Тёмный

ITAKUTOA MACHOZI: MFANYA KAZI WA NDANI AMNYONGA MTOTO WA MIEZI 6/UCHAWI 

SYLI CLASSIC TV
Подписаться 232 тыс.
Просмотров 3 млн
50% 1

Опубликовано:

 

28 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 1,3 тыс.   
@golethmalipa7545
@golethmalipa7545 4 года назад
Inasikitisha jaman pole sana mama mzazi wa marehem mwenyezi mungu akutangulie na akuongezee nguvu katika kipindii hiki kigumu jaman
@fuloriangalasian8697
@fuloriangalasian8697 4 года назад
Cristina shusho
@semenimtagali4260
@semenimtagali4260 3 года назад
Duh
@semenimtagali4260
@semenimtagali4260 3 года назад
Jaman mtoto anavouma
@jamali5260
@jamali5260 Год назад
Pumzika kwa amani mwanangu
@armphib9332
@armphib9332 2 года назад
#@Omwami Wafula.Mwenyezi Mungu tupe sisi wanadamu roho za utu!!
@hamidamnyika5287
@hamidamnyika5287 4 года назад
Kwakweli mungu ndiye anajua Ila Kama wamemsingizia hukumu ni hapa hapa...
@eshynassor5666
@eshynassor5666 4 года назад
Mwenyezi Mungu ndie Mlinzi wa watoto na Wajukuu zetu
@divine6145
@divine6145 4 года назад
Watu wanavomsema huyu mama muongo unadhani walikuwepo ..... Mungu atulindie wanetu Pole Sana mama Abby na familia
@eunicenjeri6179
@eunicenjeri6179 4 года назад
Kk kill
@maelaalisa2102
@maelaalisa2102 4 года назад
🇧🇮 kwakweri huyu Maman mwongo 🙆wafanya kazi sisi munadusemea uwongo sana Mungu anawaona bandungu muaje wongo
@aishamkumba9857
@aishamkumba9857 4 года назад
Wee mama acha kusema uongo kiasi hicho ujue mungu anakuona yaani unamuhoji mtt kupita kiasi hicho wewe huna roho mtakatifu bali unaroho mtaka bifu tuu
@danimaiko6715
@danimaiko6715 4 года назад
@@aishamkumba9857 hahahahahahah uyu kweli loho mtaka bifu duuuh
@mwajabumussa4860
@mwajabumussa4860 4 года назад
Jamani poleni sana mungu atulindie wanetu khaa
@Yusufuabdulrahmani-bt8hh
@Yusufuabdulrahmani-bt8hh 10 месяцев назад
Sisi ni miliki ya mungu kwake tutarudi huyu mama akamatwe maelezo yake hayaeleweki,mungu awajaze subra wafiwa,mama anafitinisha,
@yshamwilima3301
@yshamwilima3301 4 года назад
Innalilah wainailah rajuun,bibi mtu sijakuelewa sioni uchungu ndani yako ,pole sana mama wa mtoto mshukuru mungu kwa kila jambo
@faithpanga3591
@faithpanga3591 4 года назад
Msipende kujudge, uchungu wa mtu siyo usoni ni moyoni.
@yehovaniceeliamringi3714
@yehovaniceeliamringi3714 3 года назад
Pole wanawake wafanyakazi . Mungu atusaidie luwalinda watoto wetu
@rehemakabali9327
@rehemakabali9327 4 года назад
kah!!! machozi yananitoka hapa yaan nimechoka had akili, poleni sana wafiwa,mungu awatie nguvu make peke yenu hamuwez, apumzke kwa amani mtoto jaman,
@phelistusmbna877
@phelistusmbna877 2 года назад
Poleni sana
@alqershrent2439
@alqershrent2439 2 года назад
😭😭😭😭😭😭@@phelistusmbna877 from Uganda
@vedastinakamgisha1545
@vedastinakamgisha1545 2 года назад
Pole sana mungu amlaze mtoto wamalaika maala pema peponi amina
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 4 года назад
Mungu ampumzishe kwa A man mtoto mzuri
@joannembaja6053
@joannembaja6053 4 года назад
Mungu ndiye ajuaye ukweli..tumuombee huyo dada asaidiwe.Mungu atamkoboa
@mariamumilaji842
@mariamumilaji842 3 года назад
Kwakweli inabidi tuwe wangalifu na wafanyakazi japo ni sehemu kubwa ya maisha yetu.lnasikitisha sana
@mwanahamisiadinani433
@mwanahamisiadinani433 3 года назад
Mungu simama mwenyewe kwa nguvu zetu hatuwezi. Ubaki kuwa mlinzi wa Watoto wetu
@lailahasan2200
@lailahasan2200 4 года назад
Yaani imeniuma kuliko.. Mungu tu ndo mlizi kwa wtt wetu, maana navuta picha itakuwaje na hy maisha bila wadada wa kz na cc tunahangaika na haya maisha 😭😭😭😭😭
@ashwramashallah7242
@ashwramashallah7242 4 года назад
Mtihan walah mngu tusimamie
@rehemaheri5461
@rehemaheri5461 4 года назад
Uyo afungwe ikiwezekana anyongwe na yeye
@elizakadege5253
@elizakadege5253 4 года назад
@@rehemaheri5461 P
@monicahmwkali1209
@monicahmwkali1209 4 года назад
Uongo mutupu kumbuka ww pia mzazi
@rehemamakwendo7743
@rehemamakwendo7743 4 года назад
@@rehemaheri5461 uwonqo mtupu kumbuka kila mtu atakufa na kifo chake kwann alivyo rudi asimpeleke hospital ujui mtoto alikuwa anaumwa nini wakat alilia sana
@abokrarshamsan7963
@abokrarshamsan7963 4 года назад
Innalillah wainnaillah rajiun mwenyezi mungu amurehemu na ailaze roho yke mahali Pema peponi inshallah, ila jameni kama hyo mdada kamuuwa mtt mwenyezi mungu ndie anaejuwa yte kma kweli kumuuwa hyo mtt n mungu ndie ataka muadhibu.
@msafiribakari5941
@msafiribakari5941 4 года назад
Jinsi ilivyo hii story huyu mama ndio anamashetani pole kwa mfanyi kazi Mungu atakulinda kwenye siri iliofichika
@jaylessjoseph3636
@jaylessjoseph3636 4 года назад
Duh kwhy hy mama ndo ana mashetan🤣🤣🤣🤣
@teresiahkogi1951
@teresiahkogi1951 4 года назад
Kabisa huyu mama si mzuri
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 3 месяца назад
Jmn tuwaombeen sana wadada wa kazi maan hii ni kweli maan wengi ni ajent wa kuzm na mda anauwa hajielewagi
@tausingomeni2568
@tausingomeni2568 4 года назад
Mie nataman nijue ukwel kutok kwa madakitar ndio watoaj majib ya mwisho ya vpimo, kwan mwil Wa mtt haukupimw, ukute kafa kwel kwa uwezo Wa Mungu au vyyte vile, ila naumia kazaliw cku moja na mie trh, mwezi jmn 😭😭😭mtangazaj utupe mrejesho Wa hil tukio tujue imekuwaje kifo chake
@cuteme4870
@cuteme4870 4 года назад
Hawawezi kuzka bila kufanya postmortem
@carolkandere5696
@carolkandere5696 3 года назад
Hu
@carolkandere5696
@carolkandere5696 3 года назад
Hj
@victortesha7631
@victortesha7631 3 года назад
Apuzike kwamani
@shemamihambo-pn9bz
@shemamihambo-pn9bz Год назад
Poleni cana wafiwa marehemu apumzike mahara peponi amen
@imaryvitandavizurisanaimar7920
@imaryvitandavizurisanaimar7920 4 года назад
Kwa maelezo ya Bibi mtot anaonekana,siku zake tu zilifika,na mungu alimpenda zaid
@joysorewitindi8542
@joysorewitindi8542 4 года назад
Pole Sana mamy Mungu awe nawe na hakufariji
@kwimanizyampemba2044
@kwimanizyampemba2044 4 года назад
Hakika.mungu akumbuke watoto wetu ,pollen sana
@MariaJoseph-v7z
@MariaJoseph-v7z 7 дней назад
😭😭😭😭poleni sana atakama nimakosa yaboss wako haikufa nyi kumuu lia mtoto wake 😢daah inauma sana
@annapeter4994
@annapeter4994 4 года назад
Mungu wangu dunia ndo ishaisha
@danfordjackline9426
@danfordjackline9426 4 года назад
Mama katoka kazin kakuta mtt mzima amelala na anapumua,Mara katoka kazin kakuta mtt kafa,na mtu akipandisha mashetan yy hawez kujijua mpk mtu aliyepemben yake aeleze,Ila ukwel wa hili ni mungu analijua,ingawa inauma sana!pole kwa familia!
@annayohana3310
@annayohana3310 4 года назад
Duh! Iko kazi inauma sana, sana, mungu atusaidie.
@ReginaEvelest
@ReginaEvelest 8 месяцев назад
Ila jamani Mambo mengine yanasababishwa n mabosi kunyanyasa wafanya kzi ndiy maana watu awtaki kufanya kazi za ndani mupunguze midomo uyo dada mungu amlinde
@giftkisika6025
@giftkisika6025 4 года назад
Watu mnapenda kukoment hata mjamaliza kusikiliza bibi alimrekodi yule binti mabinti wa kazi ni shida tena msiwatetee nikuomba mungu atulindie familia zetu
@juliethewald3211
@juliethewald3211 4 года назад
Ni kwel kbsa
@NantaikaMaufi
@NantaikaMaufi 2 месяца назад
​@@juliethewald3211😅
@deograsiamoyo4975
@deograsiamoyo4975 4 года назад
kupitia hii story naamini yesu magumu ninayoputia na uzao wa tumbo la mama yangu mungu utarnda kututendea hautatuacha tukiangamia
@mariamukajiru2302
@mariamukajiru2302 4 года назад
Munguu wanguu najisikia kuumwa, Mungu tusaidie.
@salomengalya3822
@salomengalya3822 2 года назад
Pole dada pia muombee malaika mungu ampumzshe salama amina
@wahidabogoyo8909
@wahidabogoyo8909 4 года назад
Mungu amlaze mahali pem pepon amin
@zariaayoub
@zariaayoub 2 месяца назад
😮poleni Sana mungu atulindie watt wetu Hawa wadada wakazi jamani mh
@josephinemumbua159
@josephinemumbua159 4 года назад
Wewe mama wacha maswali mengi uji uhuwa watoto mungu ndiye ajuaye kifo cha mtoto
@emanuelysaigura8425
@emanuelysaigura8425 3 года назад
Na fhdjdmcmdk
@AbbasAli-rk8yf
@AbbasAli-rk8yf 3 года назад
.
@deboramichael2445
@deboramichael2445 2 года назад
Jamani pole sana mama mungu atakujalia
@hamidamnyika5287
@hamidamnyika5287 4 года назад
Mama kamkuta kalala na anahema Sasa imekuwaje amemuua jaman tumuogope mungu..hapo Kuna uongo mungu yupo na atampigania huyo binti.....
@naimaalkiyumi2273
@naimaalkiyumi2273 4 года назад
Umeona eeh kwa maelezo ya huyu mama watamfunga mdada wa kazi bure sababu mama mtoto kamkuta mtot mapigo ya moyo yanapiga inakuwaje dada kamnyonga?Mungu atatenda haki kati yao
@mwajumahalinga1808
@mwajumahalinga1808 4 года назад
Mama huyo nimwongo Mara ya kwanza kauliza mama wa mtoto alikua anahema, tumwigope mungu,
@danimaiko6715
@danimaiko6715 4 года назад
Watapata zambi awa hiyo nimipango ya mungu uyo kamkuta mwanae anaheam sasa kamnyonga saangap
@nestertz9677
@nestertz9677 3 года назад
@@naimaalkiyumi2273 a
@joachimrichard3087
@joachimrichard3087 3 года назад
Acha unafiki je angekua wako
@magdalenamrugala749
@magdalenamrugala749 3 года назад
Jaman mungu akupe nguvu madame kwa msiba uyo malia ukumu yake nikubwa mbele ya mungu
@patriciaboniphace7141
@patriciaboniphace7141 4 года назад
Mungu tumaomba utulindie watoto wetu jamani pekeyetu hatuwezi kwakweli watoto wetu wanawakat mgumu sana Roho mtakatifu atulindie watoto wetu jaman nawaza nafika mbali
@venanceyohana351
@venanceyohana351 2 месяца назад
Pole. Sana❤
@FelistaMatembo
@FelistaMatembo Месяц назад
Pole sana mama wa mtoto mungu akutie nguvu
@monicagabriel4388
@monicagabriel4388 4 года назад
Jamani Huyo binti anahitaji maombezi kumbe ni mashetani yalimua mtoto siyo Dada wa kazi wewe mama usimsingizie roho wa mungu. ukweli ataongea nani?jamani maombi maombi ni muhimu sana tuwe karibu na wadada wa kazi tusiwaache wenyewe tuwachunguze kabla ya kuwa ajri. Sawa jamani.R.I.P.
@zoeyzozo6181
@zoeyzozo6181 4 года назад
Kasema ni mashetani km kujitetea tuu
@iddyjory7046
@iddyjory7046 2 года назад
Hee ww Dada huyo ni muuhaji hakuna cha shetani ,,angekua wako ungesema hivo??
@fadhilarashid6396
@fadhilarashid6396 4 года назад
Pole mama kwa kufiwa mungu akujaze matumain ktk kipindi hiki kigumu lkn wewe mama maelezo yako yanatuchanganya hayana ukweli wowote
@saymonguga1471
@saymonguga1471 4 года назад
Daaaaaaah inaumaaa sana mungu amuweke huyu MTT mahal pema pepon
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 3 месяца назад
Jamani tumwabudu mungu kwa roho na kweli ili mungu alinde familia zetu
@rehemaothman2185
@rehemaothman2185 4 года назад
Poleni sana mama mungu akituie nguvu katika kipindi hiki kigumu
@saidntisi5994
@saidntisi5994 4 года назад
Tujihadhar san na hawa waschn wa kazi maan tunawachukua bila hata kujua maisha ya familia zao,,wengine ndokama hawa wanaotumwa damu za watt wadog,Ya allah tulindie wene2 maan wengin ndokama hivi unatoka asbh unarud jion yote nikutafuta rizq
@justinashayo3743
@justinashayo3743 4 года назад
Uuuuuu !!!! Dunia imeisha
@tushemerirwevanisi8156
@tushemerirwevanisi8156 4 года назад
Huyu mama hata macho yake yana oneshauongo ya mwanzo hayafanani na yamwisho na yana iya inasema usimuhukumu mwenziyo kabura haujahukumiwa acha mungu afanye kazi zake
@marrybonephacy5245
@marrybonephacy5245 4 года назад
Kwanza hy mama anaonekana mchawi kabixaa mwone kwanza macho yk yalivo makavu
@gaudensiamganga1695
@gaudensiamganga1695 4 года назад
Pole sana ndg na jamaa, imeniuma sn jamani daah watu wamekuwa wakatili mno
@priscabagaza8210
@priscabagaza8210 4 года назад
A
@asiaissa6913
@asiaissa6913 4 года назад
P
@tatunasoro838
@tatunasoro838 2 года назад
Mungu amlaze pema mungu ametoa namungu ametwaa
@jamil1547
@jamil1547 4 года назад
Tanzania ziwekwe daycare kila mtaa na bei nafuu na serikali isaidie kuwawezesha watakao anzisha hizo daycare za mitaani
@shabaniguma8696
@shabaniguma8696 3 года назад
Thubutu mambo ya maana haya wahusu watoto wao wana uangalizi mzuri
@jumazuber2101
@jumazuber2101 3 года назад
@@shabaniguma8696 ukweli anaujuwa mungu pekeeake
@mamakokuagnes38
@mamakokuagnes38 4 года назад
Tunahitaji nguvu za MUNGU kwelikweli Yesu wangu niokowe na roho chafu ktk jina la YESU KRISTO
@rosemwema9346
@rosemwema9346 3 года назад
Amin
@hellenswai8423
@hellenswai8423 4 года назад
uyu mama anajichanganya,mwanzoni kasema mamaake alivyokuja alimcheki akakuta anahema vizuri,
@edinaboss1835
@edinaboss1835 3 года назад
Uyu bibi muongo kama anajifanya mjuaj vile
@MeckrinaAlfeo
@MeckrinaAlfeo 11 дней назад
Pole san mam w mtot mung utakup mtot mwing ni mipang t y shetan🎉🎉
@joymgawe6535
@joymgawe6535 3 года назад
Mungu achilia ulinzi kwa watoto wetu
@richardelifuraha918
@richardelifuraha918 2 года назад
Amen
@monysanga7516
@monysanga7516 9 месяцев назад
Ayo maelezo tungesikia toka kwa mhusika alieshinda na mtoto mungu tulindie watoto wetu
@homeboytv8233
@homeboytv8233 4 года назад
Hii story mama unae toa maelezo mbna huelewek yaaan mtu amezibw pumz alaf akafa..alaf baada ya dkk 45 anampelek kumlaz kitandani anapumua kwa mbali.. HUYO HOUSEGIRL APATIWE UTETEZI... hii story kam ya kutengenezw ivii...
@mariamkitundu4406
@mariamkitundu4406 4 года назад
labda haelewi anasema nn
@lyslinejepchirchir7559
@lyslinejepchirchir7559 4 года назад
Mimi pia naona hii story si kweli
@gracekangethe8034
@gracekangethe8034 4 года назад
Amesema alipofika kutoka kazini alipata mtoto anapumua vizuri sasa imekuwa aje alienda kumwangalia akapata amefariki? Naona kama vile huyu mama amepanga hii stori... Mfanya kazi apewe haki!!!!!
@VioletAnyango-ei8vy
@VioletAnyango-ei8vy 6 месяцев назад
❤poie Kwa hiyo msiba ya Mtoto mudogo kweii inauma Sana poien sana
@sergekakule9492
@sergekakule9492 3 года назад
Mungu asaidiye watoto wetu
@asmahanyally3225
@asmahanyally3225 4 года назад
Jmn kiukweli mm sielewi wangefanya vipimo ili tujue lkn hivi inakuwa mbele nyuma mbele nyuma......Tumuachie mungu yy ndiye hakimu wa haki
@fransiscodeocharles6945
@fransiscodeocharles6945 4 года назад
Ni Uongo!!! Kwann mama yake alimkuta mzima? Cha msingi madaktari wazibitishe hili
@asmarashid743
@asmarashid743 4 года назад
Mungu ndo ajuaye Kilakitu
@pascolukas2490
@pascolukas2490 4 года назад
Ila kweli kanyongwa,fanyeni uchunguzi kiundani zaidi
@tarahjangassa4770
@tarahjangassa4770 2 года назад
mungu amlaze Mahali Pema peponi
@tianitinnytiano4143
@tianitinnytiano4143 4 года назад
May the baby soul rest in peace but uyo mama anakaa asemi ukweli Mungu tuh ndie ajua yalietokea
@alphonsinesingirankabo6274
@alphonsinesingirankabo6274 4 года назад
Mungu ailazeroho ya marehemu mahali pema peponi pole sana dada na sikitika sana
@AymanAdam-g6p
@AymanAdam-g6p Год назад
Poleni nduguzangu Allah awape badala ya uyo Alie potea ddaangu akupe mtto mwema
@mellaniabruno9339
@mellaniabruno9339 4 года назад
Tobahh that's why niliamua kuacha kazi nilee mtoto angu mwenyewe kwa kweli inauma sana
@wisebless5302
@wisebless5302 4 года назад
Yani mwenyewe niliachaga kazi kabisa nileee watoto na nimefanikiwa Bora kujiajiri sitaki kabisa hao wadada
@hajramiraji4678
@hajramiraji4678 4 года назад
Safi sana maana hiyo ndio kazi zetu wamama basi tu tunataka makubwa lakini ni vyema mama siku zote kuwa na watoto wetu karibu
@johnignas179
@johnignas179 4 года назад
Sawa kabisa dada maana mtoto wa miezi hata mwaka bado unamuachiaje mdada na hapo labda mdada alitoka nakumuacha mtoto peke yake mzazi mwenye uchungu awezi muacha mtoto kichanga mungu awape nguvu
@alphonsinesingirankabo6274
@alphonsinesingirankabo6274 4 года назад
Musikuwe na patiya bafanya kazi ba cunge watoto wenu mama mufanye angalisho pole sana dada
@dianamasaka9129
@dianamasaka9129 4 года назад
Wadada wa kazitunakazi kwelkwel kilakitu ni sisi mungu tuangalie
@faymahamisi5726
@faymahamisi5726 3 года назад
Kweli mungu awalinde kila kitu nyiye namabos Wana loo mbaya wengine wanawake yada wadada wakazi ishi nao vizuri yeye unamtesa unategemeya nini kinacho fata kisasi cha kukuumiza na wewe
@DainesSugar
@DainesSugar 2 месяца назад
Kwakwer tunapitia kipind kigum san
@LeiynaStany
@LeiynaStany 11 месяцев назад
Siyo kama ana mashetan hiii imekuwa ni kwa wadada wengi wa ndani Sharma zichukuliwe jaman mungu amlaze mbali pema pèpon
@fatumamkuzi1475
@fatumamkuzi1475 4 года назад
Hata sielewi mm Mama mtoto ali kuja muona mzima jamani Mungu atusamehe madhambi yetu
@edinaboss1835
@edinaboss1835 3 года назад
Kwel bana maana mama mtoto alisema alimkuta mtoto mzima akamsilizia vizr akaona yuko vzr sasa imekuwaje!! Duh
@joycekialo1626
@joycekialo1626 3 года назад
Poleni sana
@susanmuthoka7705
@susanmuthoka7705 4 года назад
Jamani usalama wa watoto wetu ukoapi sisi tunaotegemea wasichana wa kazi.... Mwenyezi Mungu tupe mwisho mwema tuakuomba
@franciscahmasai9703
@franciscahmasai9703 4 года назад
Jamani inasikitisha sana mwenyezi Mungu atusaidie.
@hgcbj635
@hgcbj635 3 года назад
Mwenyezi mungu aturindiy watoto
@simonitaagesti3657
@simonitaagesti3657 4 года назад
Jamani binadamu atuna huruma kiumbe cha mungu akijui chochote unaenda kukifanyia unyama hali yakua akiwezi kujitetea jmn inauma sana
@hamisikilindo5638
@hamisikilindo5638 3 года назад
Zuchu
@joharychaima1274
@joharychaima1274 4 года назад
Jaman vitu vingine tumuachie mungu,msipende kuhukumu watu ovyo,mbona mm baba ang alitoka nyumban mzima akarudi marehemu tena ghafla...tena barabaran😢,vitu vingine tuachen bhana...
@protasshaban3714
@protasshaban3714 4 года назад
Pole sana
@magrethmanintveld2486
@magrethmanintveld2486 4 года назад
Mungu wangu Ni malaika wa Mungu jamani, ungemrekod ingekuwa vizuri Ni ushaidi tosha
@maryachieng885
@maryachieng885 Год назад
Poleni sana kwa familia wenye walipata mkasa..
@mossomar5189
@mossomar5189 4 года назад
Duuh km nikweli mungu tuokoe waja wako,ya Allah, subhanallah
@clarangoma9978
@clarangoma9978 3 года назад
Mishono ya kitambaa
@shidabundala8984
@shidabundala8984 4 года назад
Poleni sana kwamsiba uliowakuta 😭😭 Allah atakulipia 2 nahuyo mfanya kazi Allah amuhuku kuanzia dunian nakesho akhera
@happyjuma3166
@happyjuma3166 4 года назад
Mh jamani mwogopeni mngu kama mtoto alinyongwa mbona mama alimkuta anapumua kila mtu kapangiwa kifo chake kwavile huyo dada alibaki nae ndokawa muuwaji mbona hakuumua izo sikunyingine chunguza vidhuli nasio kumuhukumu mtu nabibi hana ata maumivu inamana nimwongo naasingizia loo mtakatfu jaman kina mama mnao mabinti kwaiyo msihukum mtoto wamwana mke mwenzenu
@omani6006
@omani6006 4 года назад
Kwer ndungu
@GloryElardy
@GloryElardy 3 месяца назад
Mungu amlaze mahala pema peponi mtoto mzury
@doreenandrew3063
@doreenandrew3063 4 года назад
Mmmh hayo maelezo siamini hata kidogo khaaaaa 😭😭😭 Mungu atafanya jambo.. hebu tusikie hiyo record
@luciahomwono4148
@luciahomwono4148 4 года назад
Huyu mama mie ananichanganya, sipendi uongo kabisa, amefanya nisisubscribe. Mara mama ya mtoto alikuja akapata mtoto anapumua huo muda wote, mara mama akaja akaambia msichana beba mtoto... nkt. I hate uongo kabisaaaa, God knows if the lady killed that kid.
@ShukuruMihange
@ShukuruMihange 2 месяца назад
Poleni jaman mungu ailaze loho yake mahali pema peponi
@doreenmasinde9452
@doreenmasinde9452 2 года назад
May God protect our children
@richardelifuraha918
@richardelifuraha918 2 года назад
Amen
@reginakitungulu8830
@reginakitungulu8830 4 года назад
Poleni saaana jaman tujuwe tuko siku za mwisho tuombe sana maana inatisha hii!!!.
@cockshublakisoma3655
@cockshublakisoma3655 4 года назад
Mungu nisaidie nikomae na wanangu mwenyewe
@rumininsiarichard1973
@rumininsiarichard1973 4 года назад
Mungu tulindie watoto wetu
@NewtonMugango
@NewtonMugango 7 месяцев назад
Poleeni sana,let's pray without ceasing.
@madamekomba7899
@madamekomba7899 4 года назад
Eee Mwenyezi Mungu,wape nguvu wafiwa
@zulfaissa7814
@zulfaissa7814 4 года назад
Huyu mm analeta comed kwenye hakuna
@ibrahimyohanalusana5997
@ibrahimyohanalusana5997 3 года назад
Mungu atusaidie sana
@ematuku7013
@ematuku7013 4 года назад
Huyu bibi aangaliwe vizul anachanganya maneno mwazo amemkuta anapumua mala kamkuta kafa daaa wafanyakazi kazi wanaya
@RosePaulo-w1r
@RosePaulo-w1r Год назад
Pole sana mama mung yup pamoja na ww. Atamlipwa tu
@jumaali2888
@jumaali2888 4 года назад
Huyu bibi muongo ,eti mkristo,ushindwe kwa jina la Yesu
@johnignas179
@johnignas179 4 года назад
Anaonekana muongo kweli maneno ya kupangwa maana mama alimkuta anapumua ila mungu afichwi ao wanasiri hao
@dukesonorori1707
@dukesonorori1707 4 года назад
Huyu mkiristo bandia hangesema na amehaidi kutosema mama shetani
@zaharajuma5019
@zaharajuma5019 4 года назад
Ivi mnaamini haya maneno yahuyu mama maana kesi zakusingiziwa ni Kama dili tz mutu anaweza akakutungia kesi nawatu wakaamini
@fadhilalukindo1659
@fadhilalukindo1659 4 года назад
Kiukweli mungu ndio ajuaye sirini,lakni anachanganya maneno huyu mama,ila kama amemshurutisha akubali maneno yake ni dhambi,mana hiyo nikesi kubwa,na kufa usingizin ni jambo la kawaida mbona hata wakubwa wanakufa
@neemamogolo3709
@neemamogolo3709 4 года назад
Kabisa
@joharychaima1274
@joharychaima1274 4 года назад
Mi cjamuamn kabisa....
@fadhilalukindo1659
@fadhilalukindo1659 4 года назад
@@joharychaima1274 umeonaeee,hata kama kuna ukweli lakin kuna uwoga flan ametishiwa
@fatimaabdulla6967
@fatimaabdulla6967 4 года назад
At list wangeonyesha majibu ya dactari yamesemaje na pia wakahoji mdada mwenyewe tusikize atasema nn ila huyu mama muongo kbs
@harerimanagaudence4999
@harerimanagaudence4999 4 года назад
Jamani musimuhukumu vibaya chenye naona muachie Mungu sababu nami wakwangu arifariki bira ugonjwaa nanirikuwa nikopamoja nae mimi Muzazi
@erastofrancis684
@erastofrancis684 4 года назад
Wallah ningekua Mimi nae angekufa , maana hata maandiko yanasema anae UA kwa upanga nae afe kwa upanga
@RehemaElias-el3jg
@RehemaElias-el3jg 3 месяца назад
Jmn j yani munge muombea mtto tu wala msingempeleka polis
@rehemamagere8602
@rehemamagere8602 4 года назад
Mungu wangu nitunzie wanangu wajao yesu wng dunia imeisha jamani wadada hawa aiseeee daaah
@mariamkitundu4406
@mariamkitundu4406 4 года назад
amina
@evamwinga921
@evamwinga921 4 года назад
Mmmmh jaman, Mungu amtie nguvyu mama mtoto
@teresiahwatetu4447
@teresiahwatetu4447 2 года назад
Woooow aki dunia kuisha abi rip byeer
@maureenruto5500
@maureenruto5500 2 года назад
May God comfort you ...may the innocent soul continue resting peace
@monicahkatana476
@monicahkatana476 Год назад
Poleni sanaaaa
Далее
MAMA WA KAMBO
13:29
Просмотров 1 млн
Voy shetga man aralashay | Million jamoasi
00:56
Просмотров 161 тыс.
TT Comedian Movie's KATUMBAKU _Full Movie
1:00:49
Просмотров 6 млн
Mtoto aliyefariki na kuzikwa apatikana akiwa hai
52:00
DACHA Webinar Series: Lunchtime Webinar 2
1:30:48
Просмотров 12 тыс.
Voy shetga man aralashay | Million jamoasi
00:56
Просмотров 161 тыс.