Yaani imeniuma kuliko.. Mungu tu ndo mlizi kwa wtt wetu, maana navuta picha itakuwaje na hy maisha bila wadada wa kz na cc tunahangaika na haya maisha 😭😭😭😭😭
@@rehemaheri5461 uwonqo mtupu kumbuka kila mtu atakufa na kifo chake kwann alivyo rudi asimpeleke hospital ujui mtoto alikuwa anaumwa nini wakat alilia sana
Innalillah wainnaillah rajiun mwenyezi mungu amurehemu na ailaze roho yke mahali Pema peponi inshallah, ila jameni kama hyo mdada kamuuwa mtt mwenyezi mungu ndie anaejuwa yte kma kweli kumuuwa hyo mtt n mungu ndie ataka muadhibu.
Mie nataman nijue ukwel kutok kwa madakitar ndio watoaj majib ya mwisho ya vpimo, kwan mwil Wa mtt haukupimw, ukute kafa kwel kwa uwezo Wa Mungu au vyyte vile, ila naumia kazaliw cku moja na mie trh, mwezi jmn 😭😭😭mtangazaj utupe mrejesho Wa hil tukio tujue imekuwaje kifo chake
Mama katoka kazin kakuta mtt mzima amelala na anapumua,Mara katoka kazin kakuta mtt kafa,na mtu akipandisha mashetan yy hawez kujijua mpk mtu aliyepemben yake aeleze,Ila ukwel wa hili ni mungu analijua,ingawa inauma sana!pole kwa familia!
Ila jamani Mambo mengine yanasababishwa n mabosi kunyanyasa wafanya kzi ndiy maana watu awtaki kufanya kazi za ndani mupunguze midomo uyo dada mungu amlinde
Watu mnapenda kukoment hata mjamaliza kusikiliza bibi alimrekodi yule binti mabinti wa kazi ni shida tena msiwatetee nikuomba mungu atulindie familia zetu
Umeona eeh kwa maelezo ya huyu mama watamfunga mdada wa kazi bure sababu mama mtoto kamkuta mtot mapigo ya moyo yanapiga inakuwaje dada kamnyonga?Mungu atatenda haki kati yao
Mungu tumaomba utulindie watoto wetu jamani pekeyetu hatuwezi kwakweli watoto wetu wanawakat mgumu sana Roho mtakatifu atulindie watoto wetu jaman nawaza nafika mbali
Jamani Huyo binti anahitaji maombezi kumbe ni mashetani yalimua mtoto siyo Dada wa kazi wewe mama usimsingizie roho wa mungu. ukweli ataongea nani?jamani maombi maombi ni muhimu sana tuwe karibu na wadada wa kazi tusiwaache wenyewe tuwachunguze kabla ya kuwa ajri. Sawa jamani.R.I.P.
Tujihadhar san na hawa waschn wa kazi maan tunawachukua bila hata kujua maisha ya familia zao,,wengine ndokama hawa wanaotumwa damu za watt wadog,Ya allah tulindie wene2 maan wengin ndokama hivi unatoka asbh unarud jion yote nikutafuta rizq
Huyu mama hata macho yake yana oneshauongo ya mwanzo hayafanani na yamwisho na yana iya inasema usimuhukumu mwenziyo kabura haujahukumiwa acha mungu afanye kazi zake
Hii story mama unae toa maelezo mbna huelewek yaaan mtu amezibw pumz alaf akafa..alaf baada ya dkk 45 anampelek kumlaz kitandani anapumua kwa mbali.. HUYO HOUSEGIRL APATIWE UTETEZI... hii story kam ya kutengenezw ivii...
Amesema alipofika kutoka kazini alipata mtoto anapumua vizuri sasa imekuwa aje alienda kumwangalia akapata amefariki? Naona kama vile huyu mama amepanga hii stori... Mfanya kazi apewe haki!!!!!
Sawa kabisa dada maana mtoto wa miezi hata mwaka bado unamuachiaje mdada na hapo labda mdada alitoka nakumuacha mtoto peke yake mzazi mwenye uchungu awezi muacha mtoto kichanga mungu awape nguvu
Kweli mungu awalinde kila kitu nyiye namabos Wana loo mbaya wengine wanawake yada wadada wakazi ishi nao vizuri yeye unamtesa unategemeya nini kinacho fata kisasi cha kukuumiza na wewe
Jaman vitu vingine tumuachie mungu,msipende kuhukumu watu ovyo,mbona mm baba ang alitoka nyumban mzima akarudi marehemu tena ghafla...tena barabaran😢,vitu vingine tuachen bhana...
Mh jamani mwogopeni mngu kama mtoto alinyongwa mbona mama alimkuta anapumua kila mtu kapangiwa kifo chake kwavile huyo dada alibaki nae ndokawa muuwaji mbona hakuumua izo sikunyingine chunguza vidhuli nasio kumuhukumu mtu nabibi hana ata maumivu inamana nimwongo naasingizia loo mtakatfu jaman kina mama mnao mabinti kwaiyo msihukum mtoto wamwana mke mwenzenu
Huyu mama mie ananichanganya, sipendi uongo kabisa, amefanya nisisubscribe. Mara mama ya mtoto alikuja akapata mtoto anapumua huo muda wote, mara mama akaja akaambia msichana beba mtoto... nkt. I hate uongo kabisaaaa, God knows if the lady killed that kid.
Kiukweli mungu ndio ajuaye sirini,lakni anachanganya maneno huyu mama,ila kama amemshurutisha akubali maneno yake ni dhambi,mana hiyo nikesi kubwa,na kufa usingizin ni jambo la kawaida mbona hata wakubwa wanakufa