WOLPER ATOA YA MOYONI KUACHANA NA RICH MITINDO NIMECHOKA HAYA MAHUSIANO/ MANGE KIMAMBI #JUKLINNE #wolper #RICHMITINDO #RICHIMITINDONAJACKLINEWOLPER #mangekimambi #NYUMBAYAWOLPER #jacklinewolper
Kuolewa ni jambo moja, na kukaa kwenye ndoa ni jambo jingine. Kuishi kwenye ndoa 95% ni uvumilivu tu, hasa upande wa mwanamke. Vumilia wolper, msiachane. Hakuna mwanamume anayekaa na mwanamke mmoja. Hilo kwa wamama walioko kwenye ndoa tulitambue. Hakuna haja ya kuachika, maana hatabikitokea hutashindana na asili, bado utahitaji kuwa na mtu ambaye anamilikiwa na mwingine. Shikilia ukae na wa kwako. Linda goli lako usiendelee kufungwa magoli zaidi. Kadri umri unavyoenda itafika muda atatulia.Muombee sana kwa Mungu kuthibitisha kiapo cha kuishi pamoja katika shida na raha. Ombea mume wako dada. Acha walimwengu waseme ila wewe simamia ndoa yako.
Wolper akizeeka sijui atakuja,huwa anajibu maswali very funny,unaulizwa nyumba imechukua kiasi gani,anajibu naamka SAA Kimi na mbili nalala SAA SITA..anajibu kamami hayuko smart kichwani
Kama utaendelea kupeleka Mambo ya.nyumba yako mitandano hutakuja ufanikiwe.kwenye ndoa Mambo ya nyumbani mwako yawe ya nyumbani mwako acha kuwapa faida watu Mambo yasiyo wahusu .hao waandishi muwe mnawakwepa
Mwanaume anatakiwa ujitume mambo nikama aya kuaibishana wanaume wanapenda sana kuhonga izoizo hera wezetu wanafanyia mahendereo sisi tunaishia kwenye utamu
Yaani nyie waandshi mda mwingi umeupoteza sana mnachouliza huyu dada hamna Cha maana kabisa Yani wanahabari nendeni chuoni mkarudie hamna la maana kabisa mnapoteza mda sana zero tafuteni habari za maendeleo ya nchi bogasi