Тёмный

JACKLINE WOLPER ATOA SIRI/HATA NYUMBA NILIOJENGA.../RICH MITINDO/GARAMA YA NYUMBA NILIOJENGA 

Carrymastory
Подписаться 464 тыс.
Просмотров 27 тыс.
50% 1

WOLPER ATOA YA MOYONI KUACHANA NA RICH MITINDO NIMECHOKA HAYA MAHUSIANO/ MANGE KIMAMBI #JUKLINNE #wolper #RICHMITINDO #RICHIMITINDONAJACKLINEWOLPER #mangekimambi #NYUMBAYAWOLPER #jacklinewolper

Развлечения

Опубликовано:

 

19 мар 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 51   
@user-qc9jf6rn7u
@user-qc9jf6rn7u 3 месяца назад
Kuolewa ni jambo moja, na kukaa kwenye ndoa ni jambo jingine. Kuishi kwenye ndoa 95% ni uvumilivu tu, hasa upande wa mwanamke. Vumilia wolper, msiachane. Hakuna mwanamume anayekaa na mwanamke mmoja. Hilo kwa wamama walioko kwenye ndoa tulitambue. Hakuna haja ya kuachika, maana hatabikitokea hutashindana na asili, bado utahitaji kuwa na mtu ambaye anamilikiwa na mwingine. Shikilia ukae na wa kwako. Linda goli lako usiendelee kufungwa magoli zaidi. Kadri umri unavyoenda itafika muda atatulia.Muombee sana kwa Mungu kuthibitisha kiapo cha kuishi pamoja katika shida na raha. Ombea mume wako dada. Acha walimwengu waseme ila wewe simamia ndoa yako.
@MohammedJaxksonlee
@MohammedJaxksonlee 3 месяца назад
Baruaaaa hiii sasa😂😂😂😂
@edsonnelson4464
@edsonnelson4464 3 месяца назад
Umesema la maaana hakuna mwanaume anakalia mwanamke mmoja, walio wengi wanapenda kuonja onja hata kama ana mke mzuri kiasi gani
@lusiaMushi-rf6jt
@lusiaMushi-rf6jt 3 месяца назад
Magonjwa sasa 😢
@judyngowi391
@judyngowi391 3 месяца назад
Shida yao ni ndoa zao za mitandaoni! Kina sie huku hata akicheat mpaka nije kujua saa ngapi
@johnjescajohnjesca
@johnjescajohnjesca 3 месяца назад
Hiyo ni barua hasa
@rahabudave9932
@rahabudave9932 3 месяца назад
Wolper akizeeka sijui atakuja,huwa anajibu maswali very funny,unaulizwa nyumba imechukua kiasi gani,anajibu naamka SAA Kimi na mbili nalala SAA SITA..anajibu kamami hayuko smart kichwani
@mrambadiana9678
@mrambadiana9678 3 месяца назад
Umetupa funzo vijana❤ umeongea umenyooka hujapinda
@vailethhalson2647
@vailethhalson2647 3 месяца назад
Upo very straight ma p wang❤
@agneskighenda3795
@agneskighenda3795 3 месяца назад
Wolper - you got a beautiful heart!
@elizabethjeremiah8323
@elizabethjeremiah8323 3 месяца назад
Nakupenda sana
@judithsalvatory2892
@judithsalvatory2892 3 месяца назад
Nakukubari sana❤❤
@hanifamziray277
@hanifamziray277 3 месяца назад
Unaongea vzr sn una point kweli ww ni mama bora
@user-um7kj5kf6p
@user-um7kj5kf6p 3 месяца назад
Kama utaendelea kupeleka Mambo ya.nyumba yako mitandano hutakuja ufanikiwe.kwenye ndoa Mambo ya nyumbani mwako yawe ya nyumbani mwako acha kuwapa faida watu Mambo yasiyo wahusu .hao waandishi muwe mnawakwepa
@MajutoElliasi
@MajutoElliasi 3 месяца назад
Mwanaume anatakiwa ujitume mambo nikama aya kuaibishana wanaume wanapenda sana kuhonga izoizo hera wezetu wanafanyia mahendereo sisi tunaishia kwenye utamu
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 3 месяца назад
Sio ndoa za mastaa tu unakosea ndoa ni ndoa ht huko mtaani ukikaa kuna changa moto nyingi za ndoa sio wao tu
@stellahwilfred5762
@stellahwilfred5762 3 месяца назад
That's good darling ❤❤
@LaulenciaEdward
@LaulenciaEdward 3 месяца назад
Hongera dd ang unaongea point sana
@trice_yanga
@trice_yanga 3 месяца назад
Wolper mjengo ni wako bhana😂
@janetymatola6639
@janetymatola6639 3 месяца назад
Pia Wolper unaonekana una mnyanyasa
@nasmabanda6340
@nasmabanda6340 3 месяца назад
Kweli my love ❤
@agnesnafula-hz6kf
@agnesnafula-hz6kf 3 месяца назад
🥰
@SaraMAVE-jt2mx
@SaraMAVE-jt2mx 3 месяца назад
Wolper murembo jamani
@jacklinepeter4158
@jacklinepeter4158 3 месяца назад
Kama umemchoka muache acha kuhadithia watu haitakusaidia usimdhalilishe muache kimya kimya
@sephaniangulo4035
@sephaniangulo4035 3 месяца назад
Unajua kuficha vitu, it's not must uweke kila kitu unachoulizwa wazi
@sekelamwangomo5458
@sekelamwangomo5458 3 месяца назад
Yes afu hajui anavoanika migogoro yake na mumewe anawapa furaha watu wenye chuki na ndoa Yako waseme tulisema
@janetymatola6639
@janetymatola6639 3 месяца назад
Ndoa za Mastar huwa zinakuaga hivyo zinakuaga hazina mwisho mwema na Rich bado sana ila Wolper yupo tayari kujenga maisha
@Neemaezekiel2
@Neemaezekiel2 3 месяца назад
Siyo mastar tu ndoa za siku hizi nyingi ni ivo
@neemawekab2306
@neemawekab2306 3 месяца назад
Sio mastar tu
@milkagavana701
@milkagavana701 3 месяца назад
Sio mastar tu
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 3 месяца назад
Ndoa za leo matope kabisa​@@Neemaezekiel2
@njuka3515
@njuka3515 3 месяца назад
Sikilizeni nyie waandishi Wolverine alishatoka huko kwenye ujinga . Sasa hivi yuko kwenye kufanya maisha
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 3 месяца назад
Wolper Ana lugha ya kibongo 😂😂😂
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 3 месяца назад
Kuna wengine wana kimbia wanaacha wtt na mke utavumiliya na nyumba tupu mume hayupo
@halimambaga61
@halimambaga61 3 месяца назад
Mpka sasa ndoa iliyotulia ni ya Nandy na billnas
@marianakamb-fg7sk
@marianakamb-fg7sk 3 месяца назад
Nimepigaje hapo🚶🚶🚶😂
@KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy
@KRIPHMWAKILOVOKO-rd7wy 3 месяца назад
Anajikaza tuu wolper ila iyo ishu imekuchukua mazima
@thetas08
@thetas08 3 месяца назад
Yaani nyie waandshi mda mwingi umeupoteza sana mnachouliza huyu dada hamna Cha maana kabisa Yani wanahabari nendeni chuoni mkarudie hamna la maana kabisa mnapoteza mda sana zero tafuteni habari za maendeleo ya nchi bogasi
@user-qq6mv6vh3e
@user-qq6mv6vh3e 3 месяца назад
Wolpar anaongea mazima
@devothakisanga4334
@devothakisanga4334 3 месяца назад
tddx😊😊😂 1:31
@rithadonatus8110
@rithadonatus8110 3 месяца назад
Wasanii ndoa zenu ndo hivyooo
@karisgaitho1972
@karisgaitho1972 3 месяца назад
Nonsense
@claudineali3561
@claudineali3561 3 месяца назад
Wacha kukicekeza turiya umekwisha tayari wewe nimaraya umekwisha
@godfreymushi6966
@godfreymushi6966 3 месяца назад
Ungekaa kimya umri umeenda tayari piga kimya endelea na.life achana na online life na ukweli hapa huwo.usupastars huna ni shobo
@user-rc6so2km7c
@user-rc6so2km7c 3 месяца назад
Uyo rich amefanyaje
@judyngowi391
@judyngowi391 3 месяца назад
Kamwaga maziwa
@user-rc6so2km7c
@user-rc6so2km7c 3 месяца назад
@@judyngowi391 heeeee kwann jamn apite bila kuangalia hakujua kam atamkera Dada yetu
@judyngowi391
@judyngowi391 3 месяца назад
Maziwa yale mengine
@user-yb6wh1bk9d
@user-yb6wh1bk9d 3 месяца назад
Kuna wengine wana kimbia wanaacha wtt na mke utavumiliya na nyumba tupu mume hayupo
Далее