Тёмный

INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA.. 

Global TV  Online
Подписаться 4,9 млн
Просмотров 106 тыс.
50% 1

INATISHA! AVAMIWA na MAJAMBAZI na KUPIGWA RISASI AKITOKA KWENYE BIASHARA ZAKE -ASIMULIA TUKIO ZIMA...
Mfanyabiashara wa huduma za Kifedha kutoka wilayani Kasulu mkoa wa Kigoma, ameelezea jinsi alivyovamiwa na majambazi na kupigwa Risasi maeneo ya kiunoni wakati akitoka katika biashara yake majira ya usiku.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750 910), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Опубликовано:

 

20 мар 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 218   
@globaltv_online
@globaltv_online 2 месяца назад
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
@neemasamwel9545
@neemasamwel9545 2 года назад
Ndo maana huwa nasema watu wasikariri Sana maisha yako unaishije jitahidi watu wasijue ratiba zako kama nibiashara funga muda usio tabirika njia yakupita isiwe Moja
@elizabethsanga9184
@elizabethsanga9184 2 года назад
Kabisa
@abdallahmaulid6005
@abdallahmaulid6005 2 года назад
Acha kujiongopea muonbe mungutu akuepushe
@nicklasndabiyeho6650
@nicklasndabiyeho6650 2 года назад
Pole sana kastory , classmate muyama sekondari 2008-2011 , buhigwe kigoma Tanzania,
@marrymenas
@marrymenas 2 года назад
Nimecheka jinsi anavojieleza maskin pole broh! Eti anasema anasikia paa! Anajiuliza eeh nn hiyo inawaka kwenye mwili wang 😆😆 Malaika mlinzi alikuwa na ww siku hiyo Bwana Mungu ashukuriwe 🙏
@fraviansweetberty8819
@fraviansweetberty8819 2 года назад
😄😄😄😄😄😄😄😄😄👊👊👊👊
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 2 года назад
🤣🤣🤣😁😁😁😁😁😁😁😁🤲🤲🤲😥😥
@elizabethsanga9184
@elizabethsanga9184 2 года назад
😀😀😀
@praisesteven7774
@praisesteven7774 2 года назад
yaan kumb risas unawaka kma motooo🤣🤣🤣🤣
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 года назад
Halafu ana sema anamshukuru mke wake Kwa kimvumilia,kumogesha ,ni Sawa lazima ayafanye yote hayo Kwa sababu vi miamia.vipo ,,alisahau yakuwa Zama hizi hapendwi mtu ,,ilA kinapendwa kile ulicho kiandaa
@abbasbakary3491
@abbasbakary3491 2 года назад
Kama picha pole sana na hongera huyu mama wa nguvu
@FatnaAlly-go7yt
@FatnaAlly-go7yt 2 месяца назад
Allahu akbaru ooh allah tuondoleee hawa madhwalimu
@marysinkolongo7347
@marysinkolongo7347 2 года назад
YESU wa huyo mama aliyekua anasoma Biblia amekuokoa Asante YESU.
@MariaMaria-gj9or
@MariaMaria-gj9or 3 месяца назад
😢😢😢😢
@iamjeanne8744
@iamjeanne8744 12 дней назад
Exactly my thoughts, siku zote Mungu anamponya mtu kwenye unexpected miracle 👏🏾
@iamjeanne8744
@iamjeanne8744 12 дней назад
Exactly my thoughts, siku zote Mungu anamponya mtu kwenye unexpected miracle 👏🏾
@Chrisblaze-beats
@Chrisblaze-beats 2 года назад
Huyu walipanga kumua ndio maana walikua ata hawaangaiki, yani mmoja ameingia kuchukua ela wenzake wanamsubiri nje🤭 Mungua alikulinda bro Hongera sana kwa hilo. Pole pia na matatizo boss💙💙
@heritier5119
@heritier5119 2 года назад
Ukiona dalili za kufuatilia wapoteze maboya usielekee nyumbani, ukibeba pesa inatakiwa uwe na machale sana
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Pole sana mungu akutaka ufe.Mungu ni mwema.
@jamesbilafumba6902
@jamesbilafumba6902 2 года назад
Ooh Mungu wangu, pole sana Mwanafunzi wangu Mpoki
@peteryukunda9239
@peteryukunda9239 2 года назад
Pole sn Bro! Mungu atayaweka adharani yachomwe moto.
@skjjsj1889
@skjjsj1889 2 года назад
Pole sana kk
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 года назад
Pole sana Kaka yangu. Mwenyezi Mungu akujaaliye upone Insha Allah.
@AishaAisha-rh1fc
@AishaAisha-rh1fc 2 года назад
Hawa watu wa 2 wana kujua uyu 1 wame mkodi
@mwajabually2407
@mwajabually2407 2 года назад
kweli
@juliethhouseofdesigns147
@juliethhouseofdesigns147 2 года назад
Pole sana
@rukiauwonde7062
@rukiauwonde7062 2 года назад
Dah pole sana
@belinamartini1768
@belinamartini1768 2 года назад
Pole sana kaka na hongera sana kwa kupona Mungu yuko na ww
@tithombeya5779
@tithombeya5779 Год назад
Mungu mwema
@estherwilliam3758
@estherwilliam3758 2 года назад
Pole sana kaka Na pole na mafua
@learningswahilistreet7682
@learningswahilistreet7682 2 года назад
Pole Sana my classmate
@queenmilan2024
@queenmilan2024 2 года назад
SHIKAMOO TANZANIA YANI BONGO MOVIE NI NYINGI.MIMI HAPA ITALY NIKIPATA STRESS NAKUJA YOU TUBE KUANGALIA VITUKO VYA WATANZANIA
@revockatuskihecka7553
@revockatuskihecka7553 2 года назад
Hahaaa umeona ee
@elizabethsanga9184
@elizabethsanga9184 2 года назад
Jaman pole sana kaka
@rozina2161
@rozina2161 2 года назад
Daah jamani pole sana kaka
@happykimodoi1528
@happykimodoi1528 2 года назад
Pole Sana Yan kaz hiz ngum
@gilliardgodfriend5745
@gilliardgodfriend5745 19 дней назад
😢😢😢😂😂😂😂😂 yaani inaumiza ila jamaa anavoelezea ni comedy tupu pole sana ndugu😢😢😂😂😂 😀😀😀😊
@AminaLibisa
@AminaLibisa 3 месяца назад
Sasa una mafua daah mbona ivyo mimi nakula banah stori mzuri ila mmmh 😂😂
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg 2 месяца назад
😂😂😂😂😂pole my
@AminaLibisa
@AminaLibisa 2 месяца назад
😀😀😀 Asante mpendwa
@tracejeezy8917
@tracejeezy8917 2 года назад
Huyu jamaa vipi mbona Risasi hazitokii daahh 🤣 ila pole bro.
@ziadaskitchen5060
@ziadaskitchen5060 2 года назад
Mungu atulinde
@YonaMbwilo
@YonaMbwilo 2 месяца назад
pole sana kaka
@angelclement9149
@angelclement9149 2 года назад
Pole Sana
@hanifaamani3363
@hanifaamani3363 2 года назад
Lkn bando.. umetumalizia(pole na hongera kwa ujasiri)
@maigajohn5828
@maigajohn5828 2 года назад
Pole sana ndugu yangu
@MonayLai
@MonayLai 2 месяца назад
Pole sana ndugu
@husnaseph9476
@husnaseph9476 2 года назад
Nimependa kumusifia mke wake
@verdianabanabi2205
@verdianabanabi2205 2 года назад
Pole jamani mungu yu pamoja nawe.
@modestersalmon7764
@modestersalmon7764 2 года назад
Mh pole jaman
@user-jz8sj5us1h
@user-jz8sj5us1h 2 года назад
Pole sana kaka
@eddimwamba4208
@eddimwamba4208 2 года назад
Pole sana mungu ni mwema😭🙏
@user-rw6jc7zp9k
@user-rw6jc7zp9k 9 месяцев назад
Poleni sana
@heritier5119
@heritier5119 2 года назад
Ashukuru alikutana na jambazi wanafunzi
@judithmakuto3612
@judithmakuto3612 2 года назад
Pole babaangu
@MonaJuma-cp3jg
@MonaJuma-cp3jg 2 месяца назад
Mungu nimwema
@cecygeorge4443
@cecygeorge4443 2 года назад
Huyo dada alokuwa anasoma biblia na tochi ndie alomlilia Mungu yote yakapita na leo upo salama toa sadaka umshukuru Mungu🙏🙏
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 года назад
Wakati yeye mwenyewe bibilia alitupa akaanza kunya..chezea pisto
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 года назад
Ilitupwa huko bibilia unacheza na kifo
@carrenbenson2111
@carrenbenson2111 2 года назад
Pole Sana kaka dunia inatisha sana saiv
@bwanautamu2081
@bwanautamu2081 2 года назад
Hizo hirizi ni hawa hawa waganga ambao mnawatangaza insta na mitandao mingine tuwe makini jamani na waganga
@user-df6ui9ro8s
@user-df6ui9ro8s 2 месяца назад
Yote kwa yote kak. Hongera san san kuwez kupamban nao
@aminaomary5567
@aminaomary5567 2 года назад
Hao ni ndugu,na rafiki zako,jaribu kuludi mapema home.
@awadhrajabu1403
@awadhrajabu1403 2 года назад
Kumbe Ulikua Jeuli Toa Hela Unaleta Mabishano Wakati Wezio. Wako Na Moto
@tantineebengo8799
@tantineebengo8799 2 года назад
Pole
@zainaseleman3043
@zainaseleman3043 9 месяцев назад
Jaman Yesu yupo tumeona kaz zake
@maryammdoe5801
@maryammdoe5801 2 года назад
Pole sana ndugu japo kua nakusikia kwashisa sana yani unavyo ongea nakupata kwa tabu pole sana
@jacobsifukwe7291
@jacobsifukwe7291 2 года назад
🤣🤣🤣
@israeleliah7163
@israeleliah7163 2 года назад
😱😱😱
@asiakheir8684
@asiakheir8684 2 года назад
Wakati wameshikana na huyo mama wewe uko wapi, mbona husaidii
@user-yp5mm2pg5s
@user-yp5mm2pg5s 2 года назад
Yupo ila hawez kumbuka amejeruhiwa
@asiasalum6735
@asiasalum6735 2 года назад
Duu kaka pole sana
@user-nh7rn4os2o
@user-nh7rn4os2o 4 часа назад
Funga. Kazi. Mapema
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 2 месяца назад
Pole sn
@alaudindarji7147
@alaudindarji7147 2 года назад
ماشاءاللہ یاحاہم=جرورآئےگے
@kainimlowe7555
@kainimlowe7555 2 года назад
mimi ni wakala pia ila siku hata tapeli tu siku ajichanganye kwangu amekwisha
@adamfundikira742
@adamfundikira742 2 года назад
Yaani ukimpata mke wa kiha uwa ni wavumilivu sana
@doreenkaiza9930
@doreenkaiza9930 2 года назад
Nakubaliana na wewe asilimia 98
@agnesn9947
@agnesn9947 2 года назад
Hongera dd Mungu akuone mwanangu
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 года назад
Mimi kaka yangu ameoa muha aisee anaenjoy ile mbaya.Wavumilivu sana.Wapo wacheche walio kwisha kuwa chotara hawana uvumilivu.
@demicratia4071
@demicratia4071 2 года назад
Hii story haijakaa vizuri
@mwajabually2407
@mwajabually2407 2 года назад
ata mimi sijaelewa
@ednajeremiah928
@ednajeremiah928 2 года назад
Ila mwanamke alivyofuguwa geti agefuguwa kabsa ila mume aingie na pikipiki haya yote yasingemkuta sasa unafunguwa geti unarudi ndani maisha ngani hayo watu wengi sana wanafia nje ya geti kusubiri kufunguliwa geti watu tujifunze
@salustiashayo3486
@salustiashayo3486 2 года назад
Ni kweli usiku mnaingia ndani eti mnamuacha mtu ndani
@florahthamson133
@florahthamson133 2 года назад
inamaana hata huwaga hampokei mme wake huyoo😂
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 2 года назад
Ndo maana mimi naporudi nyumbani huwa nawaambia nakaribibia kufika,kaa getini ukiona taa za gari au pikipiki nitawasha nakuzima fungua geti mi sisimamagi getini akisha fungua nikipita tu nageti linafungwa haraka kama vile mimi ndo jambazi.
@sashahauke2032
@sashahauke2032 2 года назад
Jamani msikosoe mtu kwa maneno makali hivyo tuko tofauti eti alaa hata hivyo wewe ni jasiri sana sana sana
@user-vb3sy6oe2y
@user-vb3sy6oe2y 3 месяца назад
Maandaliziyote yakukuokowa YalifanywanaBABA MUNGUMWENYEWEhakukiwanaujanjawowoteule Kwahiyo BWANA ASIFIWE
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 2 месяца назад
Yaani muda wote huo haujapoga kelele tuuu watu wakaja jamaniiii.
@greenwellnsyukwe4729
@greenwellnsyukwe4729 2 месяца назад
Ina maana huo mtaaa hauna watu, mbona ilichukua muda mrefu sana.
@samiraabdimahamed4449
@samiraabdimahamed4449 3 месяца назад
😢😢😢😢 pole sana kaka yangu
@zawadimwakipale4222
@zawadimwakipale4222 2 года назад
Poreni sana ira mkeo nijasiri sana ira ameniuzi kitu kimoja angefunguwa geti vizuri wara uasinge kukuta tote ayo ira binadam jamani niatari
@maxcharles5436
@maxcharles5436 2 года назад
Ksl kuna baraaaa
@atupilikembuba9093
@atupilikembuba9093 Год назад
Pore sana namshangaa binadamu. Hawana huruma
@fredymbilinyi6323
@fredymbilinyi6323 2 года назад
Aliponea nyu mba ya walokole na jambazi kukamatwa hapo yesu anaweza,njoon kwayesu,
@salimuibrahimu3950
@salimuibrahimu3950 2 года назад
Kweli kabisa
@josephjohnmagesa8256
@josephjohnmagesa8256 2 года назад
Amini
@farajagordon4724
@farajagordon4724 2 года назад
Amina
@salimmalaka256
@salimmalaka256 2 года назад
KWANI YESU ANAKAA MTAA GANI NA MIMI NIJE.
@fatumamuya283
@fatumamuya283 2 года назад
@@salimmalaka256 yani wewe 😂😂🤣🤣
@khadijakdj8640
@khadijakdj8640 2 года назад
Kwakweli ulikuwa na uwoga kweli mtu mmoja wenzake wamekaa nigemfinyanga bala na unavyosema lisasi alitoki🤣🤣
@zakhianzuki9348
@zakhianzuki9348 2 года назад
Jamani mie atasielewi yani muda wote huo wanazunguka na jambazi kwanini wasipige kelele mapema.
@Juls7ur
@Juls7ur 2 года назад
the story is unbelievable. uongo tupu. fiction fiction fiction. kwani hiyo place hakuna police.
@tattoobobby3103
@tattoobobby3103 2 года назад
Babu Kigoma saiv kama south Chicago babu ni robbery na shaba tu
@ummutaswaufi3980
@ummutaswaufi3980 2 года назад
Maelezo ya mwanamke yamenyooka Ila pole sana
@missmoona4497
@missmoona4497 2 года назад
Pole kwa majanga, lkn unaongea vibaya kweli hususan waha wanaongea kaa cherehan maneno wanayabebesha🙌🙌🙌😬😬😬😬kusikiliza had uvivu+ mafua🙌🙌🙌
@ameenaameena1224
@ameenaameena1224 2 года назад
Jamani wewe kama Mimi huku mwisho nilichobatika tu ni milioni Tena na nimepata mke ananijali
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 года назад
@@ameenaameena1224 😆 🤣 😂
@yusuphhugugu9759
@yusuphhugugu9759 2 года назад
Afadhari yenu ninyi wenye kujuwa kiswahili fasaha. ......wanaharamu ninyi mnaoshindwa kujuwa utofaut wa lafudhi na kujiona wakamilifu kumbe madangaji t.....
@elizabethbusigara4568
@elizabethbusigara4568 2 года назад
😂😂alafu anavuta na mafua ,,
@jacquelineadrian6436
@jacquelineadrian6436 2 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣hapo kwenye mafua
@sophiamirambo9656
@sophiamirambo9656 2 года назад
Ndio mjifunze kujiweka sawa biashara na ulinzi majirani wanatokaga tangia lini??
@heritier5119
@heritier5119 2 года назад
Hii bongo movie aisee
@mwanaishamande8880
@mwanaishamande8880 2 года назад
Dada mama jasiri ile mbaya
@sixberttindwa9622
@sixberttindwa9622 2 месяца назад
Wana wake kamahoao nimojamoja sana
@smarttv3272
@smarttv3272 2 года назад
Huyu jamaa ni hatari mara anavuta makohozi kwenye interview 🤣🤣🤣😂
@janeschurmanns7364
@janeschurmanns7364 2 года назад
🤣🤣🤣🤣aise hadi kichefuchefu mke wake anamoyo du
@mweusiasili8345
@mweusiasili8345 2 года назад
🤣🤣🤣
@noxlosingida2369
@noxlosingida2369 2 года назад
@@janeschurmanns7364 😆 🤣 kwani ana mafua kila siku jamani
@rahmaabdulla4949
@rahmaabdulla4949 2 года назад
Jamani kwani hamuoni kama anamafua yana msumbua. Nakila mmoja anajua mafua yanavo sumbua vumilieni tu tena jamani
@jackmacha6057
@jackmacha6057 2 года назад
@@janeschurmanns7364 kichef chef KWA ww hujawai kuwa na mafua au ushamba
@florahthamson133
@florahthamson133 2 года назад
yesu ni mzuri ❤❤❤❤❤❤
@kabhikachambala3392
@kabhikachambala3392 2 года назад
Duu . Jamaa ana Roho ngumu
@tithombeya5779
@tithombeya5779 Год назад
Jaman majambazi ivi hamna huruma eti
@jacquelinembowe3214
@jacquelinembowe3214 2 года назад
Waha wabishiiiiiii Sasa si ungetoa begi
@himnasalum2424
@himnasalum2424 2 года назад
Pole sana kaka unavovuta hayo mafua yn namm nameza
@mwajumaissa2358
@mwajumaissa2358 2 года назад
🤣🤣🤣Jamani ww
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 года назад
@@mwajumaissa2358 😄
@rosetreffert4179
@rosetreffert4179 2 года назад
🤣🤣🤣 acha tu nicheke, japo Story yakusikitisha,wangempa muda angalau wa kupenga kamasi
@fatmasinde8596
@fatmasinde8596 2 года назад
😂😂😂😂😂
@khadijeegundumu4651
@khadijeegundumu4651 2 года назад
😂🤣🤣🤣🤣🤣
@heritier5119
@heritier5119 2 года назад
Alishindwa kuona dalili mapema tangu anafatilia ajastukia
@listerlujiso6009
@listerlujiso6009 2 года назад
Nawe jmn usiku unaona watu huwaelewi kwanini unasimama kwa nje kuwachunguza?
@mishigwan6598
@mishigwan6598 2 года назад
🤣🤣🤣
@rosemarygaudence5075
@rosemarygaudence5075 2 года назад
Angeingiza ata begi ndani kwanza
@elispiuselias1339
@elispiuselias1339 2 года назад
kula kwa Hila hutoboi, sasa ndyo Kisha iacha familia yake
@monikakimath3810
@monikakimath3810 2 года назад
Huuu ujinga umerudi;r.I.p magu
@martinmaryogo3676
@martinmaryogo3676 2 года назад
nmeguduna kuna haja kubwa ya kumpata mwanamke walau mwenye ujasili, maan hapo wengne akisikia tu lisasi anajifungia na kujikojolea ndan mwoga kama nini,
@maryamalli9090
@maryamalli9090 2 года назад
Hayajakukuta ndugu sikulaumu
@saumusalimuhassan2499
@saumusalimuhassan2499 2 года назад
Pole sana brother 😔
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 года назад
Waha Kwa kuongea mko Sawa,ndio maana hata ubishi mnauweza,
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 2 года назад
Kwenda huko muone 🤣🤣
@salumjumaruhaga2513
@salumjumaruhaga2513 2 года назад
@@shakilamasoud2983 umeonaee habari ndio hiyo
@rehemanyoni9494
@rehemanyoni9494 2 года назад
Ulikuwa na shilingi ngapi we we mpaka unauz roho
@tatalyzer382
@tatalyzer382 2 года назад
Broh..nitafute nami unipeleke kwa aliyekupa Kinga ya Mali zako..wewe huibiwi nimegundua
@emmysfitnessandforex9403
@emmysfitnessandforex9403 2 года назад
M pesa funga saa 12 acha tamaa
@zaidyabdalah3691
@zaidyabdalah3691 Год назад
Hao hawakuwa majambazi sawasawa ni wadokozi tu.
@elvisoscar9912
@elvisoscar9912 2 года назад
Pole Sana bro ila Waha waga ni wachafu kinoma Yani
@msaysha5886
@msaysha5886 2 года назад
🤣🤣Kumbe hata wewe umeliona anavyo vuta makamasi 🤣🤣
@mwajabually2407
@mwajabually2407 2 года назад
😆😆😆😆😆
@mugema9813
@mugema9813 2 года назад
Haya mambo yakianza tena yanaipaka matope serikali.
@safiyasafiya5014
@safiyasafiya5014 2 года назад
Pole lakini usivute uchafu ukameza huuuf
@mwajabually2407
@mwajabually2407 2 года назад
😆😆😆😆😆😆😆
@sarahkinyashi6213
@sarahkinyashi6213 2 месяца назад
Mpaka umepata mafua?
Далее
Double Stacked Pizza @Lionfield @ChefRush
00:33
Просмотров 43 млн
شربت كل الماء؟ 🤣
00:31
Просмотров 8 млн
CHURCHILL SHOW S1E2 2024
22:20
Просмотров 51 тыс.