Ndio myaone 😮mkiambiwa wananyanyasa wanaume mnawatetea imauma sana😮
@ireneassey2022
@ireneassey2022 Год назад
Pole baba Haki yako utaipata tu
@makambamohamed3632
@makambamohamed3632 Год назад
Pole brother hawa askari depo huwa wanaenda kufundishwa manyanyaso Kwa raia
@amiribakari2528
@amiribakari2528 Год назад
Kaka endelea kuomba mungu..iko siku utayasahau hayo.maana mungu wa sasa iv ni kijana..pole sana ndio maana wengine wanauwa
@MODESTCHAMI
@MODESTCHAMI 5 месяцев назад
Pole sana ndg angu hao ndio wanawake tuishi nao kwa akili
@joanesasalavaleriano9980
@joanesasalavaleriano9980 Год назад
Dah pole sana baba yangu , hila wewe ungekua Kama babayangu tungeenda kumkata shingo kwa mganga tu NDIO sul🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇲🇿🇲🇿
@alexnyigo8864
@alexnyigo8864 Год назад
Pole mzeewangu mwaminimungu
@skjjsj1889
@skjjsj1889 Год назад
Hapa duniani tunapita Mwachie mungu huyo mwanamke yatamkuta dhuruma mbaya mwanamke kaudhu mkavu kweli kweli
@zayumar2955
@zayumar2955 5 месяцев назад
Yaniii utadhan hajazaa nae😢😢
@AgripinaJosephMushi-hw2xw
@AgripinaJosephMushi-hw2xw 5 месяцев назад
Mungu hulipa kwa haki kama usemayo ni kweli machozi yako hayataenda bure
@shimbaalex8837
@shimbaalex8837 Год назад
Mzee una uvumilivu sana sana ni wanaume wachache sana wanaoweza kuvumilia hayo.Huyo mama hata kazini kwake ana matatizo
@agnessamma4669
@agnessamma4669 Год назад
Pole Sana Baba Mungu atakusimamia hayayote yatapita usiogope Mungu atkua upande wako Sheria duniani haki kwa Mungu
@MwalukoMakomelo
@MwalukoMakomelo 2 месяца назад
Simlizi ya huyu mzee wanaume wengi wanalizwa Sana wamama muwe na huluma na watoto wawanwake wezenu
@Moshiarusha360
@Moshiarusha360 5 месяцев назад
Wapo wanawake wengi wananyanyasa wanaume ,wanaume wamedhuliwa wamenyangajywa watoto na hawana pakukimbilia
@fatuma5208
@fatuma5208 Год назад
Mungu.atakulipa.tu
@jonaspatrick2871
@jonaspatrick2871 Год назад
Nimepitia mengi sana na hawa wanawake ndio maana sitaki hata kusikia kitu kinachoitwa ndoa, Mungu anisamehe na namshukuru kwa kunipatia watoto hiyo tosha kabisa kwangu. Kwa kizazi hiki ndoa ni ngumu sana.
@stephenmaundu-ck2jk
@stephenmaundu-ck2jk Год назад
Hana roho mbaya tu
@AndrewShola-ts5lp
@AndrewShola-ts5lp Год назад
Kaka Kama umeniona vile,, yaan staki kuskia Wala kuambiwa,,,
@ThomasErro-ec3ov
@ThomasErro-ec3ov Год назад
Pole sana baba, wanaume ndo tunapitia magumu
@jumapiliissa4835
@jumapiliissa4835 Год назад
Polesana mzee MUNGU yupo atakusaidia utavuka huumtihani hukujua kama ulimuowa shetani M/MUNGU atamuonesha kwa ubaya aliokufanyia
@mwaserarashid5451
@mwaserarashid5451 Год назад
Binadamu hawana wema na hawajui hii dunia tunapita unamdhulumu mwenzio ujue Allah anakuangalia usijione wewe wajua sana malipo niapa apa Duniani ahera ni esabu
@janetchinga695
@janetchinga695 Год назад
Usilie kaka mungu atakusaidia uyo nishetani mukumbwa sio muntu na atataja kilakitu alichokifanya pole sana
@stewartdyamvunye-wz6rn
@stewartdyamvunye-wz6rn Год назад
Sasa ktka maelezo y huyu ndgu yangu, awali waliponunua shamba hakumshirikisha m/kiti wa kijiji? Na kwa hali hiyo hakupewa hati ya kijiji ya kumiliki shamba hilo? Hati hiyo ingemsaidia sana kama ipo. Kama nayo hana, kwa mwendo wa dhuluma ya dunia ya sasa,asitegemee huruma ila maumivu zaidi! Pole sana.
@humphreymkony8915
@humphreymkony8915 Год назад
Hili ni fundisho kwa vijana wa kiume ambao hamjaoa: ogopeni kuoa Wanawake ma Polisi. Hawa wanafaa waolewe na ma Polisi wanaume.
@d15355
@d15355 Год назад
kwanza ukitaaka stress oa hao askari kwani si mkeo peke yake hadi mabosi zake watakulia maana kule ni amri tu hawakataagi
@yohanakananika3586
@yohanakananika3586 5 месяцев назад
​@@d15355hamnakitu kama hicho hakuna amri kwenye mambo hayo
@ritapiusnicolaus7068
@ritapiusnicolaus7068 Год назад
Pole sana mzee wangu inshallah Mungu atakufanyia wepesi utapata haki yako
@d15355
@d15355 Год назад
Allah hamfanyii wepesi wowote hapo ndio anauonesha yeye ni nani, yeye si alimkana sasa ndio anamwonesha kwa kuutoa ulinzi wake kwake na kumwacha aone uhalisia wake kuwa huko alikokimbilia ni kwenye zizi la simba na kilichokuwa kinamlinda siku zote ni ile dini yake ndio maana alipobadili tu dini na kumwoa shida ikaanzia hapo sababu ulinzi haupo teena yuko exposed to danger.
@zainabamri2421
@zainabamri2421 Год назад
Pole sana Kaka yangu. Allah atakulipia. Jasho la mtu haliendi bure. Najihusia na nakuhusia Dada Rehema uwe muungwana umezaa watoto ya huyo mumeo umembadilisha dini malipo yatakurudua kwa watoto wako. Msalie Mtume SAW. Muongope Mola wako. Mwachie nyumba na shamba. Mumeo asalimike ktk dunia. Laa mitihani mukubwa huu.
@anastaziamathias8861
@anastaziamathias8861 5 месяцев назад
​@@d15355Mungu ni mmoja huyo Allah ndiye Mungu dini NI njia Tu ya kumjua Mungu Acha wazimu Mungu atamsaidia Mali c kitu hapa duniani Mungu atampa vingine vingi zaidi ya alivyopoteza
@brendangabriel1643
@brendangabriel1643 Год назад
Bw. Kipa, kama nyumba za Dodoma na Morogoro zipo upande wako, basi muachie cho chote anachogombea. Ishi kwa kutegemea hizo nyumba 2. Mali ni ya dunia hii, haitamsaidia, ina machozi ya kweli. Muombe Mungu akupe uzima tu na uhame msionane na hilo jambazi. Muachie hiyo mali, wala haitafika saa 12, utakuwa umepata matokeo. Narudia tena muachie hiyo HAKI yako aimeze iwe ndoano kooni.
@RichardNgowi-wj2ct
@RichardNgowi-wj2ct 4 месяца назад
Global kwenye saut mnazingua
@dominickjohn1128
@dominickjohn1128 Год назад
Kama ni kumuua ungeshamuua siku nyingi sana lakn Mungu ana makusudi umefanya la maana kujitenga naye!!wanaume tunapitia mengi sana lkn hakuna wakisikiliza wanawake wamepewa nafasi ya kusikilizwa kuliko kitu chochote
@Kidia-yt3bm
@Kidia-yt3bm 5 месяцев назад
Waziri wa Ardhi Mheshimiwa Slaa msaidie huyu mzee apate haki yake
@shimbaalex8837
@shimbaalex8837 Год назад
Dah baba mstaarabu sana
@sadakombo-li7yi
@sadakombo-li7yi 5 месяцев назад
Mama samia suluhu hasan nakuita ×3 tunakuomba kwa heshima yako na kwa upendo wa mungu umsaidie huyu baba kuweza kufanikiwa haki yake ipatikane ni mimi mkizimkazi mwezio by sada mohd
@zuleyvendor6577
@zuleyvendor6577 Год назад
Aisee ndio mana unaambiwa fear woman
Далее
РЫБКА С ПИВОМ
00:39
Просмотров 295 тыс.